Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Kwa hilo hakuna Mwanaume Rijali atapinga MtumishiBasi, kama hakuja kuitengua bali kuikamilisha basi ni ruhusa kuoa mke wa pili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hilo hakuna Mwanaume Rijali atapinga MtumishiBasi, kama hakuja kuitengua bali kuikamilisha basi ni ruhusa kuoa mke wa pili.
Sio kila anayesema Bwana Bwana atauona ufalme wa mbingu 😹😹wewe unaendaga kanisani kufanya nini sasa
wewe ni wa kwetu
Nimelisoma baba.linahusu mtumwaMa mkwe ushawahi kusoma hilo andiko?
Ma mkwe ushawahi kusoma hilo andiko?
Haitengui ila anaitimiza.... Yesu na Musa huwezi kuwaweka kwenye chungu kimoja so neno lolote ambalo aliwahi kulisema Musa likija kurudiwa na Yesu kwa namna tofauti basi neno la Yesu linaoverride lile la Musa(kwahiyo ilitimizwa ila ilijaziwa nyama na kurekebishwa pale kwenye mapungufu kidogo na hii ndio ambayo ilimpa wakati mgumu kwa maana alionekana anakufuru kwa kufanya hayo mbele ya watu walioishika torati vizuri kwa nyakati zile)Yesu alisemaje kuhusu tourati?
Umanyaya tu kwann asitoshe una ya punda? 😹😹Siku ile kabla ya kuoa nilikua najisemea nikisha oa kila kitu kwangu kitakiwa perfect na dini nitaishika vilivyo .
Baada ya kuoa na kukutana na matokeo yasio tarajiwa niliafiki pasina shaka mke mmoja hatoshi na hajawahi kutosha na hata tosha.
we ni wa kwetuSio kila anayesema Bwana Bwana atauona ufalme wa mbingu 😹😹
Mi kote kote nipo 🤣
Kwanini wasikae chungu kimoja?Haitengui ila anaitimiza.... Yesu na Musa huwezi kuwaweka kwenye chungu kimoja so neno lolote ambalo aliwahi kulisema Musa likija kurudiwa na Yesu kwa namna tofauti basi neno la Yesu linaoverride lile la Musa(kwahiyo ilitimizwa ila ilijaziwa nyama na kurekebishwa pale kwenye mapungufu kidogo na hii ndio ambayo ilimpa wakati mgumu kwa maana alionekana anakufuru kwa kufanya hayo mbele ya watu walioishika torati vizuri kwa nyakati zile)
Hii ni ngumu kueleka kwa asie mwanaume , hata kama kibamia mke mmoja hatoshi, ukweli mchungu msio penda kuusikia ..Umanyaya tu kwann asitoshe una ya punda? 😹😹
Sikubaliani na wewe ila yesu alisema sikuja kutangua torati bali kuitimilizaTunatumia agano jipya na sio agano la kale
Marko 10:6-9
Dini imetukandamiza sana wanawake hapo ndipo inaponipa mashaka na kuona uhuni tu..!!we ni wa kwetu
na ubishi unao
unakifaa chama
kama maandiko ni uhuni basi Mungu hayupo, na dini ni utapeli.
Hakuna lolote ni vile tu tamaa zinawasumbua, nguvu zenyewe za kuboost na vumbi 😹😹Hii ni ngumu kueleka kwa asie mwanaume , hata kama kibamia mke mmoja hatoshi, ukweli mchungu msio penda kuusikia ..
Kwema lakini? , adimu kidogo!
Kwani ya punda ndio nini, inaweza kuwa ya punda na tako 3 chali, mwanaume inch 6 inatosha mnoo... Hata 5 inafaa sio kibamia.Umanyaya tu kwann asitoshe una ya punda? 😹😹
Hakuna watu wanaotakiwa wasimuamini Mungu kama wanawake.Dini imetukandamiza sana wanawake hapo ndipo inaponipa mashaka na kuona uhuni tu..!!
Km kwa waislamu ndo balaa mwanamke anafahamika km chombo cha starehe 😹😹😹
Hata issue ya Hawa imetungwa ili kutufanya wanawake tuonekane dhaifu mxiewwww 🤣🤣
una uhakika kuwa hiyo Quran ipo na uhuni?Maagano yote, inshort vitabu vyote kuanzia bible mpk msaafu ni uhuni tu..!!
Sasa wewe unashindana na ulikotokea?? 😹😹Kwani ya punda ndio nini, inaweza kuwa ya punda na tako 3 chali, mwanaume inch 6 inatosha mnoo... Hata 5 inafaa sio kibamia.
Kinachomata ni ile pumzi, unaweza kupiga goli 1-2 wakati mwenzio yupo hoi na wewe bado unataka game.
Eti kwenye kupewa offer wameona pipa la pombe halitoshi mpk na wanawake wawepo kweli?? 😹😹😹Hakuna watu wanaotakiwa wasimuamini Mungu kama wanawake.
Shukurani kwa Mungu vile upo na heri I'm glad.Hakuna lolote ni vile tu tamaa zinawasumbua, nguvu zenyewe za kuboost na vumbi 😹😹
Nipo rafiki ni vile tunapishana..!!
Hapa ndiyo mkanganyiko wa wakristo ulipo.Ukisoma biblia, kutoka 21, 10. Inasema
"kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa."
Ukisoma toka mwanzo utagundua kuwa utagundua hapa yamezungumziwa mambo ya kuachia watumwa.. Sipingi hilo, lakini kitendo tu cha kusema kama AKIOA MKE MWINGINE, yule wa awali AENDELEE KUMPA HAKI ZAKE ZA NDOA,
huu ni uthibitisho tosha ndugu zetu mnaruhusa ya kuoa mke wa pili.
Au mimi ndio nimetafsiri hovyo.
Hii ni kwa wale wanangu wa kikristo waliokuwa wanalalamika mambo ya mke mmoja.
💯✅una uhakika kuwa hiyo Quran ipo na uhuni?