Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

We endelea kukwepa mada, inawezekana vipi unapiga rakaa katika dini ambayo waarabu (walioileta)wanabaguana wao kwa wao. Mimi naongelea ajira na kuikomboa jamii. Kuna waislamu wanafanya kazi KCMC na wamesomeshwa katika shule na vyuo vyuo vinavyofadhiliwa na wakristu.Nimesoma na waarabu shule inaitwa msolwa morogoro. Tulikuwa tunapikiwa kitimoto mara moja moja.wale jamaa mwisho wa siku walikuwa waislwamu jina. Wapo ambao walipata ufadhili wa kusoma marekani na ulaya kwa kudhaminiwa na wakristu. Walikubali ukweli nipo nao napiga nao gambe mpaka kesho. Wao wenyewe kwa midomo yao wanajua dini ilivyo. Maana hao waarabu walishatembelea ndugu zao Pakistan, Yemen na Oman. Walibaguliwa kutokana na ukoo wao na waliporudi Tanzania wazazi wao waliambiwa kuwa ndio maana mababu zao walikuja Tanzania. Narudia kwa mara ya Tisa "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
Ndugu yangu amka unadanganywa na Janat Firdaus. Naomba uniletee Chuo au Hospitali ilioanzishwa na kuendeshwa na waislamu.Kuendesha taasisi sio jambo dogo ndugu yangu. Nasubiri majibu kutoka kwako. Hata hospitali au chuo ili watanzania wapate ajira. Leta hilo tu ndugu yangu. Naubiri Jibu ndugu yangu ?

Hujajibu kitu hapa

Huna haja kwa sababu hutaki kufahamu umegeuka sikio la kufa . kwa taarifa yako wagonjwa wengi wa figo kutoka Tanganyika wanakuja Zanzibar kusafisha damu , huku hakuna malipo kama huko Tanganyika, sijui hao wazungu wako wamewasaidia nini.???
Yaani huelewi kuwa Tz haininui mafuta kutoka kwenye soko la Kimataifa kazi nakupa tafuta namna gani Tz inavyonunua mafuta . Algeria aliisaidia tz mafuta wakati wa Nyerere wakati nchi ilikuwa imefilisika . Tz ikipata mafuta bure kama huelei , haikulipa hata senti moja

Tanzania praises Kuwait's support for its developmental projects | Embassy of Tanzania in Kuwait City, Kuwait

Saudi Arabia Signs Four Employment Agreements with ...

Niambie hizo nchi unazoziita za kikristo ni nchi gani iliyofanya hivyo zaidi ya kutoa masharti ya kukubali ushoga ndio tupewe misaada
 
Hujajibu kitu hapa

Huna haja kwa sababu hutaki kufahamu umegeuka sikio la kufa . kwa taarifa yako wagonjwa wengi wa figo kutoka Tanganyika wanakuja Zanzibar kusafisha damu , huku hakuna malipo kama huko Tanganyika, sijui hao wazungu wako wamewasaidia nini.???
Yaani huelewi kuwa Tz haininui mafuta kutoka kwenye soko la Kimataifa kazi nakupa tafuta namna gani Tz inavyonunua mafuta . Algeria aliisaidia tz mafuta wakati wa Nyerere wakati nchi ilikuwa imefilisika . Tz ikipata mafuta bure kama huelei , haikulipa hata senti moja

Tanzania praises Kuwait's support for its developmental projects | Embassy of Tanzania in Kuwait City, Kuwait

Saudi Arabia Signs Four Employment Agreements with ...

Niambie hizo nchi unazoziita za kikristo ni nchi gani iliyofanya hivyo zaidi ya kutoa masharti ya kukubali ushoga ndio tupewe misaada
Samahani Tajiri, naomba "unitajie nchi 2 tu zinazojiita za kikristo" ukitoa Vatican.

Natanguliza shukrani kwako.
 
Utamaduni wa kuvaa pedo, kanzu kufuga mandevu mengi kuvalia nguo km vibabu. Nk hivo ni vya waafrika..?
 
Ukristo uliingizwa na wazungu Afrika kwa mara ya kwanza katika karne ya 1 AD Misri na Tunisia na baadae kuenea kaskazini. Karne ya 4 AD Ethiopia iliufanya ukristo hata kuwa dini ya kitaifa chini ya mfalme Ezana kwenye himaya ya Aksumite.

Lakini umeenea zaidi Afrika Chini ya jangwa la Sahara ikiwemo Tanganyika kwenye karne ya 15 chini ya wamisionari waliokuwa wanakuja kututawala, kututumikisha na kutuibia mali zetu ikiwa ni njia nzuri ya kutubadilisha kisiasa, kifikra na kitamaduni( wakati wa ukuaji wa himaya ya kirumi), kuenezwa ktk njia zote zilizokuwa zinafanya biashara pamoja na za watumwa.

Machifu na viongozi wetu walikumbatia ukristo kwa sababu ya kujenga urafiki na wazungu au kwa nguvu lakini lengo la wazungu likiwa ni kutubadilisha tuwe na imani kama yao ili tutawaliwe kirahisi kifikra na kiuchumi, biblia wakiishikilia mkono mmoja lakini bunduki mkono mwingine ukifanya masihara nao aliyefanya masihara na hao watakatifu, basi jua kwako imeenda!

Ambacho hakikubadilika ktk ukristo wa leo ni kutawala na upigaji. Mchungaji yuko juu ya kila mtu na hata juu ya familia za watu. Wakiamua wachungaji baba mwenye familia jua kwako imeenda Utakalolisema kama ushauri kwa mkeo atakuchenjia ndani mpaka utakoma hata kama ukiuliza mbona hela zote za familia unapeleka kanisani. Zitapelekwa, mchungaji ataambiwa unakatalia hela na hakuna kuongea na wewe wiki nzima.

Mahubiri mengine ya kitapeli na yanajulikana kabisa huu ni utapeli lakini inahalalishwa na watu na serikali inakaa kimya kabisa watu wakiibiwa, na hata kuingilia maamuzi ya kiafya katika familia za watu kwa maombi yasiyokuwa na miguu wala mikono. Kwa utawala huu walionao leo wananunuliwa magari ya kifahari, wanalishwa mahotelini kifahari, watoto wao wanasomeshwa shule za maana na wengine wanajengewa nyumba za kifalme kutoka kwa waumini wao ambao wengi hata mlo mmoja kwa siku ni shida.

Ukristo kama ilivyokuwa nia ya wakoloni kuja kutupiga na kuzineemesha kiutajiri nchi za ulaya, leo wakati nchi hizo zimeshakuwa matajiri, wachungaji na viongozi wa kidini wamekuwa ni wapigaji wa wananchi tena bila huruma au aibu. Baadae tutakuja kuona wakitosheka kwa kula na kusaza wachungaji ndio watakuwa maraisi wa nchi zetu baada ya mafisadi kuchoka maana ndio wenye hela.

Kwa hiyo mtu asinidanganye kunisomea kifungu hiki cha neno ktk bibilia kinasema hili au lile. Nawajua.
Mnapambania kutukuza utamaduni wa watu weupe niwaamini ili mnitawale kiuchumi na kifikra.

Na mara nyingi hata serikali nyingi za Africa zunajua tunapigwa, ila wanazisaidia serikali nyingi "KUTUNZA AMANI, ILI MAFISADI NAO WAENDELEE KULA KWA AMANI" na sio kwa maslahi ya falimia yoyote. Kama unabisha nitafutie kanisa lolote lili kubwa kama utaona mzee wa kanisa ni muuza mchicha. Cheo chako kanisani kitategemea kitita cha hela kilichoko mfukoni mwako na ndiye utakayekuwa na sauti kanisani.

Wanaitwa mihimili ya kanisa. Wachina wanawapa watoto wao majina ya kichina, wahindi ya kihindi, wajapani ya kijapani lakini usipompa mtoto wako jina la kikoloni basi utaitwa mpagani, neno ambalo nia yake ni kudhalilisha imani za wazazi wetu ili upuuzi wao uendelee kushika mizizi wa kutuibia fikra na mali zetu. Walitutenganisha na wazazi kuwapeleka utumwani bila kujali familia zao zitaishije huko nyuma na leo wachungaji wengine ndio vinara wa kuvuruga familia za watu. Yaleyale. Mvimbishie kichwa mchungaji uone! Kudadeki. Atakuhibiri mpaka masiko yako yang'oke kichwani. Kisa umtii tu. Simtii yoyote!

Kwa leo Ukristo ni kitu kinachosikitisha kukiona!
Na uislam ni dini ya kutukuza utamadamu wa Mwarabu

Na Bhuddism ni kutukuza utamaduni wa Mhindi

Na Confusius ni kutukuza utamaduni wa Mchina

etc

Hapo sijui unataka tumfate nani hapo?

Futa wote tufate mizimu yetu...kwenye mizimu yetu hutaki kusikia wala kuongelea....mnafiki mkubwa wewe!
 
Roman lazima wajivutie minyama wao.. maana walewale tu..
Na wewe soma hiyo ukiweza

 
Na uislam ni dini ya kutukuza utamadamu wa Mwarabu

Na Bhuddism ni kutukuza utamaduni wa Mhindi

Na Confusius ni kutukuza utamaduni wa Mchina

etc

Hapo sijui unataka tumfate nani hapo?

Futa wote tufate mizimu yetu...kwenye mizimu yetu hutaki kusikia wala kuongelea....mnafiki mkubwa wewe!
Pole kwa emotions lkn point yangu ndiyo hiyo kwamba tukikuwa na kwetu tukaambiwa tuzitupe kwa ulaghai ili watuibie na tufuate yao. Hii sio rocket science na Good luck kama unataka kurudia ya kwetu ila wafuasi hutapata leo au kesho Mwamposa atakunyang'anya wote na utakasitika zaidi utamwita Mwamposa jina baya zaidi ya ulilonipa.
 
Soma wewe uniambie hicho Magufuli alichodanganya halafu angalia hii namna kanisa lako linavyowapiga vita waislamu


View: https://youtu.be/XmHMwKaLSqM

Mimi siangaliii kupiga vita uislamu mimi naongelea uhalisia. Najua unaumia kwa sababu ukweli unauma ndugu yangu. Hakuna taasisi ya mwarabu inayotoa ajira na kuendeleza watanzania. Hili ni tatizo kubwa sana kwa waislamu.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya thelathini na mbili : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Kama Hana elimu angeitwa Nabii? Wewe mbona hujaitwa? Halafu hujaniambia ametokea wapi ? Umekimbia? Halafu hujaleta ushahidi wa hizo kampuni zako kulipa milioni 20 wala Hao wanalipwa hizo pesa ?
Huja angalia kwenye google , Piccoli Schiavi Invisibili , nini kinafanyika Italy kwenye kanisa lenu
Unaleta chuki zako juu ya waarabu kwa kuwa ni waislamu. Na hizo chuki zako wazi kwenye vitabu vyenu



View: https://www.youtube.com/watch?v=PSKniA4QZ_E&pp=ygUkIEltYW5pIFBldHJvIE1iaW51IHphIG1ha2FmaXJpIDYgMTMg

Nimekuambia ukristu umetoka ulaya na kwenye dini si yetu. Wanaoaminika ni walioenda kusomea theology ulaya hao wengine hawana akili na ni waongo. Nimekuambia usione Askofu anatembelea V8 au 1HZ ukadhani amepewa kwa sababu anapendwa. Askofu anateuliwa kutokana na elimu aliyonayo. Sio kama nyi nyi unakuta mtu ni sheikh wa msikiti kwa sababu ana nguvu ya kuloga. Unasikilizaje Maudhui kutoka kwa mtu ambaye hana hata diploma ya theolojia ? Hivi unaweza kulinganisha viongozi wenu wa dini wanavyoishi na wa kwetu ? Kuna sheikh mmoja juzi amelalamika anaomba ma sheikh walipwe na serikali. Unadhani ni kwa nini ? Kama waumini mnaambiwa mswali swala tano muoe wake wannne muda wa kufanya kazi na kutafuta hela mnapata wapi ? Mwishowe ndio mnaishia kwenye vijiwe vya kahawa na kujadili simba na yanga. Amka ndugu yangu wewe ukiishi Uarabuni mwaka mmoja ukirudi unahama dini nakuambia. Niliomba uniletee mrejesho kuhusu ''Bacha Bazi''mpaka sasa hivi haujajibu. Unakwepa swali kwa swali mimi bado nasubiri jibu kutoka kwako Mkuu.

Kuhusu 'Piccoli Schiavi Invisibili' Naomba uje unielezee maana document yake ni ya kitaliano. Labda mwenzangu unajua kitaliano naomba uje unielezee.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya thelathini na tatu : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Hujajibu kitu hapa

Huna haja kwa sababu hutaki kufahamu umegeuka sikio la kufa . kwa taarifa yako wagonjwa wengi wa figo kutoka Tanganyika wanakuja Zanzibar kusafisha damu , huku hakuna malipo kama huko Tanganyika, sijui hao wazungu wako wamewasaidia nini.???
Yaani huelewi kuwa Tz haininui mafuta kutoka kwenye soko la Kimataifa kazi nakupa tafuta namna gani Tz inavyonunua mafuta . Algeria aliisaidia tz mafuta wakati wa Nyerere wakati nchi ilikuwa imefilisika . Tz ikipata mafuta bure kama huelei , haikulipa hata senti moja

Tanzania praises Kuwait's support for its developmental projects | Embassy of Tanzania in Kuwait City, Kuwait

Saudi Arabia Signs Four Employment Agreements with ...

Niambie hizo nchi unazoziita za kikristo ni nchi gani iliyofanya hivyo zaidi ya kutoa masharti ya kukubali ushoga ndio tupewe misaada
Kuhusu ushoga nimerudia mara nyingi na ninarudia tena na tena ushoga umeshamiri bara au visiwani ?Nimekuambia ukitaka kujua ushoga umeshamiri uarabuni fuatilia kuhusu Bacha Bazi umekaa kimya ? Unaleta mambo ya zamani sijui fulani alimsaidia nyerere. Wewe unawaza kubebwa tu hautaki kujipambania. Ndugu yangu ujamaa ushakufa toka miaka ya tisini. Ndio maana mwarabu hawezi kumwaga hela zake na kuja kujenga taasisi na kutoa ajira Afrika. Umeongelea kuhusu Kuwait na Saudia Arabia wameanzisha taasisi gani na wanaziendesha na zinatoa ajira zipi ?Saudia Arabia na Kuwait kuwape hela kidogo miguu juu. Mimi bado nipo na wewe nakuamsha katika usingizi wako. Nakupa mfano wa tasisi chache nyingine zinazolipa vizuri bongo kuna ICAP na AMREF zinafadhiliwa na kuendeshwa na wazungu. Inaelekea we haujapambana bado umelala ? Kimaisha katika mazingira ya kazi na ajira hakuna anayemfikia mzungu. Ndio maana hata wewe ukipewa nafasi ya kazi utamchagua Mzungu kuliko Mwarabu, Mchina, Muhindi au Mtanzania mwenzako.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya thelathini na nne : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Pole kwa emotions lkn point yangu ndiyo hiyo kwamba tukikuwa na kwetu tukaambiwa tuzitupe kwa ulaghai ili watuibie na tufuate yao. Hii sio rocket science na Good luck kama unataka kurudia ya kwetu ila wafuasi hutapata leo au kesho Mwamposa atakunyang'anya wote na utakasitika zaidi utamwita Mwamposa jina baya zaidi ya ulilonipa.
Kumbe mtu akikuchana ukweli basi ni "emotions"?

Oh,I see

Naona umetaja Ukristo tu,nilikuchana utaje dini zooote sio Ukristo wa Wazungu tu maana mmezoea usual suspects

Dini yeyote ya kigeni ni utamaduni wa kigeni,kataa vyote tukuone umefanya sawa!
 
Kumbe mtu akikuchana ukweli basi ni "emotions"?

Oh,I see

Naona umetaja Ukristo tu,nilikuchana utaje dini zooote sio Ukristo wa Wazungu tu maana mmezoea usual suspects

Dini yeyote ya kigeni ni utamaduni wa kigeni,kataa vyote tukuone umefanya sawa!
Wote tunaujua ukweli ndio naana nimeuongelea ukristo.. wako a bit more tolerant.
Kumbe mtu akikuchana ukweli basi ni "emotions"?

Oh,I see

Naona umetaja Ukristo tu,nilikuchana utaje dini zooote sio Ukristo wa Wazungu tu maana mmezoea usual suspects

Dini yeyote ya kigeni ni utamaduni wa kigeni,kataa vyote tukuone umefanya sawa!
Hapo hakuna cha kuchana, kupasua au kushona. Nilijaribu kukuambia pole kwa emotions kuniita mnafiki. Wengi wanaoita wengine majina au kutukana usually they have underlying issues. But i believe you are doing fine. So that's just in case it's the opposit.
 
Nimekuambia ukristu umetoka ulaya na kwenye dini si yetu. Wanaoaminika ni walioenda kusomea theology ulaya hao wengine hawana akili na ni waongo. Nimekuambia usione Askofu anatembelea V8 au 1HZ ukadhani amepewa kwa sababu anapendwa. Askofu anateuliwa kutokana na elimu aliyonayo. Sio kama nyi nyi unakuta mtu ni sheikh wa msikiti kwa sababu ana nguvu ya kuloga. Unasikilizaje Maudhui kutoka kwa mtu ambaye hana hata diploma ya theolojia ? Hivi unaweza kulinganisha viongozi wenu wa dini wanavyoishi na wa kwetu ? Kuna sheikh mmoja juzi amelalamika anaomba ma sheikh walipwe na serikali. Unadhani ni kwa nini ? Kama waumini mnaambiwa mswali swala tano muoe wake wannne muda wa kufanya kazi na kutafuta hela mnapata wapi ? Mwishowe ndio mnaishia kwenye vijiwe vya kahawa na kujadili simba na yanga. Amka ndugu yangu wewe ukiishi Uarabuni mwaka mmoja ukirudi unahama dini nakuambia. Niliomba uniletee mrejesho kuhusu ''Bacha Bazi''mpaka sasa hivi haujajibu. Unakwepa swali kwa swali mimi bado nasubiri jibu kutoka kwako Mkuu.

Kuhusu 'Piccoli Schiavi Invisibili' Naomba uje unielezee maana document yake ni ya kitaliano. Labda mwenzangu unajua kitaliano naomba uje unielezee.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya thelathini na tatu : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.

Hujajibu huyo Nabii wenu Tito ametokea wapi? Halafu kwa nini watu wengi kutoka Tanganyika wanakuja huku Zanzibar kwenye mashone Za kusafisha damu Za bure Za mwarabu wasiende huko kwenye Taasisi yako ya Kanisa lako ?
 
Hujajibu huyo Nabii wenu Tito ametokea wapi? Halafu kwa nini watu wengi kutoka Tanganyika wanakuja huku Zanzibar kwenye mashone Za kusafisha damu Za bure Za mwarabu wasiende huko kwenye Taasisi yako ya Kanisa lako ?
Kuna mtanzania gani anakuja huko visiwani. Kuna hospitali inatoa huduma nzuri visiwani kuliko bara ? Labda kama wanakuja kuloga na kusomewa visomo 😂 😂 😂 😂 😂. Nimekwambia unabii haupo katika ukristu kuna wachungaji, mapadre na maaskofu. Mkristu anaejua maana ya ukristu anasikiliza mafundisho kutoka kwa mtu mwenye elimu ya dini ya theology. Nyinyi mtu anakuwa sheikh kwa sababu ana nguvu ya kuloga au kufanya Shirki. Mtu anakuwa Sheikh hana hata diploma ya theology. Wakati sisi huku wachungaji, mapadre na maaskofu wanasomea dini zote kuanzia Uislamu mpaka U-Budha kabla ya kupewa cheo cha kufundisha waumini. Bado nipo na wewe ndugu yangu mimi huku nilipo sina shida ya bando nataka uamke katika usingizi wako. Unapenda kupewa vya bure ,unajua tabia za waarabu kuhusu ''Bacha Bazi ''. Ndio maana ushoga umeshamiri Unguja sio Bure. 😂😂😂😂😂. Unashabikia watu ambao wanalipa mishahara midogo bila bima ya afya huku wakimwaga hela kwenye Simba na Yanga. Hamna Taasisi aliyoanzisha na kuendesha Mwarabu Tanzania. Ujamaa ulishakufa toka miaka ya 90 amka ndugu yangu. Pambana simamia goli lako utoboe.

Nakwambia kama wakatoliki wangeishia kujenga makanisa tu na si kitu kingine. Mimi ningeukana Ukatoliki na Roho mtakatifu. Mpaka nilipo huku Bavaria nimepata faida na favour nyingi sana kwa ajilli ya Ukatoliki wangu. We mwenzangu upo hapo unasubiri iddi upewe nyama ya ngamia. Na Ramadhan ualikwe futari. Mara msikiti ukulipie Mahari. Hayo sio mafanikio watu wanakupa samaki badala ya kukufundisha kuvua samaki. Ndio maana hata wabeba unga na wafanyabiashara wa dawa za kulevwa wamejaa katika mazingira yenu. Hakuna ubinadamu wala kujali wengine. Yaani uislamu una matabaka Waarabu wa pakistani kuwabebesha waafrika unga, heroin kawaida. Unaowatetea hawajajenga hata Zahanati Tanzania wanaoi- iendesha wao wenyewe. Hata chuo hamna .

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya thelathini na tano : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Kuna mtanzania gani anakuja huko visiwani. Kuna hospitali inatoa huduma nzuri visiwani kuliko bara ? Labda kama wanakuja kuloga na kusomewa visomo 😂 😂 😂 😂 😂. Nimekwambia unabii haupo katika ukristu kuna wachungaji, mapadre na maaskofu. Mkristu anaejua maana ya ukristu anasikiliuza mafundisho kutoka kwa mtu mwenye elimu ya dini ya theology. Nyinyi mzu anakuwa sheikh kwa sababu ana nguvu ya kuloga au kufanya Shirki. Mtu anakuwa Sheikh hata diploma ya theology. Wakati sisi huku wachungaji, mapadre na maaskofu wanasomea dini zote kuanzia Uislamu mpaka U-Budha kabla ya kupewa cheo cha kufundisha waumini. Bado nipo na wewe ndugu yangu mimi huku nilipo sina shida ya bando nataka uamke katika usingizi wako. Unapenda kupewa vya bure ,unajua tabia za waarabu kuhusu ''Bacha Bazi ''. Ndio maana ushoga umeshamiri Unguja sio Bure. 😂😂😂😂😂. Unashabikia watu ambao wanalipa mishahara midogo bila bima ya afya huku wakimwaga hela kwenye Simba na Yanga. Hamna Taasisi aliyoanzisha na kuendesha Mwarabu Tanzania. Ujamaa ulishakufa toka miaka ya 90 amka ndugu yangu. Pambana simamia goli lako utoboe.

Nakwambia kama wakatoliki wangeishia kujenga makanisa tu na si kitu kingine. Mimi ningeukana Ukatoliki na Roho mtakatifu. Mpaka nilipo huku Bavaria nimepata faida na favour nyingi sana kwa ajilli ya Ukatoliki wangu. We mwenzangu upo hapo unasubiri iddi upewe nyama ya ngamia. Na Ramadhan ualikwe futari. Mara msikiti ukulipie Mahari. Hayo sio mafanikio watu wanakupa samaki badala ya kukufundisha kuvua samaki. Ndio maana hata wabeba unga na wafanyabaishara wa dawa za kulevwa wamejaa katika mazingira yenu. Hakuna ubinadamu wala kujali wengine. Yaani uislamu una matabaka Waarabu wa pakistani kuwabebesha waafrika unga, heroin kawaida. Unaowatetea hawajajenga hata Zahanati Tanzania wanaoi- iendesha wao wenyewe. Hata chuo hamna .

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya thelathini na tano : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.

Hujajibu bado swali huyu Nabii Tito ametokea wapi?? Halafu nakupa tena , Watanganyika wengi kwa nini wanakuja huku Zanzibar kusafisha damu kwenye mashine Za bure Za waarabu wanaziwacha hospitali Za kanisa huko Tanganyika? Halafu eti Mimi ni Roman Catholic , yaani mtu mweusi unajipakazia uzungu, Hata huyo Yesu hakuwa Roman Catholic Wacha kujipakazia kijana. Huyo Pope maisha ni mzungu , hatujasikiapo hata muhindi wachilia mbali mwafrika kuchaguliwa pope
 
Hujajibu bado swali huyu Nabii Tito ametokea wapi?? Halafu nakupa tena , Watanganyika wengi kwa nini wanakuja huku Zanzibar kusafisha damu kwenye mashine Za bure Za waarabu wanaziwacha hospitali Za kanisa huko Tanganyika? Halafu eti Mimi ni Roman Catholic , yaani mtu mweusi unajipakazia uzungu, Hata huyo Yesu hakuwa Roman Catholic Wacha kujipakazia kijana. Huyo Pope maisha ni mzungu , hatujasikiapo hata muhindi wachilia mbali mwafrika kuchaguliwa pope
Wewe na Uislamu wako unajipakazia Uarabu kuliko mimi mkatoliki ninavyojipakazia Uzungu maana Quran imeandikwa kwa kiarabu na unatakiwa kuhiji Uarabuni. Lakini mimi Biblia yangu imetafsiriwa katika lugha zaidi ya 700.Mimi ninaweza kusali kwa kiswahili. Kuna Biblia mpaka za ki- mbulu. Lakini mwenzangu lazima uswali kwa Kiarabu yupi ana afadhali. ? Mimi siweki dini mbele naweka maslahi na ukweli. Nitajie hospitali yenye huduma nzuri kuliko Bara. Malim Seif Shariff Hamad aliacha kuhudumiwa Zanzibar akaja Bara. Je Zanzibar wana hospitali bora kuliko Bara ? Bado nipo na wewe sikuachi mpaka uamke. Naona hauleti hoja ongea na aliyeanzisha Uzi aje maana naona hauna Hoja kabisa. Unavyozidi kunijibu ndio unavyozidi kunipa nafasi ya kukuambia uhalisia. Niambie Mtanzania gani atakimbilia Hospitali za Unguja ? Watanzania wanaokuja Unguja ni ndugu zenu wanaokuja kutafuta waganga tu na sio Huduma ya Kiafya.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya thelathini na sita : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Roman lazima wajivutie minyama wao.. maana walewale tu..
Na wewe soma hiyo ukiweza

The oldest known church in the world is the Dura-Europos church, located in modern-day Syria. This church dates back to around 233–256 AD. It was a house church, meaning it was originally a private home that was converted into a place of Christian worship. The building was part of a larger Roman military outpost along the Euphrates River and was excavated in the 20th century.

However, when discussing the oldest purpose-built church building still in existence, the Church of Saint Simeon Stylites (Qal'at Sim'an) near Aleppo, Syria, is often mentioned. This church was built in the 5th century (around 475 AD) and is one of the oldest surviving church complexes.

Other early significant churches include the Church of the Nativity in Bethlehem, which was originally commissioned by Constantine the Great in 327 AD, and the Church of Saint John the Baptist in Gerasa (modern Jerash, Jordan), which dates to around the 4th century.
 
Wewe na Uislamu wako unajipakazia Uarabu kuliko mimi mkatoliki ninavyojipakazia Uzungu maana Quran imeandikwa kwa kiarabu na unatakiwa kuhiji Uarabuni. Lakini mimi Biblia yangu imetafsiriwa katika lugha zaidi ya 700.Mimi ninaweza kusali kwa kiswahili. Kuna Biblia mpaka za ki- mbulu. Lakini mwenzangu lazima uswali kwa Kiarabu yupi ana afadhali. ? Mimi siweki dini mbele naweka maslahi na ukweli. Nitajie hospitali yenye huduma nzuri kuliko Bara. Malim Seif Shariff Hamad aliacha kuhudumiwa Zanzibar akaja Bara. Je Zanzibar wana hospitali bora kuliko Bara ? Bado nipo na wewe sikuachi mpaka uamke. Naona hauleti hoja ongea na aliyeanzisha Uzi aje maana naona hauna Hoja kabisa. Unavyozidi kunijibu ndio unavyozidi kunipa nafasi ya kukuambia uhalisia. Niambie Mtanzania gani atakimbilia Hospitali za Unguja ? Watanzania wanaokuja Unguja ni ndugu zenu wanaokuja kutafuta waganga tu na sio Huduma ya Kiafya.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya thelathini na sita : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.

Sasa jibu maswali

Hujajibu bado swali huyu Nabii Tito ametokea wapi?? Halafu nakupa tena , Watanganyika wengi kwa nini wanakuja huku Zanzibar kusafisha damu kwenye mashine Za bure Za waarabu wanaziwacha hospitali Za kanisa huko Tanganyika? Halafu eti Mimi ni Roman Catholic , yaani mtu mweusi unajipakazia uzungu, Hata huyo Yesu hakuwa Roman Catholic Wacha kujipakazia kijana. Huyo Pope maisha ni mzungu , hatujasikiapo hata muhindi wachilia mbali mwafrika kuchaguliwa pope
 
Roman lazima wajivutie minyama wao.. maana walewale tu..
Na wewe soma hiyo ukiweza


Lakini uliisoma hiyo uliyoileta?? au kama uliisoma uliifahamu ?? Unajua maana ya tradition ??

Kwa biblia imeandika uongo ?? Au biblia yako ni Brittanica ??

Acts 1:13
When they had entered the city, they went to the room upstairs where they were staying, Peter, and John, and James, and Andrew, Philip and Thomas, Bartholomew and Matthew, James son of Alphaeus, and Simon the Zealot, and Judas son of James.
1 Corinthians 16:19
19 The churches in the province of Asia send you greetings. Aquila and Priscilla greet you warmly in the Lord, and so does the church that meets at their house.
Colossians 4:15
15 Give my greetings to the brothers and sisters at Laodicea, and to Nympha and the church in her house.
From which we see that at in the Pauline tradition, that community used private houses for meetings and worship.

Here is possibly the earliest example known to archaeology, found in the Roman frontier town of Dura Europos on the west bank of the Euphrates:

Dura-Europos church: “apparently a normal domestic house converted for worship some time between 233 and 256, when the town was abandoned after conquest by the Persians
 
Wewe na Uislamu wako unajipakazia Uarabu kuliko mimi mkatoliki ninavyojipakazia Uzungu maana Quran imeandikwa kwa kiarabu na unatakiwa kuhiji Uarabuni. Lakini mimi Biblia yangu imetafsiriwa katika lugha zaidi ya 700.Mimi ninaweza kusali kwa kiswahili. Kuna Biblia mpaka za ki- mbulu. Lakini mwenzangu lazima uswali kwa Kiarabu yupi ana afadhali. ? Mimi siweki dini mbele naweka maslahi na ukweli. Nitajie hospitali yenye huduma nzuri kuliko Bara. Malim Seif Shariff Hamad aliacha kuhudumiwa Zanzibar akaja Bara. Je Zanzibar wana hospitali bora kuliko Bara ? Bado nipo na wewe sikuachi mpaka uamke. Naona hauleti hoja ongea na aliyeanzisha Uzi aje maana naona hauna Hoja kabisa. Unavyozidi kunijibu ndio unavyozidi kunipa nafasi ya kukuambia uhalisia. Niambie Mtanzania gani atakimbilia Hospitali za Unguja ? Watanzania wanaokuja Unguja ni ndugu zenu wanaokuja kutafuta waganga tu na sio Huduma ya Kiafya.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya thelathini na sita : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.


Kanisa lako halina isipokuwa kufanya biashara chafu kama hizi za ujangili



Kanisa katoliki ndilo lenyewe katika kupora mali sio Kongo tu hata huku TZ , hebu niambie kuhusu Kesi ya huyu Padri imeishia wapi ???


PADRI AKAMATWA KWA UJANGILI HUKU BUNDUKI 48, RISASI 764 ZIKIKAMATWA







Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda, akionyesha bunduki aina ya AK47 kati ya silaha zilizokamatwa katika msako maalum wa ujangili.

Na Daniel Mbega, Namanyere


PADRI wa Kanisa Katoliki Jimbo la Sumbawanga (jina linahifadhiwa) ni miongoni mwa watu 50 waliokamatwa kwa ujangili na Kikosi Kazi cha Taifa katika Pori la Akiba la Lwafi wilayani Nkasi katika Mkoa wa Rukwa.

Padri aliyekamatwa ni wa Parokia ya Kirando katika mwambao wa Ziwa Tanganyika, ambaye bunduki yake aina ya Rifle yenye darubini inadaiwa kutumika katika ujangili ndani pori hilo la Lwafi wilayani humo.

Taarifa za kipolisi zimeeleza kwamba, mbali ya kukamatwa kwa watu hao, pia jeshi hilo limekamata bunduki 48 za aina mbalimbali ikiwemo ya Padri huyo anayoimiliki kihalali, pamoja na risasi 764 na maganda ya risasi 101.

Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, Jacob Mwaruanda amesema kuwa baadhi ya waliokamatwa silaha zao wanazimiliki kihalali lakini zinatumika kinyume na utaratibu wa kumilikishwa kwao.

"Watu hawa bado wanahojiwa na upelelezi utakapokamilika watafikishwa mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake," alisema Kamanda Mwaruanda.

Kamanda Mwaruanda alisema kati ya bunduki 48 imo moja ya kivita aina ya AK47, bunduki 8 aina ya Rifle na risasi zake 83, Shortgun 19 na risasi zake 138, bastola 5 na risasi zake 133, magobore 15, magazine nne za bunduki aina ya Sub-Machine Gun, maganda matano ya bunduki aina ya Rifle, maganda 96 ya risasi za bunduki ya shortgun pamoja na vifaa vya kutengenezea bunduki za kienyeji na mitutu sita.

Watuhumiwa hao walikamatwa pia na nyara za serikali ambazo ni mikia sita ya tembo, nyama ya nyati kilo 20, miba ya nungunungu, ngozi moja ya paka-pori na pembe ya Nshya.



Kamanda Mwaruanda akifafanua jambo huku nyuma yake wanaonekana maofisa wa Kikosi Kazi cha Taifa pamoja na askari wa wanyamapori.

Kama Mwaruanda alitoa muda wa mwezi mmoja kuanzia sasa kwamba watu wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kuzisalimisha mara moja kwenye vituo vya polisi au ofisi za serikali za vijiji kabla operesheni kabambe ya kuwatafuta watu hao haijaanza.

Rukwa na Katavi ni miongoni mwa maeneo ambayo ujangili kuua tembo umeshamiri sana hasa katika mapori ya akiba ya Lwafi na Hifadhi ya Taifa ya Katavi kutokana meno ya tembo kuonekana kuwa na soko katika mikoa mingine nchini na nchi jirani.



Kamanda Mwaruanda akionyesha kigudulia ambacho hutumiwa na majangili kubebea risasi.

Ofisa Mkuu wa Idara ya Ulinzi katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi, Davies Mushi alinukuliwa hivi karibuni kuwa kuwepo kwa soko zuri la biashara haramu ya nyara za Serikali hususan meno ya tembo ni moja ya sababu zinazochangia ongezeko la ujangili katika hifadhi hizo.

"Soko zuri la meno ya tembo lililopo katika mji wa Mpanda (Katavi), Sumbawanga (Rukwa), Tabora na maeneo mengine ya nchi linachangia sana kushamiri kwa ujangili ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Katavi, lakini tunajitahidi kufanya doria ndani ya hifadhi na kukabiliana na kasi hii iliyopo ya kuua tembo inayofanywa na majangili ambao wengi wao ni kutoka nje ya nchi," alisema Mushi.
 
Back
Top Bottom