Ukristo una miaka mingi ila ushawahi kusikia nchi inaitwa "The christian Republic of so and so"?

Ukristo una miaka mingi ila ushawahi kusikia nchi inaitwa "The christian Republic of so and so"?

Kumjua mwenye imani ya kweli ni yule anaependa mwenzie kama yeye mwenyewe,hambagui mtu yeyote kwa sababu yoyote ile hata kama ni mdhambi,
Vinginevyo ukifanya hivyo unakua mkwe wa luci
 
Screenshot_20240927-155908.jpg
 
Iran, Pakistan, Kuwait, UAE, Afghanistan na Yemeni Kuna watu wa Imani zote. Ila ni Nchi za kiislam kama ilivyo kwa Argentinian, England n.k
 
Abdala Yuko radhi ampende mwarabu kuliko kumpenda John ambaye ni mwafrika mwenzie... Linapokuja suala la dini Abdala anajiona ni mwarabu sio mwafrika Tena...
 
Kuna kundi fulani la watu lina misimamo ilio very complicating.

Jamii zao wanazibandika jina la kundi lao utafikiri ardhi wanayoikanyaga imeandaliwa kwa ajili yao tu.

Lina fukuza watu wasio wa kundi lao katika jamii zao ila jamii zao ziikishia kupata kash kash ziletazwo na watu wa kundi lao wanaishia kukimbilia kutafuta msaada katika jamii zile zenye kundi la watu ambalo ndilo wanalolipiga vita kila siku.

Alafu wakisha karibishwa huko wanaishia tena ku-force watu waliowakuta wa kundi lingine kufata misimamo yao bila ya hivyo wanaanza kuwafanyia vurugu.

DINI YA UKWELI NI UPENDO, BORA DINI NYINGINE ANGALAU WANAZINGATIA HILO ILA WENGINE WAPO KATIKA CULTS ILA HAWAJUI.
Mkuu punguza udini.
Najua umelenga dini gani.
Najua unauzungumzia uislam.
Uislam haujawahi kumfukuza mtu kwake hata mara moja.
*Qatar kuna wakristo na makanisa.
*Dubai kuna wakristo na makanisa.
*Brunei kuna wakristo na makanisa.
*Kuwait kuna wakristo na makanisa.
*Iran kuna wakristo na wayahudi na kuna makanisa na masinagogi.
Zote hizo ni Islamic states.
Bro PUNGUZA UDINI, HALAFU PUNGUZA UONGO HAUKUSIADII KITU.
Siku hizi mada zako zimekua za UONGO UONGO sana.
 
Mkuu punguza udini.
Najua umelenga dini gani.
Najua unauzungumzia uislam.
Uislam haujawahi kumfukuza mtu kwake hata mara moja.
*Qatar kuna wakristo na makanisa.
*Dubai kuna wakristo na makanisa.
*Brunei kuna wakristo na makanisa.
*Kuwait kuna wakristo na makanisa.
*Iran kuna wakristo na wayahudi na kuna makanisa na masinagogi.
Zote hizo ni Islamic states.
Bro PUNGUZA UDINI, HALAFU PUNGUZA UONGO HAUKUSIADII KITU.
Siku hizi mada zako zimekua za UONGO UONGO sana.
Irani kuwe na Kanisa.
Au Somalia
Au Afghanistani
Sio kweli
Hapo Pemba tu wanaandamana kupinga ujenzi wa Kanisa.
Kwenye nchi za Kiislamu ni bora uwe mchawi utaishia salama lakini sio kuwa Mkristo.
Kwao adui wa Uislamu ni Ukristo tu.
 
Irani kuwe na Kanisa.
Au Somalia
Au Afghanistani
Sio kweli
Hapo Pemba tu wanaandamana kupinga ujenzi wa Kanisa.
Kwenye nchi za Kiislamu ni bora uwe mchawi utaishia salama lakini sio kuwa Mkristo.
Kwao adui wa Uislamu ni Ukristo tu.
We jamaa huwa sipendagi kujadiliana na wewe kwasababu najuaga huwa hauna mantiki ila unanifosi nikujibu.
Iran ni miongoni mwa mataifa ambayo Ukristo unapanda kwa kasi.
Embu soma ripoti hapo chini.
Na aliyeandika hiyo ripoti ni Muiran mkristo.
Pia kuhusu Pemba hawakupinga ujenzi wa kanisa bali walipinga kanisa kujengwa eneo husika wakataka lijengwe sehemu nyingine kwasababu na sababu walizitoa.
Usitake kuleta habari za uchonganishi.
Screenshot_2024-09-27-20-22-18-80_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Irani kuwe na Kanisa.
Au Somalia
Au Afghanistani
Sio kweli
Hapo Pemba tu wanaandamana kupinga ujenzi wa Kanisa.
Kwenye nchi za Kiislamu ni bora uwe mchawi utaishia salama lakini sio kuwa Mkristo.
Kwao adui wa Uislamu ni Ukristo tu.
Huwa UNAROPOKA SANA WE JAMAA.
Screenshot_2024-09-27-20-26-13-47_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
We jamaa huwa sipendagi kujadiliana na wewe kwasababu najuaga huwa hauna mantiki ila unanifosi nikujibu.
Iran ni miongoni mwa mataifa ambayo Ukristo unapanda kwa kasi.
Embu soma ripoti hapo chini.
Na aliyeandika hiyo ripoti ni Muiran mkristo.
Pia kuhusu Pemba hawakupinga ujenzi wa kanisa bali walipinga kanisa kujengwa eneo husika wakataka lijengwe sehemu nyingine kwasababu na sababu walizitoa.
Usitake kuleta habari za uchonganishi.View attachment 3108549
Kwahiyo nchi kuwa na asilimia moja yaani 1% wewe haikushangazi ni kwanini iwe hivyo.
Hao Wairani wanakuwa Wakristo wakitoka nje ya hiyo nchi, kikazi au wakimbizi.
 
Kwahiyo nchi kuwa na asilimia moja yaani 1% wewe haikushangazi ni kwanini iwe hivyo.
Hao Wairani wanakuwa Wakristo wakitoka nje ya hiyo nchi, kikazi au wakimbizi.
Umesoma ripoti vizuri!??
Au kiingereza hujui!?
Hiyo ripoti inasema kuwa "Iran ukristo unaongezeka kwa kasi".
Aisee we vipi wewe namna gani wewe!?
 
Kwanini nchi nzima iwe na Wakristo 15,000 - 20,000 tu ?
Tupe sababu.
Mbona unahama hama!?
Mbona Korea Kaskazini wakristo hata elfu mbili hawafik??
Mbona North Korea ni marufuku kusoma biblia unanyongwa!??
Je uliuliza kwanini!??
Mpuuzi.
 
Kuna kundi fulani la watu lina misimamo ilio very complicating.

Jamii zao wanazibandika jina la kundi lao utafikiri ardhi wanayoikanyaga imeandaliwa kwa ajili yao tu.

Lina fukuza watu wasio wa kundi lao katika jamii zao ila jamii zao ziikishia kupata kash kash ziletazwo na watu wa kundi lao wanaishia kukimbilia kutafuta msaada katika jamii zile zenye kundi la watu ambalo ndilo wanalolipiga vita kila siku.

Alafu wakisha karibishwa huko wanaishia tena ku-force watu waliowakuta wa kundi lingine kufata misimamo yao bila ya hivyo wanaanza kuwafanyia vurugu.

DINI YA UKWELI NI UPENDO, BORA DINI NYINGINE ANGALAU WANAZINGATIA HILO ILA WENGINE WAPO KATIKA CULTS ILA HAWAJUI.
Umeandika kwa mafumbo sana kwanini usingefunguka vizuri na ukaweka na mifano tungepata pa kuchangia. Huu uzi utachangiwa na wale wasio na uelewa wa mambo na wenye chuki na imani isiyokuwa ya kwao.
 
Wapo kama vifaranga vya cuckoo kwenye viota vya ndege wengine
Amri kuu Upendo.
Chuki dhidi ya kile anachokiamini mwingine ni dalili ya kukosa hekima
Ukristo wako haukufikishi popote na wala haukufanyi ukawa ni mtu special au una privilege fulani tofauti na watu wasioufuata ukristo wako.
Yakobo 1:27
 
Mbona unahama hama!?
Mbona Korea Kaskazini wakristo hata elfu mbili hawafik??
Mbona North Korea ni marufuku kusoma biblia unanyongwa!??
Je uliuliza kwanini!??
Mpuuzi.
Kama nilivyosema awali.
Ukristo unapigwa vita na Wapinga Kristo wote duniani.
Kwakuwa una nguvu za Mungu Mwenyezi.
Kuna wakati pia Iran, Somalia na Afghanistan ukikutwa na Biblia unanyongwa.
Ni kwakuwa tu Wairani nao Kuna vitu wanategemea kupata kama elimu na tech, toka mataifa yenye Wakristo wengi ndio maana wakaruhuru Ukristo mchache na kwa Shingo upande katika nchi zao.
Somalia wamechoma sana Makanisa Hadi wakaona aibu.
 
Pilipili usiyoila yakuwashia nini?
Hivi wale wanaolazimisha wengine kwenda kusali na wao hawataki nini hasa msukumu ulio nyuma yake.Mtu anasema sitaki kwenda mbinguni au kama kwenda mbinguni nenda peke yako na ufaidike peke yako lkn utaona mchungaji ananuna na mistari kibao ya Yakobo
 
Umesoma ripoti vizuri!??
Au kiingereza hujui!?
Hiyo ripoti inasema kuwa "Iran ukristo unaongezeka kwa kasi".
Aisee we vipi wewe namna gani wewe!?
Wanaongezeka kwakuwa wakimbizi na watafuta maarifa wanaongezeka pia.
Wairani hao wengi wanaingia Ukristo nje ya Irani.
Wakirudi Iran ndio wanashinikiza kuabudu Kikristo na kuzishawishi familia zao kuwa Wakristo.
Wairani wengi tu wameikimbia nchi yao kwa hofu ya kuadhibiwa nchini kwao.
 
Back
Top Bottom