Ukraine waanza kushambulia kwa makombora ya masafa marefu yenye maangamizi makubwa

Takbir ndio nini??
 
Huyu mtu wetu tunamchapa taratibu ukitaka kuona moto halisi NATO aingie vitani

Jikosesheni njia na kujisahau mtume kakombora kamoja tu kwa kataifa kokote ka NATO hapo pembeni, kwa mfano Latvia au estonia wako hapo wanachangia mpaka mmoja na Urusi na wenyewe ni wanachama wa NATO, rusheni hata risasi tu kwao...
Si mnajifanya mnashambulia Ukraine kisa wanataka kujiunga NATO, basi hao hapo mpo nao mpaka mmoja na ni NATO kabisa, wahuseni kidogo tu.

 
Acha mikwara jombaa hao Belarusi atatumika kuwachapa na ameshapewa makombora yenye uwezo wa kubeba nukes
 
Chizi wa bangi
 
Mkuu,naona mwenzetu wala hana habari kwamba takwimu hizo zinapikwa na Zelensky na genge lake kuchota akili S
yaan nyiny ni watu wa ajab sana , yaan Urusi mpk ss hamjiuliz alifer wap kuimaliza vita ? unahis walirud nyuma kwa kupenda ? tuseme ndio , ss kwann hawawez kurud tena
 
Naona uzee unanisumbua: sina GUTS za ku - "side" upande wowote katika hili kwa kuwa Mungu wangu amenikataza kufanya maovu: Amina
Hayo no maamuzi yako hakuna anayekupinga
Nalog off Z
 
Kabisa MKUU kama walivyoifuta TALEBAN

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akbar akbar....leo mnamuabudu Putin kama mtume fulani hivi, mumeingiza udini hasa, watu wa dini ya muarabu huaambii kitu kwa sasa.
Maumivu yakizidi tafta Picha ya PUT IN ichanganye na maji
Halaf unywe kutwa glass tatu itategemes naukubwa washida yako unavyojihisi
Zingatia MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…