Ukristo unaruhusu ndoa ya mke wapili kwa mujibu wa andiko hili

Ukristo unaruhusu ndoa ya mke wapili kwa mujibu wa andiko hili

Na hapo ndio ninapoona biblia imetungwa na mwanaume mwenye libido coz wamejipakulia minyama tu..!!
Nikwamba hivi biblia iliingizwa mikono ya watu kwa utashi wao hasa uhuni huo umefanyika sana kwenye hiki kinachoitwa agano jipya
 
Siku ile kabla ya kuoa nilikua najisemea nikisha oa kila kitu kwangu kitakiwa perfect na dini nitaishika vilivyo .

Baada ya kuoa na kukutana na matokeo yasio tarajiwa niliafiki pasina shaka mke mmoja hatoshi na hajawahi kutosha na hata tosha.
 
Ukisoma biblia, kutoka 21, 10. Inasema
"kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa."

Ukisoma toka mwanzo utagundua kuwa utagundua hapa yamezungumziwa mambo ya kuachia watumwa.. Sipingi hilo, lakini kitendo tu cha kusema kama AKIOA MKE MWINGINE, yule wa awali AENDELEE KUMPA HAKI ZAKE ZA NDOA,
huu ni uthibitisho tosha ndugu zetu mnaruhusa ya kuoa mke wa pili.
Au mimi ndio nimetafsiri hovyo.

Hii ni kwa wale wanangu wa kikristo waliokuwa wanalalamika mambo ya mke mmoja.
Hili andiko linatoka kutoka na hizo ni Sheria za Musa, ukisoma torati utagundua mambo mengi yalikuja kuwekwa sawa na Yesu hapo baadae, kwahiyo torati ni kama haitoshi hivi kukupa jibu la mwisho hadi urudi uone Yesu alisemaje juu ya jambo hilo.

Na kwenye hiko kipengele kilikuja kuwekwa sawa na Yesu.

"Kwa sababu hiyo mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja" (Mathayo 19:5-6). (Hii ni kama Sheria kwa maana imesemwa na Yesu)

Ila pia kuna bwana mmoja wa kuitwa Paulo ambae alikua mtume nae aliwahi kutoa mapendekezo na kuweka msisitizo wa mtu kuwa na mke mmoja, ingawa yeye alijikita zaidi kwa viongozi wa makanisa (hii sio Sheria ya kimungu ila ni mapendekezo kama hayo ya Musa uliyoyaona kwenye kutoka).

Kwahiyo kabla ya Yesu watu walikua wanaoa watu wengi, kuna mwamba alio wake mia saba na michepuko mia tatu 🤣🤣🤣🤣, na ikumbukwe mimba ya huyu mwamba alitungwa baada ya Daud kumkula mke wa askari wake, kwahiyo ni uzinzi juu ya uzinzi.
 
😹😹😹 Hauna nguvu bhana labda km mnatumia vumbi la Kongo
Una ushahidi gani😂🤣
Muulize mama watoto yeye ndio anajua habari zangu.

Toka niwe na akili zangu timamu, sijawahi tumia hilo vumbi la kongo wala kidonge chochote kuongeza nguvu, naapia kwa mola wangu
 
Ndoa ya mke mmoja ni Sheria ya kanisa na sio ya Mungu. Ukisoma biblia Kuna watu Kama Ayoub walibarikiwa na Mungu na walikuwa na mke zaidi ya mmoja, hata Jakobo alikuwa na wake wawili na halikuwa tatizo.
 
Ukisoma biblia, kutoka 21, 10. Inasema
"kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa."

Ukisoma toka mwanzo utagundua kuwa utagundua hapa yamezungumziwa mambo ya kuachia watumwa.. Sipingi hilo, lakini kitendo tu cha kusema kama AKIOA MKE MWINGINE, yule wa awali AENDELEE KUMPA HAKI ZAKE ZA NDOA,
huu ni uthibitisho tosha ndugu zetu mnaruhusa ya kuoa mke wa pili.
Au mimi ndio nimetafsiri hovyo.

Hii ni kwa wale wanangu wa kikristo waliokuwa wanalalamika mambo ya mke mmoja.
Ukristo unaanzia kwa kristo mwenyewe, agano jipya, huku kutoka ha
Ukiwa ukristo
 
Ukisoma biblia, kutoka 21, 10. Inasema
"kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa."

Ukisoma toka mwanzo utagundua kuwa utagundua hapa yamezungumziwa mambo ya kuachia watumwa.. Sipingi hilo, lakini kitendo tu cha kusema kama AKIOA MKE MWINGINE, yule wa awali AENDELEE KUMPA HAKI ZAKE ZA NDOA,
huu ni uthibitisho tosha ndugu zetu mnaruhusa ya kuoa mke wa pili.
Au mimi ndio nimetafsiri hovyo.

Hii ni kwa wale wanangu wa kikristo waliokuwa wanalalamika mambo ya mke mmoja.
Ni sahihi kabisa Mkuu. Hata Daudi na Suleiman (Mfalme wa Hekima) walioa zaidi ya hao wawili
 
Hili andiko linatoka kutoka na hizo ni Sheria za Musa, ukisoma torati utagundua mambo mengi yalikuja kuwekwa sawa na Yesu hapo baadae, kwahiyo torati ni kama haitoshi hivi kukupa jibu la mwisho hadi urudi uone Yesu alisemaje juu ya jambo hilo.

Na kwenye hiko kipengele kilikuja kuwekwa sawa na Yesu.

"Kwa sababu hiyo mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja" (Mathayo 19:5-6). (Hii ni kama Sheria kwa maana imesemwa na Yesu)

Ila pia kuna bwana mmoja wa kuitwa Paulo ambae alikua mtume nae aliwahi kutoa mapendekezo na kuweka msisitizo wa mtu kuwa na mke mmoja, ingawa yeye alijikita zaidi kwa viongozi wa makanisa (hii sio Sheria ya kimungu ila ni mapendekezo kama hayo ya Musa uliyoyaona kwenye kutoka).

Kwahiyo kabla ya Yesu watu walikua wanaoa watu wengi, kuna mwamba alio wake mia saba na michepuko mia tatu 🤣🤣🤣🤣, na ikumbukwe mimba ya huyu mwamba alitungwa baada ya Daud kumkula mke wa askari wake, kwahiyo ni uzinzi juu ya uzinzi.
Yesu alisemaje kuhusu tourati?
 
Idadi ya wake ni wale unaweza muda kulingana na matamanio yako, full stop.
 
Una ushahidi gani😂🤣
Muulize mama watoto yeye ndio anajua habari zangu.

Toka niwe na akili zangu timamu, sijawahi tumia hilo vumbi la kongo wala kidonge chochote kuongeza nguvu, naapia kwa mola wangu
Maandishi yako yanaonyesha 😹😹
 
Back
Top Bottom