Ukweli kuhusu kauli ya Papa huu hapa, vyombo vya habari vinapotosha

Wadhambi kama wezi, wazinzi, waongo wauaji, makahaba, walevi n.k

Kulingana na mafundisho yenu ya ukatoliki hupewa baraka baada ya kutubu dhambi zao na kukiri kuachana na matendo yao maovu kwa kuyaungama na kuyajutia.

Kwamba kama mtu alikuwa mwizi, mwongo, mlevi hatorudi kuendelea na matendo yake ya uwizi, uongo na ulevi.

Sasa je wapenzi wa jinsia moja wakisha barikiwa wata achana na kutengana?

Au wata endelea kupokea baraka katika hali hiyo hiyo ya ushoga wao, ilhali ni dhambi kwa mujibu wa mafundisho ya ukatoliki wenu?
 
Vatican wanasema mashoga wabarikiwe. Thibitisha vinginevyo.
 
Papa kakosea sana, mleta mada usitetee ujinga kama huo ata siku moja.
Mimi ni mkristo, nampenda Kristo.

Kazi ya kanisa ni kukemea maovu/ dhambi. Ushoga ni Dhambi, hivyo papa alipaswa akemee ndoa za jinsia moja, akemee ushoga na sio vinginevyo.

Kanisa linapotea, na watakaolipoteza zaidi ni sisi ambao tinashindwa kuusema ukweli
 
Kwa hiyo shoga mmoja akipewa baraka itamfanya aachane na shoga mwenzake?

Au baada ya yeye shoga mmoja kupewa baraka,ata endelea na ushoga huku akijua baraka si zipo tu muda wowote.

Kwamba itakuwa ni kufukuana mitaro kisha shoga mmoja anabaki nyumbani, Shoga mwingine anaenda kwa baba paroko kupokea baraka....


Kwamba sasa ruksa kufukuana mitaro huku unapata baraka, Cha msingi tu aende shoga mmoja.

Hivi huyo Papa wenu ana jielewa kweli?
 
Wewe ni mkatoliki?
 
Shetani huwa anakuja kama malaika wa nuru kumbe anakupoteza. "Eti wabarikiwe kwa Kuwa ni watu" Mungu alishawahi Choma moto mataifa mawili kwa sababu ya hii dhambi. Papa kwa Kuwa ni kiongozi wa dini angesimamia biblia inavyosema maana biblia ndio katiba ya wakristo. Neno la Mungu linasema mwanaume usilale na mtu mume kama vile mke. Over
 
Wapenzi wa jinsia moja (Mashoga) wakisha barikiwa na kuungama, Je wata tengana na kuachana?

Au wataendelea kupewa baraka huku wakiendelea kufukuana mitaro?
Hao imekatwazwa ,wapi imehalalishwa kwao kupewa baraka,naona haujaelewa bado
 
Uko sahihi
 
Thibitisha wewe Kwa kuweka hapa source ya Vatican na siyo source ya Illuminati na Freemason.
Mm nimekupa source unayoiita ya illuminati kuwa vatican wanasema mashoga yabarikiwe. Wewe unapinga kwa source ipi uliyoileta?
 
sasa unapaswa kuonyesha maneno ya kumbariki gaidi na mwizi yametoka wapu?
Papa kabriki usenge na usagaji ama hajabariki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani wakristo mnatetea nini hapo haya kaoaneni huko papa lishatoa baraka
Usikute papa nae ana mmewe ila anamficha ficha
 
Hao imekatwazwa
Hizo baraka wanazo takiwa kupewa ni zipi haswa?
,wapi imehalalishwa kwao kupewa baraka,
Wanapewa nini?

Hebu fafanua vizuri hii statement.

"Blessings to same sex couples"
naona haujaelewa bado
Iko hivi [emoji116]

shoga mmoja anaweza kwenda kuomba baraka, Huku shoga mwenzake akibaki nyumbani.

Cha msingi ameenda kama wadhambi wengine na anastahili kupewa baraka.

Then baada ya hapo, Business as usual kufukuana mitaro.

Cha msingi wasiende wote wakajulikana wao ni mashoga.

Baraka si zipo kwa wadhambi wote muda wowote tu, kwa hiyo hata shoga akitaka baraka ni kumcheki baba paroko tu anytime

Yani huo waraka alio utoa papa ni sawa na kusema unaweza kufanya dhambi na kuhurumiwa kwa vile Mungu anasamehe tu muda wowote.

Kuna sehemu kwenye huo waraka unasema God's love is infinite.

kwamba unaweza kufanya dhambi, ukichoka anytime unatubu na Mungu huyo ata kupenda tu..

Kwanza wadhambi wengine kulingana na mafundisho ya ukatoliki hukiri na ku ungama dhambi zao kisha huomba baraka wasitende tena dhambi zao.

Je mashoga wakisha ombewa na kupewa baraka wata tengana na kuachana?
 
Papa kabriki usenge na usagaji ama hajabariki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani wakristo mnatetea nini hapo haya kaoaneni huko papa lishatoa baraka
Usikute papa nae ana mmewe ila anamficha ficha
Mkuu bwana utam,
Kwanza hapana sehemu nimesema mimi ni mkristo hilo linaonyesha wewe ni muongo.

Pili, onyesha mahala pope anasema waoane?

Neno usikute ni dhahania tu, kama mimi nikiamua kusema bwana utam usikute ni malaya, wala halina uhalisia mpaka nitapothibitisha.

Pointi yako ni ipi?
 
Marekebisho
Mkuu civil union sio Ndoa ya Jinsia moja
 
kanisa katoliki limefanya wakristo wote tumeaonekana wa hovyo, tunajua haya mambo yapo kwa dini zote ila kutolewa tamko na kiongozi mkubwa tumeingia chaka, angekaa kimya tu mambo yaendelee kimya kimya kama zamani.
 
Reactions: Tsh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…