Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

Katekesisi yako ni duni kwa viwango vya Bashite....Sidhani hata kama Biblia unayo wewe..?
Hahahaja vijana mna tabu kwelikweli. Unaweza kukuta nabishana na mwanangu miliyemfundisha mwenyewe.

Kwa kukusaidia tu... nimeusoma ukatoliki kabla hujazaliwa... naujua labda kumzidi hata baba yako. Biblia hapa ndio nyumbani kwake. Kuanzia ya kikatoliki mpaka hizi nyingine ambazo baadhi ya vitabu vimeondolewa.

Kijana baki na imani yako ya kukariri... Sisi tunafuata misingi ya bibli. Sote tuna nia moja... tukutane mbinguni.

Siku nyingine uwe na nidhamu ya kutumia lugha nzuri kwenye mijadala inayohusu imani.

Mapovu yapeleke siasani... huu pia ni ushauri tu, sio lazima uufuate. Maana tumetofautiana makuzi na hekima na busara pia hutofautiana
 
Unaona sasa?? Huyo huyo Pengo nakunywa naye chai na kubadilishana mawazo... Sijawahi kumwona akichachawa kama wewe.
Acha kujikosha wewe sio mkatoliki...!sijawahi kuona mkatoliki wa style yako....!na hakuna anayewza kuchawachawa na hoja zako hafifu....!
 
nafikili wasabato hawatabisha tena.
Oouuhh kumbe ndio lilikuwa wazo lako dhidi ya SDA..! Brother mambo ya MUNGU hayafanyiki kwa Debate au Mikwaruzano at last tutaleta udini ndani ya huu uzi.! Best thing to do...Muombe ROHO wa MUNGU akuongoze kuyasoma na kuyaelewa maandiko yake Matakatifu na kama hujaelewa sehemu tafuta mtu akueleze after roll maamuzi ya Kuokolewa yapo upon you "whether you embrace or abide"...
NOTE
"Kila NENO lenye pumzi ya MUNGU lafaa kwa mafundisho na kuwaonya wanadamu makosa yao"
 
Acha kujikosha wewe sio mkatoliki...!sijawahi kuona mkatoliki wa style yako....!na hakuna anayewza kuchawachawa na hoja zako hafifu....!
Huna jeuri au sababu yoyote ya kunitoa kwenye ukatoliki. Mi ni mkatoliki taka usitake.
 
hakuna dhehebu nnalolichukia kama waroma...na hayo madude wanayaabudu na kwenda kinyume na amri za Mungu.
imeandikwa usijifanyie sanamu ya kuchonga wala kitu chochote kilicho mfano mbinguni,baharini,nchi kavu etc...na kukiabudu.
lakini hawa ndo kwanza ukiingia unakuta kila kona wamechonga masanamu ya maria mtakatifu...masanamu ya yesu..hivi mliwah kuwaona? nyie ndo kwanza mmekazana na rozari mnabusu na zina sanamu ya yesu..ni wazima nyie?
mnachefua.
Unawachukia waroma alafu unapenda zinaaa hivi unaakili kweli?
 
Hahahaja vijana mna tabu kwelikweli. Unaweza kukuta nabishana na mwanangu miliyemfundisha mwenyewe.
Sibishani hapa...najaribu kuweka mambo sawa..

Kwa kukusaidia tu... nimeusoma ukatoliki kabla hujazaliwa
Hebu wacha maneno wewe....Unawezaje kuusoma Ukatoliki..? Ni sawa sawa na kusema umeisoma historia ya dunia angali historia ya nyanya yako wa kule kishumundu huijui...

... naujua labda kumzidi hata baba yako. Biblia hapa ndio nyumbani kwake.
Huijui Biblia ila unakitabu umekiweka nyumbani kwako kinaitwa biblia ...

.. Sisi tunafuata misingi ya bibli. Sote tuna nia moja... tukutane mbinguni.
Misingi ipi ya Biblia ndugu unaifuata....? Kwani ni Biblia ni nini..?

Siku nyingine uwe na nidhamu ya kutumia lugha nzuri kwenye mijadala inayohusu imani.
Vilaza kama nyie ulitaka nitumie lugha gani hasa....?

Mapovu yapeleke siasani... huu pia ni ushauri tu, sio lazima uufuate. Maana tumetofautiana makuzi na hekima na busara pia hutofautiana
Then, stop calling your self a Catholic...Yuo are not a Catholic....Huenda unalihusudu tu kanisa Katoliki na mifumo yake..
 
Wapi nimesema vinaabudiwa?? Nimesema siwezi kubusu msalaba na huwezi kunilazimisha wala kunitoa kwenye ukatoliki.

Unaruhusiwa kuniita mwendawazimu kwakuwa imani yako ya kikatoliki unayoiamini wewe inakuruhusu hivyo. Ila imani yangu mimi sithubutu wala kukuita mjinga kwakuwa ntakuwa natenda dhambi

Pili sijasema Maria anaombwa msamaha bali nimesema siamini kama Maria anaweza kusikiliza sala zangu kwakuwa hana uwezo wa kiMungu. Kama wewe unaamini sijakukataza...
Kama huungi mkono uwepo wa msalaba kanisani ambacho ni kumbukumbu na kielelezo cha uokovu wetu....!

Na hili somo la Maria in pana sana...!kwa msabato in vigumu kulielewa...,sitapenda kujichosha sana kukuelewesha....!
 
Kama huungi mkono uwepo wa msalaba kanisani ambacho ni kumbukumbu na kielelezo cha uokovu wetu....!

Na hili somo la Maria in pana sana...!kwa msabato in vigumu kulielewa...,sitapenda kujichosha sana kukuelewesha....!
Kuna tofauti kubwa sana kati ya msalaba na sanamu. Mi nimezungumzia sanamu, sio msalaba.

Afu aliyekudanganya nahitaji kueleweshwa na wewe ni nani??

Tulia dogo...
 
Jamani ligi njema, chezeni vzr msipigane rafu nitakuja kusoma comments maana nyie mnapoelekea sio
 
Ukienda kwenye nyumba za wachangiaji wengi hata wasabato utakuta kwenye kuta zao wameweka picha zao na familia zaoje wanaabudu familia zao?

Wbgine wakipata majanga wanakwenda kulilia kwenye makaburi ya wapendwa wao je wanawaabudu walikufa?


Mtatizama lakini hamtaona, mtaambiwa lakini hamtasikia.... ufalme wa myngu upo mikononi mwako


  • Nimewapeni mamlaka yote lolote mtakalofungia duniani...
 
Hahahaja vijana mna tabu kwelikweli. Unaweza kukuta nabishana na mwanangu miliyemfundisha mwenyewe.

Kwa kukusaidia tu... nimeusoma ukatoliki kabla hujazaliwa... naujua labda kumzidi hata baba yako. Biblia hapa ndio nyumbani kwake. Kuanzia ya kikatoliki mpaka hizi nyingine ambazo baadhi ya vitabu vimeondolewa.

Kijana baki na imani yako ya kukariri... Sisi tunafuata misingi ya bibli. Sote tuna nia moja... tukutane mbinguni.

Siku nyingine uwe na nidhamu ya kutumia lugha nzuri kwenye mijadala inayohusu imani.

Mapovu yapeleke siasani... huu pia ni ushauri tu, sio lazima uufuate. Maana tumetofautiana makuzi na hekima na busara pia hutofautiana
We ndg acha kujikweza....!
Acha kujisifia waache wakusifie...!
Huenda ukawa wewe ni mchanga sana kwenye maandiko kuliko unavyofikiri.....!

My self bado ujanishawishi even for a single word

According to your post it seems your very shallow in bible knowledge bro.....!come up utapata elimu humu JF.....!karibu sana...!
 
Kama huungi mkono uwepo wa msalaba kanisani ambacho ni kumbukumbu na kielelezo cha uokovu wetu....!

Na hili somo la Maria in pana sana...!kwa msabato in vigumu kulielewa...,sitapenda kujichosha sana kukuelewesha....!
Hivi Wakatoliki wana Sunday School..?
mbona wakuu mnabishana tena wakati hoja zinaelewaka tu hapo juu

"The Church does NOT compel her members to kneel or pray before images. No one is allowed by the Church to pray to images since they have no ears to hear or power to help us. The Church allows for the veneration of images as long as the honor is directed towards Christ and His saints."
 
Umeanza kwa Kiswahili, halafu kimalkia, sasa ndio Nini sijaelewa hata kidogo
 
Back
Top Bottom