Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki

Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
1. Kwa imani ya kikristo, uwepo wa dunia na vyote vilivyomo umejengeka kutokea katika kitabu cha Mwanzo.

2. Kwa mujibu wa kitabu hicho binadamu aliumbwa siku ya sita baada ya awali kuumbwa mbingu na nchi.

3. Kwamba hapo #2; day 1: kuliumbwa nuru katika giza; day 2: kukaumbwa mbIngu day 3: ardhi, bahari, mito, mImea; day 4 : jua, mwezi, nyota; day 5: viumbe wengine wote.

4. Kwamba day 6: akaumbwa binadamu ili avitawale vingine vyote.

5. Hakuna popote penye kuonyesha kuna aliyeumbwa popote pengine special tofauti na hapo.

6. Hakuna popote penye kuonyesha nchi iliyoumbwa na Mungu ilikuwa na mipaka.

7. Kwamba kwa uamini huu, historia yetu inaanzia hapa na ndipo day 0; kwamba mwingine yeyote mwenye yake tofauti na hii, kikristo hiyo ni batili.

8. Haina shaka hii dunia bwerere kama ilivyo tulipewa sote na hayupo aliye mjomba zaidi wa Mungu kuliko mwingine.

9. Kwa imani hii ya kikristo, kwa nini ni vigumu kuuvaa u "Tiganga" na kutamka bayana:

I. Wazo la uwepo kwa walio wajomba zaidi wa Mungu ni batili.

II. Watu wote ni ndugu, baba mmoja mama mmoja.

III. Mahasimu wanaogombana kwa jina la upalestina au uisraeli wakaishi pamoja.

IV. Kila mtu akawajibike na gharama zake za kesi.

Natoa amri!
 
Kataa vita, haijalishi unaabudu katika Upagani, Uislam, Ukristo, Hinduism, Buddhism, Rastafarians n.k maana kila kiumbe cha Mungu Muumba mbingu na nchi, viumbe vinavyoonekana na visivyoonekana kina haki za kuishi duniani maana hakikujiumba chenyewe katika sayari hii.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app

Taabu kuna hawa ndugu wafia dini wa aina ya kina Bams, eliasmisinzo, MK254 na wenzao.

2. Wasichokijua, kumbe na wao ni kama wale wenzao; ila ni brain washee wale wale tu, wa kidini.
 
"mpigwe" - ukimaanisha kina nani ndugu? Hata miye Kisaki huku ninayesubiria kitoto Yesu kuzaliwa?

Kwani wewe ni katika wale wasio haki?
Sasa unateseka Nini juu ya wakristo ilhali wanakandwa na wayahudi? Walipovamia Israel na kuua watu walitegemea Nini?. Ukienda nyumba ya mtu na kuua watoto wake na wewe watoto wako watapochinjwa mbele ya macho yako usilalamike.
 
Sasa unateseka Nini juu ya wakristo ilhali wanakandwa na wayahudi? Walipovamia Israel na kuua watu walitegemea Nini?. Ukienda nyumba ya mtu na kuua watoto wake na wewe watoto wako watapochinjwa mbele ya macho yako usilalamike.

1. Mkuu mimi siteseki hata chembe ila ujumbe huu ni mwuungwana labda kuliko wewe:

F3k78Z8a0AAldWM.jpeg


2. Kuna jumbe zaidi huku:

IMG_20231216_142943.jpg


3. Kumbe uvamizi hapa haukuanza 0ct. 7:

Screenshot_20231213-063612.png


4. Kumbe kumekuwa na uvamizi tokea miaka ya 1948?

5. Kwa hiyo kwako na makasiriko yako dhidi ya dhwalimu ni kuanzia lini ndugu?

6. Nikadhani tuanzie day 0?
 
1. Mkuu mimi siteseki hata chembe ila ujumbe huu ni mwuungwana labda kuliko wewe:

View attachment 2851454

2. Kuna jumbe zaidi huku:

View attachment 2851455

3. Kumbe uvamizi hapa haukuanza 0ct. 7:

View attachment 2851457

4. Kumbe kumekuwa na uvamizi tokea miaka ya 1948?

5. Kwa hiyo kwako na makasiriko yako dhidi ya dhwalimu ni kuanzia lini ndugu?

6. Nikadhani tuanzie day 0?
Unapomdhibiti jambazi anayetaka kukuangamiza wewe na familia yako yote hutohitaji muongozo wa sheria za nchi. Tunajua lengo la hamasi + iran Ni nini, Israel inahaki ya kuwapiga kwa namna yoyote bila kujali haki za binadamu Wala muongozo wa UNSC.
Hiyo 1948 hakukua na uvamizi wowote hiyo ni ardhi ya wayahudi na Ni halali kuimiliki.
 
Taabu kuna hawa ndugu wafia dini wa aina ya kina Bams, eliasmisinzo, MK254 na wenzao.

2. Wasichokijua, kumbe na wao ni kama wale wenzao; ila ni brain washee wale wale tu, wa kidini.

Kwanza kabisa huwa siungi mkono Israel kisa Ukristo wangu, mimi huwa ninaunga mkono upande wowote unaopigana na ugaidi wa dini yenu ya uislamu maana ndio kero dunia hii, leo hii mkipigwa na Budha nitaunga mikono hao Budha, mkipigwa na Wahindi nitaunga mikono Wahindi.
Nyie kazi yenu kulazimisha ugomvi na dini zote kisa huyo muarabu wenu kawaagiza mlazimishe kila mtu kwenye uzombi wenu.

Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.

Fight fight everywhere
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”

main-qimg-59203067b5263c40a82fd971fefe35de


3257805170761984946-jpg-png.2843958
 
1. Kwa imani ya kikristo, uwepo wa dunia na vyote vilivyomo umejengeka kutokea katika kitabu cha Mwanzo.

2. Kwa mujibu wa kitabu hicho binadamu aliumbwa siku ya sita baada ya siku ya kwanza kuumbwa mbingu na nchi.

3. Kwamba hapo #2; day 2: kuliumbwa nuru na giza; day 3: ardhi, bahari, mito; day 4 : jua, mwezi, nyota; day 5: viumbe wengine wote.

4. Kwamba day 6: akaumbwa binadamu ili avitawale vingine vyote.

5. Hakuna popote penye kuonyesha kuna aliyeumbwa popote pengine special tofauti na hapo.

6. Hakuna popote penye kuonyesha nchi iliyoumbwa na Mungu ilikuwa na mipaka.

7. Kwamba kwa uamini huu, historia yetu inaanzia hapa na ndipo day 0; kwamba mwingine yeyote mwenye yake tofauti na hii, kikristo hiyo ni batili.

8. Haina shaka hii dunia bwerere kama ilivyo tulipewa sote na hayupo aliye mjomba zaidi wa Mungu kuliko mwingine.

9. Kwa imani hii ya kikristo, kwa nini ni vigumu kuuvaa u "Tiganga" na kutamka bayana:

I. Wazo la uwepo kwa walio wajomba zaidi wa Mungu ni batili.

II. Watu wote ni ndugu, baba mmoja mama mmoja.

III. Mahasimu wanaogombana kwa jina la upalestina au uisraeli wakaishi pamoja.

IV. Kila mtu akawajibike na gharama zake za kesi.

Natoa amri!
Kwa Iman yetu ya Kikristo humu dunian kuna nguvu mbili zitawala. Upande wa giza na Nuru. Haijalishi mmezaliwa binadamu wote lakin kuna wawakilishi wa giza na wa Nuru. Rifaa kwa Cain na Abel.
 
Kwanza kabisa huwa siungi mkono Israel kisa Ukristo wangu, mimi huwa ninaunga mkono upande wowote unaopigana na ugaidi wa dini yenu ya uislamu maana ndio kero dunia hii, leo hii mkipigwa na Budha nitaunga mikono hao Budha, mkipigwa na Wahindi nitaunga mikono Wahindi.
Nyie kazi yenu kulazimisha ugomvi na dini zote kisa huyo muarabu wenu kawaagiza mlazimishe kila mtu kwenye uzombi wenu.

Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.

Fight fight everywhere
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”

main-qimg-59203067b5263c40a82fd971fefe35de


3257805170761984946-jpg-png.2843958

1. Uliyoandika hapa yanahusiana vipi mada ndugu?

2. Mada iko wazi:

"Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki"

3. Kwamba?

"Kwanza kabisa huwa siungi mkono Israel kisa Ukristo wangu, mimi huwa ninaunga mkono .."

4. Nani kaongelea wewe unamwunga mkono nani au kwa nini, kwenye mada hii?

5. Kulikoni kuzua mada zisizokuwa na mashiko yoyote ndani ya mada zisizohusika?
 
Kwa Iman yetu ya Kikristo humu dunian kuna nguvu mbili zitawala. Upande wa giza na Nuru. Haijalishi mmezaliwa binadamu wote lakin kuna wawakilishi wa giza na wa Nuru. Rifaa kwa Cain na Abel.

1. Mkuu Imani za kikristo si kwenye jambo moja. Zipo Imani nyingi kuhusu mambo mbalimbali.

2. Hata nilizoandika hapa ni Imani zetu za kikristo kwenye jambo hili la uumbaji na bila upendeleo wowote.

3. Kulikoni kuikimbia hii niliyoandika hapa kwani si kweli?

4. Au ni katika kuthibitisha kwako hii haipendezi kuhusiana na ambacho tungekupendekea hapa tu?

5. Kumbuka kichwa cha mada:

"Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki"

6. Au kuna popote nilipoandika ambapo si kweli?
 
Unapomdhibiti jambazi anayetaka kukuangamiza wewe na familia yako yote hutohitaji muongozo wa sheria za nchi. Tunajua lengo la hamasi + iran Ni nini, Israel inahaki ya kuwapiga kwa namna yoyote bila kujali haki za binadamu Wala muongozo wa UNSC.
Hiyo 1948 hakukua na uvamizi wowote hiyo ni ardhi ya wayahudi na Ni halali kuimiliki.

1. Sasa mkuu Mbona miye nimekupa historia ya watu na hata waliopewa ardhi tokea day 0?

2. Au kuna popote nilipokosea?

3. Uthibitisho niliokupa usio na shaka jambazi pale ni Israel.

4. Kwamba nyie mnajua ile ni ardhi ya wayahudi na hamjali miongozo ya UNSC wala haki za bindamu?

5. Kumbe mnajulia wapi sasa na kumbe washari ni nInyi msiotaka kufuata utaratibu wa sheria?

6. Hapo #5, mmasai huamini ng'ombe wote duniani ni wake.

7. Hapo #5, mtusi madaraka yoyote na hasa ya utawala popote duniani ni yake.

8. Kuendekeza imani za watu, vipi wengine wakiamini wewe ni nyama yao ya kula?
 
1. Uliyoandika hapa yanahusiana vipi mada ndugu?

2. Mada iko wazi:

"Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki"

3. Kwamba?

"Kwanza kabisa huwa siungi mkono Israel kisa Ukristo wangu, mimi huwa ninaunga mkono .."

4. Nani kaongelea wewe unamwunga mkono nani au kwa nini, kwenye mada hii?

5. Kulikoni kuzua mada zisizokuwa na mashiko yoyote ndani ya mada zisizohusika?
Mpuuzie.
 
1. Sasa mkuu Mbona miye nimekupa historia ya watu na hata waliopewa ardhi tokea day 0?

2. Au kuna popote nilipokosea?

3. Uthibitisho niliokupa usio na shaka jambazi pale ni Israel.

4. Kwamba nyie mnajua ile ni ardhi ya wayahudi na hamjali miongozo ya UNSC wala haki za bindamu?

5. Kumbe mnajulia wapi sasa na kumbe washari ni nInyi msiotaka kufuata utaratibu wa sheria?

6. Hapo #5, mmasai huamini ng'ombe wote duniani ni wake.

7. Hapo #5, mtusi madaraka yoyote na hasa ya utawala popote duniani ni yake.

8. Kuendekeza imani za watu, vipi wengine wakiamini wewe ni nyama yao ya kula?
Tatizo kuna wenye haki miliki na wenye hati miliki hapo kwenye hiyo ardhi, Israel anaonekana kuwa na hatimiliki ila mwenzake ana hakimiliki.
 
Back
Top Bottom