Ndo wangekuwa wanasumbuka na Russia ,China,Iran,Cuba,Venezuela na North Korea?Embu weka taarifa yako vizùri.Ukitka kununua MRI toka USA utatumia pesa ya Saudia? Dola ina nguvu kwa sababu ya industrial productions ambazo zinahitajika duia nzima.
labda tuiweke hivi ....Kama mauzo ya bidhaa kwa dollar itapungua ndo kusema thamani yake itakuwa ileile kama 1970.Swali : Dola itaanguka???
Jibu: Ndiyo itaanguka, lakini ni ngumu kutokea kwa sasa!
Sababu ni nini? Uchumi wa dunia umetengenezwa na kushikamanishwa kupitia dola, kuanguka kwa dola ni kuanguka kwa uchumi wa dunia.
Siku dunia ikiamua kuacha kutumia dola kama sarafu kwenye hifadhi zake kwenye nyanja mbalimbali basi huo ndiyo mwisho wa dola!
Unaona kuna nchi inayojaribu kufanya hivyo kwa sasa??
Tatizo lako umekaririri soga za maskani...Haujanibana kwa hoja, umeongea tu points za kukariri, unachosha hata kukujibu.
Unadhani watu wanatumia dollar kwa hiari yao? Pesa yako kuwa pesa ya dunia kuna faida kubwa sana. Ndiyo maana Marekani anahakikisha anapambana na yeyote anayehatarisha hilo. Libya, Iraq, Iran na Venezuela walikataa kuuuza mafuta exclusively kwa dollar ndiyo maana US anawasakama.
Kuanzia miaka ya 1970 ukubwa wa Dollar unasababishwa hasa na matumizi yake kama pesa pekee ya kuuzia mafuta. Ndiyo maana kuna neno petrodollar. Toka US alipoacha kuwa muuzaji zaidi duniani na alipoachana na gold standard njia pekee inayoisimamia dollar yake ni petrodollar.
Unafikiri Marekani hazalishi mafuta? Hapa si kuzalisha au kutozalisha mafuta, ni kuwa hayo mafuta yananuliwa kwa sarafu ipi. Hilo ndilo la msingi kama unataka kuelewa hoja iliyopo mezani.
Hoja zako nyingine kama mikopo kuwa kwa dollar ni matokeo ya nguvu ya dollar na si sababu zinazofanya dollar kuwa na nguvu.
Kinachotafutwa na wengi si mbadala wa dollar kama sarafu-akiba. Kwamba pesa ya China ibadili kuwa sarafu-akiba. Kinachotafutwa ni uhuru wa kutumia sarafu zingine. Mfano Iraq, Iran, Venezuela, Saudi Arabia nk nk waweze kuuza mafuta yao kwa Euro, Renminbi, Rupia nk nk. Au kupatikane sarafu ambayo haiwi issued na nchi moja na hivyo kufanya inyonye zingine.
Kama hamna petrodollar uchumi wao utaanguka sana lazima usa ataanzisha fitna bara la arab.Ukitka kununua MRI toka USA utatumia pesa ya Saudia? Dola ina nguvu kwa sababu ya industrial productions ambazo zinahitajika duia nzima.
DaahTatizo lako umekaririri soga za maskani...
Libya na Iran hatakama wasingeuza mafuta kwa Dollar,still wangehitaji hazina yake kwa manunuzi ya Vipuli ya Sekta hiyo ya mafuta,delta ya Kompyuta, aviation na Mashine kubwa ambapo USA bado ana dominate.
Sio kweli wana-uhuru wa kuikataa lakin bado wana uhuru wa kuikataaSasa si kwa sababu dollar ndiyo reserve currency ya dunia!? Maana naye akitaka kwenda kununua mafuta Saudi Arabia itambidi alipe kwa dollar. Hicho ndicho kitu wanachokikataa.
Hakuna nchi inayopangiwa aina ya fedha ya kutumia...ila bila kuwa na one currency kama world reserve, ina maana...Haujanibana kwa hoja, umeongea tu points za kukariri, unachosha hata kukujibu.
Unadhani watu wanatumia dollar kwa hiari yao? Pesa yako kuwa pesa ya dunia kuna faida kubwa sana. Ndiyo maana Marekani anahakikisha anapambana na yeyote anayehatarisha hilo. Libya, Iraq, Iran na Venezuela walikataa kuuuza mafuta exclusively kwa dollar ndiyo maana US anawasakama.
Kuanzia miaka ya 1970 ukubwa wa Dollar unasababishwa hasa na matumizi yake kama pesa pekee ya kuuzia mafuta. Ndiyo maana kuna neno petrodollar. Toka US alipoacha kuwa muuzaji zaidi duniani na alipoachana na gold standard njia pekee inayoisimamia dollar yake ni petrodollar.
Unafikiri Marekani hazalishi mafuta? Hapa si kuzalisha au kutozalisha mafuta, ni kuwa hayo mafuta yananuliwa kwa sarafu ipi. Hilo ndilo la msingi kama unataka kuelewa hoja iliyopo mezani.
Hoja zako nyingine kama mikopo kuwa kwa dollar ni matokeo ya nguvu ya dollar na si sababu zinazofanya dollar kuwa na nguvu.
Kinachotafutwa na wengi si mbadala wa dollar kama sarafu-akiba. Kwamba pesa ya China ibadili kuwa sarafu-akiba. Kinachotafutwa ni uhuru wa kutumia sarafu zingine. Mfano Iraq, Iran, Venezuela, Saudi Arabia nk nk waweze kuuza mafuta yao kwa Euro, Renminbi, Rupia nk nk. Au kupatikane sarafu ambayo haiwi issued na nchi moja na hivyo kufanya inyonye zingine.
Bado unasafari ndefu kujua mambo yanavyoenda. Hapa siyo nani ana mafuta mengi, hapa ni pesa ipi inatumika kununulia hayo mafuta.
SA ana mikopo? Anailipa kwa kutumia sarafu gani?Bado unasafari ndefu kujua mambo yanavyoenda. Hapa siyo nani ana mafuta mengi, hapa ni pesa ipi inatumika kununulia hayo mafuta.
Sio bila Israel tena??US bila Saud Arabia ange dondoka zamani sana
Saudi Arabia sio mzalishaji pekee wa mafuta duniani kwa sasa. Mexico, Canada, Iraq, UAE na Brazil ni wazilishaji wengine muhimu sana kidunia.Kilichopo ni kuwa Saudi Arabia imekubaliana na Marekani kuuza mafuta yake kwa Dollar. Ndiyo maana huoni watu wakitafuta pesa yao kwenda kununua mafuta. Lakini leo wakisema wanauza mafuta yao kwa Riyal unafikiri ni wangapi wataanza kuisaka hiyo pesa?
Hakujawahi kuwa na mkataba uliosaniwa wa petrodollar kati ya Marekani na Saudi Arabia. Achana na fictions na porojo.Saudi Arabia wanasita kusaini mkataba wa Petro dollar. Kuna harakati nyingi sana za watu kutaka kuachana na dollar.
Ni bora huko Marekani ambapo waki frozen akiba unaona utaratibu wa kitaasisi uliofuatwa kufikia hayo maamuzi. Sasa jichange ukaweke akiba zako za fedha Russia au Saudi Arabia ambapo mtawala anaweza kuamka tu amegombana na mke wake akazikomba zote.Kitendo cha akiba ya dollar za Russia kuwa frozen kimewafanya watu wengi waanze harakati za kuikimbia dollar.
Wew umeshaawahi kuona mlalahoi ananunua dawa kutoka usa au ulaya ..cipro ya denk inauzwa kati ya 3600-4000 ya kwetu inauzwa 200 .Mleta uzi kaja na story za vijiweni ila ukisoma reply zake utagundua ana exposure ndogo
Hata soko la pharmaceutical limekamatwa na makampuni mengi ya marekani na wanauza dawa kupitia dollar
U.s ndo mchangiaji mkubwa un na mashirika yake na anafanya hivyo kupitia dollar
Yaani dollar kupotea ni practical imposible kwa kipindi hiki itachukua mda sana
Kivip mkuuUS bila Saud Arabia ange dondoka zamani sana
Siyo kila kinachotengenezwa kutoka viwanda vya china ni underlicence ya USA vinginevyo hukusoma kabisa au umeamua kujizima datazote ni underlicence ya USA , kama hujui jua hilo maana patents bado ni za USA, ndio wagunduzi huwezi kuzitengeneza bila ruhusa yao kimataifa.
I stand to be corrected!
keep on dreamingKufa kwa dollar kupo palepale Sababu dunia inabadiika watu au njia zilizokuwa zinatumika kuiimarisha dollar Enzi hizo kadri siku zinavyoenda zinapugua na zingine zinakosa nguvu mambo mengi yanabadilka kwa maana hyo USA Alishasoma mchezo kuwa haya makaratasi dollar kuna siku yatamuangusha ss akaja ni mbinu mbadala ndo hii kitu inaitwa BITCOIN ni mbadala wke na ameshafanikiwakwa hilo lkn kuna vitu kwenye bitcoin havijakaa sawa kuna mbadala mwingine tena unakuja kwa mfumo wa Bitcoin unaitwa Pi networks hyo yote kuhakikisha anaendelea kuwa juu