Bi zandile
JF-Expert Member
- Sep 12, 2024
- 301
- 856
- Thread starter
- #161
Weka namba yako ya simu hapa na nitakupigia.Ohh,una mawasiliano gani bibie,ntumie namba yako Pm
Usijisumbue kukimbilia pm hutapata contact zangu huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka namba yako ya simu hapa na nitakupigia.Ohh,una mawasiliano gani bibie,ntumie namba yako Pm
Hivi uliwahi kutongoza FaizaFoxy kule kwa thread yake na ukamlainisha?ulitaka utongozwe kumbe
Hapna,kuweka namba hapa ni hatari, sisi ni watu wa mfumo namba zetu hazitakiwi ziwe public,Weka namba yako ya simu hapa na nitakupigia.
Usijisumbue kukimbilia pm hutapata contact zangu huko.
Tuliza komwe babu, usihangaike kunitafuta usije potezwa mazima.Hapna,kuweka namba hapa ni hatari, sisi ni watu wa mfumo namba zetu hazitakiwi ziwe public,
Ngojea ntajua namna gani ntakupata usijali bibie
Ndo maanaMie mnyambo baba
Ndio maana nini?Ndo maana
Ur talking nonsense...Ndio maana nini?
Hizi ni takataka 🚮 ok?Calm down and I will send you the money to you
Not takatakaHizi ni takataka 🚮 ok?
Talking nonsense ina uhusiano gani na wanyambo?Ur talking nonsense...
Ni kama ulivyo wewe tuWe
Una Nye ge za m ku ndu wewe
hujajibu swaliHivi uliwahi kutongoza FaizaFoxy kule kwa thread yake na ukamlainisha?
Kingereza cha wapi hiki? Au kazuramimba kigoma?
Ikiwa hujaona jibu la swali lako basi rudi chuo ukamalizie masomo bado hujahitimu.hujajibu swali
Hapana, mimi mjivuni sana kuwa na gubu.Hayo ni mawazo yako? Unaonekana una mawazo ya watu wenye gubu kabisa.
Mtu mjivuni hawezi uliza swali kama hilo ulilouliza ila mtafuta umbea anaweza uliza swali kama hilo.Hapana, mimi mjivuni sana kuwa na gubu.
Yani kumuonea mtu gubu naona kama nampaisha saana, na mimi sitaki kumpaisha mtu.
Hujanijibu swali langu bado.
Kweli eeh?Tuliza komwe babu, usihangaike kunitafuta usije potezwa mazima.
This is a false dichotomy.Mtu mjivuni hawezi uliza swali kama hilo ulilouliza ila mtafuta umbea anaweza uliza swali kama hilo.
Bila shaka wewe ni mbea na kwa maana hiyo sikupi jibu la swali lako.
Kwa kweliSisi keyboard warriors wengi huwa introverts tu
alaahIkiwa hujaona jibu la swali lako basi rudi chuo ukamalizie masomo bado hujahitimu.