Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

We ndg acha kujikweza....!
Acha kujisifia waache wakusifie...!
Huenda ukawa wewe ni mchanga sana kwenye maandiko kuliko unavyofikiri.....!

My self bado ujanishawishi even for a single word

According to your post it seems your very shallow in bible knowledge bro.....!come up utapata elimu humu JF.....!karibu sana...!
Sikiliza dogo... mi siko hapa kukishawishi au kukufundisha chochote. Mi nimeweka tu msimamo wangu kuhusu kanisa langu. Na huu ni msimamo wangu na wala simshawishi yeyote kuufuata (akiwemo mke wangu na wanangu)

Kama niko shallow we inakuuma au inakuhusu nini??

Mi ni mkatoliki...
Nahudhuria misa takatifu...
Nakomunyika...
Mwanachama wa CPT...
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Mt. Aloyce...
Nakunywa bia..
Nakula kitimoto...
Sisali rozari....
Sibusu msalaba ijumaa kuu

Huu ndio ukatoliki wangu... hakuna wa kunielekeza vingunevyo
 
Kwani ulishindwa kuandika kwa kiswahili
Umeanza kwa Kiswahili, halafu kimalkia, sasa ndio Nini sijaelewa hata kidogo
wakuu mambo ya kukaa na kuanza kutafsili huwa siyawezagi kabisa nilichofanya ni kukopi na kupesti tu ili nisipoteze andishi hata moja but najua mneelewa tu.
 
Huna jeuri au sababu yoyote ya kunitoa kwenye ukatoliki. Mi ni mkatoliki taka usitake.
Hakuna anayetaka kukutoa kwenye ukatoliki.....!ila acha kupotosha wakatoliki eti kwamba huungi mkono uwepo wa msalaba kanisani na kuhusiana na Maria....!

Tena nadiriki kusema wewe ni mchanga sana kwenye maandiko

Your really pointless guy never happened under the sun.......!

Ukiulizwa kwann unapingana msalaba kanisani au kwann kuna uwepo wa msalaba kanisani.....?utasemaje.....?

Wewe kama unaona kanisa liko kinyume rukusa kwenda kuanzisha kikundi chako kama vikundi vingine vilivyoanzishwa

Ni vigumu kulitoa Kanisa Katoliki kwenye mood yake kwa pointless kama hizi....
 
Kuchukia binadamu mwenzako ni dhamb na rejea biblia imejaa upendo kama Mungu anavyotupenda ss wadhambi
Tubu uwe na amani
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya msalaba na sanamu. Mi nimezungumzia sanamu, sio msalaba.

Afu aliyekudanganya nahitaji kueleweshwa na wewe ni nani??

Tulia dogo...
Siwezi kutulia na kukusikiza kubwa jinga kama ww.....!

Nipe definition Msalaba/Sanamu...?

Me napata wkt mgumu kuamini kwamba wewe ni mtu mzima mwenye akili timamu...........!

Labda niombe msaada kwa Otorong'ong'o afanye identification according to your post.....!
 
Mie ni Mkatoliki pure kabisa yaani kindakindaki,kinachonifariji ktk maisha yangu ya kiimani ni kwamba sijawahi kumuonea mtu kijicho au kuona kama anachoabudu anakosea as long as ndivyo alivyofundishwa na kuamini na mie sicho nilichofundishwa so ni chaguo lake na pia mara nyingi nimekuwa nikijiongeza kwamba Mungu pekee ndiye anayejua huyu yupo sahihi kuniabudu yule anakosea kuniabudu hivyo mimi ninani hadi niseme fulani hajui kuabudu?Ishu kwamba Catholics tunaabudu sanamu inaangukia ktk kauli yangu hapo juu,kwamba wanaopinga hawakufundishwa hivyo wamefundishwa kwa iman zao/laa kuna Mkatoliki mmoja alikengeuka basi hakuiva kiimani ndani ya Kanisa.mimi siabudu sanamu,hakuna Mkatoliki anayeabudu sanamu.Mkatoliki anaposali ile wewe unayoita sanamu yeye pale msalabani kwa jicho la rohoni anauona mwili wa mtu ukidondosha damu kabisa... hili ni vigumu sana kueleweka kwa wasio Wakatoliki na wataishia kutaka kubishana tu hapa.ieleweke vyema...Bible imekataza kuabudu masanamu,itakuwa ajabu kama watu zaidi ya bill1 wote wakaacha maneno Matakatifu ya Mungu wakawa vichaa kuabudu kitu kisichofaa ila kwa7bu wanaelewa wanachokiamini nadhani wangeachwa tu so tuachwe tukajuane na aliyetuumba na kutupa matashi.[HASHTAG]#nitaishi[/HASHTAG] Ukatoliki,nitakufa Mkatoliki,Mungu akipenda nitazikwa Kikatoliki.Ahsanteni.
 
Huyo unayemchukia una uhakika gani kama yeye anakuhusudu...? Majibu ya kishenzi kabisa...
Ikiwa Mungu angetuchukia sisi wadhambi tungejua wapi leo

MPENDE NDUGUYO KAMA NAFSI YAKO
hii ndio kanuni kuu na itakuweka huru
IKIONA MTU YEYOTE WA DINI YEYOTE ANATANGULIZA CHUKI UJUE HUYO HAMJUI MUNGU NA DINI YAKE HAIFAI HATA KIDOGO
 
Sikiliza dogo... mi siko hapa kukishawishi au kukufundisha chochote. Mi nimeweka tu msimamo wangu kuhusu kanisa langu. Na huu ni msimamo wangu na wala simshawishi yeyote kuufuata (akiwemo mke wangu na wanangu)

Kama niko shallow we inakuuma au inakuhusu nini??

Mi ni mkatoliki...
Nahudhuria misa takatifu...
Nakomunyika...
Mwanachama wa CPT...
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Mt. Aloyce...
Nakunywa bia..
Nakula kitimoto...
Sisali rozari....
Sibusu msalaba ijumaa kuu

Huu ndio ukatoliki wangu... hakuna wa kunielekeza vingunevyo
Illiterate by nature.......!
 
Kanisa linakosea kwenye nini labda...? Hebu weka wazi makosa tuyaone...?
nafikili alichokua anamaanisha ni kubusu sanamu au kupiga magoti mbele ya sanamu jambo ambalo sio sahihi
 
Post #96 naomba wakuu msihangaike ku-quote sipo kubishania imani hapa,hicho ndicho nachoamini mimi na kila mtu ana utashi aliopewa na Mungu muumba so autumie kujua kipi kitakachotufikisha kwake sio kuparurana humu mitandaoni.
 
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
 
Watu wengi wataingia jehanamu kwa sababu ya dini zao,dini haimfikishi mtu mbinguni,msomaji yeyote wa biblia anajua kitakachomwingiza mtu mbinguni ni "utakatifu".
Hata kama unaenda kanisani kila jumapili
hata kama unatoa zaka sana
Hata kama unafunga na kuomba sana
Kama hauishi maisha matakatifu mbingu ya Mungu aliye hai hutaiona,labda kama kuna nyingine.
Hakuna mbingu ya walevi,hakuna mbingu ya wazinzi,kuwa makini usije ukawa unajilisha upepo.
Watu wengi wanaingia makanisani,kweli wanatubu wanapokosea si mabaya ila hawajui nini maana ya kutubu.Leo watatubu uzinzi,wiki ijayo tena uzinzi,na inayofuata uzinzi,huyu mtu hajui maana ya kutubu.
Ndugu kama ulikuwa ujui nikusaidie si kila ukitubu Mungu anakusamehe,kama huwa unajipa moyo umesamehewa pole.Nisikilize kwa makini usije ukapotea,mtu anapotubu,Mungu huangalia moyo wake,je anatibu kwa kumanisha?Je kutoka ndani ya nafsi yake anajutia dhambi aliyoitenda?kama ndani ya moyo wako umemanisha Mungu anasamehe,lakini kama unatubu kwa mazoea,I am real sorry for you.Unaweza ondoka na amani moyoni kumbe toba yako haijapokelewa.Kuna mengi tunahitaji kujifunza kuhusu huyu Mungu wa Israel.
Hivi haya matamasha ya miziki ya kidunia,fiesta na mengine wale wote wanaojaa huko huwa ni wapagani?Au ni members wako kanisani na duniani wako.Unajilisha upepo.Huwezi ukaipenda dunia na mambo yake na ukampenda Mungu,chagua leo ni nani utakayemtumikia.
Kwenda peponi au kuzimu unaamua mwenyewe kwa jinsi unavyo ishi,hata padri au mchungaji aseme "ulazwe mahali pema peponi" take it from me anajifurahisha.Hakuna sara ya kumtoa mfu kuzimu kwenda paradiso,ingekuwepo hiyo ingekuwemo kwenye biblia.Biblia yenyewe imesema baada ya kifo ni hukumu.AMKA chunguza kama hapo ulipo ni njia sahihi au unajilisha upepo.
 
Mi nauliza tu. kuna uhakika gani anayetengeneza zile sanamu kama ni mtu mtakatifu ? Hapa namanisha mchongazi anaweza akachukua picha au sanamu yenye roho ya miungu kama Ishtar au Tari au Tamuz na kuleta madhabahuni.akasingizia ni ya mtakatifu fulani. Pia makanisa mengi ya RC utakuta nje kunapicha ya mwanamke amejengewa kibanda na watu wanakuja hapo wanapiga ishara ya msalaba na kusujudu kwa kupiga magoti na kusali mbele ya sanamu hiyo. Tatu katika katekisimu ile amri ya pili ule mstari unaozungumzia sanamu umeondolewa na haupo mahali popote, kama ni mpangilio ungesogezwa mbele tuuone lakini umeondolewa jumla. Sisi wakatoliki tunashindwa kujibu hayo maswali tunapoulizwa kuhusu imani yetu. Hata hivyo katika majibu yako bado hujajibu vizuri hasa hicho kipengele cha kuondoa ule mstari unaozungumzia sanamu katika amri ya pili kwenye kitabu cha katekisimu. Nani ameruhusu mstari huo kuondolewa na kwanini ni huo mstari. Samahani kama nimekosea kweli sina nia mbaya kwani najua mchango wa RC katika kuneza Ukristo ni mkubwa sana bila juhudi zanu wengi leo tungekuwa wapagani au waislamu hata hao wasabato wengi walijengwa na RC ila kwa kuwa hawakujibiwa vizuri mashaka yao wakaondoka kwenda kwa waliowajibu vizuri.
 
a45092dc64adab9038f8c244e54e52ce.jpg
f1549b3d360ce3adb88f091034009b60.jpg
591ca127ec29def76ff16f860d4398f9.jpg

Hii kitu sitaweza kuiinamia kabisa
7aa9a8c59125d929c5f991394581e552.jpg

Ona hapa
e14f795fa65902fdbe3af509de4bd9f8.jpg

Huyu naye ni binaadam kama mm, naongozwa na Bibie tu
7ea89ef8ab65b49b282a2109ec815fcd.jpg
101f45bed4393ccce6b7837506d75c26.jpg

Labda hiyo ya ndani tu
.... Mtazamo wangu tu...
 
nafikili alichokua anamaanisha ni kubusu sanamu au kupiga magoti mbele ya sanamu jambo ambalo sio sahihi
Kabla ujapata majibu ebu weka apa dini&dhehebu lako...!sitaki kuumiza akili yangu kwenye hili tuliwahi kulitolea ufafanuzi sana apo nyuma humu ndani JF.....!sasa leo ili tusiumizane akili fuata masharti hayo kwanza.......!nakusubiri.
 
Back
Top Bottom