Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

Kitu ambacho watu wa dini hawajui ni kwamba "ndani ya kanisa kukiwa na mtu mmoja au wawili wanaotenda dhambi Munguhapendezwi na kanisa hilo".Sasa jinsi watenda dhambi wanapokuwa wengi kanisani hilo kanisa linakuwa ni chukizo kwa Bwana.Ndiyo maana tunashauriwa kutubu mara tu unapogundua umetenda dhambi,na roho wa Bwana atakushuhudia,lakini kama umezoea kuitenda hiyo dhambi Roho huondokaka ndani yako na hapo mtu anakuwa hata akitenda dhambi ndani yake hajisikii hukumu.Kama uko hivyo jua umeshatekwa na shetani na hauko salama,na hata ukiomba unaona kabisa maombi yako ni kama matamshi tu hayaendi kokote.Mrudie Mungu wako leo,muda uliobaki ni mchache,mwenye masikio na asikie.
 
Mkanisani usanii umezidi watu wengine wanaenda kusikiliza nyimbo,wengine kuonyesha nguo zao mpya,wengine kubadilishana contacts na kuongeza network.Wengine wanaenda ili wawe na sehemu ya kuwasaidia kwenye misiba au harusi.Fuatilia mafundisho ya kiongozi wako,lini mmefanya maombi ya toba kama kanisa?au njia zenu ni safi sana mbele za Mungu?Kanisa la kweli Mungu husema nalo kupitia kwa watumishi wenye wanaotumika kama manabii,siongelei manabii feki waliojaa kwenye majiji makubwa ila vijijini hawako wao wako mjini tu wakati roho za mjini na vijijini zote ni roho.
Ndugu zangu Mungu yupo na anaongea na watu,kama ambavyo aliongea na kanisa la kwanza hata leo anaongea na makanisa yenye bidii ya kumtafuta.(Mtafuteni Mungu maadamu anapatikana).
Kanisani umo ,kwa waganga wa kienyeji ummo,nyumba yako mwenyewe umezindika kwa waganga wa kienyeji,hauko salama.Wachawi wanazidiana nguvu,tofauti ya mchawi na mganga wa kienyeji ni kwamba mchawi analoga kuharibu wakati waganga wao wanjitetea kwa kusema wao wanaloga kuweka mambo yakae sawa.Kwa hiyo wote wanaloga.kama unajilinda na nguvu za kichawi,akija mchawi mwenye nguvu kubwa kuliko yako anakupiga vizuri tu.Ila kama unalindwa na Yesu hawa jamaa hawatakuweza kamwe,huwa wanakutana na nguvu ya Mungu sema huwa hawawezi kuigundua,wakikushindwa wanajua wewe ni mchawi zaidi yao.Wakikukosa katika ulimwengu wa roho watakuja katika ulimwengu huu unao onekana.
 
Tusitumie maandiko ya biblia vibaya,nyoka alitengenezwa na Mussa kwanza Mungu mwenyewe alimwambia amtengeneze,je wewe hiyo sanamu uliyo nayo Mungu amekwambia utengeneze?
Kwamba Mungu leo haongei na watu...alishia kuongea na Musa Peke yake sio...? Hebu tusome ile Kut :20:8 na kuendelea tujadiliane .....

Nyoka wa shaba aliyetengenezwa na Mussa, waliokuwa wameumwa na nyoka walipomtazama walipokea,uponyaji,je hiyo sanamu yako inaleta uponyaji gani?
St. Paul katika Epistles zake anasema "Kama Mussa alivyomunua nyoka wa Shaba, ndivyo hivyo mwana Wa Adam atainuliwa kwenye msalaba na kila amtizamaye kwa imani atapona..."
Ndio maana Msalaba(Crucifix) upo juu mbele ya altare


Kama nilivyosema watu wengi mmepotea kwa sababu mnajua kusoma post za JF,na magazeti ya udaku ila hamna muda wa kusoma biblia zenu.Mwenye masikio na asikie.
Leta hayo maandiko tuyachambue hapa..sio unaleta blah blah
 
Tunataka dini inayakayomsaidia muumini kuacha dhambi zake, maana lengo la dini ni kumtafuta Mungu na kuacha dhambi
Sidhani kama roman inatoa hilo suluhisho

Mtu anaanzaje kuacha dhambi..? Au dhambi ni nini..? Na labda ni dhambi gani hizo unazoongelea wewe.. ?

Hivi kuna dini inayo shabikia dhambi...? Hebu nitajie hiyo dini..
 
Sio sahihi kivipi..? Mbona mimi picha ya mpenzi wangu naibusu...
mkuu Mimi sina majibu embu pitia upya hiyo post hapo juu halafu utapata majibu kwa usahihi hayo maandishi ni kutoka vaticani na sio mimi na kama ukita link nitakupa ili uongeze maarifa zaidi kwamba kanisa hadi biblia yenyewe haviruhu kubusu au kuomba mbele ya sanamu lolote lile liwe la bikira maria au yesu kwahiyo wasabato kiufupi wapo sawa


" The Church does NOT compel her members to kneel or pray before images. No one is allowed by the Church to pray to images since they have no ears to hear or power to help us. The Church allows for the veneration of images as long as the honor is directed towards Christ and His saints."
 
Wewe kama ni msomaji wa biblia unatakiwa ujue huo mstari,Mungu anasema watu wake wanapotea kwa kukosa maarifa.
Ningetemea wewe unaoujua utuwekee hapa...

Na sio watu wake wanapotea......ila Hosea anasema "watu wangu wanaangamizwa......."

Vipi biblia yako ya kimanyema nini...??
 
mkuu Mimi sina majibu embu pitia upya hiyo post hapo juu halafu utapata majibu kwa usahihi hayo maandishi ni kutoka vaticani na sio mimi na kama ukita link nitakupa ili uongeze maarifa zaidi kwamba kanisa hadi biblia yenyewe haviruhu kubusu au kuomba mbele ya sanamu lolote lile liwe la bikira maria au yesu kwahiyo wasabato kiufupi wapo sawa
Bandiko lako ulilileta kama kuwaandikia Wasabato.....

Hapo kwenye Red!!! Njia ya muongo ni fupi...nimeshawaambia huitaji kujiita Mkatoliki ili ukamate attention ya watu humu JF...vitu vidogo tu tunakukamata....Sasa hili bandiko lako peleka kwenye makambi na lessoni ukawafundishe..

Halafu hebu nipe hiyo link ya Vatican....


" The Church does NOT compel her members to kneel or pray before images. No one is allowed by the Church to pray to images since they have no ears to hear or power to help us. The Church allows for the veneration of images as long as the honor is directed towards Christ and His saints."
Umekosa uhalali wa kujadiliana kwa upuuzi ulioandika hapo juu
 
mkuu Mimi sina majibu embu pitia upya hiyo post hapo juu halafu utapata majibu kwa usahihi hayo maandishi ni kutoka vaticani na sio mimi na kama ukita link nitakupa ili uongeze maarifa zaidi kwamba kanisa hadi biblia yenyewe haviruhu kubusu au kuomba mbele ya sanamu lolote lile liwe la bikira maria au yesu kwahiyo wasabato kiufupi wapo sawa


" The Church does NOT compel her members to kneel or pray before images. No one is allowed by the Church to pray to images since they have no ears to hear or power to help us. The Church allows for the veneration of images as long as the honor is directed towards Christ and His saints."
Usipote ATP yako kumjibu mtu mpumbavu
 
Mabishano ya kidini hayafiki mwisho kirahisi hivyo!!! Ni kuyapotezea tu. Kila mtu abebe na atetee imani yake na si kufanya imani ya wengine ionekane vibaya.
 
juzi tu hapa papa mwenyewe alikili kuwa lengo la martin Luther king halikuwa kuligawanya kanisa ila ilikuwa kulilekebisha kanisa lakini watu bado hawaamini ukisema tu wanesama wewe upo against Roman

Umesema juzi...Papa sijui......Hebu tupe hiyo tarehe turejee matamshi yake..

Kwenye Bold
Kuna Padre Martin Luther(Huyu alitengwa na Kanisa Karne ya 16)
Huyu ni Mjerumani

Kuna Martin Luther King.....(Huyu ni mwanasiasa na mwana mapinduzi huko Marekani)Huyu ni Mwafrika Mweusi....
Unamzungumzia nani...?
 
hakuna dhehebu nnalolichukia kama waroma...na hayo madude wanayaabudu na kwenda kinyume na amri za Mungu.
imeandikwa usijifanyie sanamu ya kuchonga wala kitu chochote kilicho mfano mbinguni,baharini,nchi kavu etc...na kukiabudu.
lakini hawa ndo kwanza ukiingia unakuta kila kona wamechonga masanamu ya maria mtakatifu...masanamu ya yesu..hivi mliwah kuwaona? nyie ndo kwanza mmekazana na rozari mnabusu na zina sanamu ya yesu..ni wazima nyie?
mnachefua.
Itakuwa hujasoma vizuri mada hii au hujaelewa. Mleta mada kaweka hadi vifungu vya biblia. Sijui watu wengine mnatakaje ?
 
hakuna dhehebu nnalolichukia kama waroma...na hayo madude wanayaabudu na kwenda kinyume na amri za Mungu.
imeandikwa usijifanyie sanamu ya kuchonga wala kitu chochote kilicho mfano mbinguni,baharini,nchi kavu etc...na kukiabudu.
lakini hawa ndo kwanza ukiingia unakuta kila kona wamechonga masanamu ya maria mtakatifu...masanamu ya yesu..hivi mliwah kuwaona? nyie ndo kwanza mmekazana na rozari mnabusu na zina sanamu ya yesu..ni wazima nyie?
mnachefua.
Hahaa,povu lote hili lazima utakuwa mfuasi wa Lusekelo
 
Mkanisani usanii umezidi watu wengine wanaenda kusikiliza nyimbo,wengine kuonyesha nguo zao mpya,wengine kubadilishana contacts na kuongeza network
Sasa hapa unaongelea utashi wa watu binafsi na maamuzi yao...Kwani wewe unashindwa kufanya hayo kwa utashi wako...
 
nachukia dhehebu...sijataja mtu..
uwege unasoma vizur basi kabla hujajibu..
ila hapa kila mtu ana uhuru wa kueleza yake ya moyoni
KAMA NIMEKUKERA AM SOREEE[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Endeleeni na vidhehebu vyenu vilivyoanzishwa juzijuzi na wajanja ili wazidi kutajirika.
 
Back
Top Bottom