mazagazagatza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 208
- 224
Nchi hii imeshadaiwa na wadeni wangapi? Kwa sababu za mikataba mibovu. Kwani IPTL ulikuwa mkataba wa nani? Mbona bado kama unaendelea?Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.
Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.
Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.
Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.
Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania
Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...www.jamiiforums.com
Aliuvunja kwa sababu gani? Kama walikuwa wawekezaji, nini kiliwapata wasiwekeze kwenye eneo walilopewa?We nae punguwani kabisa. Ndiyo umeandika maujinga gani haya?
Aliyesabasha ndege ikamatwe ni jpm wako aliyekurupuka kuvunja mkataba 2016. Huu ndiyo ukweli!
Pole MRS JPM!Mwambie mamako kufeli kwake asijifiche kwenye mgongo wa jpm!
Mbona Dowans sijui Richmond mmewalipa?
Mataahira nyie
Kama inawasha unaruhusiwa kuichomoa alaf upakwe unga wa ngano[emoji23][emoji23][emoji23]Kuwa na staha au kama huna hoja acha kuposti.
Hapa nikae kwa kutulia niangalie comments kati ya wazee wa legacy na wale jamaa wa mama anaupiga mwingi 😂😂😂Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.
Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.
Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.
Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.
Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania
Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...www.jamiiforums.com
Huna lolote...Hutapaona maana wewe ni mpishi wake hapo ikulu,
Una uhakika uo mkataba usingevunjwa ungekua na maslahiWe nae punguwani kabisa. Ndiyo umeandika maujinga gani haya?
Aliyesabasha ndege ikamatwe ni jpm wako aliyekurupuka kuvunja mkataba 2016. Huu ndiyo ukweli!
Kilimo umeme wa nini.Pili hizo zaidi ya tilioni 30 zilizowekwa kwenye miradi kwa akili yako zitarudi na hata zikirudi ni baada ya miaka mingapi.Uzalishaji gani ungefanya wakati huna umeme wa kutosha wala usafirishaji wa haraka wa bidhaa zako?
Acha mawazo ya kimaskin Yani kilimo umeme wa Nini unadhani kilimo Cha mkono kinaweza mtoa mtuKilimo umeme wa nini.Pili hizo zaidi ya tilioni 30 zilizowekwa kwenye miradi kwa akili yako zitarudi na hata zikirudi ni baada ya miaka mingapi.
Hizo ndege je zote zinafanya Kazi? Hio miradi muda wa kurejesha mkopo ulishafika tena kwa riba kubwa hali hata uzalishaji bado.Zipo project tu nyingi za ndani zingeweza rejesha hio pesa ndani ya mda mfupi Sana.
Ngano tunategemea ya Ukraine na Russia unadhani wanalimia mikono?Kilimo umeme wa nini.Pili hizo zaidi ya tilioni 30 zilizowekwa kwenye miradi kwa akili yako zitarudi na hata zikirudi ni baada ya miaka mingapi.
Hizo ndege je zote zinafanya Kazi? Hio miradi muda wa kurejesha mkopo ulishafika tena kwa riba kubwa hali hata uzalishaji bado.Zipo project tu nyingi za ndani zingeweza rejesha hio pesa ndani ya mda mfupi Sana.
Nimekupata lakini Great thinker utamjua kwenye stara na kupangilia hoja ili mjadala uwe mzuri na wanaosoma nao wapate faida.Kama inawasha unaruhusiwa kuichomoa alaf upakwe unga wa ngano[emoji23][emoji23][emoji23]
Alikuwa janga kwa ukoo wako siyo taifa
Kwani lazima kuwa na staha kama viongozi wenyewe hawana staha kwa wananchi wao?.Kuwa na staha au kama huna hoja acha kuposti.
Magufuli ndio alikuwa hana staha kwenye mikutano yake labda na yule LameckKwani lazima kuwa na staha kama viongozi wenyewe hawana staha kwa wananchi wao?.
Kilimo umeme wa nini.Pili hizo zaidi ya tilioni 30 zilizowekwa kwenye miradi kwa akili yako zitarudi na hata zikirudi ni baada ya miaka mingapi.
Hizo ndege je zote zinafanya Kazi? Hio miradi muda wa kurejesha mkopo ulishafika tena kwa riba kubwa hali hata uzalishaji bado.Zipo project tu nyingi za ndani zingeweza rejesha hio pesa ndani ya mda mfupi Sana.
Wamama wanachafua vikojoleo vyao kiongozi akiondoka wanabaki na mavumbi kwenye vuzi hata maji ya kuogea hawapewi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha mawazo ya kimaskin Yani kilimo umeme wa Nini unadhani kilimo Cha mkono kinaweza mtoa mtu
Ndege ni nchi ngapi wana makampuni Yao ni magu aliwanunulia?
Kwako umeme Hauna umuhimu hivyo kwako bwawa halikua muhimi sasa ww unatofauti Gani na wamama waliokua wanagalagala Lindi leo