Ukweli kuhusu kauli ya Papa huu hapa, vyombo vya habari vinapotosha

Ukweli kuhusu kauli ya Papa huu hapa, vyombo vya habari vinapotosha

Papa lilitakiwa litoe kauli moja tu kwamba linalaani uchoko na usagwaji
Lipapaaa ndio kwaanza linatoa baraka kwa hawa wajinga wajinga
Halaf kuna mjinga mmoja atatokea huko atakwambia karne hii ama ulimwengu wasasa umestaarabika
Toka nimeumbwa nakusikia sijawahi kuona ulimwengu wa hovyo na karne ya hovyo kama hii tulokua nayo na ilopita
Yaani lijamaa kabisa linalojita liongozi la dini linabariki watu kufirana na kusagana halaf kastaarabika huyu mbwa
Vijana waliozaliwa 90s kuja 2000 kazi wanayoachiwa na haya masenge mapapa wanayo
Na vijana mnaozaliwa miaka ya 2020s nakuendelea kwakweli mkaze mbuti sana laa sivyo mtajikuta kwenye wanaume 10 basi 8 au 9 machoko kwenye wanawake 10 napo 8 au 9 wanasagwa
Kwakweli kazi ipo Allah atuepushe na hili janga
Uislam pekee ndio utatuepusha na haya majanga
 
Mkuu bwana utam,
Kwanza hapana sehemu nimesema mimi ni mkristo hilo linaonyesha wewe ni muongo.

Pili, onyesha mahala pope anasema waoane?

Neno usikute ni dhahania tu, kama mimi nikiamua kusema bwana utam usikute ni malaya, wala halina uhalisia mpaka nitapothibitisha.

Pointi yako ni ipi?
Kama sio mkristo na nimekunasibisha nao nisamehe kwa hilo
Pili wewe kuniita malaya ama vyovyote wakati sipo hvyo huko nikudhania ambapo litakua kosa lako sio langu
Tatu kwenye hoja ya papa point kuu ya mtoa mada ni papa kuridhia usenge na usagaji wakabarikiwe
Ukirudhia huo upuuzi maana yake unakua umekubaliana nao kwa kila hali ama papa hajaridhia kuwabariki hao wadudu
 
Kama sio mkristo na nimekunasibisha nao nisamehe kwa hilo
Pili wewe kuniita malaya ama vyovyote wakati sipo hvyo huko nikudhania ambapo litakua kosa lako sio langu
Tatu kwenye hoja ya papa point kuu ya mtoa mada ni papa kuridhia usenge na usagaji wakabarikiwe
Ukirudhia huo upuuzi maana yake unakua umekubaliana nao kwa kila hali ama papa hajaridhia kuwabariki hao wadudu
Kwanza nimekusamehe ndugu,
Kukuita Malaya ni kwa sababu ulisema
usikute papa naye ana mume wake ila anamficha ficha.

Neno usikute ni neno dhahania lisilo na ushahidi kama mimi nilivyosema bwana utam usikute ni Malaya. Huenda tu nimeamua kukuchafua kama wewe ulivyomchafua papa hapo juu. Mfano huo upo sahihi kabisa.

Tatu, ni pope karidhia usenge au baraka?

Pointi yako ni ipi?
 
Kwanza nimekusamehe ndugu,
Kukuita Malaya ni kwa sababu ulisema
usikute papa naye ana mume wake ila anamficha ficha.

Neno usikute ni neno dhahania lisilo na ushahidi kama mimi nilivyosema bwana utam usikute ni Malaya. Huenda tu nimeamua kukuchafua kama wewe ulivyomchafua papa hapo juu. Mfano huo upo sahihi kabisa.

Tatu, ni pope karidhia usenge au baraka?

Pointi yako ni ipi?
Unatoaje baraka kwa kitu usichokiridhia wewe unaweza ukatoa baraka kwa kitu usichokiridhia?
Shukran kwa msamaha wako mkuu
 
Unatoaje baraka kwa kitu usichokiridhia wewe unaweza ukatoa baraka kwa kitu usichokiridhia?
Shukran kwa msamaha wako mkuu
The word blessing
Has no limitation na halina

10. Indeed, blessings are celebrated by virtue of faith and are ordered to the praise of God and the spiritual benefit of his people. As the Book of Blessings explains, “so that this intent might become more apparent, by an ancient tradition, the formulas of blessing are primarily aimed at giving glory to God for his gifts, asking for his favors, and restraining the power of evil in the world.”[8] Therefore, those who invoke God’s blessing through the Church are invited to “strengthen their dispositions through faith, for which all things are possible” and to trust in “the love that urges the observance of God’s commandments.”[9] This is why, while “there is always and everywhere an opportunity to praise God through Christ, in the Holy Spirit,” there is also a care to do so with “things, places, or circumstances that do not contradict the law or the spirit of the Gospel.”[10] This is a liturgical understanding of blessings insofar as they are rites officially proposed by the Church.


Umeelewa vipi kuhusu blessing?
 
kanisa katoliki limefanya wakristo wote tumeaonekana wa hovyo, tunajua haya mambo yapo kwa dini zote ila kutolewa tamko na kiongozi mkubwa tumeingia chaka, angekaa kimya tu mambo yaendelee kimya kimya kama zamani.
Upo sawa mkuu, Halafu anatokea mtu anatetea.
 
The word blessing
Has no limitation na halina

10. Indeed, blessings are celebrated by virtue of faith and are ordered to the praise of God and the spiritual benefit of his people. As the Book of Blessings explains, “so that this intent might become more apparent, by an ancient tradition, the formulas of blessing are primarily aimed at giving glory to God for his gifts, asking for his favors, and restraining the power of evil in the world.”[8] Therefore, those who invoke God’s blessing through the Church are invited to “strengthen their dispositions through faith, for which all things are possible” and to trust in “the love that urges the observance of God’s commandments.”[9] This is why, while “there is always and everywhere an opportunity to praise God through Christ, in the Holy Spirit,” there is also a care to do so with “things, places, or circumstances that do not contradict the law or the spirit of the Gospel.”[10] This is a liturgical understanding of blessings insofar as they are rites officially proposed by the Church.


Umeelewa vipi kuhusu blessing?
Hoja inarejelea pale pale baraka zinatolewa kwa mashoga na wasagaji kama alivyosema papa ama laah?????
 
Hoja inarejelea pale pale baraka zinatolewa kwa mashoga na wasagaji kama alivyosema papa ama laah?????
Neno blessing halina boundaries wala limitation.
Isipokuwa tunafahamu mahusiano ni ya mtu mume na Mke.
👇

This is also the understanding of marriage that is offered by the Gospel. For this reason, when it comes to blessings, the Church has the right and the duty to avoid any rite that might contradict this conviction or lead to confusion. Such is also the meaning of the Responsum of the Congregation for the Doctrine of the Faith, which states that the

Church does not have the power to impart blessings on unions of persons of the same sex.


Vipi? Bado ujajibiwa au ni lugha shida?
 
Neno blessing halina boundaries wala limitation.
Isipokuwa tunafahamu mahusiano ni ya mtu mume na Mke.
👇

This is also the understanding of marriage that is offered by the Gospel. For this reason, when it comes to blessings, the Church has the right and the duty to avoid any rite that might contradict this conviction or lead to confusion. Such is also the meaning of the Responsum of the Congregation for the Doctrine of the Faith, which states that the

Church does not have the power to impart blessings on unions of persons of the same sex.


Vipi? Bado ujajibiwa au ni lugha shida?
Church does not have the power to impart blessings on unions of persons of the same sex.


Sasa kati ya hiko kipengele hapo na papa yupi aeleweke
Papa karidhia kutoa baraka kwa watu wajinsia moja walio eti ndoani ama hajaridhia
Na kama kasema atatoa baraka basi maana yake karidhia
Nimekuuliza swali au nikuulize wewe moja kwa moja unaweza kuubariki ushoga na usagaji kama alivyo fanya papa na kama huwezi kwanini nakama unaweza kwanini
Ntakuregelea kupata majibu yako boss uwe na kazi njema na asubhi njema
 
Church does not have the power to impart blessings on unions of persons of the same sex.


Sasa kati ya hiko kipengele hapo na papa yupi aeleweke
Papa karidhia kutoa baraka kwa watu wajinsia moja walio eti ndoani ama hajaridhia
Na kama kasema atatoa baraka basi maana yake karidhia
Nimekuuliza swali au nikuulize wewe moja kwa moja unaweza kuubariki ushoga na usagaji kama alivyo fanya papa na kama huwezi kwanini nakama unaweza kwanini
Ntakuregelea kupata majibu yako boss uwe na kazi njema na asubhi njema
Nafikiri mpaka sasa ujaelewa maana ya impart. Church does not have power to impart blessing on unions of the person of the same sex.

Umeelewa au bado mkuu?

Nasubir hio ndoani unayosema nione.

Hilo swali lipo nje ya mada, hapa anaongelewa papa.

Fungua uzi mwingine.
 
Kristo.

Kuhusu wapenzi wa jinsia Moja Papa anasemaje?

Ukweli uko hapa!

"Fiducia suplicans". Ni barua alioandika papa juu ya maana ya Baraka katika uchungaji.

"On the pastoral meaning of blessings"

Katika barua hiyo papa aliandika kujibu maswali ambayo watu wanauliza Sana Kanisa sasa, juu ya msimamo wa kanisa juu ya wapenzi wa jinsia Moja na ndoa za Jinsia Moja. Maana Kila papa katika kipindi chake analazimika kujibu maswali ya kijamii yanayogusa Imani.

Fiducia suplicans n kilatini maanake " n kwamba tusimamie wapi? "On the pastoral meaning of blessing"


Makuhani tusimamie wapi katika maana ya kichungaji ya kutoa Baraka? Papa hazungumzii katika hii barua habari za ndoa ya jinsia Moja, bali Kwa ujumla barua yote anaelezea hasa maana ya Baraka na mapadre watoeje Baraka katika kipindi hiki chenye mchanganyiko wa watu "wema" wenye bidii na pia kipindi chenye maovu yake mchanganyiko.


ANGALIZO
Kwenye hiyo barua papa anatatua changamoto Moja kwamba je mtu huyo mdhambi anaeishi ndoa ya jinsia Moja je anahaki yakubarikiwa?

Hapo hashughuliki hasa na swali eti kubariki ndoa ya jinsia Moja, ameweka wazi kabisa kuwa haifai na haiwezekani.

Kwenye barua anajibu swali kwamba je mtu Mmoja anastahili kubarikiwa? Haisemi abarikiwe kwasabab yeye ni shoga hapana ila kwasabab yeye n mtu.

Kwa maana nyingine je Kanisa liwatenge watu ambao ni mashoga?

Swali hilo limetokea wapi? Huku ulaya nduguzanguni watu hupenda mtu Mmoja Mmoja anakwenda Kwa Padre anamwambia Padre nibariki. Sisi pia huwa mtu unakuta anasafiri anakwenda Kwa Padre, "baba naomba Baraka nasafiri". Padre anambariki. Mtu anapeleka mbegu za kupanda baba naomba Baraka, mwanafunzi anakwenda Kwa Padre baba nimeleta vifaa vyangu vya shule naomba baraka, Padre anabariki.

Watu wakamuuliza papa je mtu mdhambi akimwambia Padre baba naomba Baraka je padre akatae? Aseme Baraka ni Kwa ajili ya watu wema?

Papa akasema Kama akija mtu yoyote akaomba kubarikiwa basi Padre anaweza kumbariki hata kama anaishi dhambi zake kama huyo wa jinsia Moja. Wasibaguliwe kwamba Baraka n ya watu fulan wema

Lakini wasibarikiwe wakiwa wawili kama vile ni wanandoa! Ametoa tahadhari kubwa kuzuia fikra zozote kwamba tunawabariki kama vile Kanisa linaruhusu maisha yao hapana! Ndugu zanguni Baraka sio sakramenti. Ndio maana Padre baada ya Misa anabariki wote hatengi wema zaidi na wakosefu Zaidi. Ila sakramenti sio Kila Mmoja anaruhusiwa. Watu wa ndoa ya jinsia Moja wao pia wamejifungia masakramenti.

Kwa waraka huo Padre anaweza kubariki watu wakiwa katika kundi kama kanisani au kikundi Cha Sala au wasafiri, pia mtu Mmoja Mmoja Padre anaweza kumbariki bila kumuuliza hali yake ya dhambi, hata kama anajua huyo mtu anaishi hali yake ya dhambi Padre ambariki tu. Kwanini maana kupitia Neema za Mungu mtu huweza kubadilishwa pia.

Luka 15:1. Siku moja, watozaushuru na wenye dhambi wengi walikwenda kumsikiliza Yesu. Mafarisayo na waalimu wa sheria wakaanza kunungunika: “Mtazameni mtu huyu! Anawakaribisha wenye dhambi, na tena anakula nao.....

Ngoja tuone baadhi ya nukuu kwenye barua hiyo.

Maelezo hayo yapo kwenye barua hiyo "Fiducia suplicans". Sura ya III

"Blessings of Couples in Irregular Situations and of Couples of the same sex". Kiswahili. Baraka Kwa wanaoishi wawili/kama mume na mke katika mazingira yasiyokuwa ya kiutaratib (utaratib kulingana na Kanisa) na ya watu wanaoishi pamoja wa jinsia Moja kama vile ni mume na mke.


Sasa Kwa kichwa hicho Cha habari anasemea sio tu watu wa jinsia Moja bali hata wale ambao hawapo katika ndoa inayotambuliwa kikanisa. Mfano wachumba wasibariki ndoa, wengine wameolewa mitara wote wanahusishwa kwenye kundi hilo. Papa anasema wote Padre anaweza kumbariki tu mtu huyo mkosefu akija Padre ambariki lakin anatoa mkazo isifanyike Baraka rasmi kama vile n sakramenti. Wala wasijisikie kuwa wanahalalishwa hapana.

Nanakuu hiyo barua
No 31. Uwezekano wa kutoa Baraka Kwa watu kama hao......

32. "Indeed the grace of God works in the lives of those who do not claim to be righteous but who acknowledge themselves humbly as sinners, like everyone else.".

"Hakika Neema ya Mungu hufanya kazi katika maisha ya wale ambao hawajidai kuwa wenye haki, lakini wanaojikubali Kwa unyenyekevu wakosefu "

Papa anasema Baraka hiyo ni Neema ambayo Mungu ataitumia kuwaongoa lakini Neema ya Mungu hufanya kazi ndani ya mtu anaekubali Kwa unyenyekev kuwa yeye ni mdhambi. Watu hao wakubali kuwa wao n wakosefu wampe Mungu ushirikiano.
No 33 "This is a blessing that, although not included in any liturgical rite........, "Hii ni baraka ambayo, ingawa haijajumuishwa katika ibada yoyote ya kiliturujia,

No 36 In this sense, it is essential to grasp the Holy Father’s concern that these non-ritualized blessings "kwa maana hii ni muhimu kutambua mtazamo wa baba mtakatifu kwamba hizi baraka ambazo sio rasmi kama zingine za kwenye ibada........ hapa anaonyesha ni za kawaida sio rasmi kama za kwenye liturjia

39. In any case, precisely to avoid any form of confusion or scandal, when the prayer of blessing is requested by a couple in an irregular situation, even though it is expressed outside the rites prescribed by the liturgical books, this blessing should never be imparted in concurrence with the ceremonies of a civil union, and not even in connection with them. Nor can it be performed with any clothing, gestures, or words that are proper to a wedding

39. .......this blessing should never be imparted in concurrence with the ceremonies of a civil union, and not even in connection with them. Nor can it be performed with any clothing, gestures, or words that are proper to a wedding

Baraka hizi zisitolewe Kwa namna yoyote inayoendana na muunganiko kama ule wa ndoa na Wala hata Kwa mfanano zisiendane, Wala zisifanywe kama Kwa mavaz ya ndoa ama ishara au maneno ya kubariki ndoa.

Civil union n msamiati wanaotumia zaidi Kwa watu wa jinsia moja anasema Baraka hizo zisielekee Wala Kwa namna yoyote inayoashiria kitu kama hicho.

Anaependa uisome mwenyewe kwenye mtandao "Fiducia suplicans" kuanzia no 31. Itajitokeza Kwa kiitalianoa lakin mwanzo wa document kushoto kabisa wameorodhesha lugha ya kuchagua bofya " Testo in lingua linglese" itabadilika kuwa Kwa kiingereza.
why unahangaika mkuu
kuna issues nyingi zipo katolik ambazo hazina mashiko, tukiwauliza mnasema sources of your doctrines does not come from bible alone, mna mavyanzo mengine ikiwem maamuzi ya papa ni sheria kwa kanisa
kwanini una doubt maamuzi ya papa. unataka kuwa kama sisi wasabato ambao tunategemea tu biblia na kitu kama hakipo kwenye biblia tunahoji
cha muhimu ni kwamba mila za wazungu zinatuyumbisha sisi masikini, watatupeleka kusiko
 
Sema machoko wanaforce king sana wamefanya mpaka movies za mbele kutazama unazitazama kwa machale muda wowote unaweza shangaa dume linapumuliwa kmmk.

Kwenye ball napo yameforce king yaani kila mahali.

Na sasa kwenye dini yana force king mbaya mbovu familia yangu na wanavyopenda mambo ya dini I fell sorry for them.

Machoko mafala sana kmmk. Huyu naye Bi.Francisca itakuwa anatafunwa na mwamba mmoja hapo mitaa ya Roma.

Na warumi na mambo hayo wanayakubali mbaya mbovu since Roman empire
 
Wadhambi kama wezi, wazinzi, waongo wauaji, makahaba, walevi n.k

Kulingana na mafundisho yenu ya ukatoliki hupewa baraka baada ya kutubu dhambi zao na kukiri kuachana na matendo yao maovu kwa kuyaungama na kuyajutia.
Kwa mujibu wa maelezo ya papa haioneshi kwamba hiyo ndio maana ya baraka.

Papa kasema kwamba hao mashoga wanayo haki ya kubarikiwa kwa kuzingatia ni kama binadamu wengine na wanakosea pia.

Je baraka ni nini mkuu ?
 
Unatoaje baraka kwa kitu usichokiridhia wewe unaweza ukatoa baraka kwa kitu usichokiridhia
Kwani wapi imesemwa kwamba papa anatoa baraka za kubariki ushoga wa huyo mtu ?

Je lengo la baraka aliyoikubali papa ni baraka ya kuukubali ushoga,kama ni hivyo tunaomba ushahidi wa maneno hayo.
 
Back
Top Bottom