Ukweli kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020 Jinsi Hayati Magufuli alivyouvuruga

Ukweli kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020 Jinsi Hayati Magufuli alivyouvuruga

Kote umeeleza vizuri Ila naomba nikusahihishe sehemu moja. Hakuna Jimbo la kimkakati lililotolewa Kwa upinzani. Mtwara na Nkasi yaliyotwaliwa na wapinzani kilichoshindikana ni Polisi kutoshirikishwa baada kushindwa kuelewana na DC na DSO àmbao ndo waliopewa kusimamia uingizaji Kura feki kwenye vyumba vya kupigia Kura. Mkakati wa kutumia Watendaji Kata ilikuwa ni second alternative na wangehusika kwenye majumuisho ya Kura kama ulivyosema. Kitendo cha wagombea kwenye Majimbo hayo mawili kutokuwa na mahusiano mazuri na Wakurugenzi na Watendaji wengine wa serikali kilisaidia kutangaza matokeo halisi na Watendaji Kata kutotumika kubadilisha fomu za majumuisho.
Police nao wamesaidia sana kuharibu uchaguzi.
 
Dalili za kulamba chakula cha nyuki ni kukwepa kutia timu majimbo 14 ya uchaguzi!!!
Hakuna mtu au chama kinachojitambua kitaendelea kushiriki hizo chaguzi za kishenzi kwa mazingira haya. Ni mtu mjinga tu ataendelea kushiriki kwenye hizo chaguzi za kishenzi ili kuzipa uhalali, wakati box la kura haliheshimiwi.
 
Kumekuwa na shutuma nyingi sana za kumshutumu Magufuli kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020 lakini watowa lawama wote ukiwauliza alivurugaje au aliiba vipi kura hakuna atakayekupa jibu.

Sasa leo nimewiwa kuwaondowa gizani, kama mtakakumbuka Magufuli aliwaita maafisa watendaji wote wa Kata Tanzania nzima ikulu Dar, hili halijawahi kutokea katika historia ya Tanzania.

Mkutano huo ulirushwa mubashara lakini baadaye muda wa kuwapa mikakati na malengo ya kuitwa kwao matangazo mubashara yalikatwa na kichinjio cha upinzani ndio kilifanyika pale.

Alichofanya Magufuli ni kila Afisa Mtendaji Kata alipewa Amri ni lazima ahakikishe kuna kura 3000 kwenye Kata yake za Diwani, mbunge na Rais za Ccm, halafu maigizo ya uchaguzi ndio yaendelee kama kama kawaida.

Sasa jiulize katika hali ya kawaida madiwani wanaogombea Kata, mwenzao wa Ccm tayari ana kura 3000 unamshinda vipi?

Ukija kwa mbunge, kila Kata kwenye jimbo ana mtaji wa kura 3000 halafu ndio mshindane kwa kura halali unashindaje?

Ukija kwa Rais hapo ndio kufuru, kila Kata Tanzania nzima ana kura 3000 za wizi na bado wizi wa majumuisho je unamshinda vipi?

Hakika Magufuli hakuwa wakala wa shetani tu Bali ndio shetani mwenyewe.

Hizi siyo ngonjera Bali ni taarifa sahihi live bila chenga, wagombea wote wa upinzani wakitaka kujuwa matokeo halisi je walishinda au walishindwa kweli, kwa udiwani towa kura 3000 za Ccm, zinazobaki ndio kura mlizopigiwa, na kwa ubunge kila Kata jimbo zima towa kura 3000 zitazobaki ndio matokeo yenu halisi, ila kwa Urais ni rahisi sana kuiba uchaguzi loop hole ni nyingi sana hata mama Samia ni mitano tena anashinda SAA mbili asubuhi tu mark my words regardless kelele zote za kuuza nchi, labda Jeshi liingilie na kwa Tanzania wanajeshi na wanasiasa wote wana maisha mazuri wanatembelea V8 hilo tusahau.

Najuwa wapo watakaohoji mbona kuna wapinzani wachache walishinda? Jibu ni kwamba huo ni mkakati maalum wa kuhadaa umma na dunia, na sehemu nyingine kama mgombea wa ubunge wa Ccm hakuwa na mahusiano mazuri na Mkurugenzi alitoswa wizi haukufanyika, au kama mgombea udiwani hakuwa na mahusiano mazuri na Afisa Mtendaji Kata pia alitoswa wizi haukufanyika hii ndio sababu ukiona kuna sehemu wapinzani wachache walitangazwa washindi, wapo wakurugenzi waliukataa ushetani wa Magufuli.

Wapinzani amkeni mnapotaka kupambana na Ccm muijuwe vizuri nguvu ya Ccm IPO kwa wakurugenzi na maafisa watendaji Kata, nje ya hapo Ccm ni kifo cha mende chaliii.

Cc: Pascal Mayalla hii ni Bona fide genuine.

Halafu dhalimu baada ya kuona matokeo aliyoyataka hayajaendana na idadi halisi ya watu waliojitokeza kwenye kupiga kura, akasema hakuna kushangilia ushindi bali watu wakachape kazi kwani uchaguzi umekwisha.
 
Tunaojuwa ukweli wa mambo ndio maana tumechaguwa kukaa kimya, huyu mama ametutowa jehenamu.

Haya mambo ya bandari tuweke kando kwanza lakini watu waelewe vizuri alipotutowa huyu mama.
Amekutoa utumwani kisha anakupeleka jehanamu huko uarabuni?

Mna mavi vichwani aisee..

Bora Magufuli alipora uchaguzi ambao unarekebishika baada ya miaka 5 vipi huyu bibi yako kukuuza uarabuni?
 
Sasa tushauriane hapa, ni mbinu gani wananchi tutumie kuiondoa CCM madarakani?
Hakuna haja ya kuiondoa CCM bali haja ni kuitakia CCM itimize wajibu wake kwa mujibu wa Katiba yake na Katiba ya nchi.

Kwa sababu katiba zote mbili hazielekezi kukera wananchi bali zinaelekeza kuboresha maisha Yao katika nyanja zote.

Povu ruksa.
 
Amekutoa utumwani kisha anakupeleka jehanamu huko uarabuni?

Mna mavi vichwani aisee..

Bora Magufuli alipora uchaguzi ambao unarekebishika baada ya miaka 5 vipi huyu bibi yako kukuuza uarabuni?
Ushetani wa Magufuli haya ndio matunda yake, bunge aliloliweka kiharamu Magufuli ndio limehalalisha uharamia huu wa Waarabu, Magufuli huwezi kumtenganisha na hili haya ndio matunda tunayavuna sasa.

Nakumbuka wakati Makinda akiwa spika wakati wa kupitisha vifungu vya sheria alikuwa anampa air time sana Tundu Lisu na alikuwa akiheshimu sana ushauri wa Lisu.

Sasa huyu shetani wenu aliyetwaliwa kuzimu watu kama Lisu yeye ndio alikuwa anataka kuwauwa kikatili, shenzi kabisa lile zee.
 
Ushetani wa Magufuli haya ndio matunda yake, bunge aliloliweka kiharamu Magufuli ndio limehalalisha uharamia huu wa Waarabu, Magufuli huwezi kumtenganisha na hili haya ndio matunda tunayavuna sasa.

Nakumbuka wakati Makinda akiwa spika wakati wa kupitisha vifungu vya sheria alikuwa anampa air time sana Tundu Lisu na alikuwa akiheshimu sana ushauri wa Lisu.

Sasa huyu shetani wenu aliyetwaliwa kuzimu watu kama Lisu yeye ndio alikuwa anataka kuwauwa kikatili, shenzi kabisa lile zee.
Bunge ndio lilienda dubai kwenye expro?

Sikia bwana taahira, hilo bunge limecheza ngoma anayopiga huyu bibiako.

Bibiako angeamua vinginevyo wala yasingetokea haya kuuzwa kwa wajomba zake!

Ni lini bunge liliwahi kusimamia maslahi ya wanachi?

Huyo Lisu wako wakati Richmond, Meremeta, Rada, Escrow na uchafu mwingine unatokea si alikuwa bungeni? Alifnya nini kuzui usitokee?

Dr. Slaa juzi katwambia kuna mikataba ya hovyo zaidi ya 2,000 hapa nchini, je yote ilipita kwenye bunge hili

Mnafanya upumbavu alafu mnajificha kwenye kichaka cha Magufuli?
 
Yani mimi nikisikia Jina la magufuli naanza na Dua ya kumlaani shetani uko alipo aongezewe adhabu za kaburini..yani ni Bora ata Rais angekuwa bambo au kingwendu kuliko yule mtu almashauri kuu ya CCM mkiona mtu ana dalili za kuwa kama yule shetani naomba mlifyeke Jina lake mara moja..
 
Yani mimi nikisikia Jina la magufuli naanza na Dua ya kumlaani shetani uko alipo aongezewe adhabu za kaburini..yani ni Bora ata Rais angekuwa bambo au kingwendu kuliko yule mtu almashauri kuu ya CCM mkiona mtu ana dalili za kuwa kama yule shetani naomba mlifyeke Jina lake mara moja..
Wewe ni taahira ndio maana mama yetu kaaamua awauze kwa wajomba zake Dubai.
 
100% ni kweli... na hata ajira za muda za usimamizi wa vituo vya kupigia kura nyingi zilikuwa za kupewa kwa maelekezo, walimu walitumika sana sana sanaaa, + hawa maafisa wetu, wapo hadi waliosafirishwa na kubadilishana Mikoa na majimbo... na hapa ndio kukatokea na tatizo la mawakala wengi wa upinzani kuzuiwa na kulalamika... mawakala wengi walitokea mahala tofauti na eneo la kupigia kura na wengi walikuwa maafisa
Ndio walichotufanya hawa jamaa
 
Any evidence to justify your argument. Wote hapa mnaongea kwa hisia tu nothing anymore. Kama ambavyo wote wa naongea kwa hisia wote mnaongea kwa hisia hisia tu hakuna mwenye ushahidi.

Lakini kama kura ziliibwa si mngeenda mahakamani kudai na kujustify?? Wapinzani hawa hawa kweli washindwe kwenda mahakamani and they have evidences it can't be. Utapeli tu wa kisiasa mnaeneza

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
Samahani Huwa sibishani tafadhali
 
Kumekuwa na shutuma nyingi sana za kumshutumu Magufuli kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020 lakini watowa lawama wote ukiwauliza alivurugaje au aliiba vipi kura hakuna atakayekupa jibu.

Sasa leo nimewiwa kuwaondowa gizani, kama mtakakumbuka Magufuli aliwaita maafisa watendaji wote wa Kata Tanzania nzima ikulu Dar, hili halijawahi kutokea katika historia ya Tanzania.

Mkutano huo ulirushwa mubashara lakini baadaye muda wa kuwapa mikakati na malengo ya kuitwa kwao matangazo mubashara yalikatwa na kichinjio cha upinzani ndio kilifanyika pale.

Alichofanya Magufuli ni kila Afisa Mtendaji Kata alipewa Amri ni lazima ahakikishe kuna kura 3000 kwenye Kata yake za Diwani, mbunge na Rais za Ccm, halafu maigizo ya uchaguzi ndio yaendelee kama kama kawaida.

Sasa jiulize katika hali ya kawaida madiwani wanaogombea Kata, mwenzao wa Ccm tayari ana kura 3000 unamshinda vipi?

Ukija kwa mbunge, kila Kata kwenye jimbo ana mtaji wa kura 3000 halafu ndio mshindane kwa kura halali unashindaje?

Ukija kwa Rais hapo ndio kufuru, kila Kata Tanzania nzima ana kura 3000 za wizi na bado wizi wa majumuisho je unamshinda vipi?

Hakika Magufuli hakuwa wakala wa shetani tu Bali ndio shetani mwenyewe.

Hizi siyo ngonjera Bali ni taarifa sahihi live bila chenga, wagombea wote wa upinzani wakitaka kujuwa matokeo halisi je walishinda au walishindwa kweli, kwa udiwani towa kura 3000 za CCM, zinazobaki ndio kura mlizopigiwa, na kwa ubunge kila Kata jimbo zima towa kura 3000 zitazobaki ndio matokeo yenu halisi, ila kwa Urais ni rahisi sana kuiba uchaguzi loop hole ni nyingi sana hata mama Samia ni mitano tena anashinda SAA mbili asubuhi tu mark my words regardless kelele zote za kuuza nchi, labda Jeshi liingilie na kwa Tanzania wanajeshi na wanasiasa wote wana maisha mazuri wanatembelea V8 hilo tusahau.

Najuwa wapo watakaohoji mbona kuna wapinzani wachache walishinda? Jibu ni kwamba huo ni mkakati maalum wa kuhadaa umma na dunia, na sehemu nyingine kama mgombea wa ubunge wa Ccm hakuwa na mahusiano mazuri na Mkurugenzi alitoswa wizi haukufanyika, au kama mgombea udiwani hakuwa na mahusiano mazuri na Afisa Mtendaji Kata pia alitoswa wizi haukufanyika hii ndio sababu ukiona kuna sehemu wapinzani wachache walitangazwa washindi, wapo wakurugenzi waliukataa ushetani wa Magufuli.

Wapinzani amkeni mnapotaka kupambana na CCM muijuwe vizuri nguvu ya Ccm IPO kwa wakurugenzi na maafisa watendaji Kata, nje ya hapo CCM ni kifo cha mende chaliii.

Cc: Pascal Mayalla hii ni Bona fide genuine.
Usinikumbushe baradhuli yule!
 
Nilifika kituoni saa nne asubuhi, hakukuwa na dalili za msongamano wala foleni, haikunichukua zaidi ya dakika 20 kukamilisha zoezi la kupiga kura.
Kilichonishangaza wakati wa kutumbukiza kura yangu ni kuona sanduku limejaa hadi kufika nusu!. Inawezekana watu walianza kupiga kura mapema sana...lakini kwa masanduku yote?.
Sidhani kama Magufuli alihitaji kuiba kura ili achaguliwe tena, CCM Kama chama ndio wanaonekana hasa kutengeneza mbinu ya kushinda kwa kishindo.....
Kwa mfumo uliopo wa uchaguzi sitapoteza tena muda wangu kwenda kupiga kura. Nitashawishika kupiga pale upigaji kura utakapokoma kuwa wa siri.
 
Mimi niyapokea haya na pia namuombea msamaha rais Magufuli kwani hata kama hujaweka ushahidi kudhibitisha hoja zako naamini upande wa pili alifanya hayo kwa maslahi mapana ya Nchi.
Lakini kwasababu sasa hivi hayupo na hakuna wa kumtetea zaidi ya kuwaomba msamaha nyie wakamilifu mumuache mzee mbona mnateseka sana.

Ni kitu GANI unataka ku prove?
 
Kila kiongozi Huwa ana mazuri yake na mabaya yake.

Miongoni mwa mabaya ya JPM ni uchaguzi wa 2020
 
Bunge ndio lilienda dubai kwenye expro?

Sikia bwana taahira, hilo bunge limecheza ngoma anayopiga huyu bibiako.

Bibiako angeamua vinginevyo wala yasingetokea haya kuuzwa kwa wajomba zake!

Ni lini bunge liliwahi kusimamia maslahi ya wanachi?

Huyo Lisu wako wakati Richmond, Meremeta, Rada, Escrow na uchafu mwingine unatokea si alikuwa bungeni? Alifnya nini kuzui usitokee?

Dr. Slaa juzi katwambia kuna mikataba ya hovyo zaidi ya 2,000 hapa nchini, je yote ilipita kwenye bunge hili

Mnafanya upumbavu alafu mnajificha kwenye kichaka cha Magufuli?

Mbona Magufuli ambaye anajifanya alikuwa mzalendo hakuweza kuzuia huo wizi wakati alikuwa kwenye vikao vya baraza la mawaziri? Au wakati akiwa waziri uliwahi kumsikia akipinga mikataba ya wizi?
 
Back
Top Bottom