EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Nimekuwekea mashirika mangapi ya habari yaliyoripoti hii habari, kama hutaki kuamini freshKwenye hii vita wote wanafanya maonyesho ili kuboost morale kwa wapiganaji wao.
Siku warusi wakiziotea hizo HIMARS na kuziharibu hata moja tu watatoa mapicha picha na video kibao,kwahiyo hata usijali Mkuu ngoja tungoje siku wakiziotea Ila hii ya Jana wametupiga (fake news)