Ukraine wakomboa mji wa Snihurivka. Hivi ile kura ya maoni nini ilikuwa maana yake?

Ukraine wakomboa mji wa Snihurivka. Hivi ile kura ya maoni nini ilikuwa maana yake?

Umepoteza Mikoa 4 . Kwenye mkoa mmoja umepata wilaya ya Temeke ndo umeshinda vita.
Siku zote hata Milioni huanza na shilingi moja.Kama wewe ni mwamba kweli iweje uchukue mikoa 4 na ndani ya mwezi mmoja tu tayari umeshasurrender hiyo 'temeke'? Tukienda na hiyo assumption maana yake by January utakuwa umeachia Mkoa mmoja mzima.Kulikuwa na maana gani sasa ya kutwaa hayo maeneo kama huwezi kuyalinda?
 
Yaani umepoteza 400 . Umerudisha 30 ndo umeshinda vita. Nyie

Tumeona mkizingua , Moscow anaweza kupiga Kiev akijisikia tena kuharibu miundo mbinu anayoitaka yeye. Unajisifu??

Ukraine yote inashupaza shingo iko vitani.
Kaa ukijua Moscow maisha yanaendelea na Kremlin haishupazi shingo.

The Time akishupaza shingo mtaanza lawama
 
Siku zote hata Milioni huanza na shilingi moja.Kama wewe ni mwamba kweli iweje uchukue mikoa 4 na ndani ya mwezi mmoja tu tayari umeshasurrender hiyo 'temeke'? Tukienda na hiyo assumption maana yake by January utakuwa umeachia Mkoa mmoja mzima.Kulikuwa na maana gani sasa ya kutwaa hayo maeneo kama huwezi kuyalinda?

Hauko jeshini na haujui technicalities za vita.

Ungepinga hoja za Generali kuwa kwa nini wali Ondoa watu na jeshi pale?
-Hatari ya bwawa kulipuliwa na kuleta mafuriko.
-Position yao ilikuwa ngumu kusupply huduma sababu ya mto Kwani walitumia pantoni.(Siyo Salama)
-Daraja ktk mto liliharibika.
-Wamerudi upande wa pili wa mto kuweka strong position, sababu ya kijiografia na usalama.

Pinga kuwa hoja zao si sawa siyo kukazania wamekimbia.
Kuna ku’retreat’ na Kuna ku’withdraw’ au ku’abort’ and take New position

Walipowithdraw kutoka Kiev mlishangilia, then nini kilikuja?, MLITEGEMEA HILO?
 
Hauko jeshini na haujui technicalities za vita.

Ungepinga hoja za Generali kuwa kwa nini wali Ondoa watu na jeshi pale?
-Hatari ya bwawa kulipuliwa na kuleta mafuriko.
-Position yao ilikuwa ngumu kusupply huduma sababu ya mto Kwani walitumia pantoni.(Siyo Salama)
-Daraja ktk mto liliharibika.
-Wamerudi upande wa pili wa mto kuweka strong position, sababu ya kijiografia na usalama.

Pinga kuwa hoja zao si sawa siyo kukazania wamekimbia.

Walipowithdraw kutoka Kiev mlishangilia, then nini kilikuja?, MLITEGEMEA HILO?
Sawa Generali,naona mabegani na kifuani umejaza medals za kutosha ulizokuwa awarded baada ya kuongoza vita kadhaa kwa ufanisi wa hali ya juu kabisa .

Pamoja na kujua kwako kote hizo technicalities za vita lakini bado umeshindwa kumsaidia Putin kuweza kumaliza hii vita kwa ushindi mkubwa.
 
Sawa Generali,naona mabegani na kifuani umejaza medals za kutosha ulizokuwa awarded baada ya kuongoza vita kadhaa kwa ufanisi wa hali ya juu kabisa .

Pamoja na kujua kwako kote hizo technicalities za vita lakini bado umeshindwa kumsaidia Putin kuweza kumaliza hii vita kwa ushindi mkubwa.
kwani vita ineisha au ni Poaition Swaps.

UVAMIZI na KUGOMBANIA MAENEO
 
Vita ni strategies,
Jikumbushe vita ya Iraq, kuna maeneo US alikuwa anarudishwa nyuma na anabadili njia.

Vita haipiganwi unavyotaka wewe?.. wenye medani wanajua zaidi.

Supply ya vifaa kutokea urussi kuvuka mto ilikuwa ngumu hapo Kherson, walikuwa wanatumia Patoni sababu daraja limeharibika. Ndo maana wamerudi upande wa pili wa mto. Waukraine pia hawawez vuka huo mto.

Russia wametake better Position hapo, pia hatari ya lile bwawa kulikuwa na kusababisha mafuriko kwenye hako kamji.
Watu wana intelligentsia zao na wamenusa hicho kitu, wewe unashupaza shingo kuwa wanganganie hiyo sehemu. Ili wamdurahishe nani.. Safety muhimu sana pia.

Yaani hapo ndo ukraine imeshinda vita?
Vita ambayo ina miaka 2 mbele mpaka uchaguzi wa us bado watakuwa vitani. Russia anajua hilo ndo maana amerelax.

NATO wanaogopa nini kumpa Zele Silaha za kupiga Moscow akamuue Putin??
Wanajua what’s next Moscow ikiwa under threat.
Sasa unashupaza shingo Putin kuvamia nchi huru ?? Nahisi ata Idi Amin ulimuunga mkono alipovamia Kagera
 
Yaani umepoteza 400 . Umerudisha 30 ndo umeshinda vita. Nyie

Tumeona mkizingua , Moscow anaweza kupiga Kiev akijisikia tena kuharibu miundo mbinu anayoitaka yeye. Unajisifu??

Ukraine yote inashupaza shingo iko vitani.
Kaa ukijua Moscow maisha yanaendelea na Kremlin haishupazi shingo.

The Time akishupaza shingo mtaanza lawama
Sijakuelewa!! Unataka Ukraine ikubali kutawaliwa na dikteta PUTIN?
 
Sasa unashupaza shingo Putin kuvamia nchi huru ?? Nahisi ata Idi Amin ulimuunga mkono alipovamia Kagera
Mvamizi wa Nchi za watu humjui?

Ukraine anataka kuvunja Minsk agreement, ulitaka achekewe!!

Na inshort huu mgogoro Russia ameuweka mpk Minsk agreement itakapoheshiniwa na Ukraine
 
Vita ni strategies,
Jikumbushe vita ya Iraq, kuna maeneo US alikuwa anarudishwa nyuma na anabadili njia.

Vita haipiganwi unavyotaka wewe?.. wenye medani wanajua zaidi.

Supply ya vifaa kutokea urussi kuvuka mto ilikuwa ngumu hapo Kherson, walikuwa wanatumia Patoni sababu daraja limeharibika. Ndo maana wamerudi upande wa pili wa mto. Waukraine pia hawawez vuka huo mto.

Russia wametake better Position hapo, pia hatari ya lile bwawa kulikuwa na kusababisha mafuriko kwenye hako kamji.
Watu wana intelligentsia zao na wamenusa hicho kitu, wewe unashupaza shingo kuwa wanganganie hiyo sehemu. Ili wamdurahishe nani.. Safety muhimu sana pia.

Yaani hapo ndo ukraine imeshinda vita?
Vita ambayo ina miaka 2 mbele mpaka uchaguzi wa us bado watakuwa vitani. Russia anajua hilo ndo maana amerelax.

NATO wanaogopa nini kumpa Zele Silaha za kupiga Moscow akamuue Putin??
Wanajua what’s next Moscow ikiwa under threat.
Russia wamesema wanaachia mji wote wewe uko wapi, zelensky hanampango wa kumuua Putin yeye anataka kurudisha ardhi yao, hiyo ya kutaka kumuua Putin ni ya kwako
 
Russia wamesema wanaachia mji wote wewe uko wapi, zelensky hanampango wa kumuua Putin yeye anataka kurudisha ardhi yao, hiyo ya kutaka kumuua Putin ni ya kwako
Unajua wamewithdraw kilometa ngapi?.. Ndo maana nakwambia fuatilia kwa undani weka unazi pembeni kwanza
 
Russia ameweka mgogoro Ukraine ili watu waje mezani kuheshimu Minsk agreement na hana sababu ya kufanya "Full scale war".

Mnaotaka kupima uwezo wake ni pale tu Moscow itakapokuwa under heavy threat au under attack. I repeat hili lisiombewe kutokea!!
 
Mvamizi wa Nchi za watu humjui?

Ukraine anataka kuvunja Minsk agreement, ulitaka achekewe!!

Na inshort huu mgogoro Russia ameuweka mpk Minsk agreement itakapoheshiniwa na Ukraine
Umebugi mwamba. Mkataba wa Minsk II ulikuwa unataka Ukraine na wafuasi wa PUTIN pale Donbass waache kuvamiana. Putin alikataa kuutambua huu mkataba na mapigano yakaendelea. Ndio maana Ukraine Ikakataa ku-renew mkataba na mkataba ukaisha tarehe 31-March 2019.
 
Ukraine wanaendelea kukomboa miji iliyopigiwa kura za maoni na Warusi.

Hivi yule kamanda wa Urusi tuliyeaminishwa ndiye muuaji namba moja kule Syria, mbona sijaona chochote cha ajabu kwake.

=========

Ukrainian troops say they have taken back the key town of Snihurivka, 50km (30 miles) to the north of Kherson.

Kyiv has also claimed big pushes on two fronts near Kherson, including advances of 7km in some places.

Russia says it has started to exit the city - its top gain in the invasion - but the process could take weeks.

Wednesday's announcement was viewed as a major setback for Moscow's war effort, though Ukrainian officials were sceptical - warning that the manoeuvre could be a trap.

There was no immediate evidence of any mass-scale Russian withdrawal from Kherson.

Ukraine's commander-in-chief Valeriy Zaluzhny said on Thursday that he could not confirm or deny the pull-out - but said his own forces had made important advances.

Gen Zaluzhny also said his soldiers had driven forward on two fronts on the western bank of the Dnipro river - an area of land which encompasses Kherson - taking control of 12 settlements.

kamanda wa kulipua bembea za watoto
 
Vita ni strategies,
Jikumbushe vita ya Iraq, kuna maeneo US alikuwa anarudishwa nyuma na anabadili njia.

Vita haipiganwi unavyotaka wewe?.. wenye medani wanajua zaidi.

Supply ya vifaa kutokea urussi kuvuka mto ilikuwa ngumu hapo Kherson, walikuwa wanatumia Patoni sababu daraja limeharibika. Ndo maana wamerudi upande wa pili wa mto. Waukraine pia hawawez vuka huo mto.

Russia wametake better Position hapo, pia hatari ya lile bwawa kulikuwa na kusababisha mafuriko kwenye hako kamji.
Watu wana intelligentsia zao na wamenusa hicho kitu, wewe unashupaza shingo kuwa wanganganie hiyo sehemu. Ili wamdurahishe nani.. Safety muhimu sana pia.

Yaani hapo ndo ukraine imeshinda vita?
Vita ambayo ina miaka 2 mbele mpaka uchaguzi wa us bado watakuwa vitani. Russia anajua hilo ndo maana amerelax.

NATO wanaogopa nini kumpa Zele Silaha za kupiga Moscow akamuue Putin??
Wanajua what’s next Moscow ikiwa under threat.
Nenda katibiwe akili , kutoka kiev hadi kherson bado anatafuta njia ya kubadili ?
 
Back
Top Bottom