EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Nimekuwekea mashirika mangapi ya habari yaliyoripoti hii habari, kama hutaki kuamini freshKwenye hii vita wote wanafanya maonyesho ili kuboost morale kwa wapiganaji wao.
Siku warusi wakiziotea hizo HIMARS na kuziharibu hata moja tu watatoa mapicha picha na video kibao,kwahiyo hata usijali Mkuu ngoja tungoje siku wakiziotea Ila hii ya Jana wametupiga (fake news)
Juzijuzi hapa Ukraine wameharibu "Podlet K1 Radar' hii ni radar ya kisasa kabisa ya Urusi ambayo inatumiwa na S-400 missile systems. Kwahiyo Kama radar imeharibiwa inamaanisha hata hizo launchers za S-400 zingekuepo eneo hilo nazo zingeharibiwa.Dw pia huwaamini?
Habari gani tena Mkuu!!!,Kama ni ya shambulizi lililofanyika Odessa ni kweli wamerusha Makombora huko ya kutosha lakini kwenye kuziharibu hizo HIMARS ndo hakuna evidence kama unayo tuwekeeNimekuwekea mashirika mangapi ya habari yaliyoripoti hii habari, kama hutaki kuamini fresh
Tafuta pesa, acha kupoteza muda na nchi zinazokuona nyaniNimekuwekea mashirika mangapi ya habari yaliyoripoti hii habari, kama hutaki kuamini fresh
Naona umeamua kushupaza shingo tu π€£π€£π€£π€£ unataka video auHabari gani tena Mkuu!!!,Kama ni ya shambulizi lililofanyika Odessa ni kweli wamerusha Makombora huko ya kutosha lakini kwenye kuziharibu hizo HIMARS ndo hakuna evidence kama unayo tuwekee
Hela ninazo tayari na hapa nipo kaziniTafuta pesa, acha kupoteza muda na nchi zinazokuona nyani
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Tuwekee video au picha ya hizo HIMARS NNE zilizoharibiwaNaona umeamua kushupaza shingo tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unataka video au
Just Google "Russia war updates"
Ingia YouTube π€π€Tuwekee video au picha ya hizo HIMARS NNE zilizoharibiwa
Yani unaleta chanzo kinachosema "Russia said..." alafu unataka tujadili? Artillery zenu hizi hapa moja imekamatwa nyingine imeharibika yenyewe kutokana na maintenance mbovu na matumizi ya kupitilizaHili tukio sio dogo ona mashirika makubwa yanavyoripoti
Leta chanzo kingine cha taarifa yako π π π
Kwaio ukiandika tu Z linakuwa na Russia πππYani unaleta chanzo kinachosema "Russia said..." alafu unataka tujadili? Artillery zenu hizi hapa moja imekamatwa nyingine imeharibika yenyewe kutokana na maintenance mbovu na matumizi ya kupitilizaView attachment 2303172View attachment 2303174
Piga Putin kabisa jambazi la duniaJuzijuzi hapa Ukraine wameharibu "Podlet K1 Radar' hii ni radar ya kisasa kabisa ya Urusi ambayo inatumiwa na S-400 missile systems. Kwahiyo Kama radar imeharibiwa inamaanisha hata hizo launchers za S-400 zingekuepo eneo hilo nazo zingeharibiwa.
Na kwa hali ilivyo sasa Urusi hawezi kupeleka S-400 ndani ya maeneo aliyoyateka maana anaogopa zikishambuliwa na Ukraine itakua ni aibu kwao pia itasababisha zikose soko
Russia's most advanced Podlet-K1 air defence radar destroyed by Ukraine inside Russian territory - Defence ViewView attachment 2303153View attachment 2303154
Bwana Einstein 112 mbona una angaika sana, hata unachokitetea hakielewekiNaona umeamua kushupaza shingo tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unataka video au
Just Google "Russia war updates"
Hiyo tayari, HIMARS zimewafurusha Warusi kama majambaziKherson inarudi kwa wenyewe huko mkuu
Warusi na ccm ni damdam kila kitu ni propaganda tuRussia hafanyagi maonyesho ye ni vitendo anayehangaika na movies za Hollywood ni huyo msanii wenu.
Ushawahi kuona Russia akipost picha ama video ya matukio yake, west medias ndio hupost
Russia siyo shwari anagugumia maumivu ya hatari kwa ndani super power la kibisaMashindano yote haya,Vita inapiganiwa ndanni ya Ukraine, Russia Ni showari
RUSSIA TAIFA TEULERussia siyo shwari anagugumia maumivu ya hatari kwa ndani super power la kibisa