Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki

Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki

Hii title ya thread yako sijailewa. Unaweza kuifafanua?

"Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki."

1. Ukweli - Uhalisia wa hakika uliopo.

2. Usiopendwa - unaoepukwa, usioongelewa, usiokidhi maslahi fulani.

3. Wasio haki - wale wenye jambo la kuficha, wenye hila, waongo, wapotoshaji, wabinafsi.

Hadi hapo bado kuna kisichoeleweka?
 
"Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki."

1. Ukweli - Uhalisia wa hakika uliopo.

2. Usiopendwa - unaoepukwa, usioongelewa, usiokidhi maslahi fulani.

3. Wasio haki - wale wenye jambo la kuficha, wenye hila, waongo, wapotoshaji, wabinafsi.

Hadi hapo bado kuna kisichoeleweka?
Wakristo wasio haki ?
Ww ni nani hasa hadi kuweza kusema "wakristo wasio haki"?
Wakristo walio haki ni kina nani hasa ?
 
Wakristo wasio haki ?
Ww ni nani hasa hadi kuweza kusema "wakristo wasio haki"?
Wakristo walio haki ni kina nani hasa ?

1. Nimetafsiri kwa ufasaha kila kitu pale kasoro neno wakristo.

2. Wakristo ni watu kama walivyo waislam, baniani, mabuddha, watanzania, wagogo, wasukuma nk.

3. Key words ni "wasio haki" wewe huoni kuwa kuwa kwa hali hiyo kama binadamu "walio haki" na "wasio haki" huwapo?

4. Angalizo jikite kwenye mada badala ya kukaza ubongo.

5. Kilichoandikwa kote ni kiswahili usitake kulazimisha yako yasiyokuwapo.
 
1. Nimetafsiri kwa ufasaha kila kitu pale kasoro neno wakristo.

2. Wakristo ni watu kama walivyo waislam, baniani, mabuddha, watanzania, wagogo, wasukuma nk.

3. Key words ni "wasio haki" wewe huoni kuwa kuwa kwa hali hiyo kama binadamu "walio haki" na "wasio haki" huwapo?

4. Angalizo jikite kwenye mada badala ya kukaza ubongo.

5. Kilichoandikwa kote ni kiswahili usitake kulazimisha yako yasiyokuwapo.
Ww unaona ulivyoandika hapo ni point kabisa.
Epuka kuweka watu na imani zao katika makundi. Huna haki wala mamlaka ya kufanya hivyo.
Na pia mbaya zaidi mwishoni unamalizia kwa kuandika "Ni amri".
Amri kwa nani? Ww ukiwa kama nani?

Katika dunia kuna madhehebu mangapi ?
Why single out Wakristo ?
Katika ukristo kuna madhehebu mangapi ?

Na unakuja na mbanga za kukaza ubongo.
Ww umekaza shingo au unatumia kichwa kama kifunikio cha shingo?
 
Mkuu hili ni JANGA, maneno makali sana haya wanafundishana hawa wahuni.
 
Ww unaona ulivyoandika hapo ni point kabisa.
Epuka kuweka watu na imani zao katika makundi. Huna haki wala mamlaka ya kufanya hivyo.
Na pia mbaya zaidi mwishoni unamalizia kwa kuandika "Ni amri".
Amri kwa nani? Ww ukiwa kama nani?

Katika dunia kuna madhehebu mangapi ?
Why single out Wakristo ?
Katika ukristo kuna madhehebu mangapi ?

Na unakuja na mbanga za kukaza ubongo.
Ww umekaza shingo au unatumia kichwa kama kifunikio cha shingo?

1. Huna lolote mjomba; Soma mada kuelewa (if you like); wapi nimetoa amri?

2. Wacha kurukia treni Kwa mbele.

3. Usinitishe wala tusitishane!

4. Kipi kipya katika nilichoandika?

Bure kabisa!
 
1. Huna lolote mjomba; Soma mada kuelewa (if you like); wapi nimetoa amri?

2. Wacha kurukia treni Kwa mbele.

3. Usinitishe wala tusitishane!

4. Kipi kipya katika nilichoandika?

Bure kabisa!
Mm sio mjomba wako.


Soma mwisho wa andiko lako.
Neno "Natoa Amri" lipo kama bumper sticker?
Nikutishe for what hasa? You mean nothing to me.
Kuna watanzania wawili wameuawa ukanda wa Gaza. Hilo hujaona kama ni jambo la maana na kuzungumzia ukaamua kuamka na Wakristo.
Get your shit together
 
Mm sio mjomba wako.


Soma mwisho wa andiko lako.
Neno "Natoa Amri" lipo kama bumper sticker?
Nikutishe for what hasa? You mean nothing to me.
Kuna watanzania wawili wameuawa ukanda wa Gaza. Hilo hujaona kama ni jambo la maana na kuzungumzia ukaamua kuamka na Wakristo.
Get your shit together

1. Wapi nimesema wewe mjomba wangu mburula wewe?

2. To whom do think you mean anything at all?

3. Watanzania waliokufa ni wengi na wengine wamekufa Manyara na hadi kwenye viroba walikuwamo.

4. #3 hilo hujaliona ila unaongea shit mwanzo mwisho na vilio vya mamba; kumbe ukidhani una akili au uzalendo kuliko nani?

5. "Natoa Amri" ni #9 ambayo si andiko. Soma #9 kutofautisha na andiko. Shule acheni kwenda kusomea ujinga!
 
1. Ukuongelea archeologists, unarudi kwenye history ambayo umetaka isiongelewe.

2. Kwamba upo upo hujui unasema au husemi nini.

Hehehehe Tatizo ilmu ya madrasa huwapa shida sana mnakua kama mazombi tu, mbona msiwe mnajiongeza zaidi ya kuvaa mikanzu na kuotesha mindevu.
Nimekuambia sijataja sehemu kwamba Wayahudi walipewa hapo na Mungu, maana sina uwezo wa kudhihirisha uwepo wa Mungu, it's a personal experience.
Lakini historia naikubali maana inaonyesha uwepo wa Wayahudi pale eneo hata kabla muarabu hajabuni dini yenu
Mkubali kuishi na Wayahudi kwa amani la sivyo mtaendelea kufa sana na hizi kauli zenu.

main-qimg-59203067b5263c40a82fd971fefe35de
 
Usipofuata anachoandika mtu nadharia anazoandika mtu kumbe utaziona je?

Natumia zaidi ya nadharia kujua kundi lako.... LIKES zako zilifanya nimekuweka kwenye kundi la magaidi wa waislamu.
 
Wajilinde dhidi ya nani wakati adui yao mkubwa magaidi ya Hamas yanadhibitiwa na Israeli.

Adui wa Palestina sio Hamas, adui wa Palestina ni Israel, Israeli amepewa mamlaka yakumiliki silaha zote huku adui yake Palestina akifungwa mikono.

Suluhu ni kumruhusu Palestina naye amiliki silaha, awe na jeshi na aruhusiwe kujilinda na kupambania madai yake, dunia iwaache waishi hivyo mpaka wenyewe siku watakayoamua na kuona sasa wanahitaji amani.

Ni ujinga, kumuacha Israeli afanye anayofanya huku tukijua anaowafanyia hivyo hawana silaha na hawaruhusiwi kumiliki silaha.
 
Natumia zaidi ya nadharia kujua kundi lako.... LIKES zako zilifanya nimekuweka kwenye kundi la magaidi wa waislamu.

Onyesha moja niione .. ukweli mchungu, huna na huwezi kuipata!
 
Adui wa Palestina sio Hamas, adui wa Palestina ni Israel, Israeli amepewa mamlaka yakumiliki silaha zote huku adui yake Palestina akifungwa mikono.

Suluhu ni kumruhusu Palestina naye amiliki silaha, awe na jeshi na aruhusiwe kujilinda na kupambania madai yake, dunia iwaache waishi hivyo mpaka wenyewe siku watakayoamua na kuona sasa wanahitaji amani.

Ni ujinga, kumuacha Israeli afanye anayofanya huku tukijua anaowafanyia hivyo hawana silaha na hawaruhusiwi kumiliki silaha.
Zile silaha walizotumia kufanya ugaidi October 7 wanazipata wapi kwani?!
 
Zile silaha walizotumia kufanya ugaidi October 7 wanazipata wapi kwani?!

Zile ni homemade hakuna silaha.

Hata yale marockets mengi ni homemade.

Palestina wanaviwanda vidogovidogo vya kienyeji kutengeneza silaha ndogo ndogo za kujilinda maana wamepigwa pini kila mahala ili wasiingize silaha kutoka kokote kule.
 
Zile silaha walizotumia kufanya ugaidi October 7 wanazipata wapi kwani?!
Zile ni homemade hakuna silaha.

Hata yale marockets mengi ni homemade.

Palestina wanaviwanda vidogovidogo vya kienyeji kutengeneza silaha ndogo ndogo za kujilinda maana wamepigwa pini kila mahala ili wasiingize silaha kutoka kokote kule.
Yes wapigwe pini maana wakipata silaha kubwa wataleta zaidi maugaidi Israeli
 
Back
Top Bottom