Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki

Yes wapigwe pini maana wakipata silaha kubwa wataleta zaidi maugaidi Israeli

kwahiyo aachwe Israeli afanye maugaidi na kuua mamilioni ya watu, Yaani Istaeli ni ruksa kuua na ndio mwenye haki ya kujilinda, ila Palestina ndio hana haki.
 
kwahiyo aachwe Israeli afanye maugaidi na kuua mamilioni ya watu, Yaani Istaeli ni ruksa kuua na ndio mwenye haki ya kujilinda, ila Palestina ndio hana haki.
Adui mkubwa wa Palestine sio Israeli bali hamas.
Bila hamas kufanya ugaidi na kuua raia zaidi ya 1400 ikiwemo Watz wenzetu wawili Kusingekua na vita sasa hivi
 

Attachments

  • D3DB8E9A-CC09-4E93-A3D0-0F0608428094.jpeg
    46.8 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…