Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mandonga mupo wengi sana"Two batteries will be transferred first. A battery can have up to eight launchers, as well as a command post, a radar that will see the targets."
Kumbuka mzigo uliingia toka septemba lakini kipigo kikubwa toka urusi kwa ukraine kwa mashambulizi ya anga kimetokea Oktoba mbele ya mzigo huo wa Marekani!!! Huo mzigo hauna kitu, ni biashara tu hiyo!!!Sasa naanza kuelewa kwanini week hii Russia kapoteza ndege nyingi pamoja na drones,kumbe mzigo ushaingia kazini halafu cha kushangaza Marekani walisema hautaingia mpk mwishoni mwa mwaka
hii NASAMS ndio inalinda washngton kumbe na imeshindwa kudhibiti drones za Iran?The NASAMS is made by USA [emoji631] and Norway [emoji1189], the system protects Washington D.C, and is the first Advanced NATO Air Defense System delivered to Ukraine [emoji1255]
LeteSasa naanza kuelewa kwanini week hii Russia kapoteza ndege nyingi pamoja na drones,kumbe mzigo ushaingia kazini halafu cha kushangaza Marekani walisema hautaingia mpk mwishoni mwa mwaka