Ukraine yapokea mifumo ya ulinzi wa anga NASAMS kutoka Marekani

Ukraine yapokea mifumo ya ulinzi wa anga NASAMS kutoka Marekani

Hujiulizi tu kwanini mchina kaufyata kuhusu Taiwan licha ya mikwara kibao?
Mchina hajaufyata ila hataki kufanya maamuzi kutokana na reaction za mahasimu wake, nae anapiga hesabu zake kama mrusi, bado ana lengo la kuichukua taiwan kwa amani kabisa kupigana ni njia ya mwisho kabisa, na anaweza kuibeba kama hongkong tu
 
Sasa naanza kuelewa kwanini week hii Russia kapoteza ndege nyingi pamoja na drones,kumbe mzigo ushaingia kazini halafu cha kushangaza Marekani walisema hautaingia mpk mwishoni mwa mwaka
Putin ana option mbili tu zilizobakia:

1. Kuita mazungumzo ili kumaliza mzozo huu
2. Kutumia nyukilia
 
Hii vita ina sehemu mbili au tatu kwa marekani na zote kwake ni faida tupu!
1. Anaidhoofisha urusi huku yeye akiwa anaendelea na mishe zake
2. Anatangaza soko la siraha zake
3. Amepata iwanja wa kutesti siraha zake live bila chenga
plus member wa NATO kuongezeka
 
Kyiv. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amekiri rasmi nchi yake imepokea mifumo ya ulinzi wa anga NASAMS kutoka serikali ya Marekani.

View attachment 2367995

The National Advanced Surface to Air Missile System (NASAMS) is a medium-range, network-centric air defence system designed and developed jointly by Raytheon and Kongsberg Defence & Aerospace, primarily for the Royal Norwegian Air Force (RNoAF).

The anti-aircraft missile system (NASAMS) combines Norwegian launchers and control systems with the American AIM-120 Advanced Medium Range Air-to-Air Missile (AMRAAM). It is capable of hitting 72 targets simultaneously.
yaani hii ngoma ikipigwa itachezwa maeneo 72 kwa wakati mmoja., mlete 'mdhungu'' Mrusi kaumia sana na atajuta sana mwaka huu
 
Yaani watu ndo kwanza wanaamka. Muda huo Russia pumzi inazidi kukata.
Pumzi inazidi kukata wakati leo watu wanaesabu kura za kumpa mrusi uhalali wa kuteketeza panya road wate watakaoonekana kuyasogelea hayo maeneo. Mzee amka usingizini kabla ya kuona chaka la kujisaidia haja kubwa. Utapata aibu shauriyako
 
Mchina hajaufyata ila hataki kufanya maamuzi kutokana na reaction za mahasimu wake, nae anapiga hesabu zake kama mrusi, bado ana lengo la kuichukua taiwan kwa amani kabisa kupigana ni njia ya mwisho kabisa, na anaweza kuibeba kama hongkong tu
Sidhan kama tathmini yako ni sahihi,

Moja- Marekani imeshasema itaisaidia kijeshi Taiwani ikivamiwa na China, ikiwemo kutuma majeshi. Kwa hiyo Tegemea Taiwan, US vs China.

Pili- Taiwani ina jeshi imara na silaha za kisasa na nia ya kutetea taifa Lao. Taiwan ina silaha bora kuliko Ukraine, kwa hiyo huwezi ifananisha na hongkong kivyovyote.

Tatu- Wamerakani wameshasema watai-arm Taiwan to the teeth kiasi kwamba hakuna atakayejaribu kuivamia Taiwan.

Nne- Japan na Australia zimeshasema zitaingia moja kwa moja kijeshi kuisaidia Taiwan, na defence spending ya Japan imeongezwa mara dufu. India nayo imeshaonyesha utayari huo kuitetea taiwani.

-Changamoto kubwa ya China ni kwamba jeshi lake halina uzoefu wa kupigana vita kubwa kwa miongo- hivyo halijawa tested kwenye modern war ukilinganisha na Russia au Marekani.

- Vita ya Tiwan inaweza kuwa hv

●NATO, Taiwan, Japan, India, South Korea, Australia, New Zealand, Philippines, Indonesia, Vietnam and etc. Vs China & Russia.


*Sasa katika mazingira haya ndo utategemea uvamizi kuwa mraisi kama hongkong? Hata China mwenyewe hawezi kuwaza hvi.
 
“We finished up with the 🇷🇺professional army, and now it’s time to defeat unprofessional” - Gen. Valerii Zaluzhny, a Commander-in-Chief of the Armed forces of Ukraine.
Jeshi la Urusi Lina wanajeshi zaidi ya laki Tisa.
So anataka kutuambia wote laki Tisa amewamalidha?
 
Sidhan kama tathmini yako ni sahihi,

Moja- Marekani imeshasema itaisaidia kijeshi Taiwani ikivamiwa na China, ikiwemo kutuma majeshi. Kwa hiyo Tegemea Taiwan, US vs China.

Pili- Taiwani ina jeshi imara na silaha za kisasa na nia ya kutetea taifa Lao. Taiwan ina silaha bora kuliko Ukraine, kwa hiyo huwezi ifananisha na hongkong kivyovyote.

Tatu- Wamerakani wameshasema watai-arm Taiwan to the teeth kiasi kwamba hakuna atakayejaribu kuivamia Taiwan.

Nne- Japan na Australia zimeshasema zitaingia moja kwa moja kijeshi kuisaidia Taiwan, na defence spending ya Japan imeongezwa mara dufu. India nayo imeshaonyesha utayari huo kuitetea taiwani.

-Changamoto kubwa ya China ni kwamba jeshi lake halina uzoefu wa kupigana vita kubwa kwa miongo- hivyo halijawa tested kwenye modern war ukilinganisha na Russia au Marekani.

- Vita ya Tiwan inaweza kuwa hv

●NATO, Taiwan, Japan, India, South Korea, Australia, New Zealand, Philippines, Indonesia, Vietnam and etc. Vs China & Russia.


*Sasa katika mazingira haya ndo utategemea uvamizi kuwa mraisi kama hongkong? Hata China mwenyewe hawezi kuwaza hvi.
NATO, Taiwan, Japan, India, South Korea, Australia, New Zealand, Philippines, Indonesia, Vietnam and etc. Vs China & Russia.

Kwani Marekani hawezi kuingia vitani peke yake bila hao uliowataja hapo juu?
 
Hii vita ina sehemu mbili au tatu kwa marekani na zote kwake ni faida tupu!
1. Anaidhoofisha urusi huku yeye akiwa anaendelea na mishe zake
2. Anatangaza soko la siraha zake
3. Amepata iwanja wa kutesti siraha zake live bila chenga
Hamna ndugu yangu.
Hakuna Cha kutest silaha wala Nini,
Hakuna Cha kumdhoofisha Urusi wala ninj.
Marekani ni muoga TU.
Sio maneno yangu ,ni maneano ya Rais wa Marekani bwana Biden.
Kuwa USA haiwezi kuingia kijeshi kupambana na Jeshi la Urusi ana kwa ana,kwani Urusi Ina jeshi kubwa sana hapa duniani,Urusi sio mtandao wa Ugaidi.
 
A bunch of farts...sorry to say USA are the giants of this world.
Ambao kwa kweli bila aibu kabisa walikimbizwa na kikundi Cha Afghanistan maarufu kama Taleban.

Walikimbizwa na wahuni wa Somalia,akina General Mohamed Farah Aideed.
Walikimbizwa Syria na Russia,na wakadhibitiwa Venezuela kumondoa Nikolas.
Sizungumzii kabisa Vietnam.
 
Naona kina mama wameamua kula sahani moja na Ayatollah, wala hamna haja ya HIMMARS.
Kwa hiyo wakina mama walishinda watawaalika Marekani wake wawatawale?
Au tatizo la Marekani ni Ayatollah?
Ama ikiangushwa Serikali ya Iran ndio bifu na Marekani liitakua limekwisha?
 
Ayatollah wamemuwashia satellites huko mashuka anayaona mazito anashinda na pitshot tuu.
Bwana Elon Musk kawasha satellite zake, wamama wa Iran wanakula internet connection bila chenga, baada ya ayatollah kuzima internet connection
 
Ukraine will receive up to 16 NASAMS launchers, a representative of the Air Force Command of the AFU, Yuriy Gnat.
 
Back
Top Bottom