Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
- #61
Mama Samia mitano tena, wanaomchukia wanasumbuliwa na udini na mfumo dume.πππ Safi sana Dr Matola PhD πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama Samia mitano tena, wanaomchukia wanasumbuliwa na udini na mfumo dume.πππ Safi sana Dr Matola PhD πππ
Msaliti hawezi kunipeleka utumwa Dubai kisha uje kumficha kwenye kivuli cha udini, daima nitasema..Mama Samia mitano tena, wanaomchukia wanasumbuliwa na udini na mfumo dume.
Kwenye majumuisho kwani hayo mawkala wanakuwa wapi na wanakuwa na nakala ya matokeo ya kila kituo. Kwanini waibiwe wakati wa majumuisho wakati kura zipo wazi zina onekana. Haya tulikuwa na waangalizi wa kitaifa na kimataifa what was there comments. Hawa ndo mara nyingi huwa ni chanzo cha kujua uchaguzi kuwa huru na haki. Tuache kuleta taharuki wewe jinga jinga.Kura zinaibiwa kwenye majumuisho ya mwisho kwa Afisa Mtendaji Kata.
Ukitaka kuidhibiti Ccm lazima uhakika vituo, ni lazima uwe na mawakala waaminifu vituo vyote, uwape chakula na posho.
Upate nakala za fomu za vituo vyote kwa wakati muwe tallying center yenu, mkishafanya majumuisho yenu kama mmeisha sasa vibe linahahamia kwa Mtendaji atangaze matokeo, hiyo ni udiwani.
Ubunge Kata zote zina peleka matokeo kwa Mkurugenzi, Ki ukweli kama mawakala wana njaa mnapigwa tu.
Ila mkipelekwa utumwani Canada kwa Barrick ni sawa tu?Wewe unaesema umetolewa jehanamu wakati ndio umefika utumwani Dubai una akili?
Akikusikia Dr Kimaro atacheka sana hapo KKKT KijitonyamaππMama Samia mitano tena, wanaomchukia wanasumbuliwa na udini na mfumo dume.
Sina muda wa kupoteza kwa mtu mjinga, kamuulize Odinga kura zinaibwaje atakupa elimu.Kwenye majumuisho kwani hayo mawkala wanakuwa wapi na wanakuwa na nakala ya matokeo ya kila kituo. Kwanini waibiwe wakati wa majumuisho wakati kura zipo wazi zina onekana. Haya tulikuwa na waangalizi wa kitaifa na kimataifa what was there comments. Hawa ndo mara nyingi huwa ni chanzo cha kujua uchaguzi kuwa huru na haki. Tuache kuleta taharuki wewe jinga jinga.
Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
Heh!!π³π³π³Hakika Magufuli hakuwa wakala wa shetani tu Bali ndio shetani mwenyewe.
DuhKumekuwa na shutuma nyingi sana za kumshutumu Magufuli kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020 lakini watowa lawama wote ukiwauliza alivurugaje au aliiba vipi kura hakuna atakayekupa jibu.
Sasa leo nimewiwa kuwaondowa gizani, kama mtakakumbuka Magufuli aliwaita maafisa watendaji wote wa Kata Tanzania nzima ikulu Dar, hili halijawahi kutokea katika historia ya Tanzania.
Mkutano huo ulirushwa mubashara lakini baadaye muda wa kuwapa mikakati na malengo ya kuitwa kwao matangazo mubashara yalikatwa na kichinjio cha upinzani ndio kilifanyika pale.
Alichofanya Magufuli ni kila Afisa Mtendaji Kata alipewa Amri ni lazima ahakikishe kuna kura 3000 kwenye Kata yake za Diwani, mbunge na Rais za Ccm, halafu maigizo ya uchaguzi ndio yaendelee kama kama kawaida.
Sasa jiulize katika hali ya kawaida madiwani wanaogombea Kata, mwenzao wa Ccm tayari ana kura 3000 unamshinda vipi?
Ukija kwa mbunge, kila Kata kwenye jimbo ana mtaji wa kura 3000 halafu ndio mshindane kwa kura halali unashindaje?
Ukija kwa Rais hapo ndio kufuru, kila Kata Tanzania nzima ana kura 3000 za wizi na bado wizi wa majumuisho je unamshinda vipi?
Hakika Magufuli hakuwa wakala wa shetani tu Bali ndio shetani mwenyewe.
Hizi siyo ngonjera Bali ni taarifa sahihi live bila chenga, wagombea wote wa upinzani wakitaka kujuwa matokeo halisi je walishinda au walishindwa kweli, kwa udiwani towa kura 3000 za Ccm, zinazobaki ndio kura mlizopigiwa, na kwa ubunge kila Kata jimbo zima towa kura 3000 zitazobaki ndio matokeo yenu halisi, ila kwa Urais ni rahisi sana kuiba uchaguzi loop hole ni nyingi sana hata mama Samia ni mitano tena anashinda SAA mbili asubuhi tu mark my words regardless kelele zote za kuuza nchi, labda Jeshi liingilie na kwa Tanzania wanajeshi na wanasiasa wote wana maisha mazuri wanatembelea V8 hilo tusahau.
Najuwa wapo watakaohoji mbona kuna wapinzani wachache walishinda? Jibu ni kwamba huo ni mkakati maalum wa kuhadaa umma na dunia, na sehemu nyingine kama mgombea wa ubunge wa Ccm hakuwa na mahusiano mazuri na Mkurugenzi alitoswa wizi haukufanyika, au kama mgombea udiwani hakuwa na mahusiano mazuri na Afisa Mtendaji Kata pia alitoswa wizi haukufanyika hii ndio sababu ukiona kuna sehemu wapinzani wachache walitangazwa washindi, wapo wakurugenzi waliukataa ushetani wa Magufuli.
Wapinzani amkeni mnapotaka kupambana na Ccm muijuwe vizuri nguvu ya Ccm IPO kwa wakurugenzi na maafisa watendaji Kata, nje ya hapo Ccm ni kifo cha mende chaliii.
Cc: Pascal Mayalla hii ni Bona fide genuine.
Unaona ulivyo tahira wewe. Wewe ndo umeleta mada hapa sasa mimi nikamuuliza odinga tena. Wewe si ndiyo mleta mada. You have evidences sasa twende nje ya nchi tena. Huna hoja. Acheni kuleta hisia. Ule uchaguzi mlipoteza Magufuli aliwazunguka kila kona genius mmoja.Sina muda wa kupoteza kwa mtu mjinga, kamuulize Odinga kura zinaibwaje atakupa elimu.
Kata pia kila mgombea anakua na wakala mmoja wa majumuisho,na kama anakubali vituo hewa nae kanunuliwa.Kama umewahi kusimamia uchaguzi unajuwa ni kwa nini walimu ndio wasimamizi? Na unajuwa kwamba Msimamizi msaidizi analetwa na Ccm?
Umeshawahi kuingia kwa Afisa Mtendaji kwenye majumuisho ya kura za Kata nzima?
Kwenye majumuisho hakuna kuhesabu kura Bali ni fomu na matokeo yake na pale ndio vinapoubuka vituo hewa.
Kitu kama hujui kaa kimya, naandika kitu ninachokijuwa vizuri, Nina rafiki zangu ni viongozi wakubwa Ccm hawajuwagi tu kama sina mpango na liccm lao ila tuna mambo yetu nakula na vipofu, nikikwambia jambo zito kuhusu Ccm ni bona fide genuine.
Hujielewi, kila jambo linajadiliwa kwa wakati wake, tuwekee hapa huo mkataba wa Barrick tuujadili.Ila mkipelekwa utumwani Canada kwa Barrick ni sawa tu?
Hivi kuna Mtanzania anayechimba almasi Mwadui?
Umeandika maoni yako halafu unatulazimisha kuamini kua eti ndio ukweli. Umebumba hizo taarifa. Lamsingi Wapinzani tuhamasishe wananchi kujitokeza kupiga kura na kuwachagua kama mnafaa na sio kuwahimiza wananchi kujiandaa na vurugu ambazo zikianza mnapandanndege kwenda nje kula Bata.Kumekuwa na shutuma nyingi sana za kumshutumu Magufuli kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020 lakini watowa lawama wote ukiwauliza alivurugaje au aliiba vipi kura hakuna atakayekupa jibu.
Sasa leo nimewiwa kuwaondowa gizani, kama mtakakumbuka Magufuli aliwaita maafisa watendaji wote wa Kata Tanzania nzima ikulu Dar, hili halijawahi kutokea katika historia ya Tanzania.
Mkutano huo ulirushwa mubashara lakini baadaye muda wa kuwapa mikakati na malengo ya kuitwa kwao matangazo mubashara yalikatwa na kichinjio cha upinzani ndio kilifanyika pale.
Alichofanya Magufuli ni kila Afisa Mtendaji Kata alipewa Amri ni lazima ahakikishe kuna kura 3000 kwenye Kata yake za Diwani, mbunge na Rais za Ccm, halafu maigizo ya uchaguzi ndio yaendelee kama kama kawaida.
Sasa jiulize katika hali ya kawaida madiwani wanaogombea Kata, mwenzao wa Ccm tayari ana kura 3000 unamshinda vipi?
Ukija kwa mbunge, kila Kata kwenye jimbo ana mtaji wa kura 3000 halafu ndio mshindane kwa kura halali unashindaje?
Ukija kwa Rais hapo ndio kufuru, kila Kata Tanzania nzima ana kura 3000 za wizi na bado wizi wa majumuisho je unamshinda vipi?
Hakika Magufuli hakuwa wakala wa shetani tu Bali ndio shetani mwenyewe.
Hizi siyo ngonjera Bali ni taarifa sahihi live bila chenga, wagombea wote wa upinzani wakitaka kujuwa matokeo halisi je walishinda au walishindwa kweli, kwa udiwani towa kura 3000 za Ccm, zinazobaki ndio kura mlizopigiwa, na kwa ubunge kila Kata jimbo zima towa kura 3000 zitazobaki ndio matokeo yenu halisi, ila kwa Urais ni rahisi sana kuiba uchaguzi loop hole ni nyingi sana hata mama Samia ni mitano tena anashinda SAA mbili asubuhi tu mark my words regardless kelele zote za kuuza nchi, labda Jeshi liingilie na kwa Tanzania wanajeshi na wanasiasa wote wana maisha mazuri wanatembelea V8 hilo tusahau.
Najuwa wapo watakaohoji mbona kuna wapinzani wachache walishinda? Jibu ni kwamba huo ni mkakati maalum wa kuhadaa umma na dunia, na sehemu nyingine kama mgombea wa ubunge wa Ccm hakuwa na mahusiano mazuri na Mkurugenzi alitoswa wizi haukufanyika, au kama mgombea udiwani hakuwa na mahusiano mazuri na Afisa Mtendaji Kata pia alitoswa wizi haukufanyika hii ndio sababu ukiona kuna sehemu wapinzani wachache walitangazwa washindi, wapo wakurugenzi waliukataa ushetani wa Magufuli.
Wapinzani amkeni mnapotaka kupambana na Ccm muijuwe vizuri nguvu ya Ccm IPO kwa wakurugenzi na maafisa watendaji Kata, nje ya hapo Ccm ni kifo cha mende chaliii.
Cc: Pascal Mayalla hii ni Bona fide genuine.
Kwako.. kulwa jilala na kisamv leteni mchango wenu...!Kumekuwa na shutuma nyingi sana za kumshutumu Magufuli kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020 lakini watowa lawama wote ukiwauliza alivurugaje au aliiba vipi kura hakuna atakayekupa jibu.
Sasa leo nimewiwa kuwaondowa gizani, kama mtakakumbuka Magufuli aliwaita maafisa watendaji wote wa Kata Tanzania nzima ikulu Dar, hili halijawahi kutokea katika historia ya Tanzania.
Mkutano huo ulirushwa mubashara lakini baadaye muda wa kuwapa mikakati na malengo ya kuitwa kwao matangazo mubashara yalikatwa na kichinjio cha upinzani ndio kilifanyika pale.
Alichofanya Magufuli ni kila Afisa Mtendaji Kata alipewa Amri ni lazima ahakikishe kuna kura 3000 kwenye Kata yake za Diwani, mbunge na Rais za Ccm, halafu maigizo ya uchaguzi ndio yaendelee kama kama kawaida.
Sasa jiulize katika hali ya kawaida madiwani wanaogombea Kata, mwenzao wa Ccm tayari ana kura 3000 unamshinda vipi?
Ukija kwa mbunge, kila Kata kwenye jimbo ana mtaji wa kura 3000 halafu ndio mshindane kwa kura halali unashindaje?
Ukija kwa Rais hapo ndio kufuru, kila Kata Tanzania nzima ana kura 3000 za wizi na bado wizi wa majumuisho je unamshinda vipi?
Hakika Magufuli hakuwa wakala wa shetani tu Bali ndio shetani mwenyewe.
Hizi siyo ngonjera Bali ni taarifa sahihi live bila chenga, wagombea wote wa upinzani wakitaka kujuwa matokeo halisi je walishinda au walishindwa kweli, kwa udiwani towa kura 3000 za Ccm, zinazobaki ndio kura mlizopigiwa, na kwa ubunge kila Kata jimbo zima towa kura 3000 zitazobaki ndio matokeo yenu halisi, ila kwa Urais ni rahisi sana kuiba uchaguzi loop hole ni nyingi sana hata mama Samia ni mitano tena anashinda SAA mbili asubuhi tu mark my words regardless kelele zote za kuuza nchi, labda Jeshi liingilie na kwa Tanzania wanajeshi na wanasiasa wote wana maisha mazuri wanatembelea V8 hilo tusahau.
Najuwa wapo watakaohoji mbona kuna wapinzani wachache walishinda? Jibu ni kwamba huo ni mkakati maalum wa kuhadaa umma na dunia, na sehemu nyingine kama mgombea wa ubunge wa Ccm hakuwa na mahusiano mazuri na Mkurugenzi alitoswa wizi haukufanyika, au kama mgombea udiwani hakuwa na mahusiano mazuri na Afisa Mtendaji Kata pia alitoswa wizi haukufanyika hii ndio sababu ukiona kuna sehemu wapinzani wachache walitangazwa washindi, wapo wakurugenzi waliukataa ushetani wa Magufuli.
Wapinzani amkeni mnapotaka kupambana na Ccm muijuwe vizuri nguvu ya Ccm IPO kwa wakurugenzi na maafisa watendaji Kata, nje ya hapo Ccm ni kifo cha mende chaliii.
Cc: Pascal Mayalla hii ni Bona fide genuine.
100% ni kweli... na hata ajira za muda za usimamizi wa vituo vya kupigia kura nyingi zilikuwa za kupewa kwa maelekezo, walimu walitumika sana sana sanaaa, + hawa maafisa wetu, wapo hadi waliosafirishwa na kubadilishana Mikoa na majimbo... na hapa ndio kukatokea na tatizo la mawakala wengi wa upinzani kuzuiwa na kulalamika... mawakala wengi walitokea mahala tofauti na eneo la kupigia kura na wengi walikuwa maafisaKuna kitu huwa hakizungumzwi, huenda it's no More classified Sasa, Wacha nikiseme tu. Walimu na baadhi ya watu walifungiwa kwenye vyuo vya ualimu, vyuo vya kawaida na baadhi ya kumbi ambazo ziliteuliwa Kwa KAZI hio tu na KAZI kubwa ilikua ni kuweka tick kwenye kura hizo.
Walikua hawaruhusiwi kuingia na simu, walikuta Kila kitu kimeandaliwa including chai, chakula na hizo kura feki. Hizi ndio zile baadhi zilikamatwa Kawe na kwingine.
Wakisoma hapa watashangaa tungejuaje ila tulijua tukakaa kimya, baadhi ya hizo stations ilikua ni korogwe, shinyanga na ukumbi wa Baraza la mitihani..... Kwa uchache.
Wewe Chawa hatuzungumzii Uchaguzi wa Umoja wa VijanaIdiot, post ya kijinga. CCM hatujawahi kuiba kura, huwa tunapita kimtelezo na wananchi wanatukubali kwa 100%. Wapinzani uchwara tafuteni mbinu nyingine na visingizio. Naona mnaanza kutapa tapa baada ya kuona rais Dkt Samia anaelekea kuwagalagaza kwenye uchaguzi 2025.
Sawa Vibaraka wa Waarabu. Bado kuuzwa viuno vyenu tu.Upinzani ni viroboto na wajinga sana, hakuna mtanzania atakayekuja kuwaamini na it will never happen vibaraka wa mabeberu kutawala hii nchi.
Huyu mama ametutoa wapi? Na ametutoaje?Tunaojuwa ukweli wa mambo ndio maana tumechaguwa kukaa kimya, huyu mama ametutowa jehenamu.
Haya mambo ya bandari tuweke kando kwanza lakini watu waelewe vizuri alipotutowa huyu mama.