Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki

Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki

Si kuwa uhangaike kutafuta, ushahidi huna na hutakaa uupate.

Sina haja ya kuutafuta maana niliutumia kukuweka kwenye kiwango kimoja na magaidi ya humu.
Mtu akiweka bango la hovyo, kila atakayelipa LIKE huwa amefungamana na hiyo kauli.
 
1. Imekuwa siku njema ya nyama choma, ndizi choma, malimao chumvi, pili pili, vishushio, nk; yaani full burudani!

2. hIvi wasiraeli waliumbwa siku ya ngapi? Wapalestina nao je?

3. Ni hayo tu kwa hIvi vitu choma muwajibike wenyewe kama familia tena naturally - nje kwa kuni. 😀

Masuala ya nani kaumbwa siku ya ngapi au swali lolote la kidini huwa sihangaiki kuumiza akili, mimi ni muumini wa uwepo wa Yesu Kristo, haya masuala ya kiimani ni personal experience na sio kitu ninachoweza kudhihirisha kwa mtu mwingine, na ndio maana siwezi kufanya kama ambavyo nyie hufanya, kuchinja watu mkiwalazimisha dini.

Sina namna ya kumdhihirishia mtu yeyote uwepo wa Mungu, maana mwenyewe experience yangu na Yesu sina namna ya kuieleza kisayansi au kwa mtu anayefuata logics au common sense.
Hivyo hata nyie na huyo muarabu wenu hamna namna ya kudhihirishia mtu yeyote hapo Tandale zaidi ya kuvaa mikanzu, kuotesha ndevu na makobaz mkitembea.

Hamna siku hata moja utanikuta kwenye ligi ya kidini, eti dini ipi ndio kweli, hayo huwa naachia Yesu mwenyewe atembelee wasiomtambua namna alivyonitembelea, sio kitu cha kulazimishia mtu. Nimeshuhudia waislamu waliotembelewa na Yesu wakibadilika wenyewe, mtu anapata hiyo personal experience aidha anaponywa kimiujiza baada ya maombi.

Hutanikuta napambana na athests wa humu kama akina Kiranga wanapolumbana na akina Bwana Utam
 
1. Kwa imani ya kikristo, uwepo wa dunia na vyote vilivyomo umejengeka kutokea katika kitabu cha Mwanzo.

2. Kwa mujibu wa kitabu hicho binadamu aliumbwa siku ya sita baada ya awali kuumbwa mbingu na nchi.

3. Kwamba hapo #2; day 1: kuliumbwa nuru katika giza; day 2: kukaumbwa mbIngu day 3: ardhi, bahari, mito, mImea; day 4 : jua, mwezi, nyota; day 5: viumbe wengine wote.

4. Kwamba day 6: akaumbwa binadamu ili avitawale vingine vyote.

5. Hakuna popote penye kuonyesha kuna aliyeumbwa popote pengine special tofauti na hapo.

6. Hakuna popote penye kuonyesha nchi iliyoumbwa na Mungu ilikuwa na mipaka.

7. Kwamba kwa uamini huu, historia yetu inaanzia hapa na ndipo day 0; kwamba mwingine yeyote mwenye yake tofauti na hii, kikristo hiyo ni batili.

8. Haina shaka hii dunia bwerere kama ilivyo tulipewa sote na hayupo aliye mjomba zaidi wa Mungu kuliko mwingine.

9. Kwa imani hii ya kikristo, kwa nini ni vigumu kuuvaa u "Tiganga" na kutamka bayana:

I. Wazo la uwepo kwa walio wajomba zaidi wa Mungu ni batili.

II. Watu wote ni ndugu, baba mmoja mama mmoja.

III. Mahasimu wanaogombana kwa jina la upalestina au uisraeli wakaishi pamoja.

IV. Kila mtu akawajibike na gharama zake za kesi.

Natoa amri!
Katika hicho kitabu cha mwanzo soma vizuri utaona kuwa Mungu alianzisha taifa ili kujifunua kwa wanadamu na kupitia taifa hilo kwa maana ya kizazi baada ya kizazi akazaliwa mwana wa Mungu ili kuokoa wanadam na ukisoma vizuri utaona kuwa kitabu hichohicho cha mwanzo mwana ibilisi naye akaanzisha taifa ili kupingana na na vya Mungu na ukisoma kwa umakini utaona kuwa mwanzilishi wa taifa hilo alifukuzwa toka kwa babaye na ya kuwa mwanzilishi wa raifa hilo hakupewa urithi au baraka ya ardhi na ndiye huyo watu wake leo hii wanalalamika na kusema ardhi ni yetu yetu.
 
Katika hicho kitabu cha mwanzo soma vizuri utaona kuwa Mungu alianzisha taifa ili kujifunua kwa wanadamu na kupitia taifa hilo kwa maana ya kizazi baada ya kizazi akazaliwa mwana wa Mungu ili kuokoa wanadam na ukisoma vizuri utaona kuwa kitabu hichohicho cha mwanzo mwana ibilisi naye akaanzisha taifa ili kupingana na na vya Mungu na ukisoma kwa umakini utaona kuwa mwanzilishi wa taifa hilo alifukuzwa toka kwa babaye na ya kuwa mwanzilishi wa raifa hilo hakupewa urithi au baraka ya ardhi na ndiye huyo watu wake leo hii wanalalamika na kusema ardhi ni yetu yetu.

Mkuu haya mambo ni njema zaidi kwenda hoja Kwa hoja:

1. Nilitegemea uonyeshe kama kuna mtu aliumbwa tofauti na siku ya 6.

2. Nikategemea kama kuna ardhi hakupewa binadamu na Mungu.

3. Nikategemea ukanushe kama sisi sote si wajomba kamili wa Mungu.

4. Vinginevyo pote nilipoandika ni kweli na kweli tupu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Masuala ya nani kaumbwa siku ya ngapi au swali lolote la kidini huwa sihangaiki kuumiza akili, mimi ni muumini wa uwepo wa Yesu Kristo, haya masuala ya kiimani ni personal experience na sio kitu ninachoweza kudhihirisha kwa mtu mwingine, na ndio maana siwezi kufanya kama ambavyo nyie hufanya, kuchinja watu mkiwalazimisha dini.

Sina namna ya kumdhihirishia mtu yeyote uwepo wa Mungu, maana mwenyewe experience yangu na Yesu sina namna ya kuieleza kisayansi au kwa mtu anayefuata logics au common sense.
Hivyo hata nyie na huyo muarabu wenu hamna namna ya kudhihirishia mtu yeyote hapo Tandale zaidi ya kuvaa mikanzu, kuotesha ndevu na makobaz mkitembea.

Hamna siku hata moja utanikuta kwenye ligi ya kidini, eti dini ipi ndio kweli, hayo huwa naachia Yesu mwenyewe atembelee wasiomtambua namna alivyonitembelea, sio kitu cha kulazimishia mtu. Nimeshuhudia waislamu waliotembelewa na Yesu wakibadilika wenyewe, mtu anapata hiyo personal experience aidha anaponywa kimiujiza baada ya maombi.

Hutanikuta napambana na athests wa humu kama akina Kiranga wanapolumbana na akina Bwana Utam

1. Sihangaiki na historia pia lakini nimelazimika kujiangalia baada ya kukuona ukikomalia kuwa Israel alipewa eneo na Mungu.

2. #1 hapo' ikanifanya kuikumbuka historia tokea day 0.

3. Kwamba hupendi kuangalia ilikuwaje kuanzia kwenye uumbaji?

4. Jibu la #3 hapo ni kuwa si wewe peke yako; wenzako hawa hapa:

"Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki."

5. Wakristo wasio haki hawawezi kuupenda ukweli huo, laiti ungefutwa!
 
Mkuu haya mambo ni njema zaidi kwenda hoja Kwa hoja:

1. Nilitegemea uonyeshe kama kuna mtu aliumbwa tofauti na siku ya 6.

2. Nikategemea kama kuna ardhi hakupewa binadamu na Mungu.

3. Nikategemea ukanushe kama sisi sote si wajomba kamili wa Mungu.

4. Vinginevyo pote nilipoandika ni kweli na kweli tupu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Fundisho hujengwa kwa maandiko zaidi ya 1 ndiyo kanuni ya biblia. Haitakiwi kuchomoka na mstari mmoja then ujenge fundisho kupitia mstari huo kwa lengo la kutaka kuonyesha biblia inaunga mkono kile unachoamini. Maana wewe kuna unachoamini sasa basi ulichofanya ni kutafuta mstari wa biblia then ndo ukaandika hayo uliyoandika kwa lengo la kuonyesha biblia inaunga mkono ingawa umejificha ficha hivi🤣😂😆
 
Fundisho hujengwa kwa maandiko zaidi ya 1 ndiyo kanuni ya biblia. Haitakiwi kuchomoka na mstari mmoja then ujenge fundisho kupitia mstari huo kwa lengo la kutaka kuonyesha biblia inaunga mkono kile unachoamini. Maana wewe kuna unachoamini sasa basi ulichofanya ni kutafuta mstari wa biblia then ndo ukaandika hayo uliyoandika kwa lengo la kuonyesha biblia inaunga mkono ingawa umejificha ficha hivi🤣😂😆

1. Mkuu nakusoma kuwa upo ukweli mwingi kuhusiana na wakristo.

2. Hapo #1 ndipo ulipo msingi wa mada hii mahsusi:

"Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki."

3. Au ulipenda niandike pia mada nyingine:

"Ukweli kuhusu Gaza, unaopendwa na wakristo wasio haki? 🤣🤣

4. Si ndipo ulipo umuhimu wa kujikita kwenye mada ndugu?

5. Zingatia #3 na #2, hizo ni mada 2 tofauti.
 
1. Sihangaiki na historia pia lakini nimelazimika kujiangalia baada ya kukuona ukikomalia kuwa Israel alipewa eneo na Mungu.

2. #1 hapo' ikanifanya kuikumbuka historia tokea day 0.

3. Kwamba hupendi kuangalia ilikuwaje kuanzia kwenye uumbaji?

4. Jibu la #3 hapo ni kuwa si wewe peke yako; wenzako hawa hapa:

"Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki."

5. Wakristo wasio haki hawawezi kuupenda ukweli huo, laiti ungefutwa!

Hamna sehemu wala hata siku moja nimesema Israel wamepewa ardhi na Mungu, nimekuambia sina namna ya kudhihirisha uwepo wa Mungu dunia hii, japo mimi ni muumini, hiyo ni personal experience, ni kitu waislamu mnapaswa kujifunza, kutokulazimisha watu haya mambo ya dini.
Kwa kifupi kila sehemu ina historia yake ya namna gani watu walivyoishi pale, kwa mfano Wayahudi waliishi hapo hata kabla muarabu hajabuni hiyo dini yenu.
Archaelogists wamegundua ushahidi wa kutosha kuhusu uwepo wa Wayahudi pale maelfu ya miaka.
Hao Waarabu wenu wangekubali kuishi na Wayahudi kwa amani, sema dini yenu hairuhusu na ndio maana mumeweka hili agano la kuwafuta Wayahudi na mtafutika sana.

main-qimg-59203067b5263c40a82fd971fefe35de
 
Hamna sehemu wala hata siku moja nimesema Israel wamepewa ardhi na Mungu, nimekuambia sina namna ya kudhihirisha uwepo wa Mungu dunia hii, japo mimi ni muumini, hiyo ni personal experience, ni kitu waislamu mnapaswa kujifunza, kutokulazimisha watu haya mambo ya dini.
Kwa kifupi kila sehemu ina historia yake ya namna gani watu walivyoishi pale, kwa mfano Wayahudi waliishi hapo hata kabla muarabu hajabuni hiyo dini yenu.
Archaelogists wamegundua ushahidi wa kutosha kuhusu uwepo wa Wayahudi pale maelfu ya miaka.
Hao Waarabu wenu wangekubali kuishi na Wayahudi kwa amani, sema dini yenu hairuhusu na ndio maana mumeweka hili agano la kuwafuta Wayahudi na mtafutika sana.

main-qimg-59203067b5263c40a82fd971fefe35de

1. Ukuongelea archeologists, unarudi kwenye history ambayo umetaka isiongelewe.

2. Kwamba upo upo hujui unasema au husemi nini.
 
Nilikuambia mimi huwa sifuati tu kile mtu anaandika, ili kujua ulivyo na ili nikuweke kwenye kundi lipi nafuata zaidi ya nadharia unazoandika.

Usipofuata anachoandika mtu nadharia anazoandika mtu kumbe utaziona je?
 
Back
Top Bottom