Ukristo unaruhusu ndoa ya mke wapili kwa mujibu wa andiko hili

Ukristo unaruhusu ndoa ya mke wapili kwa mujibu wa andiko hili

Ukisoma biblia, kutoka 21, 10. Inasema
"kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa."

Ukisoma toka mwanzo utagundua kuwa utagundua hapa yamezungumziwa mambo ya kuachia watumwa.. Sipingi hilo, lakini kitendo tu cha kusema kama AKIOA MKE MWINGINE, yule wa awali AENDELEE KUMPA HAKI ZAKE ZA NDOA,
huu ni uthibitisho tosha ndugu zetu mnaruhusa ya kuoa mke wa pili.
Au mimi ndio nimetafsiri hovyo.

Hii ni kwa wale wanangu wa kikristo waliokuwa wanalalamika mambo ya mke mmoja.
Hilo Andiko halihusu ukristo. Linawahusu Wayahudi. Wayahudi wana dini yao iitwayo Dudaism. Wao wanafuata Agano la kale. Wakristo tunaishi kwa mujibu wa Agano Jipya. Na kanuni ni hii:
Jambo lolote lililoelezewa ktk Agano la kale na Yesu akalisemea tofauti au akatoa Agizo tofauti basi lile la Yesu ndilo linasimama. Yesu ndiye alitoa Agizo kuwa ndoa ni ya mume na mke mmoja tu. Mengine ni dhambi na maovu ndio yansukuma watu. Na wanaofanya hivyo wasahau kurithi ufalme wa Mungu.
 
Ukisoma biblia, kutoka 21, 10. Inasema
"kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa."

Ukisoma toka mwanzo utagundua kuwa utagundua hapa yamezungumziwa mambo ya kuachia watumwa.. Sipingi hilo, lakini kitendo tu cha kusema kama AKIOA MKE MWINGINE, yule wa awali AENDELEE KUMPA HAKI ZAKE ZA NDOA,
huu ni uthibitisho tosha ndugu zetu mnaruhusa ya kuoa mke wa pili.
Au mimi ndio nimetafsiri hovyo.

Hii ni kwa wale wanangu wa kikristo waliokuwa wanalalamika mambo ya mke mmoja.
kumbe ukweli ccm imekubari umri sio NSSF .
IMG_0612.jpeg
 
Hilo Andiko halihusu ukristo. Linawahusu Wayahudi. Wayahudi wana dini yao iitwayo Dudaism. Wao wanafuata Agano la kale. Wakristo tunaishi kwa mujibu wa Agano Jipya. Na kanuni ni hii:
Jambo lolote lililoelezewa ktk Agano la kale na Yesu akalisemea tofauti au akatoa Agizo tofauti basi lile la Yesu ndilo linasimama. Yesu ndiye alitoa Agizo kuwa ndoa ni ya mume na mke mmoja tu. Mengine ni dhambi na maovu ndio yansukuma watu. Na wanaofanya hivyo wasahau kurithi ufalme wa Mungu.
Umemaliza kila kitu.
 
Ukisoma biblia, kutoka 21, 10. Inasema
"kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa."

Ukisoma toka mwanzo utagundua kuwa utagundua hapa yamezungumziwa mambo ya kuachia watumwa.. Sipingi hilo, lakini kitendo tu cha kusema kama AKIOA MKE MWINGINE, yule wa awali AENDELEE KUMPA HAKI ZAKE ZA NDOA,
huu ni uthibitisho tosha ndugu zetu mnaruhusa ya kuoa mke wa pili.
Au mimi ndio nimetafsiri hovyo.

Hii ni kwa wale wanangu wa kikristo waliokuwa wanalalamika mambo ya mke mmoja.
Hiyo torati ilivunjwa na Yesu alipowaambia mafarisayo “Musa aliwaruhusu kuoa wanawake wengi kutokana na ugumu wa mioyo yenu”

Kwanza mnataka wanawake wengi kwa nguvu gani mlizonazo? Km wake zenu ndani mnashindwa kuwatosheleza.??! 😹😹
Mtakuja kugongewa kuanzia bi mdogo mpk mkubwa mfe na presha..!!
 
Hiyo torati ilivunjwa na Yesu alipowaambia mafarisayo “Musa aliwaruhusu kuoa wanawake wengi kutokana na ugumu wa mioyo yenu”

Kwanza mnataka wanawake wengi kwa nguvu gani mlizonazo? Km wake zenu ndani mnashindwa kuwatosheleza.??! 😹😹
Mtakuja kugongewa kuanzia ni mdogo mpk mkubwa mfe na presha..!!
Wewe unaamini Musa alitamka maamuzi magumu kama hayo kwa utashi wake?
 
Hiyo torati ilivunjwa na Yesu alipowaambia mafarisayo “Musa aliwaruhusu kuoa wanawake wengi kutokana na ugumu wa mioyo yenu”

Kwanza mnataka wanawake wengi kwa nguvu gani mlizonazo? Km wake zenu ndani mnashindwa kuwatosheleza.??! 😹😹
Mtakuja kugongewa kuanzia bi mdogo mpk mkubwa mfe na presha..!!
Biblia inajichanganya au wewe ndie umechanganyikiwa ?kwasababu Yesu anakiri kwa mdomo wake kuwa hakuja kuitengeu torati bali kuitimiza
 
Hiyo torati ilivunjwa na Yesu alipowaambia mafarisayo “Musa aliwaruhusu kuoa wanawake wengi kutokana na ugumu wa mioyo yenu”

Kwanza mnataka wanawake wengi kwa nguvu gani mlizonazo? Km wake zenu ndani mnashindwa kuwatosheleza.??! 😹😹
Mtakuja kugongewa kuanzia bi mdogo mpk mkubwa mfe na presha..!!
Musa aliwaruhusu waoe wake wengi kwa ugumu wa mioyo yao, sie tuna ulaini gani wa moyo kiasi tuoe mke mmoja.
Swali jepesi, je yesu alisema kaja kutengua torati ama? Kama hakuja kutengua torati basi ruksa kuoa mke wa pili

Hilo suala la nguvu tunatofautiana. Wengine wake zetu hawatumudu..
Tupewe ruhusa kila mtu ataoa kutokana na nguvu zake.
 
Musa aliwaruhusu waoe wake wengi kwa ugumu wa mioyo yao, sie tuna ulaini gani wa moyo kiasi tuoe mke mmoja.
Swali jepesi, je yesu alisema kaja kutengua torati ama? Kama hakuja kutengua torati basi ruksa kuoa mke wa pili

Hilo suala la nguvu tunatofautiana. Wengine wake zetu hawatumudu..
Tupewe ruhusa kila mtu ataoa kutokana na nguvu zake.
😹😹😹 Hauna nguvu bhana labda km mnatumia vumbi la Kongo
 
Mtumish
Mwanzo wa ulimwengu MUNGU MWENYEZI alimuumba mke mmoja na mume mmoja, baadae sana zikapita na zikatokea nyakati flan na katika hizo nyakati kikatokea kizazi flan hicho kizazi kikaanza kuoa wanawake 10 hata 20 hata 100 , Suleiman akaoa wanawake 700 na michepuko 300 mtume Muhammad akao wanawake 14 mpaka watoto wa miaka 6 na mishangazi inayomzid umri

Kizazi hicho kilivunja agano la MUNGU la ndoa ya mke mmoja na mwanaume mmoja, kwahiyo kizazi hiki kiletenda makosa ambayo YESU KRISTO alipokuja akarebisha na akairudishia ndoa hadhi yake yani mume na mke siyo mume na wake au siyo mume na mume

Kwahiyo basi sisi wakristo hatuwezi tena kuendelea kuishi katika dhambi ya wale wazee wakati tayari kristo YESU ashalekebisha

Biblia imeandika habari hizo ili sisi tujifunze siyo kwamba tuendelee kukosea tena

AMINA
 
Hilo Andiko halihusu ukristo. Linawahusu Wayahudi. Wayahudi wana dini yao iitwayo Dudaism. Wao wanafuata Agano la kale. Wakristo tunaishi kwa mujibu wa Agano Jipya. Na kanuni ni hii:
Jambo lolote lililoelezewa ktk Agano la kale na Yesu akalisemea tofauti au akatoa Agizo tofauti basi lile la Yesu ndilo linasimama. Yesu ndiye alitoa Agizo kuwa ndoa ni ya mume na mke mmoja tu. Mengine ni dhambi na maovu ndio yansukuma watu. Na wanaofanya hivyo wasahau kurithi ufalme wa Mungu.
Vipi yesu alikuja kutengua torati ya bwana musa au?
Mt 5 17-20, yesu anakiri hakuja itengua torat
 
Back
Top Bottom