kwahiyo aachwe Israeli afanye maugaidi na kuua mamilioni ya watu, Yaani Istaeli ni ruksa kuua na ndio mwenye haki ya kujilinda, ila Palestina ndio hana haki.
kwahiyo aachwe Israeli afanye maugaidi na kuua mamilioni ya watu, Yaani Istaeli ni ruksa kuua na ndio mwenye haki ya kujilinda, ila Palestina ndio hana haki.
Adui mkubwa wa Palestine sio Israeli bali hamas.
Bila hamas kufanya ugaidi na kuua raia zaidi ya 1400 ikiwemo Watz wenzetu wawili Kusingekua na vita sasa hivi