Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Kumbe wewe unafanya kazi mote au umetumwa na hayo makampuni ??

hao wahindi na waarabu uliwapa wewe ruzuku ?? Unaandika mipasho bila kuja na ushahidi wowote , mara mishahara milioni 20 mara Unilever , TBl wanalipa vizuri si ukawaajiri watoto wako , Mbona watu wanalia na kazi hatuoni hao wazungu wako kuajiri mtu ??

Hujajibu hata moja hapa unaharisha tu

Kuhusu ushoga nyinyi mpaka Mna Nabii Shoga, Sasa nikuulize hivi Nabii Tito ametokea wapi ?

Mzungu ana Taasisi ipi ya maana hapa Tz zaidi ya wizi.

Hivi Kampuni ya maana inaweza ku invest Tz , msikilize Rostam Aziz anavyosema wewe mpenda ushoga

View attachment 3084324
Unasema hakuna kampuni ya maana imewekeza Afrika. Je KPMG, DELLOITE, ERNEST and YOUNG , PRICE WATERHOUSE ni taasisi ndogo ? Nimekutana na Mtanzania aliarijiwa KPMG tanzania akaomba kazi ERNEST and YOUNG Luxembourg amepata. We kazana na rakaa zako za swala tano na acha kupambana. Utazeekea kwenye vijiwe vya kahawa.

Sawa watu wanalilia na kazi ndio maana nakuuliza. Kati wya waarabu na wazungu ninnani anayetoa ajira nyingi na nzuri hapa Tanzania. Maana kuna mmoja anaishia kujenga misikiti na kuweka visima vya maji ya kutawadhia. Rafiki yangu nikuambie tu Asas alipata ruzuku katika biashara yake ya mifugo kutoka serikalini. Mo Dewji anapewa ruzuku kila mwaka katika biashara ya kusambaza mbolea. Watu wanapewa ruzuku halafu wanalipa mishahara ya laki tatu kwa mwezi yaani 10000 kwa siku duh. We endelea kulala na kushangilia Simba na Yanga. Naomba Mungu hali iendelee hivi hivi siku moja tuwe kama Congo. Maana tukifika huko ndio tulio na mtaji ndio tutawakamua vizuri nyie mnaokazana nna madrasa na swala tano.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na nne : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
maendeleo ndio haya ya kula nyasi na kunywa petroli


View: https://youtu.be/WSkDdSraN7M

Hakuna unabii katika ukristo ndugu yangu huku kuna Wachungaji, Mapadri na Maskofu waliosomea theology. Mimi elimu naweka mbele hayo makanisa unayoonesha hapo hawajajenga hata zahanati au hata shule ya msingi. Ndio maana nakwambia mimi naaangalia matendo na sio kitu kingine. Mimi ni Mkatoliki na Ukatoliki wangu ndio umenifanya nitoboa.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na tano : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
maendeleo mengine haya ya kula nywele


View: https://youtu.be/XW8XdJiXH9w

Hakuna unabii katika ukristo ndugu yangu huku kuna Wachungaji, Mapadri na Maskofu waliosomea theology. Mimi elimu naweka mbele hayo makanisa unayoonesha hapo hawajajenga hata zahanati au hata shule ya msingi. Ndio maana nakwambia mimi naaangalia matendo na sio kitu kingine. Mimi ni Mkatoliki na Ukatoliki wangu ndio umenifanya nitoboa.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na sita : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Ukristo uliingizwa na wazungu Afrika kwa mara ya kwanza katika karne ya 1 AD Misri na Tunisia na baadae kuenea kaskazini. Karne ya 4 AD Ethiopia iliufanya ukristo hata kuwa dini ya kitaifa chini ya mfalme Ezana kwenye himaya ya Aksumite.

Lakini umeenea zaidi Afrika Chini ya jangwa la Sahara ikiwemo Tanganyika kwenye karne ya 15 chini ya wamisionari waliokuwa wanakuja kututawala, kututumikisha na kutuibia mali zetu ikiwa ni njia nzuri ya kutubadilisha kisiasa, kifikra na kitamaduni( wakati wa ukuaji wa himaya ya kirumi), kuenezwa ktk njia zote zilizokuwa zinafanya biashara pamoja na za watumwa.

Machifu na viongozi wetu walikumbatia ukristo kwa sababu ya kujenga urafiki na wazungu au kwa nguvu lakini lengo la wazungu likiwa ni kutubadilisha tuwe na imani kama yao ili tutawaliwe kirahisi kifikra na kiuchumi, biblia wakiishikilia mkono mmoja lakini bunduki mkono mwingine ukifanya masihara nao aliyefanya masihara na hao watakatifu, basi jua kwako imeenda!

Ambacho hakikubadilika ktk ukristo wa leo ni kutawala na upigaji. Mchungaji yuko juu ya kila mtu na hata juu ya familia za watu. Wakiamua wachungaji baba mwenye familia jua kwako imeenda Utakalolisema kama ushauri kwa mkeo atakuchenjia ndani mpaka utakoma hata kama ukiuliza mbona hela zote za familia unapeleka kanisani. Zitapelekwa, mchungaji ataambiwa unakatalia hela na hakuna kuongea na wewe wiki nzima.

Mahubiri mengine ya kitapeli na yanajulikana kabisa huu ni utapeli lakini inahalalishwa na watu na serikali inakaa kimya kabisa watu wakiibiwa, na hata kuingilia maamuzi ya kiafya katika familia za watu kwa maombi yasiyokuwa na miguu wala mikono. Kwa utawala huu walionao leo wananunuliwa magari ya kifahari, wanalishwa mahotelini kifahari, watoto wao wanasomeshwa shule za maana na wengine wanajengewa nyumba za kifalme kutoka kwa waumini wao ambao wengi hata mlo mmoja kwa siku ni shida.

Ukristo kama ilivyokuwa nia ya wakoloni kuja kutupiga na kuzineemesha kiutajiri nchi za ulaya, leo wakati nchi hizo zimeshakuwa matajiri, wachungaji na viongozi wa kidini wamekuwa ni wapigaji wa wananchi tena bila huruma au aibu. Baadae tutakuja kuona wakitosheka kwa kula na kusaza wachungaji ndio watakuwa maraisi wa nchi zetu baada ya mafisadi kuchoka maana ndio wenye hela.

Kwa hiyo mtu asinidanganye kunisomea kifungu hiki cha neno ktk bibilia kinasema hili au lile. Nawajua.
Mnapambania kutukuza utamaduni wa watu weupe niwaamini ili mnitawale kiuchumi na kifikra.

Na mara nyingi hata serikali nyingi za Africa zunajua tunapigwa, ila wanazisaidia serikali nyingi "KUTUNZA AMANI, ILI MAFISADI NAO WAENDELEE KULA KWA AMANI" na sio kwa maslahi ya falimia yoyote. Kama unabisha nitafutie kanisa lolote lili kubwa kama utaona mzee wa kanisa ni muuza mchicha. Cheo chako kanisani kitategemea kitita cha hela kilichoko mfukoni mwako na ndiye utakayekuwa na sauti kanisani.

Wanaitwa mihimili ya kanisa. Wachina wanawapa watoto wao majina ya kichina, wahindi ya kihindi, wajapani ya kijapani lakini usipompa mtoto wako jina la kikoloni basi utaitwa mpagani, neno ambalo nia yake ni kudhalilisha imani za wazazi wetu ili upuuzi wao uendelee kushika mizizi wa kutuibia fikra na mali zetu. Walitutenganisha na wazazi kuwapeleka utumwani bila kujali familia zao zitaishije huko nyuma na leo wachungaji wengine ndio vinara wa kuvuruga familia za watu. Yaleyale. Mvimbishie kichwa mchungaji uone! Kudadeki. Atakuhibiri mpaka masiko yako yang'oke kichwani. Kisa umtii tu. Simtii yoyote!

Kwa leo Ukristo ni kitu kinachosikitisha kukiona!
Hoja yako inaweza kuwa na mashiko kwa kiasi fulani! Ila hujaitendea haki kwa kumikita zaidi kwenye kuuongeea Ukristo, na kuusahau Uislam! Sijui ni bahati mbaya, au umefanya makusudi!!

Lakini maelezo yako kuanzia mwanzo yamejikita zaidi kwenye upande hasi wa Ukristo! Je, ndiyo kusema huo Ukristo una mabaya tu! Hivi hauna hata zuri moja!!

Halafu kuendelea kuongelea Wazungu kutuibia mali zetu kupitia huo Ukristo na kwenda kujitajiriisha, bado ni dalili za kuonesha unaishi maisha ya kukariri! Mbona mpaka leo mali tunazo! Na bado zinaendelea kuliwa na wajanja? Au hao wajanja ndiyo hao Wakristo?

Halafu ni nani aliyekuambia ukimuita mtoto wako jina lisilo la Kizungu unaonekana wewe ni Mpagani? Mbona kuna Wakristo wengi wamebatizwa kwa majina ya Faraja, Neema, Baraka, nk! Je, haya nayo majina ya Kizungu?
 
Hakuna unabii katika ukristo ndugu yangu huku kuna Wachungaji, Mapadri na Maskofu waliosomea theology. Mimi elimu naweka mbele hayo makanisa unayoonesha hapo hawajajenga hata zahanati au hata shule ya msingi. Ndio maana nakwambia mimi naaangalia matendo na sio kitu kingine. Mimi ni Mkatoliki na Ukatoliki wangu ndio umenifanya nitoboa.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na sita : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."

pole sana , kumbe ndio maana unaupigia debe ushoga kama huyo pope wenu ??

Nyinyi hamjali utu wa mtu , mumeweka mbele mali , yaani Padri kufika kufanya biashara ya viungo vya Albino

Hizo taasisi zenu mbona zilimsahau au nazo zimo kwenye hii biashara ??

PADRI KUUWA ALBINO KISA MALI WATANZANIA walaani


View: https://youtu.be/3AVLFv_DOS0
 
Unasema hakuna kampuni ya maana imewekeza Afrika. Je KPMG, DELLOITE, ERNEST and YOUNG , PRICE WATERHOUSE ni taasisi ndogo ? Nimekutana na Mtanzania aliarijiwa KPMG tanzania akaomba kazi ERNEST and YOUNG Luxembourg amepata. We kazana na rakaa zako za swala tano na acha kupambana. Utazeekea kwenye vijiwe vya kahawa.

Sawa watu wanalilia na kazi ndio maana nakuuliza. Kati wya waarabu na wazungu ninnani anayetoa ajira nyingi na nzuri hapa Tanzania. Maana kuna mmoja anaishia kujenga misikiti na kuweka visima vya maji ya kutawadhia. Rafiki yangu nikuambie tu Asas alipata ruzuku katika biashara yake ya mifugo kutoka serikalini. Mo Dewji anapewa ruzuku kila mwaka katika biashara ya kusambaza mbolea. Watu wanapewa ruzuku halafu wanalipa mishahara ya laki tatu kwa mwezi yaani 10000 kwa siku duh. We endelea kulala na kushangilia Simba na Yanga. Naomba Mungu hali iendelee hivi hivi siku moja tuwe kama Congo. Maana tukifika huko ndio tulio na mtaji ndio tutawakamua vizuri nyie mnaokazana nna madrasa na swala tano.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na nne : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."

Usituletee story za vijiweni , hizo ni njozi hata mimi naweza kukuambia nafanya kazi ikulu ya Marekani , utaniamini ??

Unaleta accusation bila kutuwekea ushahidi wowote

Mimi kila ninalokuambia nakuwekea ushahidi wa video kabisa
 
Afrika Kusini unaiona imeendelea ?? au majengo yanakufanya uone nchi imeendelea ?? Au maendeleo ni kuruhusu ushoga makanisani ??

kwa taarifa yako ile nchi wale wazungu ni raia wa ile nchi

hujaniambia bado ni nchi gani afrikla imeendelezwa na Taasisi za wazungu kutoka nje ??
Comrade unaonekana Elimu Dunia imekupitia kushoto! Wewe utakuwa uko busy na Kaswida tu. Ni kweli Wazungu wa Afrika ya Kusini wenyeji wa nchi husika! Lakini chimbuko lao ni Uholanzi. Kama ilivyokuwa kwa Explorers, Traders na Missionaries waliokuja Tanganyika, na maeneo mengine ya Afrika na kuweka makazi yao.

Yaani kwa ufupi unaonekana huna hata uelewa wa Historia ya Kidato cha pili inayo ongelea masuala ya Dutch Settlement at the Cape of Good Hope in South Africa during 17th C (1652).
 
Comrade unaonekana Elimu Dunia imekupitia kushoto! Wewe utakuwa uko busy na Kaswida tu. Ni kweli Wazungu wa Afrika ya Kusini wenyeji wa nchi husika! Lakini chimbuko lao ni Uholanzi. Kama ilivyokuwa kwa Explorers, Traders na Missionaries waliokuja Tanganyika, na maeneo mengine ya Afrika na kuweka makazi yao.

Yaani kwa ufupi unaonekana huna hata uelewa wa Historia ya Kidato cha pili inayo ongelea masuala ya Dutch Settlement at the Cape of Good Hope in South Africa during 17th C (1652).

kwani hawa si kama wahindi tu , hata waafrika hapa Bongo walikuja kutoka Cameroon au huelewi ??

hao si raia kwa sababu mababu zao walitoka uholanzi ??

Au akina Amir Jamal hawakuwa wa Tz kwa sababu mababu zao walitoka India ??


kweli elimu yako ya kanisa ni kubwa sana tu
 
Ukristo uliingizwa na wazungu Afrika kwa mara ya kwanza katika karne ya 1 AD Misri na Tunisia na baadae kuenea kaskazini. Karne ya 4 AD Ethiopia iliufanya ukristo hata kuwa dini ya kitaifa chini ya mfalme Ezana kwenye himaya ya Aksumite.

Lakini umeenea zaidi Afrika Chini ya jangwa la Sahara ikiwemo Tanganyika kwenye karne ya 15 chini ya wamisionari waliokuwa wanakuja kututawala, kututumikisha na kutuibia mali zetu ikiwa ni njia nzuri ya kutubadilisha kisiasa, kifikra na kitamaduni( wakati wa ukuaji wa himaya ya kirumi), kuenezwa ktk njia zote zilizokuwa zinafanya biashara pamoja na za watumwa.

Machifu na viongozi wetu walikumbatia ukristo kwa sababu ya kujenga urafiki na wazungu au kwa nguvu lakini lengo la wazungu likiwa ni kutubadilisha tuwe na imani kama yao ili tutawaliwe kirahisi kifikra na kiuchumi, biblia wakiishikilia mkono mmoja lakini bunduki mkono mwingine ukifanya masihara nao aliyefanya masihara na hao watakatifu, basi jua kwako imeenda!

Ambacho hakikubadilika ktk ukristo wa leo ni kutawala na upigaji. Mchungaji yuko juu ya kila mtu na hata juu ya familia za watu. Wakiamua wachungaji baba mwenye familia jua kwako imeenda Utakalolisema kama ushauri kwa mkeo atakuchenjia ndani mpaka utakoma hata kama ukiuliza mbona hela zote za familia unapeleka kanisani. Zitapelekwa, mchungaji ataambiwa unakatalia hela na hakuna kuongea na wewe wiki nzima.

Mahubiri mengine ya kitapeli na yanajulikana kabisa huu ni utapeli lakini inahalalishwa na watu na serikali inakaa kimya kabisa watu wakiibiwa, na hata kuingilia maamuzi ya kiafya katika familia za watu kwa maombi yasiyokuwa na miguu wala mikono. Kwa utawala huu walionao leo wananunuliwa magari ya kifahari, wanalishwa mahotelini kifahari, watoto wao wanasomeshwa shule za maana na wengine wanajengewa nyumba za kifalme kutoka kwa waumini wao ambao wengi hata mlo mmoja kwa siku ni shida.

Ukristo kama ilivyokuwa nia ya wakoloni kuja kutupiga na kuzineemesha kiutajiri nchi za ulaya, leo wakati nchi hizo zimeshakuwa matajiri, wachungaji na viongozi wa kidini wamekuwa ni wapigaji wa wananchi tena bila huruma au aibu. Baadae tutakuja kuona wakitosheka kwa kula na kusaza wachungaji ndio watakuwa maraisi wa nchi zetu baada ya mafisadi kuchoka maana ndio wenye hela.

Kwa hiyo mtu asinidanganye kunisomea kifungu hiki cha neno ktk bibilia kinasema hili au lile. Nawajua.
Mnapambania kutukuza utamaduni wa watu weupe niwaamini ili mnitawale kiuchumi na kifikra.

Na mara nyingi hata serikali nyingi za Africa zunajua tunapigwa, ila wanazisaidia serikali nyingi "KUTUNZA AMANI, ILI MAFISADI NAO WAENDELEE KULA KWA AMANI" na sio kwa maslahi ya falimia yoyote. Kama unabisha nitafutie kanisa lolote lili kubwa kama utaona mzee wa kanisa ni muuza mchicha. Cheo chako kanisani kitategemea kitita cha hela kilichoko mfukoni mwako na ndiye utakayekuwa na sauti kanisani.

Wanaitwa mihimili ya kanisa. Wachina wanawapa watoto wao majina ya kichina, wahindi ya kihindi, wajapani ya kijapani lakini usipompa mtoto wako jina la kikoloni basi utaitwa mpagani, neno ambalo nia yake ni kudhalilisha imani za wazazi wetu ili upuuzi wao uendelee kushika mizizi wa kutuibia fikra na mali zetu. Walitutenganisha na wazazi kuwapeleka utumwani bila kujali familia zao zitaishije huko nyuma na leo wachungaji wengine ndio vinara wa kuvuruga familia za watu. Yaleyale. Mvimbishie kichwa mchungaji uone! Kudadeki. Atakuhibiri mpaka masiko yako yang'oke kichwani. Kisa umtii tu. Simtii yoyote!

Kwa leo Ukristo ni kitu kinachosikitisha kukiona!
Unafeli unapohusisha Ukristo na haya Makanisa ya siku hizi. Standard ya Ukristo ni Kristo mwenyewe. Yeye ndiye SI unit ya Ukrist😵ver!
 
Hakuna unabii katika ukristo ndugu yangu huku kuna Wachungaji, Mapadri na Maskofu waliosomea theology. Mimi elimu naweka mbele hayo makanisa unayoonesha hapo hawajajenga hata zahanati au hata shule ya msingi. Ndio maana nakwambia mimi naaangalia matendo na sio kitu kingine. Mimi ni Mkatoliki na Ukatoliki wangu ndio umenifanya nitoboa.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na tano : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."


VITABU VYENU HIVI VYA KIKATOLIKI ; SIKILIZA VINAVYOSEMA


View: https://youtu.be/sO0CDPFvkyk
 
kwani hawa si kama wahindi tu , hata waafrika hapa Bongo walikuja kutoka Cameroon au huelewi ??

hao si raia kwa sababu mababu zao walitoka uholanzi ??

Au akina Amir Jamal hawakuwa wa Tz kwa sababu mababu zao walitoka India ??


kweli elimu yako ya kanisa ni kubwa sana tu
Hata kama mababu zao walitoka Uholanzi miaka minhi iliyopita, bado haiondoi ukweli wa kwamba asili yao ni Uholanzi. Na ukubali sasa hao Waafrika Wazungu wamefanya maendeleo makubwa kwenye hiyo nchi ya Afrika ya Kusini.
 
Hata kama mababu zao walitoka Uholanzi miaka minhi iliyopita, bado haiondoi ukweli wa kwamba asili yao ni Uholanzi. Na ukubali sasa hao Waafrika Wazungu wamefanya maendeleo makubwa kwenye hiyo nchi ya Afrika ya Kusini.

Maendeleo makubwa ni kuwasaidia waafrika kimaisha na akili sio ubaguzi , na mwisho wake leo hata hao waafrika wanawabagua waafrika wenzao na kuwauwa
 
Ukristo uliingizwa na wazungu Afrika kwa mara ya kwanza katika karne ya 1 AD Misri na Tunisia na baadae kuenea kaskazini. Karne ya 4 AD Ethiopia iliufanya ukristo hata kuwa dini ya kitaifa chini ya mfalme Ezana kwenye himaya ya Aksumite.

Lakini umeenea zaidi Afrika Chini ya jangwa la Sahara ikiwemo Tanganyika kwenye karne ya 15 chini ya wamisionari waliokuwa wanakuja kututawala, kututumikisha na kutuibia mali zetu ikiwa ni njia nzuri ya kutubadilisha kisiasa, kifikra na kitamaduni( wakati wa ukuaji wa himaya ya kirumi), kuenezwa ktk njia zote zilizokuwa zinafanya biashara pamoja na za watumwa.

Machifu na viongozi wetu walikumbatia ukristo kwa sababu ya kujenga urafiki na wazungu au kwa nguvu lakini lengo la wazungu likiwa ni kutubadilisha tuwe na imani kama yao ili tutawaliwe kirahisi kifikra na kiuchumi, biblia wakiishikilia mkono mmoja lakini bunduki mkono mwingine ukifanya masihara nao aliyefanya masihara na hao watakatifu, basi jua kwako imeenda!

Ambacho hakikubadilika ktk ukristo wa leo ni kutawala na upigaji. Mchungaji yuko juu ya kila mtu na hata juu ya familia za watu. Wakiamua wachungaji baba mwenye familia jua kwako imeenda Utakalolisema kama ushauri kwa mkeo atakuchenjia ndani mpaka utakoma hata kama ukiuliza mbona hela zote za familia unapeleka kanisani. Zitapelekwa, mchungaji ataambiwa unakatalia hela na hakuna kuongea na wewe wiki nzima.

Mahubiri mengine ya kitapeli na yanajulikana kabisa huu ni utapeli lakini inahalalishwa na watu na serikali inakaa kimya kabisa watu wakiibiwa, na hata kuingilia maamuzi ya kiafya katika familia za watu kwa maombi yasiyokuwa na miguu wala mikono. Kwa utawala huu walionao leo wananunuliwa magari ya kifahari, wanalishwa mahotelini kifahari, watoto wao wanasomeshwa shule za maana na wengine wanajengewa nyumba za kifalme kutoka kwa waumini wao ambao wengi hata mlo mmoja kwa siku ni shida.

Ukristo kama ilivyokuwa nia ya wakoloni kuja kutupiga na kuzineemesha kiutajiri nchi za ulaya, leo wakati nchi hizo zimeshakuwa matajiri, wachungaji na viongozi wa kidini wamekuwa ni wapigaji wa wananchi tena bila huruma au aibu. Baadae tutakuja kuona wakitosheka kwa kula na kusaza wachungaji ndio watakuwa maraisi wa nchi zetu baada ya mafisadi kuchoka maana ndio wenye hela.

Kwa hiyo mtu asinidanganye kunisomea kifungu hiki cha neno ktk bibilia kinasema hili au lile. Nawajua.
Mnapambania kutukuza utamaduni wa watu weupe niwaamini ili mnitawale kiuchumi na kifikra.

Na mara nyingi hata serikali nyingi za Africa zunajua tunapigwa, ila wanazisaidia serikali nyingi "KUTUNZA AMANI, ILI MAFISADI NAO WAENDELEE KULA KWA AMANI" na sio kwa maslahi ya falimia yoyote. Kama unabisha nitafutie kanisa lolote lili kubwa kama utaona mzee wa kanisa ni muuza mchicha. Cheo chako kanisani kitategemea kitita cha hela kilichoko mfukoni mwako na ndiye utakayekuwa na sauti kanisani.

Wanaitwa mihimili ya kanisa. Wachina wanawapa watoto wao majina ya kichina, wahindi ya kihindi, wajapani ya kijapani lakini usipompa mtoto wako jina la kikoloni basi utaitwa mpagani, neno ambalo nia yake ni kudhalilisha imani za wazazi wetu ili upuuzi wao uendelee kushika mizizi wa kutuibia fikra na mali zetu. Walitutenganisha na wazazi kuwapeleka utumwani bila kujali familia zao zitaishije huko nyuma na leo wachungaji wengine ndio vinara wa kuvuruga familia za watu. Yaleyale. Mvimbishie kichwa mchungaji uone! Kudadeki. Atakuhibiri mpaka masiko yako yang'oke kichwani. Kisa umtii tu. Simtii yoyote!

Kwa leo Ukristo ni kitu kinachosikitisha kukiona!
Hujaongelea kabisa Uislamu na wenyewe ukoje, uliletwa na nani na shoka yake ilikuwa nini?
 
pole sana , kumbe ndio maana unaupigia debe ushoga kama huyo pope wenu ??

Nyinyi hamjali utu wa mtu , mumeweka mbele mali , yaani Padri kufika kufanya biashara ya viungo vya Albino

Hizo taasisi zenu mbona zilimsahau au nazo zimo kwenye hii biashara ??

PADRI KUUWA ALBINO KISA MALI WATANZANIA walaani


View: https://youtu.be/3AVLFv_DOS0

Unaongelea Ushoga, Je Ushoga umeshamiri Bara au Visiwani ? Ndugu yangu mbona haujaleta marejesho kuhusu 'Bacha Bazi' naomba uende uka google na ulete mrejesho. Mimi ni mristo mkataliki lakini naangalia matendo na maslahi. Wakatoliki wangekuwa kama waarabu wangeishia kujenga makanisa na kuchimba visima ningebadili dini.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na saba : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Comrade unaonekana Elimu Dunia imekupitia kushoto! Wewe utakuwa uko busy na Kaswida tu. Ni kweli Wazungu wa Afrika ya Kusini wenyeji wa nchi husika! Lakini chimbuko lao ni Uholanzi. Kama ilivyokuwa kwa Explorers, Traders na Missionaries waliokuja Tanganyika, na maeneo mengine ya Afrika na kuweka makazi yao.

Yaani kwa ufupi unaonekana huna hata uelewa wa Historia ya Kidato cha pili inayo ongelea masuala ya Dutch Settlement at the Cape of Good Hope in South Africa during 17th C (1652).
Huyu shule hana mkuu maana mtu ninamwambia toka jana alete taasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu mpaka kesho anakwepa mada. Ndio maana nchi inauzwa yeye anakesha na Simba na Yanga 😂 😂 😂 😂 .
 
VITABU VYENU HIVI VYA KIKATOLIKI ; SIKILIZA VINAVYOSEMA


View: https://youtu.be/sO0CDPFvkyk

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na saba : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na saba : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
Hiyo Taasisi itakuja kweli na nchi ikiongozwa na Baba askofu Nyerere na jukumu lake ni kupiga vita uislamu , vitabu vyenu vya kikatoliki vinatoa ushahidi wa haya ninayosema au unajifanya huangalii Youtubes
Hujanijibu vipi KCMC wamegoma kuchukuwa ruzuku serikalini?


View: https://www.youtube.com/watch?v=sO0CDPFvkyk
 
Hiyo Taasisi itakuja kweli na nchi ikiongozwa na Baba askofu Nyerere na jukumu lake ni kupiga vita uislamu , vitabu vyenu vya kikatoliki vinatoa ushahidi wa haya ninayosema au unajifanya huangalii Youtubes
Hujanijibu vipi KCMC wamegoma kuchukuwa ruzuku serikalini?


View: https://www.youtube.com/watch?v=sO0CDPFvkyk

Kuna ruzuku KCMC inapewa na Serikali ? Jamani mbona mimi mwenyewe ningefungua hospitali. Ndugu yangu punguza kuswali na kukesha na masafu. Nasema hivyo kwa sababu umelala sana yaani utakuja kushtuka siku watoto wadogo uliowaona wakikua wakianza kukuletea dharau. Mimi nimekutajia taasisi mbali mbali zilizoanzishwa na kuendeshwa na wazungu. Mimi naomba unitajie taasisi hata moja ya waarabu unakwepa mara huku na kule. Mimi sigoogle wala sitafuti kitu kwenye internet na kuweka hapa kwa sababu ninaongea uhalaisia wa nchi. Ninashusha facts tu bado nipo na wewe.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na nane : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Back
Top Bottom