Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Mambo yao waachie wenyeweBalance of power
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yao waachie wenyeweBalance of power
Nyongeza Amorukano hawataki tena bendera zao zitengezwe China. Kisa China amekuwa muuzaji mkubwa wa bendera zao. Wivu tu na choyo ndiyo umewajaaHawawezi ushindani hao. walianza figisu kwa Huawei, ZTE nk.
Sasa hivi na magari ya umeme kutoka China kodi ni 100%.
Keshokutwa watakuja kudai boxer au chupi kutoka china zinakusanya intelligence.😂
TiktokNani ameonyesha msimamo?
AsanteeeAcha upotoshaji Tiktok imepigwa ban kwa sababu Bytedance ina mahusiano ya karibu sana na chama cha Kikomunisti cha China(CCP).
Mambo yao waachie wenyewe
Tiktok
Nyongeza Amorukano hawataki tena bendera zao zitengezwe China. Kisa China amekuwa muuzaji mkubwa wa bendera zao. Wivu tu na choyo ndiyo umewajaa
Ubabe wa Marekani umemuimarisha Mchina.Umesema vyema, Marekani ni kwenda naye kibabe kama China na Russia wanavyofanya tit for tat
Ubabe wa Marekani umemuimarisha Mchina.
Dunia inapaswa kuwa balanced. Nobod own the globle for his/ herself
Nafikiri mtoa mada hujawahi kufika China au unaguess! Kuna wakati nilikwenda na kabla hata ya kutua airport, wkt natumia internet ya ndege nilipokaribia tu nilikutana na firewall ambayo sikuweza kutumia whatsapp wala google hadi siku niliyoondoka.
Nani?Ila kwa tik tok wamekosea sana
Bado ByteDance iliamu kuifanya tiktok america iwe ni kampuni inayojitegemea Marekani. Hili ni suala la kiuchumi kuliko la kiusalama. Kampuni yoyote ya China inayofanya vizuri mwisho wanasema inatishia usalama wa Marekani. Mfano DJI nayo inaelekea huko huko, BYD magari yake hayahitajiki Marekani kwa sababu imekuwa tishio na wamesema kabisa ni magari yote yenye kutumia mifumo ya computer, sasa kwa technology ilipo sasa hakuna gari isiyo na mfumo wa computer.Acha upotoshaji Tiktok imepigwa ban kwa sababu Bytedance ina mahusiano ya karibu sana na chama cha Kikomunisti cha China(CCP).
Na hizi sheria za kuwa na data center nchi husika naona zimeanza kutumika karibu dunia nzima. EU nao wameanza, Australia walishaanza, India nao wanataka sasa iwe hivyo. Ila hizi sheria naona kama zitaongeza cost ya makampuni kuoperate. Kwa nchi kama za kwetu sidhani kama sitaapply.Google na the likes of wameshindwa kucomply sheria za China
Kampuni yoyote ya China inayofanya vizuri mwisho wanasema inatishia usalama wa Marekani
Si ndo ban sasa ikafanywa au mi ndo sielewi?Google na the likes of wameshindwa kucomply sheria za China
WhatsApp ilifungiwa tangu 2017Baada ya hili sakata la TikTok nimekutana na wadau majukwaani wakidai China ndio wa kwanza kufungia mitandao ya kijamii ya Marekani. Kwa hiyo ni kama Marekani nao wameijibu China.
Wengi hawajui kuhusu sheria za China inapohusu huduma zozote ambazo zitahitaji taarifa za watumiaji.
Ikiwa unataka kutoa huduma za mitandao ya kijamii au zozote ambazo zinahitaji taarifa za watumiaji ni lazima ufungue Chinese users data au data center ndani ya China (taarifa za watumiaji wa China lazima zitunzwe ndani ya China na si vinginevyo)
Soma Pia: Bunge la Marekani lapitisha Muswada wa Sheria ya kuifungia TikTok
Twitter (X), facebook, YouTube, Instagram n.k walishindwa kufuata hiyo sheria kwa hiyo walijifukuza wenyewe kutoka soko la China
Kampuni kama vile Apple, Microsoft, Tesla wamekubaliana na sheria ya China wamefungua data centers hivyo wanaweza kutoa huduma zao ndani ya China
View attachment 3204690
Apple walikubali kuanzisha data center nchini China kama sheria inavyotaka.
Twitter (X), instagram, facebook, YouTube, Linkedin etc banned China not China banned them.
TikTok ilifungua primary data center Northern Virginia na Hillsboro, Oregon, Marekani, kwa ajili ya usalama wa taarifa za watumiaji.
Ila bado Marekani inataka ipewe umiliki kabisa. ByteDance wamiliki wa TikTok wakaona huu ujinga ni bora wajitoe soko la Marekani