Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

Wapi nimesema vinaabudiwa?? Nimesema siwezi kubusu msalaba na huwezi kunilazimisha wala kunitoa kwenye ukatoliki.

Unaruhusiwa kuniita mwendawazimu kwakuwa imani yako ya kikatoliki unayoiamini wewe inakuruhusu hivyo. Ila imani yangu mimi sithubutu wala kukuita mjinga kwakuwa ntakuwa natenda dhambi

Pili sijasema Maria anaombwa msamaha bali nimesema siamini kama Maria anaweza kusikiliza sala zangu kwakuwa hana uwezo wa kiMungu. Kama wewe unaamini sijakukataza...
Exactly
 
Hebu jisemee nafsi yako....Huko hivyo na nani...??

Pole maana una-poor catechesis....

Sikujua kuwa wewe ni mtupu kiasi hiki...ningejua parokia yako, nikikuona tu unaingia nahakikisha nakutoa nje maana wewe ni mafiki wa kiwango cha juu
Niko Parokia ya Mwenye heri Isidori Bakanja, Boko. Hebu njoo nione uwezo wako wa kunizuia.

Maana hata askofu wangu anaujua msimamo wangu na hajawahi kunisema vibaya kama wewe "mtakatifu mbarikiwa"
 
Wapi nimesema vinaabudiwa?? Nimesema siwezi kubusu msalaba na huwezi kunilazimisha wala kunitoa kwenye ukatoliki.
Then you are not a Catholic....Ni kwamba unajilazimisha kuwa Mkatoliki....Watu kama nyie ndio mnatujazia makanisa Jumapili kumbe ni vishetani vidogo..

Unaruhusiwa kuniita mwendawazimu kwakuwa imani yako ya kikatoliki
Kwa jibu hili, inadhihirisha wewe si Mkatoliki....Wakatoliki wanakiri imani moja tu.....Sasa hiyo ya kwako sijui imeitolea wapi...?

unayoiamini wewe inakuruhusu hivyo. Ila imani yangu mimi sithubutu wala kukuita mjinga kwakuwa ntakuwa natenda dhambi
Unaifahamu imani ya Kanisa Katoliki wewe..?
 
Duuh mkuu punguza speed barabara ina mashimo hii
Anachachawa tu huyo. Anajiona ni mkatoliki die hard lakini anasahau wakatoliki ni wanyenyekevu. Anamwaga povu panapohitaji hekima
 
Uzi kama huu inapendeza mleta mada uwe umeeutafsiri kabisa(na hapo ndio tunaona kweli umeandaa sasa makala) siyo hii Copy&Paste.

Kichwa cha habari kiswahili... Ukifungua mada kingereza...

Maoni yanguu tu
 
Niko Parokia ya Mwenye heri Isidori Bakanja, Boko. Hebu njoo nione uwezo wako wa kunizuia.

Maana hata askofu wangu anaujua msimamo wangu na hajawahi kunisema vibaya kama wewe "mtakatifu mbarikiwa"
Askofu gani huyo...? Pengo, ...? Hebu wacha kumsingizia Pengo ..hawezi kuwa na muumini kilaza namna hii...
 
Then you are not a Catholic....Ni kwamba unajilazimisha kuwa Mkatoliki....Watu kama nyie ndio mnatujazia makanisa Jumapili kumbe ni vishetani vidogo..

Kwa jibu hili, inadhihirisha wewe si Mkatoliki....Wakatoliki wanakiri imani moja tu.....Sasa hiyo ya kwako sijui imeitolea wapi...?

Unaifahamu imani ya Kanisa Katoliki wewe..?
Hahahaha povu la nini?? Mimi ni mkatoliki wa kuzaliwa, kubatizwa na saktramenti zote nimepata ukatolikini. Hakuna wa kunitoa. Na ningetaka kuondoka ningeshaondoka... sioni sababu ya kutoka, ntabakia na msimamo wangu.

Sibusu msalaba... Period!
 
Anachachawa tu huyo. Anajiona ni mkatoliki die hard lakini anasahau wakatoliki ni wanyenyekevu. Anamwaga povu panapohitaji hekima
Wengi tunafeli hapo kujifanya wewe ndio unaijua dini pekee yako, huyo huyo mfia dini ndio anaanza kusema maneno yasiyo na hekima. Au huji misingi ya ukatoliki.
 
Unaona sasa?? Huyo huyo Pengo nakunywa naye chai na kubadilishana mawazo... Sijawahi kumwona akichachawa kama wewe.
Mkuu kati ya boss na muajiriwa nani mwenye kihere here?
 
Wengi tunafeli hapo kujifanya ww ndio unaijua dini pekee yako, huyo huyo mfia dini ndio anaanza kusema maneno yasiyo na hekima. Au huji misingi ya ukatoriki.
Yeye anafikiri ukatoloki ni Katekisimu na Misale ya Waumini... Nje ya hapo haujui ukatoliki.
 
Yeye anafikiri ukatoloki ni Katekisimu na Misale ya Waumini... Nje ya hapo haujui ukatoliki.

Pole sana...

Nadhani hata hiyo Katekisimu huna na wala huijui... laiti ungekuwa nayo... upuuzi ulioandika ungejionea aibu mwenyewe.

Kila kitu kinachohusu Catholicism kinamaekezo yake kwenye Katekisimu.

Mkatoliki aliyekamilika anakuwa na Katekisimu yake, Biblia Takatifu ambayo haijachakachuliwa yenye vitabu 73/72
 
Siyo ngumu...kila kitu kipo wazi...
Tunafundishwa unyenyekevu, upole na upendo toka sunday school ila ww Mbona sioni unyenyekevu wako. Unatoa maneno yenye mauzi kwa wenzio badala ya kuekimishana
 
Back
Top Bottom