Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

Lazima kwanza ujiulize,Israel ni nani? Israel ni Yakobo na si Ibrahim wala mwanae Isaka. Unaposema Ibrahim hakuwa Mwarabu,umejiuliza asili yake? Jibu ni kwamba Ibrahim alitoka Uru ya Wakaldayo ambayo baadaye ikaitwa Iraq.Je,Iraq ni Waarabu au siyo Waarabu? Yote Kwa yote hawa watu wote si ndugu zangu wala Nini ila wote sisi tunamuabudu Mungu.
[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581]
 
Wahuni walipotosha historia kwa manufaa yao

Bible inasema Ibrahimu alizaa na binti wa Misri(afrika ya watu weusi wana wa ham) na kama iaminikavyo kuwa ibrahimu alikuwa muisrael hao watu weupe, je inakuaje mtoto huyo ishmael aje kuwa mwarabu wakat baba alizaa na binti mweusii?

Ukweli ni kuwa Ishamael alikuwa mtu mweusi ambaye asili yake ni afrika kiufupi kwa leo tungemuita Afro-Asiatic yaan mwafrika mwenye asili ya asia(mtu mweusi) kwa kuongelea hili inatosha kuleta maana kwamba ishamael sio baba wa uislam wala sio baba wa waarabu maana mtu mweusi na uarabu wapi na wapi? Mtu mweusi na uislam wap na wapi?

Wazungu na waarabu walishirikiana kuchafua historia ya mtu mweusi kwa manufaa yao, alafu hiyo nchi mnayoita israel haijawai kuwepo hapo kabla ya kuundwa na umoja wa mataifa miaka ya 1947-8 kabla ya kuundwa hiyo ardhi ilikuwa mali ya watu weusi baadae wakaja kujipachika waarabu hao wapalestina, then baada ya wazungu kuona ilo ni eneo la kimkakati kisiasa, kiuchumi na kijamii(kidini) basi waliamua kutumia historia ambayo haikuwahusu hao wanaojiita waisrael wa sasa bali ilikuwa historia ya waafrika wa zamani, wakaitumia historia hiyo kibiblia kuwa eneo hilo la ardhi ya palestina ni mali na urithi wa hawa majambazi wayahudi wa uongo, uku wakitumia biblia na baadhi ya maandiko ya dini yao ya kizushi, hapa ndipo ugomvi ulipoanza kuzuka.

Wazungu baada ya kujipa ardhi ya palestina kibabe walijenga mahekalu feki, makaburi feki ya watu wa kale hiyo yote ilikuwa target ya kutengeneza historical sites za uongo kama ushahidi kuwa wao waliishi hapo.

Jamani huu mgogoro huwezi kuuelewa kama unatumia dini kuelezea, dini hazijui kitu maana zimekuja juzi tu alafu dini hizo hizo ndizo wamezitumia kama njia ya wao kujimilikisha historia zisizo zao.

Myahudi kuchukiwa ilo eneo ni sababu kavamia eneo ambalo si lake, mkitaka mujue kweli, rudi ufuatilie historia ya kweli kabla ya miaka 1800 kurudi nyuma iyo ardhi ilikaliwa na nani? Na hata huo mwaka wanaodai Yesu aliishi hapo yerusalem ukifuatilia kihistoria utagundua kuwa ni Uongo Hakuna ushahidi wa Yesu kuishi israel ya sasa wala manabii na hao mitume kuishi hiyo israel ya sasa.

Pia hao wayahudi wa uongo hawana historia yoyote ya kuwekwa Utumwan zaid ya ile propaganda ya wayahudi 300 kuteswa na hitra huku baadhi ya wazungu wakabadiri historia na kusema kuwa wayahud zaid ya milion 3 waliteswa na kuuliwa na hitra jambo ambalo si kweli.

Dini ni nyenzo ama siraha wanayoitumia wazungu kupotosha historia nzima ya dunia bila kusahau propaganda za media na masomo ya uongo.

90% ya habari tunazozijua ni uongo, dunia imejaa uongo kila mahala, kuanzia mashuleni, mpaka ktk dini ni uongo mkubwa, historia ya Akina ibrahimu imechakachuliwa mungejitahidi kusoma ukweli halisi mngegundua kuwa hao watu wa middle east hawana ushirika wala uhusiano wowote na matukio+historia za biblia hata chembe,

Historia za biblia kuanzia mwanzo mpaka kitabu cha mwisho matukio yote hayakutendeka huko middle east na hiyo israel ya uongo, bali matukio hayo yalitendeka ndani ya continent la Afrika, baadae ndipo hao mashetan watu weupe wakabadili historia kwa manufaa yao na kuwaleta hizi dini na siasa mnazobishana kila siku na kuuwana ninyi kwa ninyi huku wao wakizidi kutajirika kwa upumbavu wenu.

Topic za kushindania Udini ni upumbavu mkubwa.
Mkuu hiyo historia ya kweli ya kabla ya 1800 naweza kuipata wapi?
 
Kwa mantiki hiyo ismail hakuwa mwarabu kwa maana babaake sio mwarabu lakini waarabu waliamua kumpachika uarabu ili awe baba wa waarabu.ok
Iburahimu chimbuko lake Iraq je huko kwao wanaishi watu gani hata sasa jibu unalo ingawa utaki
 
Kuna andiko lolote linalosapoti haya uliyotaandiska hapa?ungeliambatanisha ili kujustfy
Do maana yake hauna knowledge yeyote na bible?🤔,,ok nikipata mda ntakuletea vifungu,japo huko mwanzo vifungu nimeweka,,wala sio kazi kujua asili ya Abraham kama unadoma bible
 
Wewe unasemaje? Kwamba ulikuwepo tanagu enzi za Adamu wakati Mohamad ambaye ni mtume na mwanziloishi wa Uislamu amezaliwa mwaka 570 yaani karne ya sita baada ya Yesu.
Dini anaanzisha mtume?,,,
Kwani dini hasa ni za mungu au mitume?
Yesu hakuanzisha ukristo,,wala moses hakuanzisha uyahudi
 
Tupeane elimu kidogo, kuna watu wanachanganya mambo. Hapa tufundishane jambo moja. Kitu cha kwanza kabisa watu wanachokichanganya ni kuhusu Ibrahim, wengi wanasema Ibrahim alikuwa Mwarabu, ndugu yangu, nikwambie tu kwamba jamaa hakuwa Mwarabu.

Ibrahim baada ya kuzaa na kijakazi ambaye alikuwa Mwarabu, inamaanisha damu yake ilichanganyika na ya Kiarabu na ndiyo maana tunasema Ishmael ni baba wa Waarabu kwa sababu mama yake alikuwa Mwarabu.

Nchi za Kiarabu ambazo zipo kwenye umoja ni hizi, Algeria, Bahrain, Iraq, Jordan, Kuwait, Djibout, Saudi Arabia, Tunisia, United Arab Emirates, Yemen, Somalia, Sudan, Syria, Comoros, Misri, Maurtania, Qatar na Palestina.

Kwa nini Waarabu wanamchukia Israel? Ni kwa sababu si Mwarabu mwenzao. Na hao ndiyo wa kizazi cha Ibrahim. Kwa hiyo kama ulikuwa unahisi Ibrahim alikuwa Mwarabu, futa hiyo akilini mwako.

Hata Iran sio Waarabu, najua wengine mtakuwa hamlijui hili kwa undani. Miongoni mwa nchi za Kiarabu, Iran hayupo kwa sababu yeye si Mwarabu.

So Israel na Waarabu ni baba mmoja ila mama tofauti. Ibrahim alizaa na Muisrael mwenzake kwa kipindi hicho ilikuwa bado haijaitwa Israel na mtoto wake kuitwa Isaka ila yule aliyezaa na kijakazi ambaye ni Mwarabu anaitwa Ishmael. Tatizo kubwa la vita baina ya Mwarabu na Israel ni hapa.

Kama Israel angekuwa Mwarabu, leo usingesikia vita vinavyoendelea huko. Na mara zote Israel anawaambiaga kwamba nchi zote za Uarabuni ni mali ya Israel na ndiyo maana kila anapokwenda kupiga, anachukua ardhi na kutanua nchi yake.

Israel walipewa nchi ndogo sana wakae baada ya kutawanywa na Adolf Hitler, baada ya kuanza kurudi, wakaitaka nchi yao, lakini kwa bahati mbaya waliwaona Waarabu washajigawia ardhi yao. Walichokifanya ni kuanza kupigana nao.

Kama unakumbuka Umoja wa Mataifa uliingilia kati, ulichukizwa na kitendo cha Israel kuwapiga Waarabu, walichokifanya, wakawapelekea Biblia ambayo kwa nyuma kuna ramani ya Israel tangu enzi za Musa. Wakawaonyesha na kuwaambia kwamba nchi zote za Uarabuni ni Israel, tutakapokuwa wengi, tutaendelea kupiga na kuirudisha nchi yetu.

So jua hili. Ibrahim hakuwa Mwarabu. Musa hakuwa Mwarabu. Suleimani mtoto wa Daudi na baba yake huyo hawakuwa Waarabu. Ni Waisrael ambao bado wanaendelea kupigana na Waarabu ili wachukue nchi yao iliyowafanya waondoke Misri.

Uzao wa Ibrahim ndiyo uliomleta Yusufu ambaye akawachukua Waisrael kwenda kuishi Misri. Maisha yalikuwa ya raha sana, watu waliionjoi maisha lakini baada ya mfalme huyo kufa, ndipo akaja mfalme mwingine ambaye sasa hakuwataka Waisrael, akawafanya watumwa wake.

Wakafanyishwa kazi. Baadaye ndipo Musa akazaliwa ndani ya ardhi ya Kiarabu. Akapewa jukumu la kuwatoa Israel kutoka hapo Misri kwenda kwao. Wakati huo ndio ambao nao Waarabu walikuwa wamejinyakulia nchi, tena walikuwa ni watu wakubwa kimuonekano.

Musa akaanza mchakato wa kuwatoa Israel Uarabuni na kuwapelekea Israel. Waliishi Misri kwa miaka 400. Wakaondoka na kwenda Misri, na walitumia miaka 40.

Musa hakuingia Israel, alikufa jangwani na Mungu kumzika. Wale waliofanikiwa kuingia huko Israel ndio walioendelea kuipambania ardhi yao mpaka leo hii.

Hapa kuna jambo moja.

Vita ya Israel na Waarabu itapamba moto hapo baadaye. Itapigwa vita kali sana. Sasa kwa kuwa Israel ataonekana kuwa kiburi na mwenye nguvu sana, dunia nzima itaanza kumcharaza. Huyu Marekani anayeonekana kuwa karibu na Israel naye atamgeuka, kila nchi duniani itamgeuka na kumpiga.

Mwisho wa siku baada ya kuona wanapigwa sana, watakimbilia mpaka kwenye mlima ule aliopaa Yesu, wataomboleza na kulia, hapo ndipo Yesu atashuka kuimaliza vita hiyo, na huo ndiyo utakuwa mwisho wa kila kitu.
Asante kwa ufafanuzi. Nina swali moja kwako; Ishmael na Isaka wote ni watoto wa Ibrahim, Ishmael akitangulia kuzaliwa. Wakati Mungu anamwambia Ibrahim amtolee mwanae sadaka, je, Ishmael alikuwepo? Na kama alikuwepo, ni nani kati ya hawa wawili (Ishmael na Isaka), nani aliwekewa nia ya kutolewa sadaka? Na kwanini?
 
Pia baba mkwe wa isaac ,Bethuel ni syrian,Laban mtoto wa bethuel na mjomba wa jacob ni syrian.
So kumbe hata isaac ukifuatilia sara anaweza kuwa syrian girl

Mungu anatujua in and out hata kabla hatujajijua, kwanini atujaribu?
Kama una iman nawe kumbuka hata ibra alijaribiwa ndo mana anaitwa baba wa iman.shetan nae alipata ruksa kutoka kwa mungu ili amjaribu ayoubu hata shetan alimjaribu yesu
 
Do maana yake hauna knowledge yeyote na bible?🤔,,ok nikipata mda ntakuletea vifungu,japo huko mwanzo vifungu nimeweka,,wala sio kazi kujua asili ya Abraham kama unadoma bible
Umeshaweka andiko lolote kujustfy yale yoote uliyoyaelezea?
 
Kuna kabira na kuna taifa.
so alipozaliwa ndipo uraia wake ulipokuwa.ila inawezekana alineda taifa lingine akabadili uraia
Mmakonde akibadili uraia anakua mchina? Anaweza kuendeleza kizazi cha kichina kwa kubadili uraia?
 
Unaposema ibrahim ni muisrael unamaanisha alizaliwa baada ya isaka (israel)?
Mzee Juma alizawaliwa mwaka 1959 kipindi hicho ikiitwa Tanganyika. Lakini sasa mzee Juma ni Mtanzania.
 
Mzee Juma alizawaliwa mwaka 1959 kipindi hicho ikiitwa Tanganyika. Lakini sasa mzee Juma ni Mtanzania.
Nachojua israel ni nchi iliyoundwa na kabila 12 ambazo ni watoto wa Yakobo (thanks kwa walionikumbusha) ambazo ni;

Rubben
Simeon
Lawi
Yuda
Dani
Naftali
Gadi
Asheri
Isakari
Zabuloni
Yosefu
Benyamin

Haya niambie Ibrahim alikuwa kabila gani kati ya hayo?
 
Tupeane elimu kidogo, kuna watu wanachanganya mambo. Hapa tufundishane jambo moja. Kitu cha kwanza kabisa watu wanachokichanganya ni kuhusu Ibrahim, wengi wanasema Ibrahim alikuwa Mwarabu, ndugu yangu, nikwambie tu kwamba jamaa hakuwa Mwarabu.

Ibrahim baada ya kuzaa na kijakazi ambaye alikuwa Mwarabu, inamaanisha damu yake ilichanganyika na ya Kiarabu na ndiyo maana tunasema Ishmael ni baba wa Waarabu kwa sababu mama yake alikuwa Mwarabu.

Nchi za Kiarabu ambazo zipo kwenye umoja ni hizi, Algeria, Bahrain, Iraq, Jordan, Kuwait, Djibout, Saudi Arabia, Tunisia, United Arab Emirates, Yemen, Somalia, Sudan, Syria, Comoros, Misri, Maurtania, Qatar na Palestina.

Kwa nini Waarabu wanamchukia Israel? Ni kwa sababu si Mwarabu mwenzao. Na hao ndiyo wa kizazi cha Ibrahim. Kwa hiyo kama ulikuwa unahisi Ibrahim alikuwa Mwarabu, futa hiyo akilini mwako.

Hata Iran sio Waarabu, najua wengine mtakuwa hamlijui hili kwa undani. Miongoni mwa nchi za Kiarabu, Iran hayupo kwa sababu yeye si Mwarabu.

So Israel na Waarabu ni baba mmoja ila mama tofauti. Ibrahim alizaa na Muisrael mwenzake kwa kipindi hicho ilikuwa bado haijaitwa Israel na mtoto wake kuitwa Isaka ila yule aliyezaa na kijakazi ambaye ni Mwarabu anaitwa Ishmael. Tatizo kubwa la vita baina ya Mwarabu na Israel ni hapa.

Kama Israel angekuwa Mwarabu, leo usingesikia vita vinavyoendelea huko. Na mara zote Israel anawaambiaga kwamba nchi zote za Uarabuni ni mali ya Israel na ndiyo maana kila anapokwenda kupiga, anachukua ardhi na kutanua nchi yake.

Israel walipewa nchi ndogo sana wakae baada ya kutawanywa na Adolf Hitler, baada ya kuanza kurudi, wakaitaka nchi yao, lakini kwa bahati mbaya waliwaona Waarabu washajigawia ardhi yao. Walichokifanya ni kuanza kupigana nao.

Kama unakumbuka Umoja wa Mataifa uliingilia kati, ulichukizwa na kitendo cha Israel kuwapiga Waarabu, walichokifanya, wakawapelekea Biblia ambayo kwa nyuma kuna ramani ya Israel tangu enzi za Musa. Wakawaonyesha na kuwaambia kwamba nchi zote za Uarabuni ni Israel, tutakapokuwa wengi, tutaendelea kupiga na kuirudisha nchi yetu.

So jua hili. Ibrahim hakuwa Mwarabu. Musa hakuwa Mwarabu. Suleimani mtoto wa Daudi na baba yake huyo hawakuwa Waarabu. Ni Waisrael ambao bado wanaendelea kupigana na Waarabu ili wachukue nchi yao iliyowafanya waondoke Misri.

Uzao wa Ibrahim ndiyo uliomleta Yusufu ambaye akawachukua Waisrael kwenda kuishi Misri. Maisha yalikuwa ya raha sana, watu waliionjoi maisha lakini baada ya mfalme huyo kufa, ndipo akaja mfalme mwingine ambaye sasa hakuwataka Waisrael, akawafanya watumwa wake.

Wakafanyishwa kazi. Baadaye ndipo Musa akazaliwa ndani ya ardhi ya Kiarabu. Akapewa jukumu la kuwatoa Israel kutoka hapo Misri kwenda kwao. Wakati huo ndio ambao nao Waarabu walikuwa wamejinyakulia nchi, tena walikuwa ni watu wakubwa kimuonekano.

Musa akaanza mchakato wa kuwatoa Israel Uarabuni na kuwapelekea Israel. Waliishi Misri kwa miaka 400. Wakaondoka na kwenda Misri, na walitumia miaka 40.

Musa hakuingia Israel, alikufa jangwani na Mungu kumzika. Wale waliofanikiwa kuingia huko Israel ndio walioendelea kuipambania ardhi yao mpaka leo hii.

Hapa kuna jambo moja.

Vita ya Israel na Waarabu itapamba moto hapo baadaye. Itapigwa vita kali sana. Sasa kwa kuwa Israel ataonekana kuwa kiburi na mwenye nguvu sana, dunia nzima itaanza kumcharaza. Huyu Marekani anayeonekana kuwa karibu na Israel naye atamgeuka, kila nchi duniani itamgeuka na kumpiga.

Mwisho wa siku baada ya kuona wanapigwa sana, watakimbilia mpaka kwenye mlima ule aliopaa Yesu, wataomboleza na kulia, hapo ndipo Yesu atashuka kuimaliza vita hiyo, na huo ndiyo utakuwa mwisho wa kila kitu.

weka chanzo cha taarifa zako maana umeandika kama ulikuwepo nyakati hizo
 
Back
Top Bottom