Ukweli kuhusu Mradi wa NSSF wa Dege Beach Kigamboni

Ukweli kuhusu Mradi wa NSSF wa Dege Beach Kigamboni

Na wewe unathibitisha hiyo ripoti ukiwa kama nani labda.
tatizo ubongo wako umeujaza zile herufi za wafuga ndevu.

wapi nimethibitisha hiyo ripoti nimemuuliza mtoa mada anakanusha akiwa kama nani Dr. Dau? au?
 
Wataumbuka tu mwaka huu. hapo umepangua wakajipange wtuletee mashudu mengine. Mwacheni DAU apumzike. hawa watu wanajistukia sana ofisi umepewa unaweweseka nini?
Mi naona karopoka hapo, kwani CAG akisema wewe ni msafi huku unajua hujaoga kwa mwezi mzima utamwamini CAG? naona huyu jamaa kaamua kuropoka, yawezekana ni mnufaika wa mradi huo! wale wapo ndani, wanajua kilichopo wewe unawapinga mbona ni akili ndogo kuelewa jambo hili halihitaji kuwa na PhD! huyu CAG yawezekana ni agent wa Dau waje Deloite utaona mambo yatakavyofunuliwa halafu ushindwe kuangalia.
 
Mi naona karopoka hapo, kwani CAG akisema wewe ni msafi huku unajua hujaoga kwa mwezi mzima utamwamini CAG? naona huyu jamaa kaamua kuropoka, yawezekana ni mnufaika wa mradi huo! wale wapo ndani, wanajua kilichopo wewe unawapinga mbona ni akili ndogo kuelewa jambo hili halihitaji kuwa na PhD! huyu CAG yawezekana ni agent wa Dau waje Deloite utaona mambo yatakavyofunuliwa halafu ushindwe kuangalia.
Assad alikuwa board member Nssf na amenufaika kwa kuuziwa nyumba bei chee na dau
 
Mkuu umeeleza vizuri sana
kijana wa leo ngoja nikupe explanation for dumb ,

imagine wewe una kiwanja cha heka moja hapo kibaha ambacho tusema thamani yake waweza muuzia mtu kwa milion 10,

wanakuja wawekezaji wanataka kuweka mradi wa kujenga maghorofa ya kupangisha na wanataka wakupe milion 10 uwaachie kiwanja,
unapiga hesabu ya mradi utakaowekwa hapo na kuona utakuwa na thamani ya bilion 100,unaona kuuza kiwanja kwa milion 10 utakuwa umewapa watu ulaji,
unakataa kuuza,wanakubembeleza hatmaye unakubali kuingia nao ubia na mnapanga katika mradi huo upewe hisa 20%,ambayo kama sikosei ni thamani kama milion 200.

Kumbuka mwanzo thamani halisi ya hiyo heka yako moja ni sh milion 10,
lakini kwasababu umeingia mkataba wa land for equit sasa thamani yako katika mradi huo ni milioni 200.

Ndicho kilichotokea,halafu watu wanatumia umbumbu wa watu kutojua haya mambo kwa kuwapaka watu matope kuwa kuna ufisadi,
sasa swali ukipeleka mahakamani hii kesi utashinda au ndo yaleyale ya Dowans
 
Oooh Really sasa mmegeuka tena kuwa CAG hafai na anampendelea Dau kwa kuwa ni muislam mwenzake siyo?

Watu wa ajabu sana nyinyi

Kwan Prof Assad alikuwa anaaudit msikiti pale Nssf?
Mi naona karopoka hapo, kwani CAG akisema wewe ni msafi huku unajua hujaoga kwa mwezi mzima utamwamini CAG? naona huyu jamaa kaamua kuropoka, yawezekana ni mnufaika wa mradi huo! wale wapo ndani, wanajua kilichopo wewe unawapinga mbona ni akili ndogo kuelewa jambo hili halihitaji kuwa na PhD! huyu CAG yawezekana ni agent wa Dau waje Deloite utaona mambo yatakavyofunuliwa halafu ushindwe kuangalia.
 
Kwanini NSSF hawakununua kiwanja wakakiendeleza wenyewe na maeneo ya wazi yapo mengi tu Kigamboni? One million dollar question.

Maeneo ya wazi yapo mengi je ni strategic?

Au wewe unaona kila eneo la wazi unaweza kuwekeza?

Umekula maharage ya wapi?
 
Tatizo inasemekana hao wawekezaji hawakuwa na ela mfukoni! ela walitaka wamkope huyo wanayetaka kuwekeza nao!!

Rugemalila alipotoa ardhi na Iptl wakaweka mashine zao alikuwa na fedha?

Na je alilipwa yale mabillion ya pesa kwa tija gan kama siyo ile share yake?

Hutumii hata akili kujiongeza ktk hilo
 
Rugemalila alipotoa ardhi na Iptl wakaweka mashine zao alikuwa na fedha?

Na je alilipwa yale mabillion ya pesa kwa tija gan kama siyo ile share yake?

Hutumii hata akili kujiongeza ktk hilo
Aisee kumbe tuhuma hizi ni za kweli!!! Kabla ya post yako nilikuwa natilia mashaka tuhuma hizi kuwa zimetengenezwa ingawa nilimuuliza Mohamed Said anitajie shareholders wa Azimio naye akaa kimya. Ila baada ya post yako hii ndiyo nimegundua kunauwezekano mkubwa DG aliyepita pale alikuwa fisadi wa kutisha.
Post yako imekosa utetezi kwa ajili ya DG aliyepita!!
 
Maeneo ya wazi yapo mengi je ni strategic?

Au wewe unaona kila eneo la wazi unaweza kuwekeza?

Umekula maharage ya wapi?
Naona unatumia nguvu nyingi kutetea uozo, hapo waliponunua hakuna chochote special ndio maana unaambiwa few metres kutoka hapo viwanja vilikuwa vinauzwa 25m.
 
Mleta mada hii pcccb ingemuunganisha ktk kesi zijazo ikitokea ili awasaidie polisi utetezi. Hopeless kabisa. Unatetea wahalifu. Au labda anafanya utetezi bila kujua
 
Hii ni sawa na Rugemalila aliyetoa ardhgi kwa IPTL,akaja kuvuna mabilioni ya hatari mpaka yakamchanganya akaanza kutoa sandakalawe.


Inaonekana huyu mkurugenzi mpya wa NSSF ni mtu wa majungu na kupenda kukomoa,
sijui hata lengo lake la kuufanyia ufukunyungu management iliyopita ni nini wakati yeye tangu ashike madaraka hajaweza hata kufanya mradi mmoja hata wa kutengeza kalavati tu ili nae tujue kweli anafaa pale,

sasa hiyo kesi ya kimajungu hata upeleke mahakamani utamshinda nani zaidi ya kupoteza mda wa watu?,
hopelless kabisa huyu
Ukweli ni kwamba kama mtu amekuwa kwenye managerial level sehemu yoyote basi ukifanya ukaguzi lazima atakuwa kafanya makosa.
 
Labda ungefafanua hiyo 20% ya land mliyo kubaliana ni sh ngapi na ardhi ni kiasi gani na market value ya ardhi ni sh ngapi.... maana mnapo tengeneza JV kama hiyo, lazima kila upande uchangie kitu chenye thamani halisi.... naomba ufafanuzi wa hilo tu mkuu....
 
Labda ungefafanua hiyo 20% ya land mliyo kubaliana ni sh ngapi na ardhi ni kiasi gani na market value ya ardhi ni sh ngapi.... maana mnapo tengeneza JV kama hiyo, lazima kila mtu achangie kitu chenye thamani halisi.... naomba ufafanuzi wa hilo tu mkuu....
hivi kama azimio walianza na kutoa ardhi,NSSF wao walianza na kutoa nini vile?
 
kijana wa leo ngoja nikupe explanation for dumb ,
20% ya bilioni 100 ni milioni 200!!!
imagine wewe una kiwanja cha heka moja hapo kibaha ambacho tusema thamani yake waweza muuzia mtu kwa milion 10,

wanakuja wawekezaji wanataka kuweka mradi wa kujenga maghorofa ya kupangisha na wanataka wakupe milion 10 uwaachie kiwanja,
unapiga hesabu ya mradi utakaowekwa hapo na kuona utakuwa na thamani ya bilion 100,unaona kuuza kiwanja kwa milion 10 utakuwa umewapa watu ulaji,
unakataa kuuza,wanakubembeleza hatmaye unakubali kuingia nao ubia na mnapanga katika mradi huo upewe hisa 20%,ambayo kama sikosei ni thamani kama milion 200.

Kumbuka mwanzo thamani halisi ya hiyo heka yako moja ni sh milion 10,
lakini kwasababu umeingia mkataba wa land for equit sasa thamani yako katika mradi huo ni milioni 200.

Ndicho kilichotokea,halafu watu wanatumia umbumbu wa watu kutojua haya mambo kwa kuwapaka watu matope kuwa kuna ufisadi,
sasa swali ukipeleka mahakamani hii kesi utashinda au ndo yaleyale ya Dowans
Hivi wewe hapa ndio umeandika nini cha kuitetea NSSF wakati wa Dr Dau?!

Kwenye mfano wako unasema umetoa heka moja yenye dhamani ya milioni 10 lakini kwenye land equity umefanikiwa kuifikisha "milioni 200"! Kwenye huu mfano aliyenufaika ni Azimio....good for them!

Tatizo letu ni NSSF ambayo inaendeshwa kwa pesa zetu. Embu nieleze, NSSF imenufaika vipi Kwenye land equity ya "milioni 200" wakati dhamani halisi ya ardhi ni milioni10?!

Hatuelewi ni kwa nini NSSF wameingia ubia na Azimio kwa gharama kubwa. Kuna kitu kingine NSSF wananufaika kutoka kwa Azimio kama real estate expertise?

NSSF wangeweza kutekeleza huu mradi wenyewe kwa gharama nafuu bila Azimio!

Tofautisha kuingia ubia wa ardhi baadhi ya maeneo Dar na sehemu kama Kigamboni?
 
Daaaaah!!! nchi imejaa fitna hii.Umeeleweka sana mkuu hoja zako zimekwenda shule sasa subiri wazee wa degree hewa waanze kupayuka.
 
Rugemalila alipotoa ardhi na Iptl wakaweka mashine zao alikuwa na fedha?

Na je alilipwa yale mabillion ya pesa kwa tija gan kama siyo ile share yake?

Hutumii hata akili kujiongeza ktk hilo
Two wrongs don't make a right!!

Halafu Rugemalila aliingia ubia na IPTL ni shirika binafsi tofauti na NSSF ambalo linaendeshwa kwa pesa zetu.
Makampuni kama IPTL tanapingia ubia ya aina hiyo wanajua wenyewe cha kufanya ili kurudisha gharama zao na tumeona walichofanya!!
 
20% ya bilioni 100 ni milioni 200!!!

Hivi wewe hapa ndio umeandika nini cha kuitetea NSSF wakati wa Dr Dau?!

Kwenye mfano wako unasema umetoa heka moja yenye dhamani ya milioni 10 lakini kwenye land equity umefanikiwa kuifikisha "milioni 200"! Kwenye huu mfano aliyenufaika ni Azimio....good for them!

Tatizo letu ni NSSF ambayo inaendeshwa kwa pesa zetu. Embu nieleze, NSSF imenufaika vipi Kwenye land equity ya "milioni 200" wakati dhamani halisi ya ardhi ni milioni10?!

Hatuelewi ni kwa nini NSSF wameingia ubia na Azimio kwa gharama kubwa. Kuna kitu kingine NSSF wananufaika kutoka kwa Azimio kama real estate expertise?

NSSF wangeweza kutekeleza huu mradi wenyewe kwa gharama nafuu bila Azimio!

Tofautisha kuingia ubia wa ardhi baadhi ya maeneo Dar na sehemu kama Kigamboni?
mkuu,hiyo ardhi sio kwamba hao,azimio washakula hiyo milion 800 kila heka,

yaani pale itapoanza kuzalisha sasa,
thamani ya ardhi halisi ni milioni 25 ikiwa dormant,
sasa umeingia ubia na mtu mkajenga hotel kwa ushirikiano,bado katika kugawana mapato wewe utadai hiyohiyo milioni 25?.

Hao azimio ni expert wa real estate which means NSSF wanafaidi pia consultation toka azimio,

ieleweke sitetei mtu nachangia navyoona ni sawa,
nijuavyo mimi NSSF bado hawajanunua ardhi kwa milioni 800 kwa heka toka kwa azimio
 
Azimio na NSSF wakishindwa kwenye huu ubia na wakaamua kuuza huu mradi wanufaika wakubwa watakuwa ni Azimio.

Azimio watapa asilimia 20 yao ya milioni 800 kwa kila kiwanja lakini wanunuaji watakuwa tayari kulipa milioni 20 kwa kila kiwanja!
 
Two wrongs don't make a right!!

Halafu Rugemalila aliingia ubia na IPTL ni shirika binafsi tofauti na NSSF ambalo linaendeshwa kwa pesa zetu.
Makampuni kama IPTL tanapingia ubia ya aina hiyo wanajua wenyewe cha kufanya ili kurudisha gharama zao na tumeona walichofanya!!
Rugemalila na iptl deal halikua wrong,ndo biashara inavyoenda,yaani uje usimike mitambo kiwanjani kwangu tuseme heka moja,uanze kuungurumisha mashine na kuuza umeme miaka nenda rudi juu ya kiwanja changu halafu mimi unilipe milion 25?,,

keep in mind hayo mahesabu ya hisa mtu anaanza kupata mapato baada la mradi kukamilika na kuanza kuingiza mapato,

sasa unapodai wamenunua heka kwa milion 800,hiyo ni misleading
 
Back
Top Bottom