Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Najaribu kuwaza ni kwa nini watu wengi wanaonesha kuwa ili uwe muislam mzuri ni lazima utumie mambo mengi ya kiarabu kuanzia kuvaa mpaka kuongea kwa lafidhi ya Kiswahili cha Kiarabu.
Lakini pia Wakristo wengi nao ili ionekane wewe ni mteule wa mungu uzungu ni lazima uwe ni sehemu ya maisha yako. Siku hizi kila anayejiita "Nabii" au "Mtume" ni lazima pia ajitahidi kuhubiri kwa Kiingereza au aweke mtafisiri wa Kiswahili kwenda Kiingereza.
Hivi huwezi kuwa Mkristo safi bila ya kuitwa Silvanus, Tarchistus, Moses, Jenipher, Peter au Magdalena? Na majina ya Mohamed, Hussein, Jumah, Hidaya, ndiyo alama ya Uislamu. Hivi mtu akiitwa CHANDIMU hawezi kuwa muislamu au mkristo?
Hivi Uislamu ni Uarabu na Ukristo ni Uzungu??
Lakini pia Wakristo wengi nao ili ionekane wewe ni mteule wa mungu uzungu ni lazima uwe ni sehemu ya maisha yako. Siku hizi kila anayejiita "Nabii" au "Mtume" ni lazima pia ajitahidi kuhubiri kwa Kiingereza au aweke mtafisiri wa Kiswahili kwenda Kiingereza.
Hivi huwezi kuwa Mkristo safi bila ya kuitwa Silvanus, Tarchistus, Moses, Jenipher, Peter au Magdalena? Na majina ya Mohamed, Hussein, Jumah, Hidaya, ndiyo alama ya Uislamu. Hivi mtu akiitwa CHANDIMU hawezi kuwa muislamu au mkristo?
Hivi Uislamu ni Uarabu na Ukristo ni Uzungu??