Nimesoma sana yani na ninamaanisha, acha deception. Wewe umesoma kwa source za maadui unategemea nini? Mbona history ya order of Jesuits ipo clear sana? Acha kutumika kupotosha. Huyo Ellen G White ni hatari kwa maisha yako ya kiroho we endekeza mauongo yake.Soma history na chimbuko la Jesuit
Hawa Ni wenzenu kabisaMimi haunisaidii ila siwezi kuuzuia,
Kanisa katoliki halina shida yeyote na Newton au mwanasayansi. Kwanza sayansi tunaipenda ndio maana ka google crater za mwezi na sayari kibao wamezigundua nani kama sio mapadri. Acheni chuki na kitu msichokijua. Someni, kwenye source za wakatoliki mtajua mlivopotoka.Huyu mwamba alikichambua kitabu Cha Daniel chote kuliko hata Physics na Mathematics
Aliwasema wazi wazi Roman Catholic ,
Majesuit walianzishwa kufifisha kazi ya hawa wanamatengenezo ,ndio maana Huwezi kusikia leo Makubwa aliyofanya Newton kwenye dini
Uislamu hauwezi kuuna na Imani au Dini lakini Dini zingine zinaweza kujiunga na Uislamu Saudi Arabia sio muakilishi wa Uislamu nayeye hawezi kufanya lolote kwenye hiyo Dini.
KWANINI KANISA KATOLIKI LILIMCHOMA MOTO HADI KUFA WILLIAM TYNDALE KISA KUTAFSIRI BIBLIA KWENDA LUGHA YA ENGLISH?Kanisa katoliki halina shida yeyote na Newton au mwanasayansi. Kwanza sayansi tunaipenda ndio maana ka google crater za mwezi na sayari kibao wamezigundua nani kama sio mapadri. Acheni chuki na kitu msichokijua. Someni, kwenye source za wakatoliki mtajua mlivopotoka.
Acha Ufia Dini kijanaUislamu hauwezi kuuna na Imani au Dini lakini Dini zingine zinaweza kujiunga na Uislamu Saudi Arabia sio muakilishi wa Uislamu nayeye hawezi kufanya lolote kwenye hiyo Dini.
Hakuna sehemu nimesema hivoKwahiyo ndugu zangu Jackwillpower na CAPO DELGADO mna conclude kwamba walio wacatholic na waislam wote duniani ni watu wa shetani na hivyo jehanum inawahusu?
Mnijibu tafadhali
Sawa mkuu.Hakuna sehemu nimesema hivo
Ukiangalia hapa Tunachambua MIFUMO hiyo ya Dini ilivyo potofu
Kuurithi ufalme wa Mungu Kuna kanuni zakeSawa mkuu.
Kwahiyo wakatoliki na upotofu wao mnaouchanganua wanaweza kuurithi ufalme wa Mungu?
Twende direct, wataurithi? Jibu ndiyo au hapanaKuurithi ufalme wa Mungu Kuna kanuni zake
Yohana 3:16
Kumwamini YESU kristo
Sasa Kama Yesu anakushuhudia kitu fulani sio sawa unamkatalia utarithije ufalme wa Mbinguni
NDIYO kwa kufata alichoagiza YesuTwende direct, wataurithi? Jibu ndiyo au hapana
Kitu gani anachoshudia Yesu siyo sawa na bado waislam wanakifanya?Kuurithi ufalme wa Mungu Kuna kanuni zake
Yohana 3:16
Kumwamini YESU kristo
Sasa Kama Yesu anakushuhudia kitu fulani sio sawa unamkatalia utarithije ufalme wa Mbinguni
Ndio maana nasema hamnaga akili Tyndale kwanza ni mtu hakuwa ata na maarifa ya kutisha. Alafu King Henry VIII mwenyewe baada ya kujua tafsiri zake ni potofu aliban na kuchoma bibilia zilizotafsiriwa na tyndale. Mwisho Tyndale alikufa mikononi mwa secular authorities sio kanisa nyamaf. Hamsomi mnabeba beba ujinga. Wapotoshaji, mawakala wa master of deceiption shetani.KWANINI KANISA KATOLIKI LILIMCHOMA MOTO HADI KUFA WILLIAM TYNDALE KISA KUTAFSIRI BIBLIA KWENDA LUGHA YA ENGLISH?
Tyndale aliishi wakati ambapo waalimu tu walionekana kuwa wenye ujuzi wa kusoma na kwa usahihi kutafsiri Neno la Mungu. Biblia bado ilikuwa "kitabu kilichokatazwa" na mamlaka ya kanisa la ROMA huko Ulaya Magharibi.
Mwaka wa 1524 Tyndale alikwenda Hamburg, Ujerumani, ambapo kwa Martin Luther aliyebadilisha sura ya Ukristo huko. Wanahistoria wanaamini Tyndale alimtembelea Luther huko Wittenberg na kushauriana na tafsiri nyingine ya BIBLIA ya Luther ya Kijerumani. Mnamo 1525, akiwa akiishi Wittenberg, Tyndale alimaliza tafsiri yake ya Agano Jipya kwa Kiingereza.
Uchapishaji wa kwanza wa Agano Jipya la Kiingereza la William Tyndale ulikamilishwa mnamo 1526 Worms, Ujerumani. Kutoka huko "toleo la" octavo "ndogo lilipelekwa Uingereza kwa siri kwa kufichwa katika bidhaa, mapipa, na magunia ya unga.
Henry VIII aliipinga tafsiri na maafisa wa kanisa waliihukumu. Maelfu ya nakala zilichapishwa na mamlaka ikazichoma kwa umma.
Lakini upinzani ulionyesha kuwa na kasi, na mahitaji ya Bibles zaidi nchini Uingereza iliongezeka kwa kiwango cha kutisha.
Mwaka 1536,Muingereza, William Tyndale alichomwa moto mpaka kufariki kwa kutafasiri Biblia kutoka kwenye lugha ya Kigiriki kuiingiza kwenye kingereza.
Na neno lake la mwisho kabla ys kufa alisema "Mungu, fungua macho ya Wafalme wa Uingereza.View attachment 2612420View attachment 2612421
Ukiamini Kafara ya kifo chake pale msalabani unakuwa umesamehewa dhambi zakoKitu gani anachoshudia Yesu siyo sawa na bado waislam wanakifanya?
Toa mfano ndugu na evidence kutoka kwenye maneno ya Yesu
Hujaweka evidence ndugu, weka quotation ya biblia.Ukiamini Kafara ya kifo chake pale msalabani unakuwa umesamehewa dhambi zako
WAISLAMU hawataki kabisa kusikia Hilo jambo