Ukweli ambao wengi hawaujui ni kuwa China haijawahi kuifungia mitandao ya kijamii ya Marekani, ila mitandao ya Marekani ilikimbia kutoa huduma China

Ukweli ambao wengi hawaujui ni kuwa China haijawahi kuifungia mitandao ya kijamii ya Marekani, ila mitandao ya Marekani ilikimbia kutoa huduma China

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548
Baada ya hili sakata la TikTok nimekutana na wadau majukwaani wakidai China ndio wa kwanza kufungia mitandao ya kijamii ya Marekani. Kwa hiyo ni kama Marekani nao wameijibu China.

Wengi hawajui kuhusu sheria za China inapohusu huduma zozote ambazo zitahitaji taarifa za watumiaji.

Ikiwa unataka kutoa huduma za mitandao ya kijamii au zozote ambazo zinahitaji taarifa za watumiaji ni lazima ufungue Chinese users data au data center ndani ya China (taarifa za watumiaji wa China lazima zitunzwe ndani ya China na si vinginevyo)


Soma Pia: Bunge la Marekani lapitisha Muswada wa Sheria ya kuifungia TikTok

Twitter (X), facebook, YouTube, Instagram n.k walishindwa kufuata hiyo sheria kwa hiyo walijifukuza wenyewe kutoka soko la China

Kampuni kama vile Apple, Microsoft, Tesla wamekubaliana na sheria ya China wamefungua data centers hivyo wanaweza kutoa huduma zao ndani ya China
20250117_142943.jpg

Apple walikubali kuanzisha data center nchini China kama sheria inavyotaka.

Twitter (X), instagram, facebook, YouTube, Linkedin etc banned China not China banned them.

TikTok ilifungua primary data center Northern Virginia na Hillsboro, Oregon, Marekani, kwa ajili ya usalama wa taarifa za watumiaji.

Ila bado Marekani inataka ipewe umiliki kabisa. ByteDance wamiliki wa TikTok wakaona huu ujinga ni bora wajitoe soko la Marekani
 
Baada ya hili sakata la TikTok nimekutana na wadau majukwaani wakidai China ndio wa kwanza kufungia mitandao ya kijamii ya Marekani. Kwa hiyo ni kama Marekani nao wameijibu China.

Wengi hawajui kuhusu sheria za China inapohusu huduma zozote ambazo zitahitaji taarifa za watumiaji Wachina.

Ikiwa unataka kutoa huduma za mitandao ya kijamii au zozote ambazo zinahitaji taarifa za watumiaji ni lazima ufungue Chinese users data au data center ndani ya China (taarifa za watumiaji wa China lazima zitunzwe ndani ya China na si vinginevyo)


Soma Pia: Bunge la Marekani lapitisha Muswada wa Sheria ya kuifungia TikTok

Twitter (X), facebook, YouTube, Instagram n.k walishindwa kufuata hiyo sheria kwa hiyo walijifukuza wenyewe kutoka soko la China

Kampuni kama vile Apple, Microsoft, Tesla wamekubaliana na sheria ya China wamefungua data centers hivyo wanaweza kutoa huduma zao ndani ya China
View attachment 3204690

Apple walikubali kuanzisha data center nchini China kama sheria inavyotaka.

Twiiter, instagram, facebook, YouTube, Linkedin etc banned China not China banned them

TikTok ilifungua primary data center Northern Virginia na Hillsboro, Oregon, Marekani, kwa ajili ya usalama wa taarifa za watumiaji.

Ila bado Marekani inataka ipewe umiliki kabisa. Bytedance wamiliki wa TikTok wakaona huu ujinga ni bora wajitoe soko la Marekani
Acha upotoshaji Tiktok imepigwa ban kwa sababu Bytedance ina mahusiano ya karibu sana na chama cha Kikomunisti cha China(CCP).
 
Acha upotoshaji Tiktok imepigwa ban kwa sababu Bytedance ina mahusiano ya karibu sana na chama cha Kikomunisti cha China(CCP).
Hizo ni propaganda tu, ByteDance hawana ushirika wowote na CPC

Mpaka leo kwa nini serikali ya Marekani wameshindwa kuthibitisha uhusiano uliopo kati ya ByteDance na CPC?

Marekani ikishaona imezidiwa na China wanakimbilia kusema sababu za kiusalama na CPC

Mbona Boeing ina uhusiano mkubwa na Pentagon kama defense contractor je, watu waache kununua ndege zao kwa sababu za kiusalama?
 
Unapotosha
china hakuna Facebook hakuna Whatsapp hakuna Instagram hakuna kampuni ya kucheza kamari . unless utumie kwa VPN

kwa kifupi hawaendekzi ujinga ujinga
Hakuna kilichopotoshwa soma uzi uuelewe

Jiulize kwa nini Apple na Microsft zinaoperate ndani ya China na huduma zao zinategemea kuwa na taarifa za watumiaji?

Hiyo mitandao uliyoitaja imeshindwa kufuata sheria za China
 
Acha na tiktok waisome namba
Soko kubwa zaidi la TikTok ni Indonesia, pamoja na nchi zingine za Asia na Latin America n.k na kwa ujumla huko kuna watumiaji wengi kuliko watumiaji wa Marekani.

Na kama haitoshi Wamarekani wengi watumiajia wa TikTok wameanza kujiunga mtandao mwingine wa China Xiaohongshu (RedNote)

20250110_090558.png
 
Soko kubwa zaidi la TikTok ni Indonesia, pamoja na nchi zingine za Asia na Latin America n.k na kwa ujumla huko kuna watumiaji wengi kuliko watumiaji wa Marekani.

Na kama haitoshi Wamarekani wengi watumiajia wa TikTok wameanza kujiunga mtandao mwingine wa China Xiaohongshu (RedNote)

View attachment 3204733
Kama ni hivo msilalamike sasa.
 
Baada ya hili sakata la TikTok nimekutana na wadau majukwaani wakidai China ndio wa kwanza kufungia mitandao ya kijamii ya Marekani. Kwa hiyo ni kama Marekani nao wameijibu China.

Wengi hawajui kuhusu sheria za China inapohusu huduma zozote ambazo zitahitaji taarifa za watumiaji.

Ikiwa unataka kutoa huduma za mitandao ya kijamii au zozote ambazo zinahitaji taarifa za watumiaji ni lazima ufungue Chinese users data au data center ndani ya China (taarifa za watumiaji wa China lazima zitunzwe ndani ya China na si vinginevyo)


Soma Pia: Bunge la Marekani lapitisha Muswada wa Sheria ya kuifungia TikTok

Twitter (X), facebook, YouTube, Instagram n.k walishindwa kufuata hiyo sheria kwa hiyo walijifukuza wenyewe kutoka soko la China

Kampuni kama vile Apple, Microsoft, Tesla wamekubaliana na sheria ya China wamefungua data centers hivyo wanaweza kutoa huduma zao ndani ya China
View attachment 3204690

Apple walikubali kuanzisha data center nchini China kama sheria inavyotaka.

Twitter (X), instagram, facebook, YouTube, Linkedin etc banned China not China banned them.

TikTok ilifungua primary data center Northern Virginia na Hillsboro, Oregon, Marekani, kwa ajili ya usalama wa taarifa za watumiaji.

Ila bado Marekani inataka ipewe umiliki kabisa. ByteDance wamiliki wa TikTok wakaona huu ujinga ni bora wajitoe soko la Marekani
Hawawezi ushindani hao. walianza figisu kwa Huawei, ZTE nk.

Sasa hivi na magari ya umeme kutoka China kodi ni 100%.

Keshokutwa watakuja kudai boxer au chupi kutoka china zinakusanya intelligence.😂
 
Hawawezi ushindani hao. walianza figisu kwa Huawei, ZTE nk.

Sasa hivi na magari ya umeme kutoka China kodi ni 100%.

Keshokutwa watakuja kudai boxer au chupi kutoka china zinakusanya intelligence.😂
Umesema vyema

Ukweli ni kwamba Marekani ushindani kwa China wameshindwa. Hii ni mifano michache kati ya mingi

Baada ya kuona HUAWEI na ZTE zikiwa na global market share kubwa wakazifanyia figisu

Walipoona Chinese EVs zinazidi kuteka soko la dunia wakazipiga tariffs 100%

Walipoona TikTok inafanya vizuri na moja ya mtandao pendwa mkubwa duniani pekee ambao haumilikiwi na Marekani wakaanza figisu

Walipoona DJI kampuni ya kutengeneza drones ina global market share zaidi ya 70% kutia ndani Marekani wakaanza figisu

Recently wamehamia kwa Tencent kampuni ya China ya masuala ya teknolojia

Ila huko kote wamefeli vibaya mno

Rising dragon fading eagle
20250105_192848.jpg
 
Back
Top Bottom