- Thread starter
- #41
Kwa west vita ndo kama inaanza.Putin hasara anayaitia urusi inatakiwa wamchome wamle nyama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa west vita ndo kama inaanza.Putin hasara anayaitia urusi inatakiwa wamchome wamle nyama.
Sio kila siku ni jumapili.....yajayo yanafurahisha.....hii ndo great reset...tunaanza 1Hao walafi wanajua tuu akishashughulikiwa kinara wao, basi watakuwa wamefitinika kama haufahamu hilo.
😂😂😂wa mama wa kiiran wanampelekea Ayatolah moto hadi maji anaita mmaAyatollah wakija mama wavaa baibui watamshughulikia Aina haja ya kupoteza muda naye
Soon wanawake wataanza kumnyoa hayo mandevu matakataka bila majiAyatollah wamemuwashia satellites huko mashuka anayaona mazito anashinda na pitshot tuu.
Hata Crimea itarudishwa. Mwaka 2014 Ukraine ilikuwa na jeshi la mgambo tu la watu wasiozidi 250,000. Putin alipoingia Crimea, hakukuwa na mapigano yoyote, bali alijimegea tu. Kuanzia wakati Ule Ukraine ikaanza jitihada za kujengs jeshi la ulinzi na kuanza kufufua viwanda vya silaha. Ndiyo maana safari hii Urusi akakumbana na kizingiti. Mbaya zaidi baada ya uvamizi huu, Ukraine ikapata ufadhili wa kufundisha jeshi lake huko Marekani, Poland, na Uingereza, na mpaka sasa hivi jeshi la Ukraine linakaribia millioni moja, Baada ya jeshi hilo jipya lilifundishwa nje kuanza kuingia mapambanano na silaha mpya, ndiyo sasa Putin atajua tuJe Russia ataweza kulinda jimbo la donbas kama alivyofanya kwa crimea?
YAANI mimi nisichoelewa ni kwamba,hivi hayo majimbo yanayopigishwa kura za kujiunga na Urusi.Yanapiga kura chini ya majeshi ya Ukraine au majeshi ya Urusu?.“We finished up with the [emoji635]professional army, and now it’s time to defeat unprofessional” - Gen. Valerii Zaluzhny, a Commander-in-Chief of the Armed forces of Ukraine.
Majeshi ya Urusi.YAANI mimi nisichoelewa ni kwamba,hivi hayo majimbo yanayopigishwa kura za kujiunga na Urusi.Yanapiga kura chini ya majeshi ya Ukraine au majeshi ya Urusu?.
Usilolijua. Hiyo siyo silaha ni kinga tu ya kuzuia msipigwe.The National Advanced Surface to Air Missile System
Jina tu lenyewe linatisha. Hata HIMARS inaanza na High Mobility, hizi NASAMS tutasikia mengi mno huko.
Kinyonge saaaaana [emoji28][emoji2][emoji1787]Usilolijua. Hiyo siyo silaha ni kinga tu ya kuzuia msipigwe.
Nbinu za kivitaSasa naanza kuelewa kwanini week hii Russia kapoteza ndege nyingi pamoja na drones,kumbe mzigo ushaingia kazini halafu cha kushangaza Marekani walisema hautaingia mpk mwishoni mwa mwaka
Walishindwa kupiga hizo calculation Afghanistan ambapo jeshi lote la NATO lilisha weka base ndani ya Afghanistan ndio mje muweze kuwapigia mahesabu mrusi? Hayo ni madhara ya kutumia Matako kufikiliAkili kubwa hiyo , yaani mathematical calculations zilizopigwa na wale miamba WA pentagon ni balaa
Mijitu mizima mmekuwa mijinga kwa kukaririshwa ujinga.Inaonesha idara ya Ujasusi ya Urusi haiko makini, imeshindwaje zuia entry ya NASAMS kwa kuilipua?
Mbona USA wanatwambia kitachofanywa na Urusi in advance
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwa akili yako unafikiri USA aliondoka afghanstan baada ya kushindwa vita?Walishindwa kupiga hizo calculation Afghanistan ambapo jeshi lote la NATO lilisha weka base ndani ya Afghanistan ndio mje muweze kuwapigia mahesabu mrusi? Hayo ni madhara ya kutumia Matako kufikili
Hahaha! Kwahiyo yenyewe inatoa maji ya kuosha ndege,drones na makombora yanayopita hewani? Yenyewe haina missiles za kudungua, kwahiyo sio silaha hahahah!!!Usilolijua. Hiyo siyo silaha ni kinga tu ya kuzuia msipigwe.
Utasikia NASAMS kadhaa zimebomolewa, Warusi kwa propaganda hawajambo. Hizi silaha za US ni moto mwingine pale Ukraine.Ngoja niweke nafasi hapa nitarudi kwenye huu uzi.
Binafsi najipa week moja au 2 kuona mabadiliko kwenye Anga la ukraine.
[emoji23][emoji23]timu dictatorship bhana yaani kabisa eti unatuletea speech toka kwa akina Museven?sifa kubwa ya madikteta ni uongo hili lipo wazi kama kichwa chako hakiko one side bending.Kila mtu ashinde mechi zake na mungu wenu wa ushogaView attachment 2368058
Hakuna kuogopana tena ni mwendo wa kupeana live za usoView attachment 2368061
Hujiulizi tu kwanini mchina kaufyata kuhusu Taiwan licha ya mikwara kibao?Kipigo atakachopata Marekani siku siyo nyingi atajuta kuingilia vita isiyomuhusu.
Ngoja sie tushuhudie demoghasia[emoji23][emoji23]timu dictatorship bhana yaani kabisa eti unatuletea speech toka kwa akina Museven?sifa kubwa ya madikteta ni uongo hili lipo wazi kama kichwa chako hakiko one side bending.