Swala siyo kuabudu,ukisoma biblia Kutoka 20:1-4 Neni la Mungu linasema usijifanyie ya kuchonga....JE RC WANAJIFANYIA SANAMU ZA KUCHONGA AU HAWAFANYI? na kama wanafanya hapo wamemtii Mungu au wamwmpuuza? Vilevile ameagiza kuwa tusivisujudie wala kuvitumikia, NAKUULIZA TENA JE UNAPOTENGENEZA SANAMU YAKO UKAIBEBA BEGANI AU KWENYE GARI HAPO UNAFANYA KITU GANI KAMA SIYO KUTUMIKA
,UNAPOPIGA MAGOTI NA KUUBUSU MSALABA KUNA TOFAUTI GANI NA KUSUJUDU?.. Mungu Anasrma kuwa Yeye ni Mungu Mwenye wivu.kuwa atawapatiliza wana mahovu ya baba zao,hata kizazi cha tatu na cha NNE cha wamchukiao na anawarehemu maelfu elfu wampendao na kuzishika amri zake.
KWA HAKLI YA KAWAIDA TU JE RC WANAZISHIKA AMRI ZA MUNGU? JIBU NI HAPANA. WATU WATAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA NA KUFUATA MKUMBO TU.
,UNAPOPIGA MAGOTI NA KUUBUSU MSALABA KUNA TOFAUTI GANI NA KUSUJUDU?.. Mungu Anasrma kuwa Yeye ni Mungu Mwenye wivu.kuwa atawapatiliza wana mahovu ya baba zao,hata kizazi cha tatu na cha NNE cha wamchukiao na anawarehemu maelfu elfu wampendao na kuzishika amri zake.
KWA HAKLI YA KAWAIDA TU JE RC WANAZISHIKA AMRI ZA MUNGU? JIBU NI HAPANA. WATU WATAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA NA KUFUATA MKUMBO TU.