Ukweli kuhusu Mradi wa NSSF wa Dege Beach Kigamboni

Ukweli kuhusu Mradi wa NSSF wa Dege Beach Kigamboni

pimg.jpg
 
Hoja ya mleta uzi ina maana na mantiki kitaalamu kwa sababu uwekezaji wa Azimio Estate Company haukulengwa kuwa wa muda mfupi. Mantiki ya Land for Equity haiangalii thamani ya ardhi inayowekezwa ikiwa katika hali ambayo hakuna uwekezaji bali itapata thamani kiasi gani iwapo uwekezaji utafanyika na mradi kufanikiwa.

Kwa namna yoyote ile hakuna tatizo la kibiashara la uwekezaji ule kwa kuwa iwapo mradi ungekwenda hadi mwisho na kufanikiwa pesa ya NSSF ingerudi. Tatizo ninaloliona ni la Azimio kukosa mtaji wa kifedha wa kuongezea ili mradi utekelezwe hadi mwisho. Na changamoto ya pili iliyopo ni athari za mabadiliko ya soko la nyumba na sera za kiuchumi za nchi.
 
Kwanini hawakununua waka opt ubia?

Kufanya Mradi bila ya Ubia maana yake ni kuwa;

1) risk yote ya mradi ingebebwa na NSSF na kumbuka Pension fund wanatakiwa kuzingatiwa zaid kuepuka hasara kuliko kupata faida ambayo Ina high risk.
2) Cashflow ya NSSF ingeathirika zaid kias cha kukwamisha miradi mingine kwa kuwa kununua kunge involve Cash outflow .
3) Ubia na Mwekezaji Mwenza mwny Uzoefu wa Miradi ya aina hiyo hukuwezesha kupata Expertism yake with zero cost
4) Kunaipa Fursa NSSF kufanya Miradi mingi na kikubwa zaid kwa wakat mmoja kwa kuwa kuna punguza Over concentration ya mradi mmoja na hiyo ndio Siri ya NSSF chini ya Dr. Dau kuwezesha kufanya Miradi mikubwa mikubwa kwa wakati mmoja Kama vile Majengo ya Uwekezaji Mikoa yote ya Tanzania bara, UDOM , Bunge, Daraja la Kigamboni n.k
 
Vipi wangenunua ardhi yao kwa bei nafuu kuliko thamani ya hisa walizompa mbia? Yaani mfano wanunue ardhi eneo hilo hilo kwa mfano m100 badala ya kuchukua ya huyo mtu na kumpa share za thamani ya bilioni kadhaa? Au kulikuwa hamna ardhi ingine zaidi ya hio ya mbia?
wangeweza kununua sawa,mfano kule kisarawe au serengeti wangeweza kupata eneo kubwa tu hata kwa milion kumi kumi,

sasa nani angeenda kuishi huko.?

Pengine azimio ndo alikuwa mtu pekee aliekuwa na eneo kubwa eneo hilo na alikuwa tayari kuliendeleza pia azimio ni wataalamu wa mambo ya real estate,
au unafikiri kina dau ndo wamechora ramani na kupanga huo mji ukae vipi ,pamoja na kusimamia ujenzi wake,pamoja na kutoa advertising kwa nyumba zilizo tayari,etc,
vyote vinahitaji wataalamu wa fani hiyo,mradi wenyewe kwanza ni mkubwa unahitaji wataalamu wa fani
 
Kufanya Mradi bila ya Ubia maana yake ni kuwa;

1) risk yote ya mradi ingebebwa na NSSF na kumbuka Pension fund wanatakiwa kuzingatiwa zaid kuepuka hasara kuliko kupata faida ambayo Ina high risk.
2) Cashflow ya NSSF ingeathirika zaid kias cha kukwamisha miradi mingine kwa kuwa kununua kunge involve Cash outflow .
3) Ubia na Mwekezaji Mwenza mwny Uzoefu wa Miradi ya aina hiyo hukuwezesha kupata Expertism yake with zero cost
4) Kunaipa Fursa NSSF kufanya Miradi mingi na kikubwa zaid kwa wakat mmoja kwa kuwa kuna punguza Over concentration ya mradi mmoja na hiyo ndio Siri ya NSSF chini ya Dr. Dau kuwezesha kufanya Miradi mikubwa mikubwa kwa wakati mmoja Kama vile Majengo ya Uwekezaji Mikoa yote ya Tanzania bara, UDOM , Bunge, Daraja la Kigamboni n.k
Ha ha ha ha raha sana kumuuliz mtu kitu wakati jibu unalijua.

Mbia huyu ambae alitakiwa awekeze kiasi fulani ambacho hana,inabidi NSSF aweke yeye sasa! Kweli expertism at zero cost.
 
wangeweza kununua sawa,mfano kule kisarawe au serengeti wangeweza kupata eneo kubwa tu hata kwa milion kumi kumi,

sasa nani angeenda kuishi huko.?

Pengine azimio ndo alikuwa mtu pekee aliekuwa na eneo kubwa eneo hilo na alikuwa tayari kuliendeleza pia azimio ni wataalamu wa mambo ya real estate,
au unafikiri kina dau ndo wamechora ramani na kupanga huo mji ukae vipi ,pamoja na kusimamia ujenzi wake,pamoja na kutoa advertising kwa nyumba zilizo tayari,etc,
vyote vinahitaji wataalamu wa fani hiyo,mradi wenyewe kwanza ni mkubwa unahitaji wataalamu wa fani
Nimependa uliposema 'pengine Azimio ndio pekee alikuwa na eneo hapo. Kama ungeniambia Azimio pekee ndio walikuwa na eneo hapo wala nisingehoji. Mfano siwezi kuhoji ubia posta DSM kwasababu hamna kiwanja kitupu pale.
 
Mkuu muanzisha hoja anajamba tu maanake ktk ripoti ya CAG walihoji kwanini wasitumie ardhi yao kujenga ambayo wanayo hukohuko kigamboni,ile ni njia ya kuiba waloitumia na kampuni yenyewe ni ya dau
Huna hoja ila wewe ni mnafiki na muongo
 
Ha ha ha ha raha sana kumuuliz mtu kitu wakati jibu unalijua.

Mbia huyu ambae alitakiwa awekeze kiasi fulani ambacho hana,inabidi NSSF aweke yeye sasa! Kweli expertism at zero cost.

Kwa hiyo hoja ya kuwa NSSF wamenunua Kiwanja kwa Million 800 bado ipo au tushahamisha Magoli Kama kawaida yetu Watanganyika [emoji3][emoji3][emoji3]?

Mwekezaji sio Hana hela sema amesita kuwekeza kutokana na trend ya kibiashara ilivyo uncertain tangu kaingia Rais Mweledi.

Ingekuwa Wewe ungewekeza wakati Rais kishawapiga Marufuku NSSF kuwekeza kwny Majengo, unaweza kuendelea kufanya Heavy Investment wakati Rais anataka kufanya Tukio la Kihistoria Kuhamisha Makao Makuu ya Nchi kwa Miaka minne tu?

Mwekezaji Makini hawezi kupuuza Misimamo hiyo Miwili ya Rais Mzalendo ambayo Ina athari ya moja kwa moja kwny Mradi husika!
 
Kufanya Mradi bila ya Ubia maana yake ni kuwa;

1) risk yote ya mradi ingebebwa na NSSF na kumbuka Pension fund wanatakiwa kuzingatiwa zaid kuepuka hasara kuliko kupata faida ambayo Ina high risk.
2) Cashflow ya NSSF ingeathirika zaid kias cha kukwamisha miradi mingine kwa kuwa kununua kunge involve Cash outflow .
3) Ubia na Mwekezaji Mwenza mwny Uzoefu wa Miradi ya aina hiyo hukuwezesha kupata Expertism yake with zero cost
4) Kunaipa Fursa NSSF kufanya Miradi mingi na kikubwa zaid kwa wakat mmoja kwa kuwa kuna punguza Over concentration ya mradi mmoja na hiyo ndio Siri ya NSSF chini ya Dr. Dau kuwezesha kufanya Miradi mikubwa mikubwa kwa wakati mmoja Kama vile Majengo ya Uwekezaji Mikoa yote ya Tanzania bara, UDOM , Bunge, Daraja la Kigamboni n.k
Wewe unaongozwa na ubongo kweli kuja na majibu kama haya?
1. Hata kama kungetokea risk ya project kutofikia malengo yake hao Azimio wangesaidiaje kwenye kubeba risk wakati walichotoa ni kidogo mno mno compare to NSSF? Sana sana hasara yao ingekuwa ni kidogo na NSSF ndio wangepata hasara. Hii theory ingekuwa kweli kama hao Azimio wangekuwa wametoa kitu cha maana. (Au labda ni mabingwa wa kubeba risk mabegani kwi kwi kwi)
2. Wewe kweli ukifanya mahesabu hata bila karatasi unaona kweli kama NSSF ingenunua eneo lake karibu na hapo ingetumia fedha nyingi kuliko huu utapeli uliofanywa?
3. Unaweza kuonesha hao Azimio walishafanya tena miradi ya aina hiyo mingapi na uzoefu wao? Ni kina nani hao?
4. Kwa hiyo shida ya NSSF ilikuwa ni mbia wa kuipunguzia muda wa concentration kwenye project moja ili ipate muda wa kufanya project nyingine? Sioni mantiki ya kumtafuta mbia wa namna hii kwa gharama kubwa kama hii. Bora isingefanya hiyo project!
 
Kwa hiyo hoja ya kuwa NSSF wamenunua Kiwanja kwa Million 800 bado ipo au tushahamisha Magoli Kama kawaida yetu Watanganyika [emoji3][emoji3][emoji3]?
Ha ha ha ha ha nilikuwa nakuleta huku ndio ushakuja sasa. Hamna mwenye akili anapiga kizembe. Unatumia njia zinazoelezeka kupiga. Na ndio kilichofanyika!
 
Wewe unaongozwa na ubongo kweli kuja na majibu kama haya?
1. Hata kama kungetokea risk ya project kutofikia malengo yake hao Azimio wangesaidiaje kwenye kubeba risk wakati walichotoa ni kidogo mno mno compare to NSSF? Sana sana hasara yao ingekuwa ni kidogo na NSSF ndio wangepata hasara. Hii theory ingekuwa kweli kama hao Azimio wangekuwa wametoa kitu cha maana. (Au labda ni mabingwa wa kubeba risk mabegani kwi kwi kwi)
2. Wewe kweli ukifanya mahesabu hata bila karatasi unaona kweli kama NSSF ingenunua eneo lake karibu na hapo ingetumia fedha nyingi kuliko huu utapeli uliofanywa?
3. Unaweza kuonesha hao Azimio walishafanya tena miradi ya aina hiyo mingapi na uzoefu wao? Ni kina nani hao?
4. Kwa hiyo shida ya NSSF ilikuwa ni mbia wa kuipunguzia muda wa concentration kwenye project moja ili ipate muda wa kufanya project nyingine? Sioni mantiki ya kumtafuta mbia wa namna hii kwa gharama kubwa kama hii. Bora isingefanya hiyo project!

Hakuna haja ya kejeli na kebehi.

Economists agree to disagree, si lazima Analysis zangu na zako kufanana na hata zikipishana ni kitu cha kawaida kwny Project analysis

Naona kuna jitihada ya kutaka kuhamisha Magoli kimtindo mtindo.

Hoja ilikuwa ni kuwa NSSF imenunua Kiwanja kwa Tsh 800 Million jee ni kweli? Maana hili halihitaji analysisi ni facts ama NSSF walinunua au hawakununua maana Wananchi wa kawaida wanakorogwa na taarifa tofauti.
 
Ha ha ha ha ha nilikuwa nakuleta huku ndio ushakuja sasa. Hamna mwenye akili anapiga kizembe. Unatumia njia zinazoelezeka kupiga. Na ndio kilichofanyika!

Ndo sasa tusaidie hiyo hela imepigwaje wakati Mradi hata kuanza haujaanza? Inawezekana unajua hizo mbinu.

Hakuna mbinu yoyote Duniani kupiga hela Kama Hakuna Movement of cash sasa hapo Hakuna any movement in cashflow bado tunaambiwa wamepigwa. Nipe hizo mbinu mpya alizotumia Dau
 
Ndo sasa tusaidie hiyo hela imepigwaje wakati Mradi hata kuanza haujaanza? Inawezekana unajua hizo mbinu.

Hakuna mbinu yoyote Duniani kupiga hela Kama Hakuna Movement of cash sasa hapo Hakuna any movement in cashflow bado tunaambiwa wamepigwa. Nipe hizo mbinu mpya alizotumia Dau
Haya mkuu,asante kwa elimu.
 
Nimependa uliposema 'pengine Azimio ndio pekee alikuwa na eneo hapo. Kama ungeniambia Azimio pekee ndio walikuwa na eneo hapo wala nisingehoji. Mfano siwezi kuhoji ubia posta DSM kwasababu hamna kiwanja kitupu pale.
pengine waliokuwepo hata watu 100 hapo wana viplot vidogo na wangejua kuna deal la kununua viwanja kwa mradi mkubwa lazima bei ingeshoot,lakini bado tena nssf ingebidi atafute mtu wa kufanya naye kazi,isitoshe haya maswali mahakamani hayatasaidia,eti kwamba kwanini msinunue badala ya kuingia ubia,
atakujibu wao kama management waliona kuingia ubia ni more productive kuliko wao ndo waendeshe mradi wote,wasingeweza hawana exprience pia wana majukumu ya kufanya ofisini na sio kusimamia ujenzi wa majengo,pia kununua ardhi directly kama alivyosema pohamba kungehitaji cash,kwamaana ingine huo mradi ungeweza kuwa katika stage ya michoro bado,tofauti na sasa phase one inaelekea kumalizika
 
Mi nadhani walivyoipata hiyo milioni 800 kwa heka,itakuwa wamechukua gharama ilizotumia Nssf kujenga majengo,ambayo ni 270 bilion wakagawa kwa idadi ya heka yalimojengwa majengo yaani heka 300 ya phase ya ya kwanza,ukigawa hapo kama sikosei inakuja approx milion 800,
siyo mtalaamu sana wa hesabu nadhani hiyo ndo explanation,

kwani heka 20000x 800 milion=hela nyingi mno sina calculator ,ila sidhani kama NSSF imenunua heka elfu 20 kwa milion 800 kila heka.

Au pengine ni heka 3500 ambazo wanadai Azimio ndo anazo hapo kigamboni,again mwenye calculator azidishe 3500x milion 800=unapata ngapi,

ni pesa nyingi,je lini Nssf wametoa pesa kununua hizo heka zote
 
Hakuna haja ya kejeli na kebehi.

Economists agree to disagree, si lazima Analysis zangu na zako kufanana na hata zikipishana ni kitu cha kawaida kwny Project analysis

Naona kuna jitihada ya kutaka kuhamisha Magoli kimtindo mtindo.

Hoja ilikuwa ni kuwa NSSF imenunua Kiwanja kwa Tsh 800 Million jee ni kweli? Maana hili halihitaji analysisi ni facts ama NSSF walinunua au hawakununua maana Wananchi wa kawaida wanakorogwa na taarifa tofauti.
Basi hao waliofanya project analysisi wana uelewa kama wako!
 
Back
Top Bottom