Siku zote hata Milioni huanza na shilingi moja.Kama wewe ni mwamba kweli iweje uchukue mikoa 4 na ndani ya mwezi mmoja tu tayari umeshasurrender hiyo 'temeke'? Tukienda na hiyo assumption maana yake by January utakuwa umeachia Mkoa mmoja mzima.Kulikuwa na maana gani sasa ya kutwaa hayo maeneo kama huwezi kuyalinda?Umepoteza Mikoa 4 . Kwenye mkoa mmoja umepata wilaya ya Temeke ndo umeshinda vita.
Siku zote hata Milioni huanza na shilingi moja.Kama wewe ni mwamba kweli iweje uchukue mikoa 4 na ndani ya mwezi mmoja tu tayari umeshasurrender hiyo 'temeke'? Tukienda na hiyo assumption maana yake by January utakuwa umeachia Mkoa mmoja mzima.Kulikuwa na maana gani sasa ya kutwaa hayo maeneo kama huwezi kuyalinda?
Sawa Generali,naona mabegani na kifuani umejaza medals za kutosha ulizokuwa awarded baada ya kuongoza vita kadhaa kwa ufanisi wa hali ya juu kabisa .Hauko jeshini na haujui technicalities za vita.
Ungepinga hoja za Generali kuwa kwa nini wali Ondoa watu na jeshi pale?
-Hatari ya bwawa kulipuliwa na kuleta mafuriko.
-Position yao ilikuwa ngumu kusupply huduma sababu ya mto Kwani walitumia pantoni.(Siyo Salama)
-Daraja ktk mto liliharibika.
-Wamerudi upande wa pili wa mto kuweka strong position, sababu ya kijiografia na usalama.
Pinga kuwa hoja zao si sawa siyo kukazania wamekimbia.
Walipowithdraw kutoka Kiev mlishangilia, then nini kilikuja?, MLITEGEMEA HILO?
kwani vita ineisha au ni Poaition Swaps.Sawa Generali,naona mabegani na kifuani umejaza medals za kutosha ulizokuwa awarded baada ya kuongoza vita kadhaa kwa ufanisi wa hali ya juu kabisa .
Pamoja na kujua kwako kote hizo technicalities za vita lakini bado umeshindwa kumsaidia Putin kuweza kumaliza hii vita kwa ushindi mkubwa.
Mpaka sasa nani anaita Mma.Wazo kuu..
vita ichukue muda mrefu hadi Russia aite maji mmaaah!
mdogo mdogo
Obama alivamia nchi gani na kuuwa raia wasio na hatia? Nikumbushe kamanda!!Mikono ya Obama na Bush nayo inanuka damu ipi ?
Sasa unashupaza shingo Putin kuvamia nchi huru ?? Nahisi ata Idi Amin ulimuunga mkono alipovamia KageraVita ni strategies,
Jikumbushe vita ya Iraq, kuna maeneo US alikuwa anarudishwa nyuma na anabadili njia.
Vita haipiganwi unavyotaka wewe?.. wenye medani wanajua zaidi.
Supply ya vifaa kutokea urussi kuvuka mto ilikuwa ngumu hapo Kherson, walikuwa wanatumia Patoni sababu daraja limeharibika. Ndo maana wamerudi upande wa pili wa mto. Waukraine pia hawawez vuka huo mto.
Russia wametake better Position hapo, pia hatari ya lile bwawa kulikuwa na kusababisha mafuriko kwenye hako kamji.
Watu wana intelligentsia zao na wamenusa hicho kitu, wewe unashupaza shingo kuwa wanganganie hiyo sehemu. Ili wamdurahishe nani.. Safety muhimu sana pia.
Yaani hapo ndo ukraine imeshinda vita?
Vita ambayo ina miaka 2 mbele mpaka uchaguzi wa us bado watakuwa vitani. Russia anajua hilo ndo maana amerelax.
NATO wanaogopa nini kumpa Zele Silaha za kupiga Moscow akamuue Putin??
Wanajua what’s next Moscow ikiwa under threat.
Sijakuelewa!! Unataka Ukraine ikubali kutawaliwa na dikteta PUTIN?Yaani umepoteza 400 . Umerudisha 30 ndo umeshinda vita. Nyie
Tumeona mkizingua , Moscow anaweza kupiga Kiev akijisikia tena kuharibu miundo mbinu anayoitaka yeye. Unajisifu??
Ukraine yote inashupaza shingo iko vitani.
Kaa ukijua Moscow maisha yanaendelea na Kremlin haishupazi shingo.
The Time akishupaza shingo mtaanza lawama
Mvamizi wa Nchi za watu humjui?Sasa unashupaza shingo Putin kuvamia nchi huru ?? Nahisi ata Idi Amin ulimuunga mkono alipovamia Kagera
Sijakuelewa!! Unataka Ukraine ikubaliwe kutawaliwa na dikteta PUTIN?
Iraq , Vietnam, Libya, Afghanistan amog othersObama alivamia nchi gani na kuuwa raia wasio na hatia? Nikumbushe kamanda!!
Russia wamesema wanaachia mji wote wewe uko wapi, zelensky hanampango wa kumuua Putin yeye anataka kurudisha ardhi yao, hiyo ya kutaka kumuua Putin ni ya kwakoVita ni strategies,
Jikumbushe vita ya Iraq, kuna maeneo US alikuwa anarudishwa nyuma na anabadili njia.
Vita haipiganwi unavyotaka wewe?.. wenye medani wanajua zaidi.
Supply ya vifaa kutokea urussi kuvuka mto ilikuwa ngumu hapo Kherson, walikuwa wanatumia Patoni sababu daraja limeharibika. Ndo maana wamerudi upande wa pili wa mto. Waukraine pia hawawez vuka huo mto.
Russia wametake better Position hapo, pia hatari ya lile bwawa kulikuwa na kusababisha mafuriko kwenye hako kamji.
Watu wana intelligentsia zao na wamenusa hicho kitu, wewe unashupaza shingo kuwa wanganganie hiyo sehemu. Ili wamdurahishe nani.. Safety muhimu sana pia.
Yaani hapo ndo ukraine imeshinda vita?
Vita ambayo ina miaka 2 mbele mpaka uchaguzi wa us bado watakuwa vitani. Russia anajua hilo ndo maana amerelax.
NATO wanaogopa nini kumpa Zele Silaha za kupiga Moscow akamuue Putin??
Wanajua what’s next Moscow ikiwa under threat.
Unajua wamewithdraw kilometa ngapi?.. Ndo maana nakwambia fuatilia kwa undani weka unazi pembeni kwanzaRussia wamesema wanaachia mji wote wewe uko wapi, zelensky hanampango wa kumuua Putin yeye anataka kurudisha ardhi yao, hiyo ya kutaka kumuua Putin ni ya kwako
Mim nawasikiliza Russia na sio weweUnajua wamewithdraw kilometa ngapi?.. Ndo maana nakwambia fuatilia kwa undani weka unazi pembeni kwanza
Umebugi mwamba. Mkataba wa Minsk II ulikuwa unataka Ukraine na wafuasi wa PUTIN pale Donbass waache kuvamiana. Putin alikataa kuutambua huu mkataba na mapigano yakaendelea. Ndio maana Ukraine Ikakataa ku-renew mkataba na mkataba ukaisha tarehe 31-March 2019.Mvamizi wa Nchi za watu humjui?
Ukraine anataka kuvunja Minsk agreement, ulitaka achekewe!!
Na inshort huu mgogoro Russia ameuweka mpk Minsk agreement itakapoheshiniwa na Ukraine
kamanda wa kulipua bembea za watotoUkraine wanaendelea kukomboa miji iliyopigiwa kura za maoni na Warusi.
Hivi yule kamanda wa Urusi tuliyeaminishwa ndiye muuaji namba moja kule Syria, mbona sijaona chochote cha ajabu kwake.
=========
Ukrainian troops say they have taken back the key town of Snihurivka, 50km (30 miles) to the north of Kherson.
Kyiv has also claimed big pushes on two fronts near Kherson, including advances of 7km in some places.
Russia says it has started to exit the city - its top gain in the invasion - but the process could take weeks.
Wednesday's announcement was viewed as a major setback for Moscow's war effort, though Ukrainian officials were sceptical - warning that the manoeuvre could be a trap.
There was no immediate evidence of any mass-scale Russian withdrawal from Kherson.
Ukraine's commander-in-chief Valeriy Zaluzhny said on Thursday that he could not confirm or deny the pull-out - but said his own forces had made important advances.
Gen Zaluzhny also said his soldiers had driven forward on two fronts on the western bank of the Dnipro river - an area of land which encompasses Kherson - taking control of 12 settlements.
Nenda katibiwe akili , kutoka kiev hadi kherson bado anatafuta njia ya kubadili ?Vita ni strategies,
Jikumbushe vita ya Iraq, kuna maeneo US alikuwa anarudishwa nyuma na anabadili njia.
Vita haipiganwi unavyotaka wewe?.. wenye medani wanajua zaidi.
Supply ya vifaa kutokea urussi kuvuka mto ilikuwa ngumu hapo Kherson, walikuwa wanatumia Patoni sababu daraja limeharibika. Ndo maana wamerudi upande wa pili wa mto. Waukraine pia hawawez vuka huo mto.
Russia wametake better Position hapo, pia hatari ya lile bwawa kulikuwa na kusababisha mafuriko kwenye hako kamji.
Watu wana intelligentsia zao na wamenusa hicho kitu, wewe unashupaza shingo kuwa wanganganie hiyo sehemu. Ili wamdurahishe nani.. Safety muhimu sana pia.
Yaani hapo ndo ukraine imeshinda vita?
Vita ambayo ina miaka 2 mbele mpaka uchaguzi wa us bado watakuwa vitani. Russia anajua hilo ndo maana amerelax.
NATO wanaogopa nini kumpa Zele Silaha za kupiga Moscow akamuue Putin??
Wanajua what’s next Moscow ikiwa under threat.