Ukweli kuhusu tabia za wanaume washindao katika mitandao ya kijamii

Ukweli kuhusu tabia za wanaume washindao katika mitandao ya kijamii

Weka namba yako ya simu hapa na nitakupigia.

Usijisumbue kukimbilia pm hutapata contact zangu huko.
Hapna,kuweka namba hapa ni hatari, sisi ni watu wa mfumo namba zetu hazitakiwi ziwe public,
Ngojea ntajua namna gani ntakupata usijali bibie
 
Hayo ni mawazo yako? Unaonekana una mawazo ya watu wenye gubu kabisa.
Hapana, mimi mjivuni sana kuwa na gubu.

Yani kumuonea mtu gubu naona kama nampaisha saana, na mimi sitaki kumpaisha mtu.

Hujanijibu swali langu bado.
 
Hapana, mimi mjivuni sana kuwa na gubu.

Yani kumuonea mtu gubu naona kama nampaisha saana, na mimi sitaki kumpaisha mtu.

Hujanijibu swali langu bado.
Mtu mjivuni hawezi uliza swali kama hilo ulilouliza ila mtafuta umbea anaweza uliza swali kama hilo.

Bila shaka wewe ni mbea na kwa maana hiyo sikupi jibu la swali lako.
 
Mtu mjivuni hawezi uliza swali kama hilo ulilouliza ila mtafuta umbea anaweza uliza swali kama hilo.

Bila shaka wewe ni mbea na kwa maana hiyo sikupi jibu la swali lako.
This is a false dichotomy.

Hakuna contradiction yoyote mjivuni kuwa mmbea. Na kila member wa JF ni mmbea. Kama si mmbea unatafuta nini JF?

Labda wewe huelewi ujivuni.

Tena mjivuni hasa anatakiwa kuwa mmbea.

Maana ujivuni wake unatakiwa kuendana na kujua mambo mengi ajihakikishie ujivuni wake unasimama. Vinginevyo ujivuni wake unakuwa wa kivuli tu.

Kutonipa jibu la swali langu nako ni aina ya kunipa jibu la swali langu.

"No comment" is a comment.
 
Back
Top Bottom