Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asakuta same
Congratulation bidada.
Apologise lady
Niko poa mke wa ujana wangu. Mkoloni alikuwa kanibana vibaya. Tafazali leo ntahitaji masaji.Ngoja nipitie sehemu kwanza nipate viagra ya asili.
wengine nilianza kuwa PM
Karucee
Pole sana , next time usikubali kukaa kwenye labor pain zaidi ya masaa 10 besti yangu.
Inawezekanaje mwanamume ahitaji experience za labor? ?
Ukizipata zitakusaidia nini???
Mwishowe utahitaji kujua kama wakati mama yako anakuzaa alipoop na kupiii...
Sio sawa hata kidogo mwanamume kuhitaji kujua kwa ngumu zote mambo ya labor sidhan kama ni sahihi.
pole mkuu inaonekana umekwazika kwa baadhi ya reply lakin hiyo ni hali ua kawaida kama wadau wanavyosema pengine hata wazazi wetu iliwatokea nadhani tunatakiwa kuwaheshimu zaid mama zetu wamepitia mengi.Nashangaa mtu kusema ku poop wakati wa kujifungua ni fedheha je unajua kama wakati wewe unazaliwa mama yako vyote hivyo havikutoka ???
Mnapojadili haya mambo angalieni kwa jicho la pili pls.
Nani aliyekuambia kukaa kwenye labor pain unakuwa na option ya mda???
Aisee besti,umejimention afu ukajipa hongera. Hii kali
Wewe unadhanije mkuu?
Kwahiyo unaweza kukaa kwenye labor pain wiki nzima siyo?
pole mkuu inaonekana umekwazika kwa baadhi ya reply lakin hiyo ni hali ua kawaida kama wadau wanavyosema pengine hata wazazi wetu iliwatokea nadhani tunatakiwa kuwaheshimu zaid mama zetu wamepitia mengi.
kuna umuhimu wa kujua ndiyo unaweza ingia leba na mkeo kwa hiyo kila kinachotokea hupaswi kuwa mgeni watu wanataka kujua habar za mars sembuse wanawake tunaoishi nao.
Aisee besti,umejimention afu ukajipa hongera. Hii kali