Ukristo unasema mwanamke anakuheshimu kabla ya ndoa ila ukishamuoa hufungua makucha yake. Dini (sio maandiko) imekataza kuongeza mke

Ukristo unasema mwanamke anakuheshimu kabla ya ndoa ila ukishamuoa hufungua makucha yake. Dini (sio maandiko) imekataza kuongeza mke

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Wanawake ni viumbe wa mashindano, kwenye ukristo kabla hujamuoa mapenzi huwa ni moto moto maana geti la ushindani lipo wazi, akizingua anabadilishwa.

Utapewa mapenzi moto moto huku nia yake ikiwa kukuingiza kwenye mtego wa ndoa, hapo kwenye ndoa ukishanasa ndio umefunga rasmi geti la ushindani, unaweza kuwa na michepuko ila kuongeza mke hairuhusiwi hapo.

Kwenye ndoa hapo mnakuwa levo moja tu, anaweza kukunyanyaza atakavyo maana huwezi ongeza mke, na hii ni mpaka kifo kiwatenganishe ( mkristo alibuni msemo kukosea kuoa ni ajali kwasababu hakuna kuongeza mke 😂😂)

Hofu ya ushindani kwa mke uliemuoa ni kitu muhimu sana ili asizingue, lakini pka hata ukiongeza mke ule ushindani wao ni kitu muhimu cha kukuhakishia mwanaume unapata mapenzi matam.

PIA HAKUNA SEHEMU KWENYE BIBLIA YA KIKIRISTO KUONGEZA MKE KUMEKATAZWA
 
Ndo maana wa ukristo wengi kuoa baada ya kuzini, paka kuzaa watoto wawili wa tano ndo wanakuja kufunga ndoa, mwana mke wa ndoa wa kikuristo ni jehuri pasua kichwa tunawaona sana wana pesa ila hawana amani, wanaumme wanaishi kinyonge kinyonge.
Na nimepitia Biblia hakuna sehemu wamekataza kuongeza mke, wao wanatafsiri vibaya kwamba mwanaume na mwanamke wanakuwa "mwili moja" wao hudhani mwili moja ni ndoa ya wawili lakini maana yake nj mwanaume kukutana na mwanamke, hata mwanaume alieoa akikutana na malaya watakuwa mwili moj, kwa hio mwanaume hata akiwa na wake wengi, kwa kila mwanamke wake watakuwa mwili moja, ila tu inabidi iwe kwa ndoa
 
Kuna aliyekukataza wewe kuwa Muislamu?
Mkuu, kosea kuoa kwenye ukristo ndio utajua ni zaidi ya ajali 😂😂 huku kwenye uislam hilo kosa unapewa nafasi nyingine kurekebisha
 
Na nimepitia Biblia hakuna sehemu wamekataza kuongeza mke, wao wanatafsiri vibaya kwamba mwanaume na mwanamke wanakuwa "mwili moja" wao hudhani mwili moja ni ndoa ya wawili lakini maana yake nj mwanaume kukutana na mwanamke, hata mwanaume alieoa akikutana na malaya watakuwa mwili moj, kwa hio mwanaume hata akiwa na wake wengi, kwa kila mwanamke wake watakuwa mwili moja, ila tu inabidi iwe kwa ndoa
Ila kuzuni kwao sio shida, shinda ni ndoa ya pili, kwahilo hapo wa kristo wana niacha hoi, unakuta ata mwana mke mwenyewe anasema bora mpendana nae uko uko kuliko kumuoa kabisa, huo ni unafiki na kumkejeli Mungu.
 
Ndo maana wa ukristo wengi kuoa baada ya kuzini, paka kuzaa watoto wawili wa tano ndo wanakuja kufunga ndoa, mwana mke wa ndoa wa kikuristo ni jehuri pasua kichwa tunawaona sana wana pesa ila hawana amani, wanaumme wanaishi kinyonge kinyonge.

Kuna hadithi nyingi za hivi kama unavyoainisha hapo kuhusu watoto wa nje ya ndoa

Hao huwa wabaya sana Ndio maana tuna taifa la majizi na wauwaji sana na makatili
Ndoa zina baraka sana najua wapo
watakaopinga ila kila mmoja ana haki ya kufuata anachokiamini
 
Jibu swali?
Mimi nina mke wa pili tayari, wa kwanza nlioa miaka 10 iliyopita, alihamishwa kikazi mkoa mwengine wa mbali sana na alotongwa na majukumu akanipa kibali cha kuongeza mke 😎😎.

Ingekuwa kwenye ukristo sasa hapo sijui ningefenyeje, ?
 
Mkuu, kosea kuoa kwenye ukristo ndio utajua ni zaidi ya ajali 😂😂 huku kwenye uislam hilo kosa unapewa nafasi nyingine kurekebisha
Hilo ni maamuzi ya mtu kuendelea kuishi jela yake mwenyewe,akinizingua ataondoka tu,hayo ya mpaka kufa atayasikia Kanisani tu........yaani uoe halafu unaletewa ujinga? Binafsi itakuwa ngumu
 
Mimi nina mke wa pili tayari, wa kwanza nlioa miaka 10 iliyopita, alihamishwa kikazi mkoa mwengine wa mbali sana na alotongwa na majukumu akanipa kibali cha kuongeza mke 😎😎.

Ingekuwa kwenye ukristo sasa hapo sijui ningefenyeje, ?
Why isiwezekane? Kakudanganya nani?
 
Hilo ni maamuzi ya mtu kuendelea kuishi jela yake mwenyewe,akinizingua ataondoka tu,hayo ya mpaka kufa atayasikia Kanisani tu........yaani uoe halafu unaletewa ujinga? Binafsi itakuwa ngumu
Ndoa ya kikristo ni mpaka kifo kiwatenganishe ama kuwe na ushahidi wa kuzini nje ya ndoa, 😎😎
 
Why isiwezekane? Kakudanganya nani?
Itawezekanaje? Mke kahamishiwa kikazi huko bukoba mpakani mwa Uganda, wewe upo mtwara, 😂😂 safari ya takribani siku 3 hio na wote mmebanwa na kazi
 
Na maji ukisha yavulia nguo sharti uyakoge[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna hadithi nyingi za hivi kama unavyoainisha hapo kuhusu watoto wa nje ya ndoa
Hao huwa wabaya sana Ndio maana tuna taifa la majizi na wauwaji sana na makatili
Ndoa zina baraka sana najua wapo watakaopinga ila kila mmoja ana haki ya kufuata anachokiamini
Dini ya kikuristo inebidi ilekebishe hili ni unyama kuadhibu viumbe visio kua na hatia, wanaongoza kwa kuzaa nje ya ndoa kwasbb kuzini kwao sio Dhabi kubwa ila hao watoto hawatauliki kidini yao na hawana mgao na haki ya mali za baba zao, hi ni unfair kabisa.....sasa kama ndo hivo wakemea sana uzinzi miongoni wa uamini wao, ili dunia iepuka na uamasikini wa watoto wasio pata huduma muhimu
 
Na nimepitia Biblia hakuna sehemu wamekataza kuongeza mke, wao wanatafsiri vibaya kwamba mwanaume na mwanamke wanakuwa "mwili moja" wao hudhani mwili moja ni ndoa ya wawili lakini maana yake nj mwanaume kukutana na mwanamke, hata mwanaume alieoa akikutana na malaya watakuwa mwili moj, kwa hio mwanaume hata akiwa na wake wengi, kwa kila mwanamke wake watakuwa mwili moja, ila tu inabidi iwe kwa ndoa
Ni kweli hakuna sehemu iliyokataza kuongeza mke. Tena Biblia imeruhusu kuacha mke mzinzi.
Matayo 5: 31-32 (Mke aachwe tu kwa kosa la uasherati).

Mwanzo 25: 1 Ibrahim alioa mke mwingine

Mwanzo 28: 9 Esau alioa wake wengi

Mwanzo 29 Yakobo alioa wake wawili wanandugu Leah na Raheli
 
Ni kweli hakuna sehemu iliyokataza kuongeza mke. Tena Biblia imeruhusu kuacha mke mzinzi.
Matayo 5: 31-32 (Mke aachwe tu kwa kosa la uasherati).

Mwanzo 25: 1 Ibrahim alioa mke mwingine

Mwanzo 28: 9 Esau alioa wake wengi

Mwanzo 29 Yakobo alioa wake wawili wanandugu Leah na Raheli
Hata Musa alikuwa na wake zake wawili.

Wakristo wanafata dini, hawafati maandiko.

Mwanaume aliumbiwa mwanamke kuwa msaidizi wake, inashangaza kuona kwamba mwanaume katika ukristo anabanwa kuwa na msaidizi moja utafkiri waliumbwa sawa.
 
Back
Top Bottom