Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Acha hoja ya kipuuzi, hakuna mwafrika anayetukuza uzungu, waafrika still wanaabudu dini zao za asili. Kama wazungu walieneza mifumo yao afrika kuna ubaya gani wakati tunatumia teknolojia zao?
 
Jiwe walilo likataa waashi ndo limekua jiwe kuu la pembeni kwa walio okolewa ukristo wanautambua vyema wewe bado
 
Kwa wale ninaowaambia kuwa ziko Qur'an zaidi ya 30 hapa nimewaonyesha hizi 2 tu, Hafs inayotumiwa na wengi na Warsh inayotumiwa zaidi kaskazini magharibi hasa Morocco! Je, tafsiri ni sawa?
 
Ukristo hquna shida, wala kutumia majina ya kizungu sio shida, Taiwan wanatumia ukristo huo huo, na wapo mbali kiuchumi! Tatizo waafrika,dini kwetu ndio suruhisho LA kila kitu, kila tatizo tunataka liombewe!
Ilibidi iwe hv, soma dini, baada ya hapo, ingia kitaa, kufanya kazi, innovation, sayansi, AI nk
 
Nakubali
 
Umeandika stori za vijiweni..nilitegemea ungekuja na vifungu ambavyo ni mapotofu,lakini hujafanya hvyo,badala yake umeandika mambo ambayo ni too general..
 
Mtu mweupe na mwarabu nani bora. Maana kuna mmoja anaishia kujenga misikiti akijitahidi ataweka kisima cha maji kwa ajili ya kutawadha. Lakini kuna mwingine amejenga mashule, mahospitali na vyuo nchini kwetu. Nasubiri Jibu ndugu yangu ?
Hivi wewe umesoma kweli kilichoandikwa au umekimbilia hili swali lilibiased kihisia? Hivi unafahamu kwamba umeshajijibu mwenyewe?

Wote hawana tofauti yoyote, kama ni vizuri iga lakini Dini zao haziwafai wala hazina faida kwa Waafrica.
 
Huu uzi ni evidence tosha kwamba plan ya wakoloni imekuwa successfully kupita viwango. Ukisoma comments za hawa watu ni unabaki kusikitika na kutingisha kichwa tu.
 
Umeandika stori za vijiweni..nilitegemea ungekuja na vifungu ambavyo ni mapotofu,lakini hujafanya hvyo,badala yake umeandika mambo ambayo ni too general..
Vifungu vilivyoandikwa na hao watu anaowapinga? Hivi umesoma hata ulichoandia?
 
Hivi wewe umesoma kweli kilichoandikwa au umekimbilia hili swali lilibiased kihisia? Hivi unafahamu kwamba umeshajijibu mwenyewe?

Wote hawana tofauti yoyote, kama ni vizuri iga lakini Dini zao haziwafai wala hazina faida kwa Waafrica.
Hawana tofauti kivipi huku Ujerumani watu hawaendi makanisani lakini kuna sikukuu nyingi za kikristo. Hoi nchi imejengwa kwa tamaduni za kikristo. Ukiangalia Tanzania kuna mahospitali, shule na vyuo vinavyoendeshwa kwa misaada ya wakristo.
 
Vifungu vilivyoandikwa na hao watu anaowapinga? Hivi umesoma hata ulichoandia?
Nimesoma vyema,huenda wewe ndiye hujaelewa nilichokiandika.
Ukristu hauhusiani na uhuni mnaotaka kuuweka Pamoja nao..
Ukristu siyo Utamaduni wa mtu mweupe, never....
Kama ni msomaji mzuri wa Biblia utagundua kwamba Kristo Yesu alikuja hapa Duniani kutuletea ufalme wa Mbinguni, yote aliyoyazungumza yanapingana kabisa na tamaduni za kizungu,rejea nyaraka za Mtume Paulo zote...alikuwa akiwaonya,kila uchao,kila nyaraka zilikuwa na ole..ikimaanisha kwamba tamaduni za kimataifa haziendani na UTAMADUNI WA UFALME WA MUNGU.
 
Jiwe walilo likataa waashi ndo limekua jiwe kuu la pembeni kwa walio okolewa ukristo wanautambua vyema wewe bado
Limekuwa a stumbling block ( jiwe likwaalo) kwa wale wote wasiotaka kumfuata Mungu , naona kabisa unabii huu ukikamilika kwa jamaa wanaompinga Yesu na Ufalme wake aliouleta hapa Duniani.
Neno la Mungu ni hai,na linadumu milele.
 
Hawana tofauti kivipi huku Ujerumani watu hawaendi makanisani lakini kuna sikukuu nyingi za kikristo. Hoi nchi imejengwa kwa tamaduni za kikristo. Ukiangalia Tanzania kuna mahospitali, shule na vyuo vinavyoendeshwa kwa misaada ya wakristo.

I see, self awareness is a lost ability.
Hawana tofauti sababu intentions za kuleta dini Africa zilikuwa kujifaidisha wao. Wanaita assimilation. Na dini ni product ya culture husika.

Kama ulisoma hii thread ungegundua haiongoelei nani bora kati ya hao mbuzi wawili na dini zao. Bali madhara ya fanaticism kwa Waafrica. Lakini wewe genius umeenda straight kufanya comparison.
 

Yeah? Christianity ni utamaduni wa nani then kama sio Europeans? Unafikiri kwanini yesu ni mweupe na wewe ni mweusi?
 
Ndugu yangu huku ujerumani ukitoka nchi ya kiislamu una-report uhamiaji kila miezi eita wanakufanyia security check up. Waislamu wa kitanzania wanashukuru kuwa nchi yetu siyo ya kiislamu. Mimi bila ukatoliki wangu nisingefika hapa nilipo. Mimi nongea facts kuna dini ina faida na sisi na zna ubinadamu na kuna dini yenye matabaka hadi huko inakotoka.
 
Usidanganye ujerumani hamna hicho kitu , mimi nimefika mara zaidi ya ishirini tokea 1986
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…