NATO involvement Biden kasema ukweli, pili Ukraine hawana jeshi tena wote wamekufa, vilema au wamekimbia nchi, NATO members ndo wako front line na asikali wachache wa Ukraine wanaolazimishwa kuingia vitani, na hao asikali mamuluki hawawezi kutoka Russia, maana wameshazingilwa pande zote, supply chains imeshakatwa hawawezi kupata support toka nyuma, Sasa hivi wanaiba kila kitu kutoka kwenye majumba ya raia wa Russia ambao wamekimbia mapigano, wanaiba chakula, nguo, TV, kila kitu cha thamani wanapita nacho. Wote watafia kwenye ardhi ya Russia.