Ukweli hausemwi. Kilimo cha Parachichi ni kigumu sana na pesa yake ni ndogo

Ukweli hausemwi. Kilimo cha Parachichi ni kigumu sana na pesa yake ni ndogo

Nimekuele

Nimekuelewa sana aisee parachichi tuko nayo hapa makambako ila mh sijaielewa sana hii tunda
Nyie watu mkichinguza kila kitu Africa kiendacho nje ni hivyo hivyo vikwazo kibao. Nini utafanya Africa kisiwe na vikwazo ?
Kuna vikwazo vya ndani na nje na kunavikwazo vya NATURE kama hali ya hewa.
Leo mahindi sh elf8 je mkulima atatoka ?
Viazi mviringo jan vilikuwa elf 20. Mkifanya anallytical research mfanye mazao yote mtaona ni bure tu.
Binafsi nilifanya tafiti ya mawese kwetu kigoma mambo niliojifunza nikaamua bora nipande parachichi. Nikaingia simulteneous na kilimo cha miti. Kote ni changamoto.
Kutobua hapa TZ na Africa inahitaji akili nyingi sana na bahati pia.
 
Ukitumia akili kwenye jambo lolote unalofanya utakwepa mishale kama hii. Nimesoma na kufuatilia sana parachichi kwa China na nimekubali ni biashara ngumu sana.
1. Soko lake kubwa hasa hizo Hass ni China ambapo wao soko lao linapanda na kushuka kutokana na supply wanayopata kutoka Mexico, Kenya, Australia na zaidi ya nusu kutoka Peru. Ikitokea ni msimu wa Peru huko kwingineko bei inashuka sana, muda wa kupiga hela ni pale nchi nyingine zinapokuwa sio msimu.
China iko busy kujitosheleza kwenye parachichi kwahiyo soko litazidi kupungua, na uzuri wa China ni nchi kubwa yenye usawa wa bahari tofauti sana kila eneo hivyo kila upande unaweza zalisha kwa msimu wake na zikawa sokoni mwaka mzima.

2. Teknolojia hatuna. Unavuna parachichi unapakia kwenye fuso utamuuzia nani uko nje? Hamna cold rooms, hamna grading, hakuna refrigerated trucks, hamna kupima quality, water content, protein, texture, ile nyama ya ndani, mbolea haipimwi, ardhi wanatifua tu hata hawajui ardhi gani ina nini na inakosa nini. Tunaenda kienyeji.

3. Serikali inasubiri kutoza ushuru na kodi, yenyewe hata haijui hiyo biashara na kilimo chake inafanyikaje. Hakuna support kabisa sababu parachichi zikiachwa nchi haitokufa njaa.

4. Ni zao lenye usumbufu na linataka mtaji mkubwa. Wakati huo haliuziki ndani, ukikosa soko la nje ukauza ndani unakula hasara kutokana na gharama kubwa za uendeshaji.

5. Ni zao gumu sana kuuzwa, yani hawa walanguzi wetu wakienda nje uko wanapigwa za uso kirahisi sana. Unatafuta certifications za ubora na kila kitu unapeleka msimu huu, msimu ujao unaweka mtaji wote then Wachina wanapima wanakuta water content kubwa kisa mvua zilizidi uko Niombe. Zinamwagwa, huyo mfanyabiashara atarudi?
Mwaka juzi Wakenya walizuiwa na TFDA ya China kwamba kuna mlipuko wa fruit flies parachichi zao zinaenda na mayai yake. Wakaambiwa ukitaka kuuza menya uuze ile nyama ya ndani. Sasa process ya kumenya na kuuza nyama ya ndani alafu hiyo nyama isiwe nyeusi hata kidogo sio kazi ya kitoto.

Haya yote nimeyajua nikiwa sina mpango wa kulima, ningetaka kulima ningejua mengi zaidi. Sasa mkulima yeye akisikia kwenye redio anaamka na kufyeka eneo atengeneze shamba. Content creators ile ndio kazi yao, kuongea. Usikubali kushikwa masikio
Mbona umekalili maisha aliekwambia soko la maana ni china ni nani? Mbona US na Canada wana exemption ya kodi kuingiza mazao kutoka africa? Offcorse quality control ni muhimu lakini parachichi ukifuata mashart kupata zaidi ya 1MIL USD ni mpigo mmoja tu.
 
Ni hakilipi kwa Tanzania pekee au Dunia nzima? Shida iko hapo, Ukifuatilia Wakenya wanakimbizana na Parachichi balaa.
Ndio hapo sasa miaka nane yote hiyo hajawahi kuexport anauzia wachuuzi tu..wachuuzi wanawapanga kuwalilia shida ili muwauzie kwa bei ya kutupa wakati avo 1kg ni more than 4USD kwa marekani bei ya jumla🤣 alafu anakhja kulialia humu, parachichi inalipa lakini unayo pesa ya kuwekeza?
 
S
Nyie watu mkichinguza kila kitu Africa kiendacho nje ni hivyo hivyo vikwazo kibao. Nini utafanya Africa kisiwe na vikwazo ?
Kuna vikwazo vya ndani na nje na kunavikwazo vya NATURE kama hali ya hewa.
Leo mahindi sh elf8 je mkulima atatoka ?
Viazi mviringo jan vilikuwa elf 20. Mkifanya anallytical research mfanye mazao yote mtaona ni bure tu.
Binafsi nilifanya tafiti ya mawese kwetu kigoma mambo niliojifunza nikaamua bora nipande parachichi. Nikaingia simulteneous na kilimo cha miti. Kote ni changamoto.
Kutobua hapa TZ na Africa inahitaji akili nyingi sana na bahati pia.
Swadkta ila n kupambana na kuomba MUNGU
 
Watanzania wamekazana kula Mapera wazungu wachina nk wanakula parachichi. Lini tuta amka ? Wazungu wanasafirisha parachichi maelfu ya miles sisi Singida tu hapo karibu watu hawana mda na kula maparachichi. Kama unashindia mapapai unategemea upate akili ya kuuza bidhaa yako ? Kumuamsha mtu mweusi ni kazi kubwa .
Achana na bidhaa za viwandani matumbo yetu tu hapa TZ yanatosha kuwa kiwanda.
Anzeni kuwaza namna gani jamii yetu ianze kula parachichi kwa wingi, afya zetu zitaimarika sana. Yaani tupo busy kujadili kuboresha Afya za Wachina wazungu nani katuroga ?
Vilevile anza kuwaza namna gani ya kuchakata parachichi kama bidhaa ya kuzalisha bidhaa zingine.
 
Watu
Watanzania wamekazana kula Mapera wazungu wachina nk wanakula parachichi. Lini tuta amka ? Wazungu wanasafirisha parachichi maelfu ya miles sisi Singida tu hapo karibu watu hawana mda na kula maparachichi. Kama unashindia mapapai unategemea upate akili ya kuuza bidhaa yako ? Kumuamsha mtu mweusi ni kazi kubwa .
Achana na bidhaa za viwandani matumbo yetu tu hapa TZ yanatosha kuwa kiwanda.
Anzeni kuwaza namna gani jamii yetu ianze kula parachichi kwa wingi, afya zetu zitaimarika sana. Yaani tupo busy kujadili kuboresha Afya za Wachina wazungu nani katuroga ?
Vilevile anza kuwaza namna gani ya kuchakata parachichi kama bidhaa ya kuzalisha bidhaa zingine.
Yote watu hata wakiwaza bila uwekezaji ni nawazo mfu tu.tuwazecila tujue Kuna hitajika uwekezaji mkubwa
 
Watanzania wamekazana kula Mapera wazungu wachina nk wanakula parachichi. Lini tuta amka ? Wazungu wanasafirisha parachichi maelfu ya miles sisi Singida tu hapo karibu watu hawana mda na kula maparachichi. Kama unashindia mapapai unategemea upate akili ya kuuza bidhaa yako ? Kumuamsha mtu mweusi ni kazi kubwa .
Achana na bidhaa za viwandani matumbo yetu tu hapa TZ yanatosha kuwa kiwanda.
Anzeni kuwaza namna gani jamii yetu ianze kula parachichi kwa wingi, afya zetu zitaimarika sana. Yaani tupo busy kujadili kuboresha Afya za Wachina wazungu nani katuroga ?
Vilevile anza kuwaza namna gani ya kuchakata parachichi kama bidhaa ya kuzalisha bidhaa zingine.
Serikali ingeanzisha viwanda vya mafuta yatokanayo na avocado ili kunusuru wakulima wa zao hili dhidi ya kutegemea nchi za nje.Au serikali ihimize wawekezaji wajenge viwanda vya mafuta
 
Mbona umekalili maisha aliekwambia soko la maana ni china ni nani?
Main destinations za soko la parachichi la Tanzania ni wapi kama sio China.
Mbona US na Canada wana exemption ya kodi kuingiza mazao kutoka africa?
Kwahiyo mkulima wa ekari 5 kule Njombe mwenye mtaji wa milioni 20 za kubangaiza asome madaftari ya wapi kuna tax exemption kisha alime parachichi ili akauze Marekani na Canada?
Offcorse quality control ni muhimu lakini parachichi ukifuata mashart kupata zaidi ya 1MIL USD ni mpigo mmoja tu.
Sawa fuata hayo masharti upate $1M tuone.
Hiyo comment yangu ina miezi kibao humu na sijawahi ona mtu ananipinga kwa kuniprove wrong. Wala usiteseke kulima, wapo wakulima kibao hata bei ya buku kwa kilo wanakuuzia, nunua upeleke Canada upate hiyo $1 millio
 
Mkuu viazi vya chipsi havina soko mwaka mzima na hakuna wanasiasa wanalima hilo zao. Nayo ni perishable goods kama matunda tu.
Mda huu nakwambia bei ime drop from elf 80 mpaka elf 40. Ni bora hata kulima avocado kuliko viazi, very expense na wakulima wengi hawapati faida ispokuwa misimu michache tu na mara nyingi ni mwanzo wa msimu.
Viazi mviringo ndio biashara kichaa bora hata avocado.
Naishi kwenye mabonde ya hili zao na nalima. Ni pasua kichwa.
Kilimo chetu kwa ujumla kinachangamoto mtu akitoboa ujue huyo ni mjanja sana na anatumia akili yake vuzuri.
Bro kama unapesa nenda China tafuta kampuni la vipodoz waoneshe
Tungejikita kwenye kuzalisha mazao ya viwanda ie Machungwa, Maembe, Limao za juisi hizi huwa hazina mbegu nyingi, zina maji mengi.

Sasa machungwa ya Tz huvunwa hata kabla ya muda wake, pia yana mbegu nyingi sana
Natafuta99
Wakuu wa Mkoa na halmashauri wanajua mchezo wanaofanya. Wanunuzi toka Kenya wanahonga sana.

Umaskini wa Mtanzania ni watawala
Wakulima wekeni umoja mtashinda achaneni na vikao vya halmashauri vya kuwadanganya.

Wanajua mchezo mchafu
Kila anayepelekwa Njombe akiondoka anaondoka millionea.

Watawala acheni kuumiza Watanzania mkawatajirisha WaKenya

Waziri hili linakuhusu ingilia kati

Mfikishieni ujumbe Waziri wa Kilimo

Mnacheza na akili za WaTanzania vile mnataka

Parachichi linauzwa China Europe lina label ya Kenya kumbe ni zao na Tanzania

Wakenya acheni mchezo wenu mchafu.

Njombe fukuzeni wanunuzi wooooote tangazeni kama tenda wakulima woooote bei iwe moja elfu 3 kilo hutaki sogea
Wakenya wana exposure ya international Business wanajua kusaka masoko ya nje ya nchi na wanajua procedure na ubora wa bidhaa zinazoweza uzika nje so usilaumu viongozi kwa jambo usilolijua
 
location Njombe
 

Attachments

  • Screenshot_20241104-211059_1.jpg
    Screenshot_20241104-211059_1.jpg
    162.6 KB · Views: 3
Mpaka sasa kwa investigation niliyofanya heka moja unapata mapato ya shillings millioni 1350000 hadi 1550000 kwa parachichi ya miaka 5-6 shambani ikiwa na interval ya kuweka samadi kwa muda wa miaka 2-3 , palizi mara mbili kwa mwaka bila kupulizia dawa yoyote ile na kwa sasa niko field naendelea kukusanya data.
 
Mpaka sasa kwa investigation niliyofanya heka moja unapata mapato ya shillings millioni 1350000 hadi 1550000 kwa parachichi ya miaka 5-6 shambani ikiwa na interval ya kuweka samadi kwa muda wa miaka 2-3 , palizi mara mbili kwa mwaka bila kupulizia dawa yoyote ile na kwa sasa niko field naendelea kukusanya data.
Mkuu fangasi hazishambilii. Bila kupulizia dawa, vimelea huko havipo ?
 
Wazee wa parachichi kwenda nje ya nchi bdo mpo?
Kuna jamaa ana nunua ukiwa na mzogo
 
Parachichi mwaka huu chache mvua ilipiga maua yamepukutisha sana mzigo unaadimika na soko la uchina limefunguka
Sio China tu. Kuna hyo jamaa ukiwa na mzigo ananunua. Yeye upeleka uarabuni
Screenshot_20241121-173157_TikTok.jpg

Tembele tiktok uone kazi yake
 
Mkuu fangasi hazishambilii. Bila kupulizia dawa, vimelea huko havipo ?
Mkuu ili shamba nililotembelea ni organic 100% kuna heka 8 . Huyu mkulima apulizii dawa yoyote . Kuhusu fungal ipo ila aina maradhi sana . Sema wakulima wengine utumia tankopa na sulphur ya unga
 
Back
Top Bottom