Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Ni wengi tuko hivyo. Trust me.natamani nusu ya waroma wote wangekua ka wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wengi tuko hivyo. Trust me.natamani nusu ya waroma wote wangekua ka wewe.
Imebidi nicheke tu mkuu[emoji3] [emoji3] [emoji23]Mkuu tatizo lugha tu yaani sijasoma chochote humu
Jichekee mkuu lugha baba lugha niliwahi maisha kuliko elimuImebidi nicheke tu mkuu[emoji3] [emoji3] [emoji23]
We mjanja. Mwenzio Bashite aliacha maisha akakimbilia elimu ya kufoji. Ona sasa vyote vimemkimbiaJichekee mkuu lugha baba lugha niliwahi maisha kuliko elimu
Ewaaa... ila kwenye kuruhusu ulabu... hapo nalipa big up kanisa letu pendwa.Sipend na ninachukizwa na uwepo wa sanamu kanisani, mm ni mroma pyua ila vitu vingi mm sivifuati kama kwenda kukaa mbele ya sanamu la bikra maria, kwenywe sanamu la mtoto yesu x mass, na kubusu sanamu siku ya ijumaa kuu
Sometimes Roman tunakosea sana ila haina jinsi maana hakuna mkamirifuWe mjanja. Mwenzio Bashite aliacha maisha akakimbilia elimu ya kufoji. Ona sasa vyote vimemkimbia
Hahaaa nilishangaa siku moja kwenye sinod naona maasikufu wanapiga john Walker na jack DanielEwaaa... ila kwenye kuruhusu ulabu... hapo nalipa big up kanisa letu pendwa.
Yeah... kila sehemu wana kasoro zao. Cha msingi ni imani yako na katiba yako (bible)Sometimes Roman tunakosea sana ila haina jinsi maana hakuna mkamirifu
Hiyo ndio points nafata Bible inavyosema sio wao wanavyotakaYeah... kila sehemu wana kasoro zao. Cha msingi ni imani yako na katiba yako (bible)
mambo ya kutafsili huwa yananishinda mkuu lakini hiyo ni moja ya sehemu ya article hapo juu kuhusu msimamo wa Roman katika kupinga kuabudu zile sanamu zilizopo makanisaninatamani nusu ya waroma wote wangekua ka wewe.
Kumbe tupo wengi aisee nilikuwa sijui kabisa mambo ya kubusu sanamu hapana ila jumapili kama kawaida church naingia.Hiyo ndio points nafata Bible inavyosema sio wao wanavyotaka
Huwezi kujiita mkatoliki alafu ukajiweka pembeni mambo hayo....!Mimi ni mkatoliki nisiyeunga mkono uwepo wa masanamu kanisani... Na ijumaa kuu huwa sijiangaishi kubusu msalaba. Sisali rozari kwakuwa naamini bikira Maria hawezi kusikia sala zangu...
Ntabakia mkatoliki kwa msimamo wangu.
Hebu jisemee nafsi yako....Huko hivyo na nani...??Ni wengi tuko hivyo. Trust me.
Sometimes hata papa naona hana lolote kwenye imani yangu mm Bible ndio mwisho wa kila kitu papa uongozi wake misho Vatican sio kwangukumbe tupo wengi aisee nilikuwa sijui kabisa mambo ya kubusu sanamu hapana ila jumapili kama kawaida church naingia.
Mkuu, nimeelewa kuwa kuna watu hawajui Katesisi...Huwezi kujiita mkatoliki alafu ukajiweka pembeni mambo hayo....!
Huo utakuwa in zaidi ya uwendawazimu....!
Kwani msalaba,rozari vinaabudiwa....?
Wapi kwenye rozari Maria anaombwa msamaha.....?
Pole sana...!ila endelea na usabato wako.
Wapi nimesema vinaabudiwa?? Nimesema siwezi kubusu msalaba na huwezi kunilazimisha wala kunitoa kwenye ukatoliki.Huwezi kujiita mkatoliki alafu ukajiweka pembeni mambo hayo....!
Huo utakuwa in zaidi ya uwendawazimu....!
Kwani msalaba,rozari vinaabudiwa....?
Wapi kwenye rozari Maria anaombwa msamaha.....?
Pole sana...!ila endelea na usabato wako.
Duuh mkuu punguza speed barabara ina mashimo hiiHebu jisemee nafsi yako....Huko hivyo na nani...??
Pole maana una-poor catechesis....
Sikujua kuwa wewe ni mtupu kiasi hiki...ningejua parokia yako, nikikuona tu unaingia nahakikisha nakutoa nje maana wewe ni mafiki wa kiwango cha juu
Sio lazima ujiite Makatoliki ili ushike-attention ya watu hapa JF....Sometimes hata papa naona hana lolote kwenye imani yangu mm Bible ndio mwisho wa kila kitu papa uongozi wake misho Vatican sio kwangu
Una maanisha nn mkuuSio lazima ujiite Makatoliki ili ushike-attention ya watu hapa JF....