Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki


Nimesoma kichwa cha mada sikuhangaika kusoma humo ndani, maana wewe ni wale wale huna jipya hata ukivaa mavazi ya aina gani, hivyo ukinitag kwenye haya maunafiki yako huwa sihangaiki kusoma....
Wewe na akina FaizaFoxy na magaidi wengine tunakwenda hivi hivi tu...

Kwanza kabisa huwa siungi mkono Israel kisa Ukristo wangu, mimi huwa ninaunga mkono upande wowote unaopigana na ugaidi wa dini yenu ya uislamu maana ndio kero dunia hii, leo hii mkipigwa na Budha nitaunga mikono hao Budha, mkipigwa na Wahindi nitaunga mikono Wahindi.
Nyie kazi yenu kulazimisha ugomvi na dini zote kisa huyo muarabu wenu kawaagiza mlazimishe kila mtu kwenye uzombi wenu.

Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.

Fight fight everywhere
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”



 
Biblia ina vitabu 72. Sipingi uliyasema kuhusu hapa kwenye uumbaji ila sehemu hiyo haielezi ukweli wote. Usisahau katika Kitabu cha Wafalme Mungu aliwapa Waisraell viongozi wa kijeshi ili wapigane na adui zao, rejea kwa Deborah na Samsoni.


Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 

1. Ninafarijika sana kuwa huna kabisa unachopinga katika niliyoandika.

2. Nami sipingi kuwa biblia ina vitabu vingapi wala kuna nini kingine kimeandikwa humo.

3. Tafadhali zingatia msingi wa mada:

"Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki"

4. Kwamba mimi nimeandika tu ukweli kuhusu Gaza ambao wakristo tena wasio wa haki, wasioupenda.

5. Kwamba wewe unaongelewa:

"Ukweli kuhusu Gaza wanaoupenda wakristo wasiopenda (au wanaopenda haki) ambao wanaoupenda; mimi ni nani kukupinga?"

6. Tusipwelewe mno na mihemko ya kidini na kubakia kujihesabia haki tu dhidi ya wengine.

7. Kwa hakika hapo #6 hata kwa Mungu ni machukizo!

MK254, si kwa ubaya ndugu.
 

Nenda mpaka kwa Kaini na Abeli. Watu/binadamu walianza siku nyingi mtimanyongo. Wala si suala la Ukristu na Uislamu.

Tuzishinde tamaa zetu, kujiona wenye kufaa kuliko wengine au wenye mahitaji zaidi ya wengine.
 
Nenda mpaka kwa Kaini na Abeli. Watu/binadamu walianza siku nyingi mtimanyongo. Wala si suala la Ukristu na Uislamu.

Tuzishinde tamaa zetu, kujiona wenye kufaa kuliko wengine au wenye mahitaji zaidi ya wengine.

1. Kwa hakika kuchagua yanayotufaa na kufumbia macho ya wazi tunayoyaona ni ujuha uliopitiliza.

2. MK254, si kwa ubaya ndugu, kote makando kando yapo!
 

1. Kwamba?

Nimesoma kichwa cha mada sikuhangaika kusoma humo ndani

2. Kisha ukaandika maelezo marefu x 3 na nje kabisa ya mada?

3. Huo si ndiyo ujuha wenyewe sasa? 🤣🤣

Utamu, FaizaFoxy hebu oneni huyu "Juha Kalulu."
 
1. Kwamba?

Nimesoma kichwa cha mada sikuhangaika kusoma humo ndani

2. Kisha ukaandika maelezo marefu x 3 na nje kabisa ya mada?

3. Huo si ndiyo ujuha wenyewe sasa? 🤣🤣

Utamu, FaizaFoxy hebu oneni huyu "Juha Kalulu."

Nimesoma kichwa cha mada sikuhangaika kusoma humo ndani, maana wewe ni wale wale huna jipya hata ukivaa mavazi ya aina gani, hivyo ukinitag kwenye haya maunafiki yako huwa sihangaiki kusoma....
Wewe na akina FaizaFoxy na magaidi wengine tunakwenda hivi hivi tu...

Kwanza kabisa huwa siungi mkono Israel kisa Ukristo wangu, mimi huwa ninaunga mkono upande wowote unaopigana na ugaidi wa dini yenu ya uislamu maana ndio kero dunia hii, leo hii mkipigwa na Budha nitaunga mikono hao Budha, mkipigwa na Wahindi nitaunga mikono Wahindi.
Nyie kazi yenu kulazimisha ugomvi na dini zote kisa huyo muarabu wenu kawaagiza mlazimishe kila mtu kwenye uzombi wenu.

Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.

Fight fight everywhere
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”



 
1. Kwa hakika kuchagua yanayotufaa na kufumbia macho ya wazi tunayoyaona ni ujuha uliopitiliza.

2. MK254, si kwa ubaya ndugu, kote makando kando yapo!

Nilikuambia mimi siungi mkono Israel kisa Ukristo, kwanza Wayahudi sio Wakristo.
Mimi ninaunga mkono popote mnapokea kichapo kila mnapolazimisha ugomvi.
Mkianzisha na Wahindi, naunga mikono Wahindi
Mkianzisha na Wabutha, naunga mikono Wabutha
Mkianzisha na Wachina, naunga mikono Wachina

Popote mnaanzisha ugomvi huwa natamani mpigwe hadi mtie akili.
Mnapaswa muabudu hayo mavitu yenu bila kulazimisha dunia iwafuate, mkubali kuishi na watu kwa amani wala hautaona mkiuawa.
Hapa hii hapa agano ya HAMAS inayotia nadhiri kuuawa kwa Wayahudi wote, halafu mlivyo na mioyo mieusi ya kigaidi mnawaunga mikono, yaani mpigwe mfe tu, kwanza huyo muarabu mnayemshobokea huona weusi kama mbwa..
By the way nimesoma kichwa cha uzi wala sijahangaika kuingia kusoma hoja maana ni yale yale




 

Miye siyo hao unaowadhania, kisha ukakaza ubongo kujiaminisha wewe. Huo ni ujuha Kalulu!

In a nutshell niko kisaki huku tumechinja mbuzi, tutachoma nyama na kushereheka mtoto Yesu kazaliwa!
 

1. Nimekwambia mada haikuhusu wewe kwa lolote. Kwani una umuhimu gani wewe, wapi au kwenye nini?

"Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki"

2. Unaona unahusika wapi hapo'?
 
dunia iruhusu silaha ziingie Palestina ili nao wajilinde sasa.

Mkuu dunia bila kina Mandela, Nyerere, Gaddafi, Saddam, Castro na wa namna hiyo ni mfukoni mwa beberu.

Putin alipo mikono michafu Ukraine aseme nini? Dogo janja North Korea umri, Bado hajakomaa.

Mchina hapo kabakia peke yake.

Kina sisi ndivyo hao tena hata falsafa za vyama vyetu hayupo ajuaye.
 
Miye siyo hao unaowadhania, kisha ukakaza ubongo kujiaminisha wewe. Huo ni ujuha Kalulu!

In a nutshell niko kisaki huku tumechinja mbuzi, tutachoma nyama na kushereheka mtoto Yesu kazaliwa!

Hamna, wewe ni hao kabisa tena huwa rahisi sana kuwaumbua unafiki wenu humu ndani, huwa mnajifanya kuandika vinadharia vya namna mlivyo wastaarabu ila ukichunguzwa taratibu unakutwa umetia "LIKE" kwenye mabandiko ya kigaidi humu, yaani unakuta mtu kaandika comment ya kiugaidi wa kiislamu kabisa ile kiasi kwamba anapaswa hata apigwe ban, humo unakuta waliompa LIKE, wewe ni miongoni, hapo ndio huwa najua kutofautisha magaidi humu.

Anyway wewe kula mbuzi kusheherekea Yesu, ila tafuta mtu akuhubirie nini maana ya yote hayo.
 
1. Nimekwambia mada haikuhusu wewe kwa lolote. Kwani una umuhimu gani wewe, wapi au kwenye nini?

"Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki"

2. Unaona unahusika wapi hapo'?

Ulinitag, maana kwamba moja kwa moja ulinihusisha kwenye haya manadharia yenu ya kiunafiki.
Ndio maana nikakujibu mimi siungi mkono Israel kisa Ukristo wangu, ila huwa naunga mikono upande wowote mnao anzisha ugomvi nawo, iwe Wahindu nitawaunga hao Wahindu maana nyie mumeshindikana kuishi na binadamu wengine kwa amani.

Kwenye vinadharia vyako vya kutaka kuaminisha watu kwamba HAMAS wanapambania uhuru, huwa unafumbia macho kiunafiki agano lao la kutaka kuifuta Israel, jiulize muwe hapo kajirani kwa mfano Rwanda ambako kanapambana kufuta Tanzania tena kanatumia maandiko ya uislamu, na kila wakivamia hawachagui pakupiga, wanaua na kuteka watoto.........
Yaani Israel nawaona wavumilivu sana maana ningekua naiongoza ile nchi ningewalipua hao mazombi kwa kutumia carpet bombing pumbavu zao.

 

1. Wapi nimeweka "like" kwenye hoja yoyote ya kigaidi? Weka ushahidi.

2. Kwamba umeshindwa kujibu hoja yoyote kwenye mada hii ya wazi.

3. Kwamba kwenye #2 hapo nimekuonyesha sote ni wa Mungu na hakuna aliye bora kuliko mwingine.

4. Ninadhani niendelee kushushia mbuzi nikizitafakari salamu kuntu hIzi:

HAMAS yatuma salamu za Christmas kwa wakristo

5. Hapo #4 Kwa maana katika Mt. 11: 28-30 imeandikwa:

"Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha."

6. #5, ujumbe kuntu kabisa: kwako, kwangu na hasa wale ndugu kule Gaza chini ya dhwalimu baya kabisa, lisilokuwa na kibali chochote machoni kwa Mungu.
 

1. Wapi popote nimeandika kuhusu nadharia yoyote?

2. Rahisi si kuweka tu ushahidi ndugu?

3. Mbuzi anaelekea kuwiva: "Heri ya Christmas mjomba."

4. Zaidi sana tuwaombee wasumbukao na mzigo wa vita Palestina.

5. Na hasa wao wanapotukumbuka pia:

HAMAS yatuma salamu za Christmas kwa wakristo
 

Nihangaike kutafuta ushahidi wa nini wakati unajijua na unajua hizo likes za misimamo ya kigaidi, nimekuambia nikishaumbua huwa nawaweka kwenye kundi moja.
Siwezi nikahngaika kujibu mada yoyote inayoletwa na mnafiki wa kigaidi, kwa kifupi hata siwezi kusoma zaidi ya mstari wa kwanza, huwa nasoma kichwa tu natupa kule.
Yaani mtu yeyote anayewaunga mkono hawa hapaswi kujadili chochote, ni gaidi fulu

 

Si kuwa uhangaike kutafuta, ushahidi huna na hutakaa uupate.
 
Hehehe Uzuri nilishakuumbua hunipi shida, migaidi lazima mhangaishwe

Hehehe Uzuri nilishakuumbua hunipi shida, migaidi lazima mhangaishwe


1. Imekuwa siku njema ya nyama choma, ndizi choma, malimao chumvi, pili pili, vishushio, nk; yaani full burudani!

2. hIvi wasiraeli waliumbwa siku ya ngapi? Wapalestina nao je?

3. Ni hayo tu kwa hIvi vitu choma muwajibike wenyewe kama familia tena naturally - nje kwa kuni. 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…