kuchelewa kwa matumizi ya maneno kama hayo kunachangia Lugha kutekwa na maneno ya kigeni kama neno Kompyuta lina kuwa kama nisahihi kumbe lakiswahili lipo 'Ngamizi'
Where did ngamizi come from ie the etymological origin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuchelewa kwa matumizi ya maneno kama hayo kunachangia Lugha kutekwa na maneno ya kigeni kama neno Kompyuta lina kuwa kama nisahihi kumbe lakiswahili lipo 'Ngamizi'
Au camerakuchelewa kwa matumizi ya maneno kama hayo kunachangia Lugha kutekwa na maneno ya kigeni kama neno Kompyuta lina kuwa kama nisahihi kumbe lakiswahili lipo 'Ngamizi'
Hili neno lilitoka kwa mtaalamu mmoja wa lugha pale UDSM, katika hafla moja iliyorushwa mubashara na ITV ambapo nakumbuka Rais wetu mpendwa alikuwa mgeni rasmi, ndipo mtaalamu huyo wa lugha ambapo alikuwa ndiye Muendesha shughuli ile alitambulisha neno, MUBASHARA.Habari wakuu?
Miaka iliyopita, matangazo ya moja kwa moja ya televisheni na redio hayakuwa na neno sahihi la kiswahili, hivyo kutumia neno "live".
Katika miezi ya hivi karibuni, neno "Mubashara" limekuwa mbadala wa neno "live" ambalo ni la lugha ya kiingereza, likimaanisha "moja kwa moja". ie. Matangazo mubashara - matangazo ya moja kwa moja.
Naomba wataalam wa lugha mnisaidie, asili ya neno hili "mubashara" ni ipi?
Naomba kuwasilisha.
Asante mkuuHili neno lilitoka kwa mtaalamu mmoja wa lugha pale UDSM, katika hafla moja iliyorushwa mubashara na ITV ambapo nakumbuka Rais wetu mpendwa alikuwa mgeni rasmi, ndipo mtaalamu huyo wa lugha ambapo alikuwa ndiye Muendesha shughuli ile alitambulisha neno, MUBASHARA.
Nashukuru. Kumbe hii ni maana yake nyingine.Mubashara ni neno la lugha ya Kiarabu, likiwa na maana nyingi ikiwa ni pamoja na kuchanganyika, mfano. Mwanamke na mwanaume wanaoweza kuoana hawaruhusiwi kuwa mubashara yaani kuchanganyika, kuwa karibu.
Mpendwa yupi?Hili neno lilitoka kwa mtaalamu mmoja wa lugha pale UDSM, katika hafla moja iliyorushwa mubashara na ITV ambapo nakumbuka Rais wetu mpendwa alikuwa mgeni rasmi, ndipo mtaalamu huyo wa lugha ambapo alikuwa ndiye Muendesha shughuli ile alitambulisha neno, MUBASHARA.
KichaulaMpendwa yupi?
Tanabaisha!Kichaula
Mheshimiwa mpendwa Rais kichaulaTanabaisha!
Mm ata sijaelewaMheshimiwa mpendwa Rais kichaula
MubasharaMm ata sijaelewa
NiniMubashara
MubasharaNini
Hata sielewi kwa nini wasihalalishe neno live likawa laivu tu?Jamani. Naomba kuuliza, neno MUBASHARA linalotumiwa na kituo cha luninga cha ITV ni la Kiswahili sanifu?