kakomboa vitongoj? bia kusahau huu mwaka wa tatu vita vimeingia Urusi kutoma UkraineHili nililiongea toka juzi mkuu ila watu wakaniona mimi naropoka.
Alianza na evacuation ya raia wa hilo eneo,akaja na kuita kikosi cha anti terro task force.
yaan form four failure ameweza kuona kuwa Urusi amefeli kutoka kuwa km 11 kuiteka kiev hadi kupigna ndani ya ardhi yake , halaf wewe unajiona timamu kushabikia huu uozo , ukifika muda mtaanza sema Nato walishirikiKuna watu wengine kama 4by94 ni form four failure zero kabisa, π― hivyo kumwelewesha inabidi utumiye nguvu kidogo. Design za akina Nape ( four ya mwishoni mkiani kabisa) leo waziri, kweli kisa CCM.
Bro ni una matatizo ya uelewa ama niseme akili yako haiko sawa!?kakomboa vitongoj? bia kusahau huu mwaka wa tatu vita vimeingia Urusi kutoma Ukraine
Hiyo vita ilienda kwa kubadilisha malengo,Kyiev ni mji mkuu si rahisi kuuteka kama unavyodai.yaan form four failure ameweza kuona kuwa Urusi amefeli kutoka kuwa km 11 kuiteka kiev hadi kupigna ndani ya ardhi yake , halaf wewe unajiona timamu kushabikia huu uozo , ukifika muda mtaanza sema Nato walishiriki
NATO involvement Biden kasema ukweli, pili Ukraine hawana jeshi tena wote wamekufa, vilema au wamekimbia nchi, NATO members ndo wako front line na asikali wachache wa Ukraine wanaolazimishwa kuingia vitani, na hao asikali mamuluki hawawezi kutoka Russia, maana wameshazingilwa pande zote, supply chains imeshakatwa hawawezi kupata support toka nyuma, Sasa hivi wanaiba kila kitu kutoka kwenye majumba ya raia wa Russia ambao wamekimbia mapigano, wanaiba chakula, nguo, TV, kila kitu cha thamani wanapita nacho. Wote watafia kwenye ardhi ya Russia.yaan form four failure ameweza kuona kuwa Urusi amefeli kutoka kuwa km 11 kuiteka kiev hadi kupigna ndani ya ardhi yake , halaf wewe unajiona timamu kushabikia huu uozo , ukifika muda mtaanza sema Nato walishiriki
We sema tukutajie??we mtu una ttzo mahala sio bure
Hilo eneo ambalo mamuluki wa NATO / Ukraine wanadai wameteka Kuna vijiji vichache, sehemu kubwa ni mashamba ndo maana walienda mpaka km 11 bila upinzani wowote, uko kote ni mashamba na misitu, kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kusema Ukraine wako serious. Na hao mamuluki hawawezi kurudi wakiwa hai. Tayari Putin kasema hakuna haja na kuchukuwa mateka maana wengi wao siyo Ukraine ni mamuluki toka NATO countries.yaan form four failure ameweza kuona kuwa Urusi amefeli kutoka kuwa km 11 kuiteka kiev hadi kupigna ndani ya ardhi yake , halaf wewe unajiona timamu kushabikia huu uozo , ukifika muda mtaanza sema Nato walishiriki
Ukweli wakupokea aina zote za silaha kutoka NATO?Ni wewe unasema ila huo ndio ukweli.
Yote hayo unayoyalalamikia urusi amefanya sana ukraine kwahiyo wazoee tu na hali hiyo inayowakumba.NATO involvement Biden kasema ukweli, pili Ukraine hawana jeshi tena wote wamekufa, vilema au wamekimbia nchi, NATO members ndo wako front line na asikali wachache wa Ukraine wanaolazimishwa kuingia vitani, na hao asikali mamuluki hawawezi kutoka Russia, maana wameshazingilwa pande zote, supply chains imeshakatwa hawawezi kupata support toka nyuma, Sasa hivi wanaiba kila kitu kutoka kwenye majumba ya raia wa Russia ambao wamekimbia mapigano, wanaiba chakula, nguo, TV, kila kitu cha thamani wanapita nacho. Wote watafia kwenye ardhi ya Russia.
Yote hayo unayoyalalamikia urusi amefanya sana ukraine kwahiyo wazoee tu na hali hiyo inayowakumbaNATO involvement Biden kasema ukweli, pili Ukraine hawana jeshi tena wote wamekufa, vilema au wamekimbia nchi, NATO members ndo wako front line na asikali wachache wa Ukraine wanaolazimishwa kuingia vitani, na hao asikali mamuluki hawawezi kutoka Russia, maana wameshazingilwa pande zote, supply chains imeshakatwa hawawezi kupata support toka nyuma, Sasa hivi wanaiba kila kitu kutoka kwenye majumba ya raia wa Russia ambao wamekimbia mapigano, wanaiba chakula, nguo, TV, kila kitu cha thamani wanapita nacho. Wote watafia kwenye ardhi ya Russia.
Angekuwa ameshaiwasha moto si ni mwaka sasa toka aseme ni operation maalum. Au mmesahau? Mpaka kuja omba majeshi ya kukodi? Ni aibu sana kwake. Basi tu.Asije baadae akaanza kulia asaidiwe maana Putin akichafukwa hiyo nchi ya Ukraine inaenda kuwaka moto
Sawa kabisa Mkuu, huyo ni Mfaransa baada ya Urusi kujiingiza kwenye maeneo yake hapa Afrika.Marekani hakuhusika.
Mkuu mwache mzee apumzike.Magufuli alipokua anasema watu wazae idadi ya watu ilikua imepungua?. Urusi eneo lao nikubwa kulinganisha na idadi yao nahio ndio sababu kubwa.
Mkuu, atawapaje wenzie silaha wakati yeye mwenyewe ameshindwa kuzitumia?Kati ya wanajeshi 1000 walioingia upande wa Russia, 945 wameshauwawa tayari, na vifaa mbalimbali vya kijeshi kuharibiwa kabisa. Hii itamupq nguvu Russia kuwapa silaha Ukraine mahasimu wa USA, UK na Israel. Uko middle east patachimbika sana.
πππππHajashindwa kuzitumia mkuu,mbona hizo hapo zinaua?Mkuu, atawapaje wenzie silaha wakati yeye mwenyewe ameshindwa kuzitumia?
Wanajeshi wa yukrein wanakufa kama kukuAngekuwa ameshaiwasha moto si ni mwaka sasa toka aseme ni operation maalum. Au mmesahau? Mpaka kuja omba majeshi ya kukodi? Ni aibu sana kwake. Basi tu.
Unavyooandika ugoro wako hapa utafikiri upo kwenye battlefieldHili nililiongea toka juzi mkuu ila watu wakaniona mimi naropoka.
Alianza na evacuation ya raia wa hilo eneo,akaja na kuita kikosi cha anti terro task force.
Sidhani kama wamebaki hata mmoja mwaka wa pili huu. Russia inapigana na mizimu nadhani ππππWanajeshi wa yukrein wanakufa kama kuku
Wapo wazee , wagonjwa na vichaa zelensky kawapeleka vitani ila pia nimewaona mamluki kutoka nchi za ufaransa ,marekani na Poland. Ndio hivyo Putin anawawahisha mbinguni kwa baba.Sidhani kama wamebaki hata mmoja mwaka wa pili huu. Russia inapigana na mizimu nadhani ππππ