Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Unawezaje kuzichakata mbususu ikiwa wewe ni domo zege?Kama mie ndio domo zege wakutupwaaa....nashukuru uwepo wa tinder na badoo kunisaidia kujua mbususu inafananaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawezaje kuzichakata mbususu ikiwa wewe ni domo zege?Kama mie ndio domo zege wakutupwaaa....nashukuru uwepo wa tinder na badoo kunisaidia kujua mbususu inafananaje
Umeshamwambia wewe tayari😊Mwambie aweke sampuli km 5 tukague
Domo zege haongei ni vitendo dizaini fulani ya bubuUnawezaje kuzichakata mbususu ikiwa wewe ni domo zege?
Kabisa,yaan kilakitu mtandao 🙄Hujakosea best
Hebu upload kapicha ka domo zege akiwa ktk mawindo mkuuDomo zege haongei ni vitendo dizaini fulani ya bubu
Hebu upload kapicha ka domo zege akiwa ktk mawindo mkuu
Hata hapa kuna couple zilikutana hapa hapa 🤣Kabisa,yaan kilakitu mtandao 🙄
Mzee baba hujanitendea haki mie sio domo zege mkuu
Hapa Tena,hapa ndo sana mbonaHata hapa kuna couple zilikutana hapa hapa 🤣
Hahaha wewe si umetaka nifanye upload ya huyo domo zegwe au?Mzee baba hujanitendea haki mie sio domo zege mkuu
Nasikia hata Mahondaw na mumewe walikutana hapa wakayajenga 😁Hapa Tena,hapa ndo sana mbona
Nasikia hadi Baba mtoto ulimpata humu humuHapa Tena,hapa ndo sana mbona
Unge upload picha ya Lukas Mwashambwa huyo ndo domo zengwe ogHahaha wewe si umetaka nifanye upload ya huyo domo zegwe au?
Hapana,huyo tulikutana seminaNasikia hadi Baba mtoto ulimpata humu humu
Tupe uthibitisho mkuuNasikia hadi Baba mtoto ulimpata humu humu
🤣🤣🤣🤣🤭Nasikia hata Mahondaw na mumewe walikutana hapa wakayajenga 😁
Huyu ndo wewe? Anaonekana ana gubu sana.Men will like everything you post until he becomes your man, now he can't see🥲🤡😂
View attachment 3109582