Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,489
- 7,446
Ayatollah wamemuwashia satellites huko mashuka anayaona mazito anashinda na pitshot tuu.Na kibali cha kusambaza ushoga.........huyo atabaki kua Mungu wao tu na zama.zake zimepita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ayatollah wamemuwashia satellites huko mashuka anayaona mazito anashinda na pitshot tuu.Na kibali cha kusambaza ushoga.........huyo atabaki kua Mungu wao tu na zama.zake zimepita
Kila mtu ashinde mechi zake na mungu wenu wa ushogaAyatollah wamemuwashia satellites huko mashuka anayaona mazito anashinda na pitshot tuu.
Naona kina mama wameamua kula sahani moja na Ayatollah, wala hamna haja ya HIMMARS.Ayatollah wamemuwashia satellites huko mashuka anayaona mazito anashinda na pitshot tuu.
Dua la Kuku.Kipigo atakachopata Marekani siku siyo nyingi atajuta kuingilia vita isiyomuhusu.
Ivi kaishiwa kabisa wanajeshi?Tulishasema Russia hawezi kushinda hii vita na hao makuruta anaowapeleka Ukraine Putin yuko sahihi kuwaambia waage kabisa kwa sababu hawatakaa warudi tena Russia labda wajiongeze wajisalimishe wakiwa vitani.
Kipigo atakachopata Marekani siku siyo nyingi atajuta kuingilia vita isiyomuhusu.
Mshamegwa na mtaendelea kumegwa na mrusi na hakuna la ajabu mtafanyaTulishasema Russia hawezi kushinda hii vita na hao makuruta anaowapeleka Ukraine Putin yuko sahihi kuwaambia waage kabisa kwa sababu hawatakaa warudi tena Russia labda wajiongeze wajisalimishe wakiwa vitani.
Linaemda kufa jitu , subiri muoneKyiv. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amekiri rasmi nchi yake imepokea mifumo ya ulinzi wa anga NASAMS kutoka serikali ya Marekani.
View attachment 2367995
The National Advanced Surface to Air Missile System (NASAMS) is a medium-range, network-centric air defence system designed and developed jointly by Raytheon and Kongsberg Defence & Aerospace, primarily for the Royal Norwegian Air Force (RNoAF).
The anti-aircraft missile system (NASAMS) combines Norwegian launchers and control systems with the American AIM-120 Advanced Medium Range Air-to-Air Missile (AMRAAM). It is capable of hitting 72 targets simultaneously.
Kipigo cha niokoKipigo atakachopata Marekani siku siyo nyingi atajuta kuingilia vita isiyomuhusu.
Akili kubwa hiyo , yaani mathematical calculations zilizopigwa na wale miamba WA pentagon ni balaaHii vita ina sehemu mbili au tatu kwa marekani na zote kwake ni faida tupu!
1. Anaidhoofisha urusi huku yeye akiwa anaendelea na mishe zake
2. Anatangaza soko la siraha zake
3. Amepata iwanja wa kutesti siraha zake live bila chenga
Ayatollah wakija mama wavaa baibui watamshughulikia Aina haja ya kupoteza muda nayeNaona kina mama wameamua kula sahani moja na Ayatollah, wala hamna haja ya HIMMARS.
Ni kweli kaka, pro russia wakasema US anaogopa kupeleka NASAMS, kumbe wanaume wanaingiza mashine kimya kimya.Sasa nianza kuelewa kwanini week hii Russia kapoteza ndege nyingi pamoja na drones,kumbe mzigo ushaingia kazini halafu cha ajabu Marekani walisema hautaingia mpk mwishoni mwa mwaka
Yes wanaobosha wanayeseka hata kufa...MUNGU mwenyewe amewapa kibali marekani cha kuitalawa hii dunia sometimes tuwe wapole Tu kubishana na mpango wa MUNGU
Hao walafi wanajua tuu akishashughulikiwa kinara wao, basi watakuwa wamefitinika kama haufahamu hilo.Kila mtu ashinde mechi zake na mungu wenu wa ushogaView attachment 2368058
Hakuna kuogopana tena ni mwendo wa kupeana live za usoView attachment 2368061