Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Mkuu Fundi Mchundo , hayo ni makombora ya uhakika kabisa.
Ningekua Mohammed Said ningeandika kitabu kingine cha kujisahihisa.
Sasa hebu tukae chonjo, tungojee hadithi nyingine ya Mohammed Said, nusu page ya "alisema hivi", "akamjibu hivi", "inaaminika hivi" nk
Asije sema tunamdharau, tumeshazoea modus operandi yake muungwana huyu, endelea.
LG: Hilo la kuandika kitabu cha kujisahihisha hakitakuwa na maana sana kama nitakiandika mimi. Mimi tayari nina vitabu kadhaa na papers. Nakushaurini mjikusanye msaidiane kuandika ili nami mnipe fursa ya kuwasoma wazee wenu katika harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika.