Ukraine yaharibu Makombora ya S-300 ya Urusi

Ukraine yaharibu Makombora ya S-300 ya Urusi

wiki hii kitu kizito kutumika
Uzuri wanakufa wazungu sio mbaya kama tulivyozoea kule Afghanistan na Africa. Wacha wafe tuuu. Wapige nyuklia na wenyewe wapigwe iwe patashika nguo kuchanika. Minyuklia ya G7 yote imeelekezwa Russia apo Ndio kinachomuwazisha yeye mwenyewe anaogopa kufa
 
YouTube ya Kibiti pwani
Najua huna bando kesho nikumbushe nikupe password za wiFi ya pale JNCC karibu na IFM🤓🤓
 

Attachments

  • Screenshot_20220726-185837_Chrome.jpg
    Screenshot_20220726-185837_Chrome.jpg
    245.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220724-075824_Chrome.jpg
    Screenshot_20220724-075824_Chrome.jpg
    211.5 KB · Views: 4
Najua huna bando kesho nikumbushe nikupe password za wiFi ya pale JNCC karibu na IFM[emoji851][emoji851]
Nenda pale feri kwy soko la samaki ukawadanganye wahuni kwy kahawa wasiokuwa na internet.
Tafuta hela usikae kusifia sifia watu
 
Nenda pale feri kwy soko la samaki ukawadanganye wahuni kwy kahawa wasiokuwa na internet.
Tafuta hela usikae kusifia sifia watu
Acha makasiriko hela ninazo japo bado nazitafuta ndio maana nimeacha kila kitu Dar nazisaka hapa Dodoma tena baada ya kazi now nagonga mvinyo bar flan amazing ina mziki wa kistaarabu
 
Bado unazungumzia Mariupol hadi unajisahaulisha miji mingapi ukijuisha Odesa na Donbas 😂😂😂 kuna miji mi3 zaidi naisahau we kagugo acha kujiariri mzeebaba
Siwelewi kwa nini unataja Odesa? Inashikwa na Ukraine hakuna anayedai imetekwa. Donbas inajulikana nusu ya Donetsk (bado) mkononi mwa Ukraine, mengine imetekwa na Urusi (kwa sasa). Unalenga nini?
HAdithi za Abunuwasi zinasimuliwa zaidi na watu wa Putin: kutofukuzwa Kyiv, kushinda Charkiv (hadi kurudi Urusi penyewe...) na ule mlipuko kwenye manowari Moskva ambao hauna uhusiano wowote na roketi kutoka Ukraine....
 
Acha makasiriko hela ninazo japo bado nazitafuta ndio maana nimeacha kila kitu Dar nazisaka hapa Dodoma tena baada ya kazi now nagonga mvinyo bar flan amazing ina mziki wa kistaarabu
Unakumbuka Huawei ilipoishia kibihashara na ulikuwa unashupaza shingo apa mtandaoni. Unakumbuka G5 yako ulivyokuwa unaitetea leo kiko wapi?. Dunia inaishi maisha ya kutegemea G7 na sio awo wasoshalisti wako.
Chanjo zote za pepopunda, ndui na madawa yote ni kwa hisani ya G7 na marekani kilanja unalijua ilo na unajua kwy izo chanjo waliweka nini wakitaka kuwaua wanafanyaje
Tafuta pesa hacha kukaaa kwy dunia ya kisoshalisti ya kipuuuzi
 
Siwelewi kwa nini unataja Odesa? Inashikwa na Ukraine hakuna anayedai imetekwa. Donbas inajulikana nusu ya Donetsk (bado) mkononi mwa Ukraine, mengine imetekwa na Urusi (kwa sasa). Unalenga nini?
HAdithi za Abunuwasi zinasimuliwa zaidi na watu wa Putin: kutofukuzwa Kyiv, kushinda Charkiv (hadi kurudi Urusi penyewe...) na ule mlipuko kwenye manowari Moskva ambao hauna uhusiano wowote na roketi kutoka Ukraine....
Odesa ipo hapo kwenye Dot ya Blue ishaliwa nusu
 

Attachments

  • Screenshot_20220726-192522_Google.jpg
    Screenshot_20220726-192522_Google.jpg
    152.1 KB · Views: 4
Unakumbuka Huawei ilipoishia kibihashara na ulikuwa unashupaza shingo apa mtandaoni. Unakumbuka G5 yako ulivyokuwa unaitetea leo kiko wapi?. Dunia inaishi maisha ya kutegemea G7 na sio awo wasoshalisti wako.
Chanjo zote za pepopunda, ndui na madawa yote ni kwa hisani ya G7 na marekani kilanja unalijua ilo na unajua kwy izo chanjo waliweka nini wakitaka kuwaua wanafanyaje
Tafuta pesa hacha kukaaa kwy dunia ya kisoshalisti ya kipuuuzi
Kwani Huawei imekufa🤭🤭🤭
 
Unakumbuka Huawei ilipoishia kibihashara na ulikuwa unashupaza shingo apa mtandaoni. Unakumbuka G5 yako ulivyokuwa unaitetea leo kiko wapi?. Dunia inaishi maisha ya kutegemea G7 na sio awo wasoshalisti wako.
Chanjo zote za pepopunda, ndui na madawa yote ni kwa hisani ya G7 na marekani kilanja unalijua ilo na unajua kwy izo chanjo waliweka nini wakitaka kuwaua wanafanyaje
Tafuta pesa hacha kukaaa kwy dunia ya kisoshalisti ya kipuuuzi
Ndio maana tutataka hawa wanyonyaji waondolewe
 
Russia atamtoa na Hanna la kufanyz
Mkuu, mimi si mtume wala nabii lakini mambo yanavyo kwenda huko Ukraine Zelensky havuki December akiwa madarakani na akig'ang'ania marafiki zake ambao amewatoa mkuku madarakani hao ndio watamfanyia watamshughurikia fasta possibly wakishirikiana na Urusi - silaha ambazo mataifa ya magharibi wanamrudilia Zelensky hazitamsaidia chochote zaidi ya kuongeza mateso na vifo vya Waukraine na kuharibiwa kwa Taifa lao, Zelensky hasiwe mbishi, apunguze ujeuri na kiburi, akubali kukaa meza moja na Putin ili wamalize tufauti zao na kusitisha vita hasiwasikilize washauri wake NATO hao wanampoteza - kama nilivyo sema tangu mwanzo uwezekano wa jeshi lake kushinda vita ni mdogo sana.
 
Ndo maana wanashambulia Kwanza logistics za jeshi ili iwe ngumu kusupply Kwa troops then ndo counteroffensive ianze. Haya mambo sio kama kwenye video game mkuu.
Wewe jiulize kwanini huyo Mrusi hajaenda Kwa Ile Kasi alokua anaenda nayo ya kuchukua miji tangu HIMARS zianze kufanya kazi ya kulipua maghala ya silaha.
UGLEGORSK POWER PLANT ishakwenda na maji,kipindi nyie mnasubiri counteroffensive




20220726_200221.jpeg
20220726_200305.jpeg
 
Odesa ipo hapo kwenye Dot ya Blue ishaliwa nusu
Eee Bwana !!!! Unajipamba kwa jina tukufu la Einstein, unajifanya kama unataka kutufundisha juu ya Urusi na Ukraine - NA UNASHINDWA KUONYESHA ODESA KWENYE RAMANI ???? Odesa si sehemu ya buluu, iko kwenye alama nyekundu.
Hata hujui ni mji wa bandari na wewe unaichora barani???
1658856541512.png
 
Back
Top Bottom